Waislam, Ramadan/Ramadhan Imekaribia , Kisiwe Kikwazo Kwa Dini Nyingine Hasa Masuala Ya Ulaji Na Mfumo Wa Maisha .

Waislam, Ramadan/Ramadhan Imekaribia , Kisiwe Kikwazo Kwa Dini Nyingine Hasa Masuala Ya Ulaji Na Mfumo Wa Maisha .

Zanzibar ni nchi ya kiislamu mkuu
Nchi ya kiislamu hawawezi kufanya huo ukafiri wazanzibari ni makafiri wa kiislamu ambao ndiyo wanaitwa WAISIHARAMU kama alivyo sema mtume muhammad mwenyewe.
 
Muda wa kwenda kuomba msaada wa tende uarabuni umekaribia
Ni kujipendekeza tu, maana waarab hawaipendi kabisa rangi nyeusi... Ila ndo hivyo imekuwa sikio la Kufa
 
Me nafunga muda wowote na nikifungwa hata mke na Watoto wangu hawatajua kama nanafunga
Ni kweli hawawezi kugundua kama umefunga Sasa kama mtu unafunga kula dagaa ila misosi mingine unakula kama mchwa nani atagundua kama umefunga?
 
Jaribu kwenda Saudi halafu ujaribu kula hadharani kipindi kaa hichi ndio utaipata safi
. Ndo maana nimetoa elimu hapo juu, mtu haendi mbinguni( kuabudi dini) kwa kulazimishwa, bali yeye mwenyewe na nafsi yake atajua atafika vipi.

. Kwa nini ulazimishe mtu afuate njia ya kwenda( dini fulani), ingali wewe mwenyewe hujui kama utaenda au lahh...
 
Kumekucha sasa "
Astagfillulah nyinyi"
Status kugeuzwa ZBC 2
Mashungi na misikiti kujaa
Waturuki wafuturishaji na viroba vya unga
Mwezi ukiisha uhaini unarudi tena
Ukiangalia hapa, ni sawa na kazi bure tu, hakuna tofauti na mtu aliyeziba shimo la panya kwa kutumia mkate..
 
IMG_20250301_155604.jpg
 
Kule Zanzibar kama wewe Mzanzibar na hauumwi kufunga ni lazima usipo fungal jamii inakuandama ndiyo Maana Wazanzibar wasiofunga wanakimbilia Tanganyika mpaka mfungo umalizike.
Na Znz hakuuziwi chakula wkt wa mtungo naukikutwa unakula wanakukamata
 
Kama wewe ni Mtanganyika na uko nchi ya Zanzibar chukua Likizo njoo nyumbani.
Kama ni Mkristo na ni raia wa nchi ya Zanzibar fuata sharia za Zanzibar! Ni hilo tu.
 
Kama wewe ni Mtanganyika na uko nchi ya Zanzibar chukua Likizo njoo nyumbani.
Kama ni Mkristo na ni raia wa nchi ya Zanzibar fuata sharia za Zanzibar! Ni hilo tu.
-Dini haipaswi kuwa kikwazo kwa dini nyingine, bali iwe fursa ya kuimarisha.
. Mshikamano,
. Heshima, na
. Maelewano katika jamii.

. Sasa Waislamu wanachukulia hili jambo kama vita na dini nyingine, jambo ambalo siyo sahihi
 
. Ndo maana nimetoa elimu hapo juu, mtu haendi mbinguni( kuabudi dini) kwa kulazimishwa, bali yeye mwenyewe na nafsi yake atajua atafika vipi.

. Kwa nini ulazimishe mtu afuate njia ya kwenda( dini fulani), ingali wewe mwenyewe hujui kama utaenda au lahh...

uislamu ni mfumo wa maisha mkuu
 
Kaa kwa
-Dini haipaswi kuwa kikwazo kwa dini nyingine, bali iwe fursa ya kuimarisha.
. Mshikamano,
. Heshima, na
. Maelewano katika jamii.

. Sasa Waislamu wanachukulia hili jambo kama vita na dini nyingine, jambo ambalo siyo sahih
Kaa kwa kutulia mzee fursa tafuta kwingine kwani lazima uende znz
 
Back
Top Bottom