particularly linapokuja neo la dini! Ukifika hapo akili inahama mpaka matakoniukija upande wa mahusiano kijamii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
particularly linapokuja neo la dini! Ukifika hapo akili inahama mpaka matakoniukija upande wa mahusiano kijamii
Uislam!Mbona balaa
Nuzulati hawezi kukuelewa linapokuja suala la dini yao, Uislamu na waislamu! Tanga kidogo kwa ajili ya maingiliano ya watu wa bara , kidogo kwa mbali kwa walioenda shule kidog, wanaweza kutambua haki za dini zingineApp na website ya jamiiforum ambayo wewe unaitumia Leo ni matokeo ya elimu dunia
Sawa aunty ali watokea mombasa au wete?Hatutaki ukafiri na ushoga
Wairan werevu huwezi kufananisha na hao waarabu feki wana akili za kitumwa sana.Ni kweli ya Iran yatatokea Zanzibar....
Ngoja tuone.
SatanicKama mnavyoona na na kusikia.
Habari ndiyo hiyo. Sijui hizi dini zinatupeleka wapi.
By the way ni vitu ambavyo havitakiwi kudekezwa hata kidogo.
Bahati mbaya politicians wetu huwa wanatumia advantage za kidini na ukabila kushawishi watu. Jambo ambalo siyo Sawa hata kidogo.
View attachment 2381744
Kama mnavyoona na na kusikia.
Habari ndiyo hiyo. Sijui hizi dini zinatupeleka wapi.
By the way ni vitu ambavyo havitakiwi kudekezwa hata kidogo.
Bahati mbaya politicians wetu huwa wanatumia advantage za kidini na ukabila kushawishi watu. Jambo ambalo siyo Sawa hata kidogo.
View attachment 2381744
Kwani kabla ya kuja hao mnaowaiga kwa 100% kulikuwa na msikiti?Wapemba asilimia 100 waislam Hilo kanisa anaswalia nani
Wajinga Pemba wako wakristo sasa wanataka wakasali msikitini ? Si wanatakiwa kuwa na majengo yaoHawa ndugu zangu wamekosa akili, hekima na uvumilivu wa kiimani.
Kama walivyo huru kuamini katika uislamu na kujenga misikiti, ndivyo hivyo hivyo wanapaswa kujua kuna watu wengine wenye Imani tofauti wenye haki ya kuwa na uhuru huo huo.
Anawahii🐖🐖🐖
Hao ndio wanaosombwa na kujazwa kwenye balozi zetu za nje na mpemba mwenzao na kuwaondoa watanganyika. Sijui kwanini kila tukiwa na rais mwislamu lazima chokochoko kama hizi zionekaneUkiwaambia ukweli wanakuwa wakali.....
Kwenye huo msafara wote sidhani kama kuna mtu alifika walau kidato cha sita au nne.
Kuyajua majini kupitia surat jiniNa wewe hiyo elimu ya dini imekupa faida gani?
Kuna wafanyakazi na wafanyabiashara wakristo Pemba wakiwemo wanajeshi nkWapemba asilimia 100 waislam Hilo kanisa anaswalia nani
Atasali anayejengaWapemba asilimia 100 waislam Hilo kanisa anaswalia nani
Kuheshimu Imani ya kila mtu,Wewe elimu dunia imekupa faida gani?
Hapo kwenye maandamano nakuambia ukweli kabisa na Majini yapo.Kuheshimu Imani ya kila mtu,
Maandamano yenye ghoropha
Duh walewale mkuu kuandika hapa tu ni elimu duniaWewe elimu dunia imekupa faida gani?