Waislam Pemba waandamana kuzuia ujenzi wa Kanisa

Waislam Pemba waandamana kuzuia ujenzi wa Kanisa

Kama mnavyoona na na kusikia.

Habari ndiyo hiyo. Sijui hizi dini zinatupeleka wapi.

By the way ni vitu ambavyo havitakiwi kudekezwa hata kidogo.

Bahati mbaya politicians wetu huwa wanatumia advantage za kidini na ukabila kushawishi watu. Jambo ambalo siyo Sawa hata kidogo.
Tanzania bado kuna watu wapumbavu sana, uncultured savages kabisa. Lakini upumbavu wao unalelewa na baadhi ya viongozi wanafiki ambao ni wapumbavu kuliko hata wao

Sasa huko kuna Waislamu wengi wanalalamika kujengwa kanisa,. Na maeneo yenye wakristo wengi kulikojengwa misikiti, waibomoe hiyo misikiti? Hapa ndio sehemu pekee ninapoona udhalimu wa polisi wetu unafaa kutumika. Piga watu hawa virungu, vunja kabisa viuno vyao wakaozee hospitali, wasitake kutuletea tafrani zisizo na maana nchini.
 
hao ni wapumbavu tu
usipagawe na wajinga wachache
watu hawajawahi hata kusafiri wamejichimbia visiwani kama mafala
waje huku kariakoo wawaone wapemba wanzao wenye akili jinsi wanavyochangamkia fursa na hao wakristo ndio wateja wao wa kila siku
hivyo vibandiko walivyovaa kichwani vimezuia akili yao ya kufikiria,yamekuwa kama machizi
Pahala hamna mkristo hata mmojar unajenga kanisa la kazi gani kama si uchochezi wa kidini?
 
Kanisa watasali waliopo, Injili inaenda na inafika popote mkuu wewe subiri lijengwe kwanza uone litakavyojaa kisha ujiulize watu wametokea wapi wakati wapemba ni waislam? 😂
Mnatuletea popo bawa ?
 
Wakiambiwa ukweli wanapaniki
Kuna kanisa huku mtaani ukisikia mziki utasema wapo wengi pita karibu wawili
Mtaa upi huo mkuu ukiona kanisa limechangamka jua wahuzuliaji ni wengi, kumbe hata wewe hua unahudhulia ila unalipiga mawe kanisa? 😂🙌🏻
 
Mtaa upi huo mkuu ukiona kanisa limechangamka jua wahuzuliaji ni wengi, kumbe hata wewe hua unahudhulia ila unalipiga mawe kanisa? 😂🙌🏻
Hapana lipo njiani na milango huwa hawafungi naona nikipita mkuu naona kwa nje.
Sijawahi kwenda kanisani wala sitamani
 
Wakiambiwa ukweli wanapaniki
Kuna kanisa huku mtaani ukisikia mziki utasema wapo wengi pita karibu wawili
Nadhani hii ni hoja mfu..kwahiyo ulitaka idadi ya waumini iwe ngapi ili wajenge kanisa lao na waabudu kwa uhuru.?

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom