Waislam, Ramadan/Ramadhan Imekaribia , Kisiwe Kikwazo Kwa Dini Nyingine Hasa Masuala Ya Ulaji Na Mfumo Wa Maisha .

Unaambiwa ukikutwa unakula fimbo 6 mbili za mikono, fimbo mbili miguuni na fimbo mbili za mdomoni
Ni ujinga wa kiwango cha juu, mambo haya yanahitaji kutumia akili zaidi..
 
watawa;etea ujinga hao hao!mm silazimishwi na mtu, nakula ninavyotaka na aniguse mtu aone!nione mtu ananiletea ujinga eti kwa nn unakula wakati mm nimefunga!nitamkata na panga!
 
Hawa watu wanaudhi sana na zile kelele. Hivi hawawezi punguza na kwa kuongea sauti ya chini kidogo
 
watawa;etea ujinga hao hao!mm silazimishwi na mtu, nakula ninavyotaka na aniguse mtu aone!nione mtu ananiletea ujinga eti kwa nn unakula wakati mm nimefunga!nitamkata na panga!
. Hucheki na wowote πŸ˜… πŸ˜…, yeah kila mtu aishi kwa uhuru kwa sababu hii dunia siyo ya kidini hata kidogo..
 
Kila Mtu aishi kutokana na Imani yake, kila Mtu awe huru kutokana na Imani yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…