Wairan 8000 ni Wayahudi

Wairan 8000 ni Wayahudi

Wayahudi ni watu waliotawanyika maeneo mbalimbali duniani.

Kabla ya kuwekwa na wamarekani na waingereza katika ardhi ya wapalestina mwaka 1948....mayahudi wengi walikuwa wakiishi Africa ya kaskazini, Iran ,Yemen, ulaya mashariki na magharibi.
Kwa hiyo ni taifa lisilo na origin?
 
Peaky blinders nashukuru sana kwa maelezo yake. Ila bado hujaweka mfumo au njia ya inayotumika kutambua kama mtu ni Myahudi ama la!!

Maana inawezekana Magufuli naye alikuwa ni Myahudi ila hatukujua tu...
According to Jewish Law (Halakhah) a Jewish person is defined as anybody who was either born to a Jewish mother or who has undergone a formal conversion to the Jewish faith.

Kama magufuri alikuww na sifa hizo hapo basi ni myahudi.
 
Mashaka yako yananakuzwa na conspiracies zilizojaa kichwani mwako.
Hivi,ukimuona King Abdallah anakatibiana karibu kabisa na Rooney na Sio Muhammad Sahal.
Lakini hakuna siku mmesema Abdallah sio Semiti
Mashaka yako yananakuzwa na conspiracies zilizojaa kichwani mwako.
Hivi,ukimuona King Abdallah anakatibiana karibu kabisa na Rooney na Sio Muhammad Sahal.
Lakini hakuna siku mmesema Abdallah sio Semitic.
usijitoe ufahamu uyo king kitu kama mama ake au Bibi ake ana asili ya Ungireza kabisa kwahyo yey kufanana na wayne Rooney hakuna jipya apo
 
6 Pack Swali langu kwanza liko kwenye kujua jiografia ya Waisrael, waarabu na wazungu. Maana ni kama mjadala unaonesha kwamba hawa watu ni mwiko kuoana. Kama Ottoman katawala Ulaya miaka 700 hapo hakuna muingiliano kweli wa kuoana??

Ndiyo maana huko juu nikatoa mfano wa Jaluo na Msaudia kuoana.
Muingiliano wa kuowana na kuzaliana ulikuwepo sana tu. Haswa kwa wao weupe kwa weupe mkuu.
 
Hapa kiongozi twende vizuri kwanza.Waisrael(Modern Israel) wanaweza kuwa wazungu(infact kwa muonekano wao ni wazungu).

Shida ni kusema eti ni wayahudi hapo ndipo watu watakumaliza(Japo sijawahi kuelewa logic ya watu kugombania kuwa wayahudi)

Ancient Israel(I mean the one recorded in holy books) inaweza kuwa tofauti na hii modern Israel japo ukitumia ushahidi wa kijiografia zote zinaweza kuwa zinapatikana mashariki ya kati.Ndio maana kuna utata mwingi kueleza Israel ni nini na wayahudi ni nani na nani
Ni vizuri kufahamu kwamba Waisrael ambao walikuja kupachikwa jina la wayhaudi ni jamii ambayo ni rahisi sana kutambulika kwa sababu kwa muda mrefu popote walipokwenda walikuwa ni watu waliojitenga na hawajichanganyi na wengine.
 
Wale kina Netanyahu waliletwa pale na wazungu wenzao kwa mikakati maalumu baada ya kugundua kwamba Mashariki ya kati kuna utajiri wa mafuta, gesi nk.
muache upotoshaji, kina netanyahu ni wayahudi typically, kuhusu uwepo wa wayahudi iran hata nchi zingine wapo wengi tu anzia urusi na nchi zote zilizokuwa ussr, amerika, canada, south afrika mpaka nigeria wayahudi wapo ambao ni raia halali wa nchi hizo. Usishangae hata kenya watakuwepo. Taifa la kiyahudi israel kwenyewe kuna waarabu tele raia wa taifa hilo
 
According to Jewish Law (Halakhah) a Jewish person is defined as anybody who was either born to a Jewish mother or who has undergone a formal conversion to the Jewish faith.

Kama magufuri alikuww na sifa hizo hapo basi ni myahudi.
Kama alivyosema Yoda kwa maelezo yako Uyahudi ni kabila lakini ni dini pia. Maana neno "Conversion" limetokana na neno "Convert" linalomaanisha kubadili na kuchukua mwelekeo mpya.

kwa ivo haiwezekani kubadili ulichozaliwa nacho bali unaweza kubadili unachoamini. Kwa maana hiyo kumbe uyahudi pia ni dini!!
 
Myahudi wa bonyokwa ushakimbilia ku comment bila kufikiria unacho comment? Nikuulize swali..

Kwani uyahudi ni dini (imani) au rangi?

Kuna waethiopia kibao ambao ni weusi pyu kama wewe na mimi, lakini ni wayahudi. So sioni ajabu kuwa na wayahudi wa kiirani.
Nisawa na wasukuma wakichaga eti mrembo
 
Wazungu ni neno pana sana. Kuna Spanish, Wareno, Wajerumani, Anglo-Saxons, Slavs, Ukranians, wagiriki, gypsy, hadi baadhi ya waturiki n.k Sasa labda utuambie Jews/Wayahudi wanaweza kuwa wazungu wapi
Kuhusu wazungu kuwa Jews nadhani umesoma tofauti.

Wazungu ni neno pana ambalo hapo hatuwezi kumaliza.Kuna tafsri ya mzungu kwa kigezo cha skin color(hapa ukizubaa kuna mtu atakwambia na mwarabu ni mzungu)

Kuna kigezo cha lugha kusema huyu ni mzungu(hapa wazungu watabaki wote wenye kuzungumza English kama mother tongue except watu kutoka mataifa kama SA,Jamica,Nigeria,India(ambao pia kuna baadhi kwao english ni mother tongue))

Kigezo cha mwisho ambacho ntaweka hapa ni physical appearance.I mean +Tall, +brown hair, + brown skin color n.k

Hizi ni baadhi ya conceptualization za neno mzungu(japo zinaweza zote kuwa na mapungufu)

Hakuna ushahidi wa mzungu kuwa myahudi japo kuna asilimia chache zinaweza kuwalinda wale wano suggest kwamba wayahudi ni watu weusi.

Kwanini,Jews(descendant of Judah) ndio katika uzao huu tunampata David,Solomon and Jesus.Jesus alisemwa kama mfalme wa uzao wa Daudi(Japo hii debate yake ni kali kwa maana hakuna anayejua biological father wa Jesus).Kwenye NT(New Testament) wanafanya description ya Jesus(I guess in the book of revelation) the skin color inaonyeshwa ina ufanano na mtu mweusi.

Sasa kama hii description ni sawa,basi wayahudi kuwa weusi inaweza kumake sense.Kumbuka Jesus is said to be king from line of David ambao ni wayahudi kwa reasoning ya kawaida utasema Jesus alikuwa na features sawa na watu wa uzao wa Daudi(kama utakubali hii) basi utakubali nadharia ya wayahudi weusi kuwepo pia
 
  • Thanks
Reactions: 511
Kama alivyosema Yoda kwa maelezo yako Uyahudi ni kabila lakini ni dini pia. Maana neno "Conversion" limetokana na neno "Convert" linalomaanisha kubadili na kuchukua mwelekeo mpya.

kwa ivo haiwezekani kubadili ulichozaliwa nacho bali unaweza kubadili unachoamini. Kwa maana hiyo kumbe uyahudi pia ni dini!!
Kila nchi ina sheria zake. Hata Tanzania kuna sheria ya kuwa Mtanzania.
Hicho nilichoandika hapo ndicho kipo kwenye sheria yao ya utaifa.
Kumbuka pia ni taifa ambalo lilitawanywa sana na walisambaa nchi nyingi. Ndio maana unaona wanatofautiana kwa rangi zao kama wale waarabu wa shinyanga ambao ni wasukuma kabisa.
 
Seth saint kuna tatizo gani wazungu wakiwa ni wayahudi pia!!??

Maana ni kama inakubalika waarabu na waafrika kuwa wayahudi na si wazungu. Ni kwa nini!!??
Sijawahi kuwa na tatizo lolote mtu kuwa Jew au kuji-associate na Jewish community.

Napenda mtu akisema jambo tupate hoja inayoweza ku-back up madai yake.Kwa maana hakuna ushahidi wa wazi wa kusema wayahudi ni weupe,weusi,wa kijani and blah! blah!..

Japo kuna nadharia kibao ambazo zinatoa nafasi ya kuendelea ku-debate.Hakuna sehemu wanachora hitimisho kwamba wayahudi ni black,ni orange,ni white.Siku akirudi Jesus ukweli utajulikana(for believers)
 
Sijawahi kuwa na tatizo lolote mtu kuwa Jew au kuji-associate na Jewish community.

Napenda mtu akisema jambo tupate hoja inayoweza ku-back up madai yake.Kwa maana hakuna ushahidi wa wazi wa kusema wayahudi ni weupe,weusi,wa kijani and blah! blah!..

Japo kuna nadharia kibao ambazo zinatoa nafasi ya kuendelea ku-debate.Hakuna sehemu wanachora hitimisho kwamba wayahudi ni black,ni orange,ni white.Siku akirudi Jesus ukweli utajulikana(for believers)
Kama unaamini Biblia basi Wayahudi ni ndugu moja na watu wa Iraq kwa sababu inasemwa huko ndiko baba yao Ibrahim alipotoka, watakuwa ndugu mmoja na Ishmael pia.
 
Kama unaamini Biblia basi Wayahudi ni ndugu moja na watu wa Iraq kwa sababu inasemwa huko ndiko baba yao Ibrahim alipotoka, watakuwa ndugu mmoja na Ishmael pia.
Sasa hapo hii historia huwa haitakiwi wala kukubalika na Pande zote mbili kwenye utambuzi wa Wayahudi/Waisrael.

Maana Ur ya Ukaldayo iko Iraq ya sasa.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Wazungu ni neno pana sana. Kuna Spanish, Wareno, Wajerumani, Anglo-Saxons, Slavs, Ukranians, wagiriki, gypsy, hadi baadhi ya waturiki n.k Sasa labda utuambie Jews/Wayahudi wanaweza kuwa wazungu wapi
Again,kama kuna mtu ana-claim kwamba Jews(Wayahudi) ni wazungu basi anipe historical evidence inayoonyesha ni lini wazungu walikuwa slaves katika Misri ya kale.

Kwa maana katika book of Genesis na Exodus wana wa Israel(watoto wa Jacob) ambao na Judah(wayahudi kulingana na maelezo ya biblia)ni miongoni, walitumikishwa Egypt kabla ya kuwa liberated na Mungu kupitia Moses and Aron.

Mimi sio mjuzi sana wa historia lakini kama kuna ushahidi wa wazungu kukubali utumwa Misri basi hoja ya wayahudi wazungu itakuwa ina make sense
 
Waislaeli wote ni Wairani.Maana Babu Yao Ibrahim alitokea huko.Hao ni ndugu.
 
Back
Top Bottom