Waislam Pemba waandamana kuzuia ujenzi wa Kanisa

Waislam Pemba waandamana kuzuia ujenzi wa Kanisa

hao ni wapumbavu tu
usipagawe na wajinga wachache
watu hawajawahi hata kusafiri wamejichimbia visiwani kama mafala
waje huku kariakoo wawaone wapemba wanzao wenye akili jinsi wanavyochangamkia fursa na hao wakristo ndio wateja wao wa kila siku
hivyo vibandiko walivyovaa kichwani vimezuia akili yao ya kufikiria,yamekuwa kama machizi
Yani Zanzibar hawapendi Kuona makanisa yaki jengwa yani ni mara mia ujenge bar kuliko wakuone una jenga kanisa.
 
Ukiwaambia ukweli wanakuwa wakali.....
Kwenye huo msafara wote sidhani kama kuna mtu alifika walau kidato cha sita au nne.
Vidato vya sit na nne vimesaidia nini nchi hii!!?..hao waliofika vyuoni wanavaa Makoti ya suti jua Kali la dar na nyuzi joto 33!!!
 
Nadhani hii ni hoja mfu..kwahiyo ulitaka idadi ya waumini iwe ngapi ili wajenge kanisa lao na waabudu kwa uhuru.?

#MaendeleoHayanaChama
Abdul wakil alipokua rais aliwanyima vibali vya kujenga kanisa,aliwachukua ijumaa akawapeleka msikitini,watu wamejaa mpaka nje,jumapili akawatembelea,mabenchi hayajai,akawaambia jazeni kwanza haya,zenji Haina ardhi ya kutosha,kutaka kujenga kanisa kila Kona wakati mpo wawili tu ni ajenda iliyojificha
 
Aisee!!

Halafu ndugu zetu waislam hizi Habari za vipaza sauti sa10 usiku nashauri muachane nazo, zinatupa usumbufu mkubwa.

Sikuizi kuna alarm kwenye simu hata ya 20,000 mtu mwenye imani ya kweli ataamka tu kuswali.

Hii style nahisi ilitumika kuwajuza watu muda wa swala wakati ambao technology ilikuwa ya kiwango cha chini tusiifanye ikawa ndo utaratibu wa dini.

Maisha magumu mtu unachelewa kulala ile unajigeuza kidogo umalizie ka usingizi kako, mara ghafla kelele na usingizi unaishia hapo.
Mkuu, vp kuhusiana na makanisa ya kilokole yaliyopo mitaani kwetu? Ile namna yao ya kuabudu ni sahihi kweli?
 
Abdul wakil alipokua rais aliwanyima vibali vya kujenga kanisa,aliwachukua ijumaa akawapeleka msikitini,watu wamejaa mpaka nje,jumapili akawatembelea,mabenchi hayajai,akawaambia jazeni kwanza haya,zenji Haina ardhi ya kutosha,kutaka kujenga kanisa kila Kona wakati mpo wawili tu ni ajenda iliyojificha
Kwahiyo mlitaka wakristo wafike kiasigani huko zenji ili wawe huru kuabudu na kujenga makanisa.

Unafiki na ujinga ndio nguzo za imani hii.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kusema ukweli WAISLAMU hawajawahi kuwa na Akili za kawaida za Mahusiano kijamii, kuna nati zimelegea sehemu

Huwezi ukakutana na mkristo ana Upunguani huu

Mafundisho yao ya quran yana brain wash sana.

Usifikiri mchezo mtu anavaa mabomu na kujilipua ili aue watu na yeye afe aende peponi.. saikolojia ya hali ya juu imetumika kwenye quran yao.

Ndio maana waislamu wasomi na waislamu Matajiri huwa hawapeleki watoto wao madrassa . Wala hawawapeleki shule za kiislamu.

Familia tajiri za kiislamu kama Bakhressa, DEWJI, Edha Awadh sio wajinga kupeleka watoto wao shule za wazungu kama IST na chuo kuwapeleka Marekani na Uingereza
 
Aisee!!

Halafu ndugu zetu waislam hizi Habari za vipaza sauti sa10 usiku nashauri muachane nazo, zinatupa usumbufu mkubwa.

Sikuizi kuna alarm kwenye simu hata ya 20,000 mtu mwenye imani ya kweli ataamka tu kuswali.

Hii style nahisi ilitumika kuwajuza watu muda wa swala wakati ambao technology ilikuwa ya kiwango cha chini tusiifanye ikawa ndo utaratibu wa dini.

Maisha magumu mtu unachelewa kulala ile unajigeuza kidogo umalizie ka usingizi kako, mara ghafla kelele na usingizi unaishia hapo.
Leo huku maandazi load masasni wamefunga balabala wanapiga makelele leo usiku kucha
 
Mafundisho yao ya quran yana brain wash sana.

Usifikiri mchezo mtu anavaa mabomu na kujilipua ili aue watu na yeye afe aende peponi.. saikolojia ya hali ya juu imetumika kwenye quran yao.

Ndio maana waislamu wasomi na waislamu Matajiri huwa hawapeleki watoto wao madrassa . Wala hawawapeleki shule za kiislamu.

Familia tajiri za kiislamu kama Bakhressa, DEWJI, Edha Awadh sio wajinga kupeleka watoto wao shule za wazungu kama IST na chuo kuwapeleka Marekani na Uingereza
Sasa mpaka hapa sidhani tena kama Quran iliandikwa na Muhammad pekee, maana kuna saikolojia kubwa sana ya kubrainwash watu akili humo.
Kutakuwa kuna ushirikiano wa muhamad na wasomi wa kikatoliki kuitengeneza Quran.
 
Unadhani kwanini?? (The real reason)
Wana wasiwasi ukristo utashika atamu kwenye maeneo yao, yani kule Zanzibar wanafanya mambo ya ajabu utakuta kijana wa kizanzibari anavuta bangi mlevi hafanyi ibada mwizi lakini ikifika wakati wa mfungo wa Ramadhani akikuona mkristo unakula tu anataka kukupiga, mfano wazazi wakule mtoto wao akila kitimoto familia inamtenga lakini mtoto huyo huyo akivuta bangi akiwa mlevi akiwa mwizi familia haioni tatizo, kule wazanzibari bari ndiyo wanaoongoza kwa uasherati na ulevi, yani wakati wa mfungo wa Ramadhani bar zote zinafungwa mama lishe hawaruhusiwi kufanya biashara ya vyakula mchana, Ramadhani ikiisha kesho yake bar na Gest zinafunguliwa.
 
Kama mnavyoona na na kusikia.

Habari ndiyo hiyo. Sijui hizi dini zinatupeleka wapi.

By the way ni vitu ambavyo havitakiwi kudekezwa hata kidogo.

Bahati mbaya politicians wetu huwa wanatumia advantage za kidini na ukabila kushawishi watu. Jambo ambalo siyo Sawa hata kidogo.
View attachment 2381744
Mheshimiwa Mwinyi anayo kazi sana.Hawa jamaa na yale maumbo yao ya vichwa ni Mungu tu awasaidie.Adui umaskini hawahangaiki nae wao ni dini tu utazani wanazijua sana.
 
Back
Top Bottom