Waislam Pemba waandamana kuzuia ujenzi wa Kanisa

Waislam Pemba waandamana kuzuia ujenzi wa Kanisa

Kama mnavyoona na na kusikia.

Habari ndiyo hiyo. Sijui hizi dini zinatupeleka wapi.

By the way ni vitu ambavyo havitakiwi kudekezwa hata kidogo.

Bahati mbaya politicians wetu huwa wanatumia advantage za kidini na ukabila kushawishi watu. Jambo ambalo siyo Sawa hata kidogo.
View attachment 2381744
dogo
Si wana building permit?
 
da7e9ec0f6d5da73a2659fdd6157fd07.jpg
Nawalaani kwa Jina la Jahrastarah🍁💨 hawa babylon.
 
Kama mnavyoona na na kusikia.

Habari ndiyo hiyo. Sijui hizi dini zinatupeleka wapi.

By the way ni vitu ambavyo havitakiwi kudekezwa hata kidogo.

Bahati mbaya politicians wetu huwa wanatumia advantage za kidini na ukabila kushawishi watu. Jambo ambalo siyo Sawa hata kidogo.
View attachment 2381744
dogo
Hawa ndugu zangu wamekosa akili, hekima na uvumilivu wa kiimani.

Kama walivyo huru kuamini katika uislamu na kujenga misikiti, ndivyo hivyo hivyo wanapaswa kujua kuna watu wengine wenye Imani tofauti wenye haki ya kuwa na uhuru huo huo.
 
Kama mnavyoona na na kusikia.

Habari ndiyo hiyo. Sijui hizi dini zinatupeleka wapi.

By the way ni vitu ambavyo havitakiwi kudekezwa hata kidogo.

Bahati mbaya politicians wetu huwa wanatumia advantage za kidini na ukabila kushawishi watu. Jambo ambalo siyo Sawa hata kidogo.
View attachment 2381744
dogo
😂😂😂🙌🏻

Sio poa yaan wanazuia kanisa lisijengwe maana wanajua nguvu ya kanisa, wanawake woooote wa kiislam watahamia kanisani maana walishaanza kuvua hijab sasa kinachofuata ni kuwahama kabisa

Sijasema mimi kuna mwamba nimemnukuu hapo juu

Nipishe nipite nitarudi...
 
Aisee!!

Alafu ndugu zetu waislam hizi Habari za vipaza sauti sa10 usiku nashauri muachane nazo, zinatupa usumbufu mkubwa.

Sikuizi kuna alarm kwenye simu hata ya 20,000 mtu mwenye imani ya kweli ataamka tu kuswali.

Hii style nahisi ilitumika kuwajuza watu muda wa swala wakati ambao technology ilikuwa ya kiwango cha chini tusiifanye ikawa ndo utaratibu wa dini.

Maisha magumu mtu unachelewa kulala ile unajigeuza kidogo umalizie ka usingizi kako, mara ghafla kelele na usingizi unaishia hapo.
Hawa kiboko yao ni Kagame .
 
Hata hiyo hijabu unayovaa ni matokea ya utaalamu wa elimu dunia. Kitabu kipi cha dini chenye formula ya kutengeneza mashine ya kufuma nyuzi zikatengeneza jora la kushonea hijabu?
Tulia basi wewe!!!!
Na wewe umetengeneza nini kwa hiyo "Elimu Dunia"? Au wewe unakariri tu ila huna ulichokigundua?
 
Aisee!!

Alafu ndugu zetu waislam hizi Habari za vipaza sauti sa10 usiku nashauri muachane nazo, zinatupa usumbufu mkubwa.

Sikuizi kuna alarm kwenye simu hata ya 20,000 mtu mwenye imani ya kweli ataamka tu kuswali.

Hii style nahisi ilitumika kuwajuza watu muda wa swala wakati ambao technology ilikuwa ya kiwango cha chini tusiifanye ikawa ndo utaratibu wa dini.

Maisha magumu mtu unachelewa kulala ile unajigeuza kidogo umalizie ka usingizi kako, mara ghafla kelele na usingizi unaishia hapo.
Adhana ni jambo la kisharia sio ubunifu wa kiteknolojia. Unatakiwa ulijue hilo.
 
Kama mnavyoona na na kusikia.

Habari ndiyo hiyo. Sijui hizi dini zinatupeleka wapi.

By the way ni vitu ambavyo havitakiwi kudekezwa hata kidogo.

Bahati mbaya politicians wetu huwa wanatumia advantage za kidini na ukabila kushawishi watu. Jambo ambalo siyo Sawa hata kidogo.
View attachment 2381744
dogo

Zenj kawaida, Kuna wahafidhina kule wakiona mkristo, au kuusikia nyimbo za kikristo, wanachanganyikiwa hatari, mpaka Unajiuliza kama Mungu wao wanayemuabudu ana nguvu kama wanavyosema kwanini hawapendi apingwe au maandishi yake yahojiwe?

Ila Hawa jamaa ni wanafiki sana, wapo tayari kuvumilia, ufuska unaofanywa na wanawake wao kwenye magesti wakiwa wamevaa hijabu,matamasha ya mashoga, ulawiti nk, lakini wasisikie jina la kikristo tu.
 
Adhana ni jambo la kisharia sio ubunifu wa kiteknolojia. Unatakiwa ulijue hilo.
Yanatupigia makelele tu mtaani, hayo maspika na wale wahubiri injiri wanaotumia vipaza sauti na maspika kwenye stend, wote wanachafua mazingira kwa makelele yao.

Hizi adhana tunaweza vumilia maana hazichukui muda mrefu, ila inakuwa ni kelo hizi nyumba za ibada zinapokuwa kwenye makazi ya watu,
 
😂😂😂🙌🏻

Sio poa yaan wanazuia kanisa lisijengwe maana wanajua nguvu ya kanisa, wanawake woooote wa kiislam watahamia kanisani maana walishaanza kuvua hijab sasa kinachofuata ni kuwahama kabisa

Sijasema mimi kuna mwamba nimemnukuu hapo juu

Nipishe nipite nitarudi...
Kuna jipya gani kwenye makanisa yenu zaidi ya kutongozana na kuuwana jumlisha ushoga yaani upuuzi mtupu ndio utushawishi
 
Aisee!!

Alafu ndugu zetu waislam hizi Habari za vipaza sauti sa10 usiku nashauri muachane nazo, zinatupa usumbufu mkubwa.

Sikuizi kuna alarm kwenye simu hata ya 20,000 mtu mwenye imani ya kweli ataamka tu kuswali.

Hii style nahisi ilitumika kuwajuza watu muda wa swala wakati ambao technology ilikuwa ya kiwango cha chini tusiifanye ikawa ndo utaratibu wa dini.

Maisha magumu mtu unachelewa kulala ile unajigeuza kidogo umalizie ka usingizi kako, mara ghafla kelele na usingizi unaishia hapo.
Dah hii ni changamoto sana, japo haisemwi. Sina shida na adhana zingine, ila Ile ya alfajir ni kisanga
 
Waislamu siasa kali huwa harakati zao zinakuwa juu mno Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania akiwa muislamu wamesumbua sana kipindi cha Mwinyi na Kikwete yaani Raisi Samia naye ajiandae ndio wanaanza hivyo mwendo mdogo mdogo

Mwinyi walimtandika hadi makofi kwenye hafla ya kiislamu
 
Back
Top Bottom