Waimbaji kumi bora wa nyimbo za injili kuwahi kutokea hapa Tanzania mpaka sasa

Waimbaji kumi bora wa nyimbo za injili kuwahi kutokea hapa Tanzania mpaka sasa

Mkuu wewe utakua ni legend kwenye tz gosple.

Naomba unisaidie nautafuta sana huu wimbo na aliye uimba.[emoji116]

..jehova nisi jehova shalom eloni baba nakuabudu jehova makaresh jehova shama elishadai nakuinulia mikono juu..

#MaendeleoHayanaChama
Ninayo audio lakini jf inagoma kuwa attached.
 
Nadhani sio kwa kupenda kwao.

Sawa aimbe bure atoe huduma bure.

Je bills za umeme..usafirishaji..vifaa vya muziki..mahema..viti..mapambo n.k

Vitalipwaje???

#MaendeleoHayanaChama
Kikubwa waimbaji wanatakiwa kwenda kwa ajili ya huduma wakimwamini Mungu kwa ajili ya mahitaji yao. Hiyo ndio namna bora. Ninaamini makanisa yanayo hekima na hayawezi kumwacha mtumishi aondoke bila kuhudumiwa kwa mahitaji ya mwilini.
 
Wewe ni nani kuhukumu..hujui uwepo wa haya makanisa ndio ueneaji mkubwa wa injili.

Au ulitaka waje kusali kwako ndio uone wako sawa.?

#MaendeleoHayanaChama
Watu waliotokea traditional churches huwa wako limited sana na kudhani Mungu analazimika kuyatumia makanisa yao tu. Wanasahau kwamba hata hayo yanayoonekana makubwa sasa hivi yalianza kwa kupingwa hivyohivyo.
 
Kupitia maandiko magugu yanaonekana,bora watu waambiwe ukweli waamue wenyewe kutembea na ngano au magugu.
Injili zingine za shetani kupitia maandiko mfano
1.Daudi alicheza hadi akabaki uchi, 2.Mungu anaangalia roho
3.Mafuta, chumvi,maji,upako,hizi ni hirizi toka lini Yesu akachanganywa na visaidizi hivi vya kipepo.Au tangu lini shetani akayaogopa mafuta aliyowapa watumishi wake?
Haya ni mafundisho ya kuzimu kupitia mawakala wao makanisani.
Nadhani hapa umekuwa too critical bila kutumia maandiko. Haifai kuweka imani kwenye vitu kama source ya nguvu lakini vinaweza kutumika kama transference object.

Yesu mwenyewe aliwapa mafuta wanafunzi wake. Soma Marko 6:13 na pia mitume waliendelea kuyatumia. Soma Yakobo 5:14-15. Chumvi na unga vilitumiwa na nabii elisha na vitambaa vilitumiwa na mtume Paulo.

Ni hatari kutoa hukumu kwa hisia badala ya kufuatilia maandiko yanasemaje. Pia ni hatari kutumia vitu vya namna hii kama magical stuffs. Inatakiwa vitumike kwa imani ndani ya jina la Yesu Kristo.
 
Mkuu wewe utakua ni legend kwenye tz gosple.

Naomba unisaidie nautafuta sana huu wimbo na aliye uimba.[emoji116]

..jehova nisi jehova shalom eloni baba nakuabudu jehova makaresh jehova shama elishadai nakuinulia mikono juu..

#MaendeleoHayanaChama
Boss huu wimbo ninao nikoo dar ukoo kwenye external...unaikumbukaa ilee sauti ikatokaa dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani hapa umekuwa too critical bila kutumia maandiko. Haifai kuweka imani kwenye vitu kama source ya nguvu lakini vinaweza kutumika kama transference object.

Yesu mwenyewe aliwapa mafuta wanafunzi wake. Soma Marko 6:13 na pia mitume waliendelea kuyatumia. Soma Yakobo 5:14-15. Chumvi na unga vilitumiwa na nabii elisha na vitambaa vilitumiwa na mtume Paulo.

Ni hatari kutoa hukumu kwa hisia badala ya kufuatilia maandiko yanasemaje. Pia ni hatari kutumia vitu vya namna hii kama magical stuffs. Inatakiwa vitumike kwa imani ndani ya jina la Yesu Kristo.
Alitumia mafuta mara moja tena kwa tukio maalumu na sio KILA siku kwa muendelezo. Alisema tuponje kwa jina lake na sio kwa hivyo visaidizi vyenye lengo kuu ni kumfifisha Yesu Kristo watu waache kutumainia jina lake bali hizo hirizi. Mtu mdhambi ujui kuomba hivyo vi mafuta vitafaa nini kwako uoni ni lengo la kuwaibia vipofu wa maandiko tu.
 
Kila mtu ana vionjo vyake. List ya mtoa post ipo sahihi kwa vionjo vyake.

Nami nikiweka yangu ipo sahihi kwa vionjo vyangu. Hivyo mtoa post usimpangie mtu kile unachoona wewe kinakufaa, sio lazima tufanane...


Kwa maoni yangu, ukishaweka neno "...kuwahi kutokea" halafu ukamuacha Rose Muhando, ukamuweka Ipyana ambaye huku kijijini kwetu hata jina tu hajulikani, ni madharau ya viwango vya Tozo.

Roze mpk mabanda ya Cinema aliingizia kipato sana wakulungwa. Nyimbo zake zimepigwa mpk Bar na vichochoroni...so, list yako ina walakini japo sipingi, ni vionjo vyako sio vya jamii nzima!
 
Zunguka uzungukako, kwa muziki wa sasa wa injili huwezi kuutaja bila kumtaja ROSE MUHANDO
 
Kila mtu ana vionjo vyake. List ya mtoa post ipo sahihi kwa vionjo vyake.

Nami nikiweka yangu ipo sahihi kwa vionjo vyangu. Hivyo mtoa post usimpangie mtu kile unachoona wewe kinakufaa, sio lazima tufanane...


Kwa maoni yangu, ukishaweka neno "...kuwahi kutokea" halafu ukamuacha Rose Muhando, ukamuweka Ipyana ambaye huku kijijini kwetu hata jina tu hajulikani, ni madharau ya viwango vya Tozo.

Roze mpk mabanda ya Cinema aliingizia kipato sana wakulungwa. Nyimbo zake zimepigwa mpk Bar na vichochoroni...so, list yako ina walakini japo sipingi, ni vionjo vyako sio vya jamii nzima!
Mkuu hakuna mtu aliyekupangia.. pia list inaweza kubadilika katika siku zijazo.

Hapo wewe umeweka vigezo vyako ambavyo lazima vitakuwa na aina tofauti ya watu kwenye list.
 
Kwa Joel Lwaga labda kama unetumia kigezo cha "Ushikaji"
 
Kuna mwimbaji mmoja ametajwa hapo juu kweli ana maisha ya tabu Sana saiv...sema maisha yake ameyaweka private Sana. Hivi najiuliza mwimbaji Kama yule na kiwango Cha pesa alichokuwa anaingiza zamani wakati Yuko peak alishindwa kujenga hata nyumba? Saiv Hana hata ela ya Kodi kulipa nyumba. sitaweza mtaja...Sana Sana namwombea Mungu amvushe kwa anayopitia

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom