Wairan washangilia Marekani kuifunga timu yao

Wairan washangilia Marekani kuifunga timu yao

Hii ndiyo point sasa. Ukiwa na pesa sidhani kama unaweza kuwa unapiga kelele kwa vitu kama hivi. Watu wanasahau kuwa tuko kwenye ubepari
Ubepari haulei ufisadi. Hakuna anayepewa umeme bure. Tunanunua umeme tena prepaid. Ni haki yetu kuupata. Kama hauwezi kuleta maendeleo, usikusanye kodi. Kwani kuna mtu anayetaka cha bure.

Huko kwa mabepari wenyewe, watu wanafungwa kwa kukwepa kodi na hawafagilii sura kwamba wewe sijui ni nani.
 
Serikali ya Irani ni hovyo kuwahi kutokea inapenda watu wake wote waende peponi hata wakikosa kosa kidogo mtu auawe yaani Serikali inapenda pepo kuliko Raia uliona wapi hiyo...wao uhai wanauchukulia kama vile unaokotwa tuu hawathamini binadamu hata kidogo wale ni ustaarabu tu na huu mchanganyiko wangeweza kufanya vitu vya ajabu sana zaidi ya hiyo ya kufunika uso na kuuawa...
 
Ubepari haulei ufisadi. Hakuna anayepewa umeme bure. Tunanunua umeme tena prepaid. Ni haki yetu kuupata. Kama hauwezi kuleta maendeleo, usikusanye kodi. Kwani kuna mtu anayetaka cha bure.

Huko kwa mabepari wenyewe, watu wanafungwa kwa kukwepa kodi na hawafagilii sura kwamba wewe sijui ni nani.
Tafuta pesa ununue generator na uchimbe kisima. Hautopiga kelele tena kuhusu umeme na maji
 
Tafuta pesa ununue generator na uchimbe kisima. Hautopiga kelele tena kuhusu umeme na maji
Niliowalipa gharama za kuunganisha umeme na kuleta umeme wanafanya kazi gani!? Anayeshindwa kutekeleza mkataba ndiye anayelipa. Huo ndio ubepari.
 
Kwahiyo mtu akila umemtamanisha? Mambo km haya wairan wameyachoka.
Wakristo hufunga lkn huwezi sikia wamembughuzi mtu.
Nilisoma shule moja ya kiislam Mwanza. Kuna kiustadhi fulani kinapita na daftari kinaandikisha majina ya watu wenye majina ya kiislamu.
Sasa wasiende kuswali, kanakuja na mboko. Walikuwa wanachapwa mboko sasa unajiuliza nilazima kuswali?
Magaidi ndio walivyo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nasikia hii imeandikwa kwenye katiba ya Zanzibar! Aisee, kufata Dini kimkumbo ni uwendawazimu.
In fact hutakiwiki kupigwa bakora, zaidi ni kupelekwa Polisi na mwishoe jela kwa mwaka mmoja.

Hii ya bakora ni nafuu kuliko ya kufungwa mwaka mmoja !
 
Tafuta hela nunua jenereta au funga solar,tafuta hela chimba kisima hapo kwako,tafuta hela kila ofisi utakayoingia utahudumiwa vizuri tu.
Yule alikuwa shetani tu kama shetani wengine

Shetani anamjua shetani mwenzie [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom