Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Unataka kupangia watu nguo za Kuvaa?Vidato vya sit na nne vimesaidia nini nchi hii!!?..hao waliofika vyuoni wanavaa Makoti ya suti jua Kali la dar na nyuzi joto 33!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kupangia watu nguo za Kuvaa?Vidato vya sit na nne vimesaidia nini nchi hii!!?..hao waliofika vyuoni wanavaa Makoti ya suti jua Kali la dar na nyuzi joto 33!!!
Tutasali sisi tunaokujakaga huko kusalimia ndugu zetu.Wapemba asilimia 100 waislam Hilo kanisa anaswalia nani
Wewe Elimu Dunia imekupa hasara gani?Wewe elimu dunia imekupa faida gani?
Shule hawataki afu wanafanya Vituko.....Nimecheka!
unafanya kazi gani kijana? unawezaje kuendesha shughuli zako? maana naona kichwa chako kimejaa matakatakaAbdul wakil alipokua rais aliwanyima vibali vya kujenga kanisa,aliwachukua ijumaa akawapeleka msikitini,watu wamejaa mpaka nje,jumapili akawatembelea,mabenchi hayajai,akawaambia jazeni kwanza haya,zenji Haina ardhi ya kutosha,kutaka kujenga kanisa kila Kona wakati mpo wawili tu ni ajenda iliyojifich
Hata kama kafika kwa bahati mbaya combination zao ni kiswahili, kiarabu na historyUkiwaambia ukweli wanakuwa wakali.....
Kwenye huo msafara wote sidhani kama kuna mtu alifika walau kidato cha sita au nne.
Lkn mashehe kulawiti watoto wadogo madrasa n sawaHatutaki ukafiri na ushoga
Namaanisha wanashindwa kuchanganua mambo,vazi la kwenye baridi kuvaa kwenye joto,elimu imewasaidia nn!?Unataka kupangia watu nguo za Kuvaa?
Usiniweke kundi moja na mgonjwa akili mokitiHii ishu inawahusu Hawa
inamankusweke
Mokiti
CHAMPION
Kisai
Na mtaalam adriz Kwa mbali
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Hawana elimu, conservatism Hawa watu, hapA unaona umuhimu wakuwa na chogoUkiwaambia ukweli wanakuwa wakali.....
Kwenye huo msafara wote sidhani kama kuna mtu alifika walau kidato cha sita au nne.
Unadhani Suti ni vazi la kwenye Baridi?Namaanisha wanashindwa kuchanganua mambo,vazi la kwenye baridi kuvaa kwenye joto,elimu imewasaidia nn!?
Mjinga ni yule aliyemfanya mtu aliyezaliwa na mwanamke kuwa mungu wakeKwahiyo mlitaka wakristo wafike kiasigani huko zenji ili wawe huru kuabudu na kujenga makanisa.
Unafiki na ujinga ndio nguzo za imani hii.
#MaendeleoHayanaChama
Siyo nadhani,ni vazi la kwenye baridi...utavaaje nguo tatu juu kwenye nyuzi joto 33 Kisha tukuone mzima!?Unadhani Suti ni vazi la kwenye Baridi?
Kwa hiyo mashoga waliopo huko nao waislamuWapemba asilimia 100 waislam Hilo kanisa anaswalia nani
Uamsho wameanza majukumu yao rasmiThey were supposed to file a lawsuit instead of organizing unlawful march/protest. Who are the ringleaders? Kwani katika hii nchi ni nani yupo juu ya sheria?
Mbona balaaKama mnavyoona na na kusikia.
Habari ndiyo hiyo. Sijui hizi dini zinatupeleka wapi.
By the way ni vitu ambavyo havitakiwi kudekezwa hata kidogo.
Bahati mbaya politicians wetu huwa wanatumia advantage za kidini na ukabila kushawishi watu. Jambo ambalo siyo Sawa hata kidogo.
View attachment 2381744