Wairan 8000 ni Wayahudi

Wairan 8000 ni Wayahudi

Adolf Hitler akifufuka akakuta siku hizi kuna wayahudi weusi, wazungu, waarabu, wajapani na wachina atachanganyikiwa.
Adolf Hitler yeye alipambana na wazungu wenzake kutoka Ugiriki, Poland, Uturuki na wengine wengi wa ulaya mashariki waliombilia katika nchi za magharibi haswa Ujeruman kusaka maisha.

Ndo Adolf Hitler akaona ujinga mtupu watu watoke mashariki kwenda magharibi kuchukua fursa za raia wake. Akaamua anzishe operation ya ku deal nao kwa kuwachinja na kuangamiza. Hata leo bado kuna wazungu kibao kutoka ulaya mashariki wanaokimbilia magharibi na haswa Ujerumani na Uingereza.

Sasa baada ya operation ile kuisha, hapo hapo wazee wa kazi wakageuza na kudai wale waliouwawa walikuwa ni wayahidi nk. Ili wajifanya wanatafuta njia ya kuwarudisha kwao waliobaki (hapo sasa ulikuwa unapangwa mpango wa kupeleka wazungu) kwa kisingizio cha wayahudi walionusurika na operation ya Adolf Hitler.

Ila kiuhalisia Hitler aliuwa wazungu wenzake kutoka East waliokimbia matesa na mauaji yaliofanywa na utawala wa Ottoman huko Ulaya mashariki.
 
Hivi Ottoman alikuwa anatawala wapi huko UIaya ya Mashariki na alitokea wapi??

Wairan na waturuki ni waarabu ama si waarabu?
ottoman empire ilikua chini ya waturuki kuna had series yake na wairan na waturuki sio warabu.mim nazani shida ya wa wengi tunapenda sana kuchanganya Race ya mtu na Dini kuna jamaa apo juu naona hoja zake anajibu vizuri sana
 
ottoman empire ilikua chini ya waturuki kuna had series yake na wairan na waturuki sio warabu.mim nazani shida ya wa wengi tunapenda sana kuchanganya Race ya mtu na Dini kuna jamaa apo juu naona hoja zake anajibu vizuri sana
Yap.

Maana nadhani pia historia inasimuliwa na nani pia inaamua mtazamo wa mtu kuhusu jambo husika. Maana kusema waisrael ni wazungu na si wayahudi ni jambo linashangaza kidogo.
 
Adolf Hitler yeye alipambana na wazungu wenzake kutoka Ugiriki, Poland, Uturuki na wengine wengi wa ulaya mashariki waliombilia katika nchi za magharibi haswa Ujeruman kusaka maisha.

Ndo Adolf Hitler akaona ujinga mtupu watu watoke mashariki kwenda magharibi kuchukua fursa za raia wake. Akaamua anzishe operation ya ku deal nao kwa kuwachinja na kuangamiza. Hata leo bado kuna wazungu kibao kutoka ulaya mashariki wanaokimbilia magharibi na haswa Ujerumani na Uingereza.

Sasa baada ya operation ile kuisha, hapo hapo wazee wa kazi wakageuza na kudai wale waliouwawa walikuwa ni wayahidi nk. Ili wajifanya wanatafuta njia ya kuwarudisha kwao waliobaki (hapo sasa ulikuwa unapangwa mpango wa kupeleka wazungu) kwa kisingizio cha wayahudi walionusurika na operation ya Adolf Hitler.

Ila kiuhalisia Hitler aliuwa wazungu wenzake kutoka East waliokimbia matesa na mauaji yaliofanywa na utawala wa Ottoman huko Ulaya mashariki.
Kijana uko mtupu sana kwenye historia, kichwa chako ni fuko la conspiracies nypesi.
Poland peke yake waliuwawa Wayahudi milioni 3 na wengi wao walikuwa wanasafirishwa kutoka Poland kupelekwa kuuwawa Ujerumani, sasa huo upupu wa kusema Hitler aliua wazungu wa Poland waliokimbilia Ujerumani sijui uliutoa wapi.
 
Yap.

Maana nadhani pia historia inasimuliwa na nani pia inaamua mtazamo wa mtu kuhusu jambo husika. Maana kusema waisrael ni wazungu na si wayahudi ni jambo linashangaza kidogo.
mim mwenyewe nisiwe muongo kweny issue ya wa israel kuwa na muonekana wenye watu tofauti tofauti uwa inanifikirisha kidogo mfano mcheki benayoun ma Benjamin ni watu walili tofauti kwa muonekano ila wote ni jewish ngoja tuendelee kusoma comment tunaweza kupata kitu
 
Yap.

Maana nadhani pia historia inasimuliwa na nani pia inaamua mtazamo wa mtu kuhusu jambo husika. Maana kusema waisrael ni wazungu na si wayahudi ni jambo linashangaza kidogo.
Hapa kiongozi twende vizuri kwanza.Waisrael(Modern Israel) wanaweza kuwa wazungu(infact kwa muonekano wao ni wazungu).

Shida ni kusema eti ni wayahudi hapo ndipo watu watakumaliza(Japo sijawahi kuelewa logic ya watu kugombania kuwa wayahudi)

Ancient Israel(I mean the one recorded in holy books) inaweza kuwa tofauti na hii modern Israel japo ukitumia ushahidi wa kijiografia zote zinaweza kuwa zinapatikana mashariki ya kati.Ndio maana kuna utata mwingi kueleza Israel ni nini na wayahudi ni nani na nani
 
Katikati ya mitaa ya Tehran kuna masinagogi takribani 35 ambayo ni maeneo ya ibada ya wayahudi wakiiran inasemekana mpaka mwaka 2021 takribani wayahudi 8000-9000 bado wanaishi na kufurahia maisha ktk Tehran huku wakiwa na uraia wa iran wa kuzaliwa wengi wao wakiwa ktk kazi za sayansi na utabibu. Japo wengi wamehama na kwenda nchi za magharibi na israel ila hao waliobakia wanajivunia kuwa wairan.

View attachment 2970638
Picha Rais wa Iran Muhammad Khatami alipohudhuria sherehe ya mwaka mpya wa Kiyahudi kwenye synagogue Tehran, akiwa na Rabi Myahudi -Muiran.
Hata Tanzania kuna watutsi, warundi na waganda
 
Sasa hapo ndiyo Iran iishinde Israel katika vita?
Wayahudi wote dunia nzima wanafahamiana! Ukimgusa mmoja umegusa wote!
Hakuna hiko kuna ma zionist na wayahudi pure,,, wayahudi pure kwa sasa wanaona ma zionist wanaharibu utambulisho wao,,........na wa zionist ndo wengi wenye mambo ya kishetani maana wengi sio wayahudi pure , ni wazungu wanaojificha kwenye kichaka cha uyahudi kwa maslahi yao binafsi
 
Hakuna hiko kuna ma zionist na wayahudi pure,,, wayahudi pure kwa sasa wanaona ma zionist wanaharibu utambulisho wao,,........na wa zionist ndo wengi wenye mambo ya kishetani maana wengi sio wayahudi pure , ni wazungu wanaojificha kwenye kichaka cha uyahudi kwa maslahi yao binafsi
Ndiyo tunataka kujua ni mfumo au njia gani inayotumika kujua huyu ni "Pure Jews" na huyu ni "Zionist". Kwanza tangu mwanzo wa mjadala tulikuwa na "Jews" na "Judaisim" sasa wewe umetuletea tena "Zionist". Utofauti ni nini??
 
Hivi Ottoman alikuwa anatawala wapi huko UIaya ya Mashariki na alitokea wapi??

Wairan na waturuki ni waarabu ama si waarabu??
Ottoman Empire ametawala bara la Asia, ametawala Africa na Southeast europe. Na utawala wao ni wa muda mrefu zaidi. I mean ametawala almost miaka 700. Ottoman ana asili ya uturuki haswa kwa upande wa Ulaya.

Lakini fahamu kwamba Uturuki imegawanyika katika pande mbili. Kuna upande wa nchi upo Ulaya (ndani ya eneo la ulaya) kusini mashariki, na kuna upande upo Asia (ndani ya eneo la Asia)

Hiyo pichani ni baadhi ya nchi zilizokuwa zilizokuwa chini ya utawala wa Ottoman.
 

Attachments

  • Screenshot_20240422-141811.jpg
    Screenshot_20240422-141811.jpg
    130.1 KB · Views: 1
mim mwenyewe nisiwe muongo kweny issue ya wa israel kuwa na muonekana wenye watu tofauti tofauti uwa inanifikirisha kidogo mfano mcheki benayoun ma Benjamin ni watu walili tofauti kwa muonekano ila wote ni jewish ngoja tuendelee kusoma comment tunaweza kupata kitu
Mashaka yako yananakuzwa na conspiracies zilizojaa kichwani mwako.
Hivi,ukimuona King Abdallah anakatibiana karibu kabisa na Rooney na Sio Muhammad Sahal.
Lakini hakuna siku mmesema Abdallah sio Semitic.
 

Attachments

  • 439242e353f6-king-abdullah-ii-jordan.jpg
    439242e353f6-king-abdullah-ii-jordan.jpg
    168.2 KB · Views: 2
Wayahudi ni watu waliotawanyika maeneo mbalimbali duniani.

Kabla ya kuwekwa na wamarekani na waingereza katika ardhi ya wapalestina mwaka 1948....mayahudi wengi walikuwa wakiishi Africa ya kaskazini, Iran ,Yemen, ulaya mashariki na magharibi.
 
Hivi Ottoman alikuwa anatawala wapi huko UIaya ya Mashariki na alitokea wapi??

Wairan na waturuki ni waarabu ama si waarabu??
Kwa upande wa Asia na mashariki yake ya kati ametawala nchi nyingi baadhi ni Saudi Arabia, Israel (na Palestina yake kwa ujumla), Jordan, Iran, Iraq kashuka hadi india (upande ambao sasa ni Pakistan). Hapo nimezitaja baadhi tu kwa uchache.
 
6 Pack Swali langu kwanza liko kwenye kujua jiografia ya Waisrael, waarabu na wazungu. Maana ni kama mjadala unaonesha kwamba hawa watu ni mwiko kuoana. Kama Ottoman katawala Ulaya miaka 700 hapo hakuna muingiliano kweli wa kuoana??

Ndiyo maana huko juu nikatoa mfano wa Jaluo na Msaudia kuoana.
 
Ndiyo tunataka kujua ni mfumo au njia gani inayotumika kujua huyu ni "Pure Jews" na huyu ni "Zionist". Kwanza tangu mwanzo wa mjadala tulikuwa na "Jews" na "Judaisim" sasa wewe umetuletea tena "Zionist". Utofauti ni nini??
Israeli ina idadi kubwa ya Wayahudi wa Asheknazi (na wengi wa wale walio na mamlaka ni Asheknazi, chanzo kikuu cha migogoro katika Israeli). Lakini karibu nusu ya wakazi wa Israeli ni Wayahudi wa Mizrahi ambao ni asili ya Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini. Israeli pia ina idadi kubwa ya Wayahudi wa Ethiopia. Makundi haya yote yanatoka katika asili tofauti za kitamaduni, lakini wote ni Wayahudi wa Halakhically.

Wayahudi wa Ethiopia.
Screenshot_20240411-141253~2.png



Wayahudi wa Mizrahi
Screenshot_20240411-141426~2.png



Wayahudi wa Asheknazi
Screenshot_20240411-141150~2.png
 
Hapa kiongozi twende vizuri kwanza.Waisrael(Modern Israel) wanaweza kuwa wazungu(infact kwa muonekano wao ni wazungu).

Shida ni kusema eti ni wayahudi hapo ndipo watu watakumaliza(Japo sijawahi kuelewa logic ya watu kugombania kuwa wayahudi)

Ancient Israel(I mean the one recorded in holy books) inaweza kuwa tofauti na hii modern Israel japo ukitumia ushahidi wa kijiografia zote zinaweza kuwa zinapatikana mashariki ya kati.Ndio maana kuna utata mwingi kueleza Israel ni nini na wayahudi ni nani na nani
Wazungu ni neno pana sana. Kuna Spanish, Wareno, Wajerumani, Anglo-Saxons, Slavs, Ukranians, wagiriki, gypsy, hadi baadhi ya waturiki n.k Sasa labda utuambie Jews/Wayahudi wanaweza kuwa wazungu wapi
 
Back
Top Bottom