404 Pages
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,703
- 2,963
πππππ» Sawa mkuu ushaeleweka naona unanambia nikukupea utawezanaLabla usubiri kitukuu maana sote tupo kwenye ndoa
π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππ» Sawa mkuu ushaeleweka naona unanambia nikukupea utawezanaLabla usubiri kitukuu maana sote tupo kwenye ndoa
Ila hata kuona kwa nje tayari ushafuatilia ibada mkuu mpaka hapo ushaenda kanisani tayari πππ»Hapana lipo njiani na milango huwa hawafungi naona nikipita mkuu naona kwa nje.
Sijawahi kwenda kanisani wala sitamani
kwahiyo hayo makanisa yanajengwa na waislam?Pahala hamna mkristo hata mmojar unajenga kanisa la kazi gani kama si uchochezi wa kidini?
WA Kwa munyaziKama mnavyoona na na kusikia.
Habari ndiyo hiyo. Sijui hizi dini zinatupeleka wapi.
By the way ni vitu ambavyo havitakiwi kudekezwa hata kidogo.
Bahati mbaya politicians wetu huwa wanatumia advantage za kidini na ukabila kushawishi watu. Jambo ambalo siyo Sawa hata kidogo.
View attachment 2381744
Mkuu unataka nipaniki nimegomaππIla hata kuona kwa nje tayari ushafuatilia ibada mkuu mpaka hapo ushaenda kanisani tayari πππ»
Wala usipaniki mkuu wewe ni wa kanisani tu, wewe mwenyewe haujioni mkuu acha kua mbishi hivyo basi kwanini lakini? πMkuu unataka nipaniki nimegomaππ
Kanisa lina nguvu mkuu wanaogopa km likienda likajengwa likaanza likiwa tupu tu ila baada ya mwaka likawa limejaa waumini wa kutosha wanatoka wapi wanatoka pemba sio bara πππππ»Imekuaje tena wanaogopa jengo la kanisa !
Wapemba asilimia 100 waislam Hilo kanisa anaswalia nani
Wakiambiwa ukweli wanapaniki
Kuna kanisa huku mtaani ukisikia mziki utasema wapo wengi pita karibu wawili
Kuna vichwamaji watakuja kusema hapa hao waislam wametumwa na CCm au USA kuifitinisha zanzibarTulionya juu ya kuwaachia huru wale mashehe magaidi..stay tune more worse to come.
#MaendeleoHayanaChama
Mzee uislam hauko hivo....Fundisho kuu la uislam ni Jihad...yani wapambane mpaka dunia nzima isilimu kwa upangaHawa ndugu zangu wamekosa akili, hekima na uvumilivu wa kiimani.
Kama walivyo huru kuamini katika uislamu na kujenga misikiti, ndivyo hivyo hivyo wanapaswa kujua kuna watu wengine wenye Imani tofauti wenye haki ya kuwa na uhuru huo huo.
Huna jibu la swali langu.Andika vyamaana. Acha kuhemuka ndugu. Soma nilichoandika halafu compare na hicho ulichoandika. Muda wa Swala unakaribia jiandae
hao ni wapumbavu tu
usipagawe na wajinga wachache
watu hawajawahi hata kusafiri wamejichimbia visiwani kama mafala
waje huku kariakoo wawaone wapemba wanzao wenye akili jinsi wanavyochangamkia fursa na hao wakristo ndio wateja wao wa kila siku
hivyo vibandiko walivyovaa kichwani vimezuia akili yao ya kufikiria,yamekuwa kama machizi
Basi waliache tu lijengwe maana hakuna atakayesali humo...mbn wanaogopa hivo jengo tu?Wapemba asilimia 100 waislam Hilo kanisa anaswalia nani