Waislam Pemba waandamana kuzuia ujenzi wa Kanisa

Waislam Pemba waandamana kuzuia ujenzi wa Kanisa

Waislamu siasa kali huwa harakati zao zinakuwa juu mno Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania akiwa muislamu wamesumbua sana kipindi cha Mwinyi na Kikwete yaani Raisi Samia naye ajiandae ndio wanaanza hivyo mwendo mdogo mdogo

Mwinyi walimtandika hadi makofi kwenye hafla ya kiislamu.....
Ni kweli ya Iran yatatokea Zanzibar....
Ngoja tuone.
 
Kama mnavyoona na na kusikia.

Habari ndiyo hiyo. Sijui hizi dini zinatupeleka wapi.

By the way ni vitu ambavyo havitakiwi kudekezwa hata kidogo.

Bahati mbaya politicians wetu huwa wanatumia advantage za kidini na ukabila kushawishi watu. Jambo ambalo siyo Sawa hata kidogo.
View attachment 2381744
dogo
Safi sana
Hawataki mapango ya kusuuzwa watu akili kwenye ardhi yao
 
Waislamu siasa kali huwa harakati zao zinakuwa juu mno Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania akiwa muislamu wamesumbua sana kipindi cha Mwinyi na Kikwete yaani Raisi Samia naye ajiandae ndio wanaanza hivyo mwendo mdogo mdogo

Mwinyi walimtandika hadi makofi kwenye hafla ya kiislamu
Si unawaona humu wanasema elimu dunia imesaidia nini? Inashangaza mno
 
Kuna jipya gani kwenye makanisa yenu zaidi ya kutongozana na kuuwana jumlisha ushoga yaani upuuzi mtupu ndio utushawishi
Screenshot_20221009-195706.png


Wapi hijabu? Wapi baibui? Emu acha zako basi mkuu sio vizuri hivyo unajua
 
Hatutaki ukafiri na ushoga
Sasa Zenj, asilimia 99 ni Islam, kama Kuna mashoga asilimia kubwa watakua Islam tu, mashoga, mabasha, hivi vitendo ni asili ya Arabism, uarabu una hivi vitendo sana,sasa kwa vile Islam na uarabu ni dugu moja, wengi wa mabasha, mashoga ni waislam, Kuna wimbo wa taarab umepigwa marufuku huko Zenj,leo unaitwa"maraya tunajuana"
 
Back
Top Bottom