Axel Lloyd
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 4,170
- 9,500
Aiseee hili litakua ni ajabu la Tisa la Dunia.
Wairan washangilia timu Yao kufungwa na Marekani kwenye michuano ya kombe la Dunia, wengine waonyesha bendera ya Marekani na kuimba "Marekani, tuko nyuma yako".
Nini kimefanya mpaka wamefika hapa, bado nipo kwenye mshangao!
Wairan washangilia timu Yao kufungwa na Marekani kwenye michuano ya kombe la Dunia, wengine waonyesha bendera ya Marekani na kuimba "Marekani, tuko nyuma yako".
Nini kimefanya mpaka wamefika hapa, bado nipo kwenye mshangao!