Wairan 8000 ni Wayahudi

Wairan 8000 ni Wayahudi

Sisi waislamu wakisunni mchezo wa Israel na Iran hautusumbui tunajua janja janja yao... Mu-irani ni myahudi aliyepooza.

Kimsingi wanatumia mbinu wanazuoni wa kiislamu wa kisunni wanaiita TAKIYA, yaani kuficha unafki ndani yao na kudhihirisha dini kama njia ya kuiahadaa dunia iamini kuwa wao ni waislamu wa kweli.

Wairani ni waongo wakubwa, hakuna vita hapo, hao wote lao ni moja.

Nyuma yao yako mambo makubwa yamejificha.
Screenshot_20240413-203231~2.png
 
Swali ulilouliza ni la utata mno kwa watu wengi kiuhalisia.

Tofauti na dini na madhehebu mengi yalivyo.

kuna wayahudi wa dini lakini rangi, tamaduni na mataifa tofauti.
Basi inaonekana wazi kuwa kina Netanyahu ni wayahudi wa dini, ila kwa upande wa rangi jamaa ni wazungu pyuu.

Wazungu wametumia mwanya huu kujipenyeza Mashariki ya kati kwa ajili ya mission maalum ya mafuta, gas, kupata ardhi ya kujenga kambi zao za jeshi na kuhifadhi silaha nk.
 
Hujui chochote,unabwabwaja tu,
Jews is ethnoreligious,
Wayahudi ni kabila lilifongamanishwa na dini. Hakuna Jew ambaye ni black, mzungu, mwarabu, mchina, mjapani n.k
Usichangany
Jifunze kutofautisha Jews na Judaism.
Hakuna jew ambae ni black au sio.... ?

Wazungu na hii rangi yao waliyoipandikiza Mashariki ya kati wamefanikiwa kuwa brainwashed watu wengi, hata wale wanaojiita wasomi wametumbukia katika kundi.
 

Attachments

  • Screenshot_20240422-112414.jpg
    Screenshot_20240422-112414.jpg
    540.5 KB · Views: 2
Ndiyo nataka kujua sifa za mtu kuwa Myahudi ni zipi. Maana tukizijua hizo ndiyo tunaweza kujua wayahudi hasa ni kina nani!!??
Descendants of tribe of Judah ambaye alikuwa ni mtoto kati ya watoto wa Israel(Jacob) waliotajwa kwenye holy books.

Line of David(hawa ndio wenye mwendelezo mzuri katika ufalme na ahadi za Mwenyezi Mungu)

Hakuna ushahidi wa rangi kwamba ni watu wa rangi zipi lakini jua tu ni kutoka uzao ya Juda
 
  • Thanks
Reactions: 511
Hakuna jew ambae ni black au sio.... ?
Kwenye Biblia yule Simon Mkrene alikuwa ni mtu mweusi, hata kwenye kitabu cha "Wimbo ulio bora" watu weusi wametajwa. Kwa ivo nadhani siyo sahihi kusema hakuna wayahudi weusi kabla hatujapata hasa maelezo sahihi na ya kina kuonesha Myahudi halisi ni nani hasa.

Na Yoda hajasema kuwa hakuna Myahudi mweusi. Msome vizuri.
Wazungu na hii rangi yao waliyoipandikiza Mashariki ya kati wamefanikiwa kuwa brainwashed watu wengi, hata wale wanaojiita wasomi wametumbukia katika kundi.
Ili mtu tumuone ni mzungu anatakiwa awaje hasa...???
 
Hao siyo wayahudi bali ni wa Iran pure kabisa, vizazi vyao vimekaa huko zaidi ya miaka 7000 halafu waseme ni waisraeli kweli? Wayahudi nao wanakwama
Hao sio wairan pure hao ni Persian Jews wamekua huko miaka mingi sana tofautisha Persian vs Persian Jews na Israel news
 
Seth saint mbona Yoda anasema kuna tofauti kati ya Judaisim na Jews??

May be Juda descendants is Jews but not every Jews is Juda descendants.

Maana naona kama bado tunahitaji kupata maelezo ya kujitosheleza hapa.
Nakazia kwamba si kila Myahudi ni uzao wa Yuda na si kila uzao wa Yuda ni Myahudi. Au nimekuvuruga zaidi?? Ni kwamba kuna Wayahudi (Uzao wa Yuda) ambao wanaabudu dini zingine kabisa na watu wengine wa mataifa mengine kabisa wapo katika dini ya uyahudi.
 
Seth saint mbona Yoda anasema kuna tofauti kati ya Judaisim na Jews??

May be Juda descendants is Jews but not every Jews is Juda descendants.

Maana naona kama bado tunahitaji kupata maelezo ya kujitosheleza hapa.
Yeah tofauti hipo japo kuna mda maneno haya yanatumika kwa pamoja(yani mtu akitaja Jews basi anajua kuna connection na Judaism)

Judaism ni religion ambayo wajuzi wa mambo wanasema ina link directly na Ibrahim ambaye ndiye baba wa imani kulingana na watu wa theology(kama hii ni kweli basi Judaism imekuepo kabla ya hawa watu wanaoitwa wayahudi)

Changamoto inakuwa kwamba watu wengi wamepokea kwamba Judaism belongs to Jews lakini si kweli ni sawa na mtu leo akwambia kwamba Islam belongs to Arabs kitu ambacho ni uongo
 
Jews ni kabila yaani descendants wa Yuda na Judaism ni dini. Kiasili kabisa Waasisi wa Judaism ni Uzao wa Yuda. Lakini kwa sasa wapo Uzao wa Yuda wengi tu ambayo wapo kati dini ya ukristo na wengine ni Waislamu na Hindusim. Lakini pia yapo makabila mengine ya Kisraeli na watu wa mataifa mengine ambao wameongokea dini ya Wayuda (Judaism) kama ilivyokuwa kwa kabila la Benyamini na Lawi ambao tangu awali walisalimu amri wenyewe na kuungana na Wayuda katika kuabudu dini moja ya Wayuda (Judaism).
 
Hakuna jew ambae ni black au sio.... ?

Wazungu na hii rangi yao waliyoipandikiza Mashariki ya kati wamefanikiwa kuwa brainwashed watu wengi, hata wale wanaojiita wasomi wametumbukia katika kundi.
Epuka matapeli, hakuna jew ambaye ni mzungu, black, mwarabu, mchina, mjapani n.k kama vile tu ambavyo hakuna black mzungu au mzungu mwarabu.
 
Vitabu gani sasa...??

Maana wengine tutakimbilia kuangalia kwenye vitabu vya historia tujue kumeagizwa nini juu ya Wayahudi na hao Manaswara.

Pia hakuna watu wanaitwa Mayahudi. Hicho siyo kiswahili sahihi!!
ndio wanavyoitwaga kwenye koran mkuu mayahudi na wakristo waalnaitwa manaswara
 
ndio wanavyoitwaga kwenye koran mkuu mayahudi na wakristo waalnaitwa manaswara
Kwa Kiswahili ama kwa Kiarabu? Maana lazima iwe lugha rasmi. Sidhani kama kwenye Quran kumeandikwa "Mayahudi" au "Manaswara".

Kama hotujali tuwekee na sura za Quran zinazowaita Wayahudi ni Mayahudi na wakristo ni manaswara...
 
Ni lazima tukubali kuwa eneo la mashariki ya kati kuna utajiri sana wa mafuta na gas.
Na sote tunakubaliana kuwa bara la ulaya chanzo cha kuja Afrika na maeneo mengine ilikuwa kutafuta malighafi za viwanda vyao,wao hizo resources zilikusha zamani sana.

Sababu kubwa ya kuwekwa Taifa la Israel hapo,ni kuwavuruga waarabu,maana kama waarabu wakiungana itakuwaje???
Nini kinafunya uamini au ufikirie waarabu wangeungana? Nionyeshe miungano mingine yoyote ya maana tofatuini na EU na NATO
Kwa nini Urusi haungani na majirani zake? Kwa nini China haungani na majirani zake? Kwa nini sisi Waafrika wenye utajiri na wasio na utajiri hatuungani? nini hasa kinakuaminisha ingekuwa tofauti kwa waarabu waungane?
 
Hakuna jew ambae ni black au sio.... ?

Wazungu na hii rangi yao waliyoipandikiza Mashariki ya kati wamefanikiwa kuwa brainwashed watu wengi, hata wale wanaojiita wasomi wametumbukia katika kundi.
Adolf Hitler akifufuka akakuta siku hizi kuna wayahudi weusi, wazungu, waarabu, wajapani na wachina atachanganyikiwa.
 
Epuka matapeli, hakuna jew ambaye ni mzungu, black, mwarabu, mchina, mjapani n.k kama vile tu ambavyo hakuna black mzungu au mzungu mwarabu.
Unajuaje kama huu ni utapeli wakati hizi dini zinaanzishwa wewe haukuwepo?

Je kama hao wakoloni na waarab walioleta dini ndo walikuwa matapeli wewe utajuaje?

Kuna wanaosema kuwa kuanzia Israel kushuka mpaka Misri ilikuwa eneo la watu weusi. Inasemekana hata kina Firani, Musa nk walikuwa weusi tii kama mimi na wewe. Pia hata Yesu inasemekana alikuwa mweusi, ndio maana ilikuwa rahisi yeye kukimbilia kujificha Ethiopia katikati ya watu weusi wenzake na kuwa ngumu yeye kujulikana. Sidhani kama mzungu anaweza kujificha kwenye kundi la watu weusi bila kuonekana na kujulikana.

Lakini baadae waliotuletea dini wakaja kugeuza mada, kuwa Israel ilikuwa ya wayahudi ambao tunaona ni wazungu, na Misri ni waarab tunaowaona leo. So mambo ya dini zilizoanzishwa wakati sisi hatukuwepo kushuhudia tulichofundishwa, sometime hakitupi sisi uwezo wa kukimbilia kuhukumu kwamba myahudi akiwa mweusi ni utapeli au akiwa mzungu ndio mwenyewe.

Ila tukichukua story ya juzi kati inasema kuwa hao waliopo pale ni wale wayahudi waliochukuliwa kutoka ulaya, hivyo ni ngumu mtu mwenye akili kuamini kwamba hawa ndio wale wayahudi original au kuna wazungu wamejipenyeza kwa sababu zao mbali mbali. Wanasema kwenye msafara wa mamba kenge nao wamo.
 
Unajuaje kama huu ni utapeli wakati hizi dini zinaanzishwa wewe haukuwepo?
Narudia tena, jifunze tofauti ya Jews na Judaism tena kwa Kingereza kwa Kiswahili utazidi kuchanganyikiwa na kuzidi kukoroga mambo tu.
 
Kwa Kiswahili ama kwa Kiarabu? Maana lazima iwe lugha rasmi. Sidhani kama kwenye Quran kumeandikwa "Mayahudi" au "Manaswara".

Kama hotujali tuwekee na sura za Quran zinazowaita Wayahudi ni Mayahudi na wakristo ni manaswara...
Screenshot_20240422-133353.png

hii hapa rastaman leo niko full kwa huu mpambano
 
Back
Top Bottom