Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu njabili ndo yule kibonge aliyeimba around the corner, jesus is coming..? Alizikwa tukuyuMchana unaweka albamu ya nyimbo za Tabata Mennonite Choir na usiku mkiwa mnakula unasikiliza nyimbo za Mtoni Evangelical Choir na sauti ya kipekee ya Marehemu George Njabili.
Jibu lake ni ndioSwali la kujiuliza ni je, nyimbo za zamani zilikuwa na ujumbe wenye nguvu zaidi kuliko zile za sasa? Jibu lake linaweza kuwa ngumu,
Hawa naona tangu Mwamakula alipofariki basi, japo aliwaachia ngoma nyingi ila my favourite ni Usalama upo wapi, niseme album yote ya mafarakano ni nzuri sana.Efatha Uhuru Moraviani Wimbo wao amani
Ulokole (wokovu)wa zamani ulikua wokovu kweli kweli, mtu akitengwa na kanisa anaona ametengwa na Mungu na vilio juu, siku hizi ni kanyaga twende 😀😀😀😀Umenikumbusha mbali sana mkuu! Marehemu Mama Mkubwa alikuwa ni vocalist sauti ya kwanza kwenye kwaya ya Muungano Kwaya Christian Nasa Magu 😔 yaani walikuwa wanasoma biblia halafu ndo wanatengeneza wimbo kutoka humo 😊 safi sana
EAGT Utemini Gospel Singers (UGS)Singida, KILA GOTI LITAPIGWA ilishasambaratika, waimbaji wake wengine wanaimba kwa kujitegemea kama Elineema Babu, Sarah Nkumbi ambaye pia ni daktari wa binadamu ni mtumishi wa umma, kuna Emanuel Enock yeye ni producer mwenye studio yake, waimbaji wengine walijiunga na kwaya zingineUkweli ni kwamba tukatae ama tukubali ni kwamba wokovu unazidi kubaki mdomoni na sio rohoni so hata nyimbo zimebaki kinywani ila moyoni hazipo.
Wapi Kwaya hizi
1.Bulyankulu Barabara ya 13
2.Bulyankulu Mwenye Mamlaka
3.Nkinga Christian
4.St James Anglkana Arusha
5.Muungano Kwaya Christian Nasa Magu
6.Sauti ya Jangwani Wasabato Shinyanga
7.Kila Goti Litapigwa EAGT Singida utemini
8.KKKT Chunya Makongolosi
9.Mke Mwema Kasulu
10. Rev Mwansansu
11.Rev Charles Jangalason
12. Fanuel Sedekia
13. Upendo Kwaya Agape Moshi TAG
14.St Maris Kitimutimu chimuli Dodoma
15.Efatha Uhuru Moraviani Wimbo wao amani
16. kinondoni Kwaya TAG
siku hizi ni biashara tuWewe sema tu zamani walilenga zaidi injiri siku hizi ni uwanja wa majungu, vijembe na tambo na zaidi sana vibunda. Au unawaogopa Mkuu?
mbona ana nyimbo nzuri tu kama ule wa ameniweka juuHuwezi amini saivi shetani anachambwa na mipasho juu. Kuna nyimbo za Aniset butati zimejaa mipasho kama taarabu asee
Zilipigwa Sanaa..... enzi izo mzee wangu kila siku usiku ni mwendo wa bahati bukuku na rose muhando....Ni kweli, Mapito yake Bahati Bukuku, Woga wako Rose Mhando..humo ujumbe umesimama wima