Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
mkuu hata mi natambua hivyo. Dini kwa asili inatakiwa kuwa ya hiari, ambapo mtu anachagua kufuata mafundisho kwa imani yake binafsi.. ( lakini kwa Uislam imekuwa kinyume chake)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu hata mi natambua hivyo. Dini kwa asili inatakiwa kuwa ya hiari, ambapo mtu anachagua kufuata mafundisho kwa imani yake binafsi.. ( lakini kwa Uislam imekuwa kinyume chake)
Unaambiwa ukikutwa unakula fimbo 6 mbili za mikono, fimbo mbili miguuni na fimbo mbili za mdomoniNakutahadharisha tu
Hiki sio kipindi kizuri cha kwenda Zanzibar
Ni ujinga wa kiwango cha juu kulazimisha watu kufunga
Nikiwa Zanzibar nitakula kitimoto pale Forodhani na mtu asiye na kichogo aniguse aoneUnaambiwa ukikutwa unakula fimbo 6 mbili za mikono, fimbo mbili miguuni na fimbo mbili za mdomoni
watawa;etea ujinga hao hao!mm silazimishwi na mtu, nakula ninavyotaka na aniguse mtu aone!nione mtu ananiletea ujinga eti kwa nn unakula wakati mm nimefunga!nitamkata na panga!Wale wanaofunga mnapaswa kuelewa kuwa si kila mtu anafunga, hivyo haipaswi kuwa ni sababu ya kuwahukumu wengine, kuwaita majina ya hovyo au kuwalazimisha dini nyingine au watu wengine kufuata mtindo wa maisha wa kufunga.
. Jambo la msingi katika jamii zenye mchanganyiko wa imani. Ramadhan ni mwezi mtukufu kwa Waislamu, ambapo wanatakiwa kufunga kutoka alfajiri hadi jua linapozama kwa hiyo msijione nyinyi ni watu muhimu sana katika suala la iman bali wote ni sawa.
Mambo muhimu ya kuzingatia
1. Kuwa smart ( maana unaweza kutana na mtu aliye funga mdomo umekauka utadhani ameishiwa maji mwilini, usifanye hivyo maana kufunga siyo adhabu ya kushinda njaa kutwa zima )2. Usifunge kwa kulazimishwa na mtu, kwa sababu dini ni suala la imani na siyo kufuata mkumbo kutoka kwa familia yako, kutoka kwa sheikh wako au jamii Fulani.3. Siyo lazima kila mtu ajue kama upo kwenye mfungo, na punguzeni hasira ukiona sehemu Fulani vyakula vinanukia.
kabisaa mkuu!unapiga mtu panga la kichwa!shwainNikiwa Zanzibar nitakula kitimoto pale Forodhani na mtu asiye na kichogo aniguse aone
Wao hudhani Kila mtu ni makobaziNi ujinga wa kiwango cha juu, mambo haya yanahitaji kutumia akili zaidi..
. Hucheki na wowote 😅 😅, yeah kila mtu aishi kwa uhuru kwa sababu hii dunia siyo ya kidini hata kidogo..watawa;etea ujinga hao hao!mm silazimishwi na mtu, nakula ninavyotaka na aniguse mtu aone!nione mtu ananiletea ujinga eti kwa nn unakula wakati mm nimefunga!nitamkata na panga!
Itakuaje sasa baa zitauza kweli?Alafu nashangaa kobaz walio wengi hapa mtaani hawajafunga, ukiuliza kwa nini wanajibu wanaumwa vidonda vya tumbo.. 😁😁