Myahudi wa bonyokwa ushakimbilia ku comment bila kufikiria unacho comment? Nikuulize swali..Kabla ya mapinduzi ya mwaka 1979 kulikuwa na Wayahudi zaidi ya 100,000 Iran.
Wale kina Netanyahu waliletwa pale na wazungu wenzao kwa mikakati maalumu baada ya kugundua kwamba Mashariki ya kati kuna utajiri wa mafuta, gesi nk.Hao ni ndugu kabisa ila wale wazungu pale wakina Netanyau ni watu wa hovyo.
Netanyauh siyo Myahudi??Hao ni ndugu kabisa ila wale wazungu pale wakina Netanyau ni watu wa hovyo.
Ni myahudi mwenye asili ya kizungu. Huko huko Israel kuna wayahudi kibao wenye asili ya EthiopiaNetanyauh siyo Myahudi??
Hujui chochote,unabwabwaja tu,Myahudi wa bonyokwa ushakimbilia ku comment bila kufikiria unacho comment? Nikuulize swali..
Kwani uyahudi ni dini (imani) au rangi?
Kuna waethiopia kibao ambao ni weusi pyu kama wewe na mimi, lakini ni wayahudi. So sioni ajabu kuwa na wayahudi wa kiirani.
Mpoland huyo (polish) pale hawaruhusu kupima DNA, wazawa wenyewe wana sheria zao za torat sio democracyNetanyauh siyo Myahudi??
Hakika,yule yupo pale kwa kazi maalumuNetanyauh siyo Myahudi??
Kwanza ni kweli kuwa Israel upimaji wa DNA hauruhusiwi ama umepigwa marufuku? Labda unaweza hapa kutuwekea tangazo la Israel kupiga marufuku upimaji wa vinasaba (DNA Test)?Mpoland huyo (polish) pale hawaruhusu kupima DNA, wazawa wenyewe wana sheria zao za torat sio democracy
Kwani ili mtu awe Myahudi anatakiwa awe na sifa zipi??Hakika,yule yupo pale kwa kazi maalumu
Israeli haiwezi kushinda vita yoyote maana chuki walionayo imewatoa akili🤣🤣🤣🤣Sasa hapo ndiyo Iran iishinde Israel katika vita?
Wayahudi wote dunia nzima wanafahamiana! Ukimgusa mmoja umegusa wote!
Sasa kwa nini hawakwenda kuwaweka yalipo hayo mafuta badala yake wakawaweka katikati ya Misri, Lebanon, Syria na Jordan ambako hakuna mafuta ya kutosha hata kuwashia vibatari vya wauza samaki wa Buza?Wale kina Netanyahu waliletwa pale na wazungu wenzao kwa mikakati maalumu baada ya kugundua kwamba Mashariki ya kati kuna utajiri wa mafuta, gesi nk.
Swali lako huenda likawa la kindeziKwani ili mtu awe Myahudi anatakiwa awe na sifa zipi??
Awe na sifa za kiyahudiKwani ili mtu awe Myahudi anatakiwa awe na sifa zipi??