Waislam Pemba waandamana kuzuia ujenzi wa Kanisa

Waislam Pemba waandamana kuzuia ujenzi wa Kanisa

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Kama mnavyoona na na kusikia.

Habari ndiyo hiyo. Sijui hizi dini zinatupeleka wapi.

By the way ni vitu ambavyo havitakiwi kudekezwa hata kidogo.

Bahati mbaya politicians wetu huwa wanatumia advantage za kidini na ukabila kushawishi watu. Jambo ambalo siyo Sawa hata kidogo.
 
hao ni wapumbavu tu
usipagawe na wajinga wachache
watu hawajawahi hata kusafiri

wamejichimbia visiwani kama mafala
waje huku kariakoo wawaone wapemba wanzao wenye akili jinsi wanavyochangamkia fursa na hao wakristo ndio wateja wao wa kila siku
hivyo vibandiko walivyovaa kichwani vimezuia akili yao ya kufikiria, yamekuwa kama machizi
 
Kama mnavyoona na na kusikia.

Habari ndiyo hiyo. Sijui hizi dini zinatupeleka wapi.

By the way ni vitu ambavyo havitakiwi kudekezwa hata kidogo.

Bahati mbaya politicians wetu huwa wanatumia advantage za kidini na ukabila kushawishi watu. Jambo ambalo siyo Sawa hata kidogo.
View attachment 2381744
dogo
They were supposed to file a lawsuit instead of organizing unlawful march/protest. Who are the ringleaders? Kwani katika hii nchi ni nani yupo juu ya sheria?
 
Aisee!!

Halafu ndugu zetu waislam hizi Habari za vipaza sauti sa10 usiku nashauri muachane nazo, zinatupa usumbufu mkubwa.

Sikuizi kuna alarm kwenye simu hata ya 20,000 mtu mwenye imani ya kweli ataamka tu kuswali.

Hii style nahisi ilitumika kuwajuza watu muda wa swala wakati ambao technology ilikuwa ya kiwango cha chini tusiifanye ikawa ndo utaratibu wa dini.

Maisha magumu mtu unachelewa kulala ile unajigeuza kidogo umalizie ka usingizi kako, mara ghafla kelele na usingizi unaishia hapo.
 
Kama mnavyoona na na kusikia.

Habari ndiyo hiyo. Sijui hizi dini zinatupeleka wapi.

By the way ni vitu ambavyo havitakiwi kudekezwa hata kidogo.

Bahati mbaya politicians wetu huwa wanatumia advantage za kidini na ukabila kushawishi watu. Jambo ambalo siyo Sawa hata kidogo.
View attachment 2381744
dogo
Ngoja tuone Mwinyi atatoa tamko gani (alivyo mnafiki)
 
Back
Top Bottom