Waislam Pemba waandamana kuzuia ujenzi wa Kanisa

Waislam Pemba waandamana kuzuia ujenzi wa Kanisa

Hakuna waumini wajinga kama wa Dini ya Kiislam (Note: Waumini), wana elimu ndogo mpaka akili ndogo. Nguruwe ana akili kuliko hawa Jamaa.
Utapeli wenu wa kanisani pelekeni mama zenu sio kweny ardhi ya watu
 
Mafundisho yao ya quran yana brain wash sana.

Usifikiri mchezo mtu anavaa mabomu na kujilipua ili aue watu na yeye afe aende peponi.. saikolojia ya hali ya juu imetumika kwenye quran yao.

Ndio maana waislamu wasomi na waislamu Matajiri huwa hawapeleki watoto wao madrassa . Wala hawawapeleki shule za kiislamu.

Familia tajiri za kiislamu kama Bakhressa, DEWJI, Edha Awadh sio wajinga kupeleka watoto wao shule za wazungu kama IST na chuo kuwapeleka Marekani na Uingereza
Kumbuka tajiri wa kidunia ndiye maskini wa akhera
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
 
Kanisa gani??
Kama ni Roma sawa lijengwe ila kama ni la Walokole wakatae tena nitaenda kuwaongezea nguvu, hayo makanisa ya kilokole yamekua kero wanaweza kuweka kanisa hadi barazani kwako.
 
Aisee!!

Halafu ndugu zetu waislam hizi Habari za vipaza sauti sa10 usiku nashauri muachane nazo, zinatupa usumbufu mkubwa.

Sikuizi kuna alarm kwenye simu hata ya 20,000 mtu mwenye imani ya kweli ataamka tu kuswali.

Hii style nahisi ilitumika kuwajuza watu muda wa swala wakati ambao technology ilikuwa ya kiwango cha chini tusiifanye ikawa ndo utaratibu wa dini.

Maisha magumu mtu unachelewa kulala ile unajigeuza kidogo umalizie ka usingizi kako, mara ghafla kelele na usingizi unaishia hapo.
Nakumbuka zamani kulikuwaga na vingóra..!! Songea, kulikuwa na kingóra kinapigwa maeneo ya SODECO lakini unakisikia ukiwa Lizaboni. Kila siku ya kazi, saa 12 asubuhi kinapigwa. SIku hizi hakuna mambo hayo. Hawa ndugu zetu inabidi waache hii la kuamshana asubuhi. Teknolojia imebadirika
 
Back
Top Bottom