Waimbaji kumi bora wa nyimbo za injili kuwahi kutokea hapa Tanzania mpaka sasa

Waimbaji kumi bora wa nyimbo za injili kuwahi kutokea hapa Tanzania mpaka sasa

Hiyo ndio roadmap ya waimbaji wa kizazi kipya kama solo gospel singers..
Huyo ndio aliiheshimisha gospel music ya bongo hadi nje ya nchi,

Kiufupi wengi wanamuona kavurugwa na mapito yake lakini haiwezi kuondoa mchango wake unaostahili Hall of fame..

Kwanza muimbaji gani anaweza kuimba kwa high pitch na kucheza kwa energy kama yeye [emoji5][emoji5], nyimbo za sifa ni mwisho
Rose mhando anakopi nyimbo za watu asa wanamziki wa south africa mfano nyimbo ya moyo wangu ni ya Rebecca malope moyo wami
 
Kuna nyimbo hizi mbili nazitafuta
1.kuwalaani wana waisreali balaam nani aliimba hiyo nyimbo

2.na yapili sijui nani aliimba wanacheza ofisini wamekaa kwenye meza kubwa jamaa anaimba vizuri sana

Naombeni msaada
 
Vigezo vilivyotumika:

1. Nyimbo zinazoendana na neno la Mungu
2. Kuwepo kwenye imani thabiti ndani ya Kristo
3. Kuwa na malezi ya kiroho na kanisa analohudhuria kama mshirika
4. Muendelezo wa ukuaji wa huduma, ujuzi na ubora wa kazi.

Kumbuka, hatulinganishi karama bali namna karama ilivyotumiwa kwa ustadi.

Twende pamoja sasa:

1. Abihudi Misholi
2. Fanuel Sedekia
3. Christina Shusho
4. Ambwene Mwasongwe
5. John Lisu
6. Paul Clement
7. Joel Lwaga
8. Upendo Nkone
9. Martha Mwaipaja
10. Ipyana Kibona

Ambao hawakuingia lakini ni wazuri pia hawa hapa:

Christopher Mwahangila, Ephraim Mwansasu, Beatrice Mwaipaja, Walter Chilambo, Paul Mwangosi, Boaz Danken, Safari Paul, Upendo Kilahiro, Jennifer Mgendi, Edson Mwasabwite, Gwamaka Mwakalinga, Beatrice Muhone, Faustin Munishi, Rehema Simfukwe

Kuna wale maarufu sana ambao hawakuingia kwa kushindwa kukidhi baadhi ya vigezo hapo juu kama Rose Muhando, Bahati Bukuku, Bonny Mwaitege, Goodluck Gozbert, Angel Benard, Flora Mbasha, Neema Mwaipopo
kama ingekuwa mimi Beatrice mhone, upendo kilahiro,jenifa mgendi walitakiwa wawe kwenye list ya kwanza .
 
Vigezo vilivyotumika:

1. Nyimbo zinazoendana na neno la Mungu
2. Kuwepo kwenye imani thabiti ndani ya Kristo
3. Kuwa na malezi ya kiroho na kanisa analohudhuria kama mshirika
4. Muendelezo wa ukuaji wa huduma, ujuzi na ubora wa kazi.

Kumbuka, hatulinganishi karama bali namna karama ilivyotumiwa kwa ustadi.

Twende pamoja sasa:

1. Abihudi Misholi
2. Fanuel Sedekia
3. Christina Shusho
4. Ambwene Mwasongwe
5. John Lisu
6. Paul Clement
7. Joel Lwaga
8. Upendo Nkone
9. Martha Mwaipaja
10. Ipyana Kibona

Ambao hawakuingia lakini ni wazuri pia hawa hapa:

Christopher Mwahangila, Ephraim Mwansasu, Beatrice Mwaipaja, Walter Chilambo, Paul Mwangosi, Boaz Danken, Safari Paul, Upendo Kilahiro, Jennifer Mgendi, Edson Mwasabwite, Gwamaka Mwakalinga, Beatrice Muhone, Faustin Munishi, Rehema Simfukwe

Kuna wale maarufu sana ambao hawakuingia kwa kushindwa kukidhi baadhi ya vigezo hapo juu kama Rose Muhando, Bahati Bukuku, Bonny Mwaitege, Goodluck Gozbert, Angel Benard, Flora Mbasha, Neema Mwaipopo
Pisi Kali Irene Robert NI hatari kwa kuimba modern Gospel
 
Vigezo vilivyotumika:

1. Nyimbo zinazoendana na neno la Mungu
2. Kuwepo kwenye imani thabiti ndani ya Kristo
3. Kuwa na malezi ya kiroho na kanisa analohudhuria kama mshirika
4. Muendelezo wa ukuaji wa huduma, ujuzi na ubora wa kazi.

Kumbuka, hatulinganishi karama bali namna karama ilivyotumiwa kwa ustadi.

Twende pamoja sasa:

1. Abihudi Misholi
2. Fanuel Sedekia
3. Christina Shusho
4. Ambwene Mwasongwe
5. John Lisu
6. Paul Clement
7. Joel Lwaga
8. Upendo Nkone
9. Martha Mwaipaja
10. Ipyana Kibona

Ambao hawakuingia lakini ni wazuri pia hawa hapa:

Christopher Mwahangila, Ephraim Mwansasu, Beatrice Mwaipaja, Walter Chilambo, Paul Mwangosi, Boaz Danken, Safari Paul, Upendo Kilahiro, Jennifer Mgendi, Edson Mwasabwite, Gwamaka Mwakalinga, Beatrice Muhone, Faustin Munishi, Rehema Simfukwe

Kuna wale maarufu sana ambao hawakuingia kwa kushindwa kukidhi baadhi ya vigezo hapo juu kama Rose Muhando, Bahati Bukuku, Bonny Mwaitege, Goodluck Gozbert, Angel Benard, Flora Mbasha, Neema Mwaipopo
Naona wanyakyusa wamejazana
 
Vigezo vilivyotumika:

1. Nyimbo zinazoendana na neno la Mungu
2. Kuwepo kwenye imani thabiti ndani ya Kristo
3. Kuwa na malezi ya kiroho na kanisa analohudhuria kama mshirika
4. Muendelezo wa ukuaji wa huduma, ujuzi na ubora wa kazi.

Kumbuka, hatulinganishi karama bali namna karama ilivyotumiwa kwa ustadi.

Twende pamoja sasa:

1. Abihudi Misholi
2. Fanuel Sedekia
3. Christina Shusho
4. Ambwene Mwasongwe
5. John Lisu
6. Paul Clement
7. Joel Lwaga
8. Upendo Nkone
9. Martha Mwaipaja
10. Ipyana Kibona

Ambao hawakuingia lakini ni wazuri pia hawa hapa:

Christopher Mwahangila, Ephraim Mwansasu, Beatrice Mwaipaja, Walter Chilambo, Paul Mwangosi, Boaz Danken, Safari Paul, Upendo Kilahiro, Jennifer Mgendi, Edson Mwasabwite, Gwamaka Mwakalinga, Beatrice Muhone, Faustin Munishi, Rehema Simfukwe

Kuna wale maarufu sana ambao hawakuingia kwa kushindwa kukidhi baadhi ya vigezo hapo juu kama Rose Muhando, Bahati Bukuku, Bonny Mwaitege, Goodluck Gozbert, Angel Benard, Flora Mbasha, Neema Mwaipopo
Hiyo List 1-10 wanasali kanisani kwako nini? Itakuwa wote mnasali kanisa moja Nyinyi
 
Braza ww ni mfatiliaji wa nyimbo za injili wa miaka ganii humjui Jangalasoni.....

Umewahii kusikiliza hizi nyimbo hizi chini...

1. Wachungaji tuelezeni ukweli
2. Usimuige mbuzi
3. Undugu siku ya msiba
4. Usaliti wa ndoa
5. Okoka kiukweli
6. Jikongoje
7. Taifa Teule
8. Malaya wameoza
9. Mbiguni sio Mochwari
10. Amezaliwa Yesu
11. Wokovu ni Safari
12. Dungwa Sindano
13. Vaa viatu

Huyu mwamba anaimba Gospal Katuni ujumbe unafikaa hakuna kupamba pamba watu...

Usimuige Mbuzi ndo Kiboko, huyu ni veterani wa Gospal enzi za kijitonyama kwaya, Kwa viumbe vyote, lulu, Sauti Ikatoka

Kuna yule Mchungaji kwa sasa marehem Ephrahim Mwansasu aliimba nyimbo kama Kutesa kwa Zamu, Nikimaliza kazi, Kifo na nyingine Nyingii....

Inashangaza kusema huwajuii....


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe utakua ni legend kwenye tz gosple.

Naomba unisaidie nautafuta sana huu wimbo na aliye uimba.[emoji116]

..jehova nisi jehova shalom eloni baba nakuabudu jehova makaresh jehova shama elishadai nakuinulia mikono juu..

#MaendeleoHayanaChama
 
Kiujumla kwa sasa hii huduma ya uimbaji imeingilia sana,watu wako kipesa zaidi kuliko utumishi...mtu anaalikwa kwenye mkutano wa injili anataja na kiwango cha kumpa,bila kujua NENO linasema mmepewa bure toeni bure,leo watu wanauza huduma ya Mungu...Mungu awabariki wale wote wanaofanya hii Huduma ktk Roho na kweli.
Nadhani sio kwa kupenda kwao.

Sawa aimbe bure atoe huduma bure.

Je bills za umeme..usafirishaji..vifaa vya muziki..mahema..viti..mapambo n.k

Vitalipwaje???

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom