Ubepari haulei ufisadi. Hakuna anayepewa umeme bure. Tunanunua umeme tena prepaid. Ni haki yetu kuupata. Kama hauwezi kuleta maendeleo, usikusanye kodi. Kwani kuna mtu anayetaka cha bure.Hii ndiyo point sasa. Ukiwa na pesa sidhani kama unaweza kuwa unapiga kelele kwa vitu kama hivi. Watu wanasahau kuwa tuko kwenye ubepari
Nasikia hii imeandikwa kwenye katiba ya Zanzibar! Aisee, kufata Dini kimkumbo ni uwendawazimu.Anaekula anatakiwa akale nyumbani kwake au hotelini kwenye chumba chake, siyo barabarani.
Wengine vyeti feki viliwagharimu, wana hasira mpaka kesho.Alikuwa ibilisi anayekamata majizi. Nadhani na ww una viashiria vya uwizi manake jamii hiyo ndiyo inamchukia balaa!
Asipo"swali" Mwenyezi anapoteza chochote!?Kuswali ni lazima bwashee
Tafuta pesa ununue generator na uchimbe kisima. Hautopiga kelele tena kuhusu umeme na majiUbepari haulei ufisadi. Hakuna anayepewa umeme bure. Tunanunua umeme tena prepaid. Ni haki yetu kuupata. Kama hauwezi kuleta maendeleo, usikusanye kodi. Kwani kuna mtu anayetaka cha bure.
Huko kwa mabepari wenyewe, watu wanafungwa kwa kukwepa kodi na hawafagilii sura kwamba wewe sijui ni nani.
Niliowalipa gharama za kuunganisha umeme na kuleta umeme wanafanya kazi gani!? Anayeshindwa kutekeleza mkataba ndiye anayelipa. Huo ndio ubepari.Tafuta pesa ununue generator na uchimbe kisima. Hautopiga kelele tena kuhusu umeme na maji
Magaidi ndio walivyo.Kwahiyo mtu akila umemtamanisha? Mambo km haya wairan wameyachoka.
Wakristo hufunga lkn huwezi sikia wamembughuzi mtu.
Nilisoma shule moja ya kiislam Mwanza. Kuna kiustadhi fulani kinapita na daftari kinaandikisha majina ya watu wenye majina ya kiislamu.
Sasa wasiende kuswali, kanakuja na mboko. Walikuwa wanachapwa mboko sasa unajiuliza nilazima kuswali?
In fact hutakiwiki kupigwa bakora, zaidi ni kupelekwa Polisi na mwishoe jela kwa mwaka mmoja.Nasikia hii imeandikwa kwenye katiba ya Zanzibar! Aisee, kufata Dini kimkumbo ni uwendawazimu.
Kuna watu wapumbavu sana humu, bila kumtaja JPM stori zao haziendiYani lazima mtafute njia muingize jina la JPM kwenye mijadala pumbav sana
Tafuta hela nunua jenereta au funga solar,tafuta hela chimba kisima hapo kwako,tafuta hela kila ofisi utakayoingia utahudumiwa vizuri tu.
Yule alikuwa shetani tu kama shetani wengine
Kula hadharani mwiko mwezi mtukufu πππInamaana kipindi cha ramadhani huko znz watu hawali?