Waislam, Ramadan/Ramadhan Imekaribia , Kisiwe Kikwazo Kwa Dini Nyingine Hasa Masuala Ya Ulaji Na Mfumo Wa Maisha .

Waislam, Ramadan/Ramadhan Imekaribia , Kisiwe Kikwazo Kwa Dini Nyingine Hasa Masuala Ya Ulaji Na Mfumo Wa Maisha .

Mashambulizi huwa ni mengi sana kwa papa F, Kuwa kwa nini ameruhusu ushoga, ila tu hapo zenj uislam umetawala lakini jambo hili ni kama wamebariki kwa nguvu zao zote
Msikilize huyo mama...
👇
 
Msikilize huyo mama...
👇
Kuna mdau hapo anasema hili tatizo hapo zenj ni la miaka na miaka.
Screenshot_20250301-135442.png
 

Attachments

  • Screenshot_20250301-135442.png
    Screenshot_20250301-135442.png
    67.7 KB · Views: 1
Mimi kwaresma hii nitafunga kula makande sili makande siku 40 ila vingine nakula, we utafunga kula nini dagaa au sambusa za nyama?
 
Mimi kwaresma hii nitafunga kula makande sili makande siku 40 ila vingine nakula, we utafunga kula nini dagaa au sambusa za nyama?
Kufunga ni kati ya mtu na Mungu
Hivyo kufunga sio suala la kutangazia walimwengu
Kufunga sio kujiosha na kujitangaza huo ni unafiki
Kufunga ni kujinyima na kutoa sadaka

Unafungua mchana lakini unakesha usiku unakula kama panya
Huko sio kufunga ni kubadili ratiba ya kula
Na ukifuturu unakunywa uji, mihogo,wali yàani jitu linafukia kama linakufa
Huo ni uchoyo tu
 
Kufunga ni kati ya mtu na Mungu
Hivyo kufunga sio suala la kutangazia walimwengu
Kufunga sio kujiosha na kujitangaza huo ni unafiki
Kufunga ni kujinyima na kutoa sadaka

Unafungua mchana lakini unakesha usiku unakula kama panya
Huko sio kufunga ni kubadili ratiba ya kula
Na ukifuturu unakunywa uji, mihogo,wali yàani jitu linafukia kama linakufa
Huo ni uchoyo tu
Ni kweli ndo maana sisi wakristo unachagua ufunge nini mfano mimi kwaresma ya mwaka huu nimechagua nafunga kula makande sili makande siku 40 ila vyakula vingine nakula kama mchwa
 
Ni kweli ndo maana sisi wakristo unachagua ufunge nini mfano mi kwaresma hii nafunga kula makande vyakula vingine tunakula kama mchwa
Anajua Mungu wake aonaye sirini na si binadamu
Sio wale wanafunga lakini usiku wanaokula kama nguruwe mwenye mimba
 
Anajua Mungu wake aonaye sirini na si binadamu
Sio wale wanafunga lakini usiku wanaokula kama nguruwe mwenye mimba
Ni kweli wewe kwaresma hii unafunga nini? Mi sili makande tu je wewe? Au wewe utafunga kula dagaa mchele hauli dagaa mchele siku 40?
 
Mimi kwaresma hii nitafunga kula makande sili makande siku 40 ila vingine nakula, we utafunga kula nini dagaa au sambusa za nyama?
. 😁 😁 😁. Mimi nakula pale njaa inapouma,

. Kwa nini nijitese na maisha yenyewe mafupi hivi,
 
Ni kweli wewe kwaresma hii unafunga nini? Mi sili makande tu je wewe? Au wewe utafunga kula dagaa mchele hauli dagaa mchele siku 40?
Me nafunga muda wowote na nikifungwa hata mke na Watoto wangu hawatajua kama nafunga
 
. Ni Uelewa mdogo huo kwenye suala la dini, siku zote dini hailazimishwi..

. Mtu analazimishwa kufunga kwa amri, ni mambo ya ajabu sana

Jaribu kwenda Saudi halafu ujaribu kula hadharani kipindi kaa hichi ndio utaipata safi
 
Kule Zanzibar kama wewe Mzanzibar na hauumwi kufunga ni lazima usipo fungal jamii inakuandama ndiyo Maana Wazanzibar wasiofunga wanakimbilia Tanganyika mpaka mfungo umalizike.

Zanzibar ni nchi ya kiislamu mkuu
 
Kumekucha sasa "
Astagfillulah nyinyi"
Status kugeuzwa ZBC 2
Mashungi na misikiti kujaa
Waturuki wafuturishaji na viroba vya unga
Mwezi ukiisha uhaini unarudi tena
 
Back
Top Bottom