Waislam tumedanganywa kwa miaka mingi sana. Tuamke, tufanye siasa misikitini na popote pale

Waislam tumedanganywa kwa miaka mingi sana. Tuamke, tufanye siasa misikitini na popote pale

Status
Not open for further replies.
lkn bosi wenu rwanda siyo Muislamu kwanza will never allow islam …
 
Kumekucha..
Kabisa. Tunaanza kuliona jua.

Waislam tusiuonee haya Uislam wetu. Tuwe mstari wa mbele kwenye siasa na nyanja zingine zote, tunazimwa uwezo wetu na fikra kwa makusudi kabisa.

Tumepewa dawa za usingizi kisaikolojia (Brainwashed) kwa muda mrefu sana, tuziteme.

Uislam hautukatazi kufanya siasà, tena za amani kabisa bila matusi wala kejeli.

Wanasiasa wakubwa wakihistoria duniani ambao siyo Waislam walitumia Uislam kufanya siasa zao na wakafanikiwa sana.

Wasomeni Walioiunda USA. Mfano Thomas Jafferson. Alitumia Qur'an na mafunzo ya Mtume Muhammad (saw) kufanya siasa zake.

Ushahidi: Thomas Jefferson and the Covenants of the Prophet Muhammad - Maydan

Sisi Waislam wa Tanzania ambao wazee wetu walikuwa mstari wa mbele, kuliko wa imani yeyote ile, kudai uhuru, kwanini leo hii tusiingie kwenye siasa kwa Uislam wetu na kutumia majukwaa yetu, misikiti yetu na masheikh wetu kuhamasishana?

Tuteme dozi ya usingizi Waislam, tuamke.
 
Waislam kwa miaka mingi sana tumejazwa ujinga kwa makusudi kabisa kuaminishwa kuwa ni mwiko kuchanganya siasa na dini.

Huo ni uongo na tumekuwa tukijazwa ujinga "brainwashed" kuamini hilo.

Uislam haujatukataza popote kufanya siasa. Uislam ni mfumo kamili wa maisha ya binadam. Tusidanganywe tena na tukaendelea kudanyika kuwa siasa haziendani na Uislam.

Mtu akikwambia "siasa haina dini" elewa kuwa huyo anakutowa kwenye Uislam wako. Usikubali hata kidogo, ni yeye hana dini anataka akutowe na wewe kwenye Uislam wako.

Kwa makusudi kabisa mefikia hatua mpaka maneno yanabadilishwa "systematically ""udini" nq sisi tunachekeleantu.

Elewa maana ya maneno haya:

Udini = Uislam. Mdini = Muislam.
Wadini = Waislam.
imswahili = Muislam.
Waswahili = Waislam.
Uswahili = Uislam.
Mwarabu = Muislam.
Waarabu = Waislam.

Hayo ni kwa uchache tu, mtaongezea na mengine. Huo ni upotoshwaji wa makusudi na unaoratibiwa siyo wa bahati mbaya.

Waielwmntuamke na tufanye siasa popote. Madheikhnwetu.muwe.msyarinwa.mbele kuhamadishansiasankama wslivyofanya Masheikh wetu wakati wa kudai uhuru.

Uislam ni siasa, siasa ni Uislam.

Someni haya yalindikwa zamani hapa hapa Tanzania:

Mtazamo wa Uislamu kuhusu siasa


WENGI wetu tumekuwa tukisikia viongozi, wasomi na watu mbalimbali wakizungumzia masuala ya dini na siasa. Ujumbe mkuu siku zote umekuwa kuvitenganisha viwili hivyo yaani visichanganywe. Katika sehemu mbalimbali duniani, kama ilivyo kwa masuala mengine yahusuyo maisha ya kila siku, Waislamu wamekuwa ama wakiaswa kutochanganya dini na siasa au wakilaumiwa kwa kuvichanganya viwili hivi. Chanzo cha nasaha na lawama hizo ni mtazamo Kimagharibi au Usekula ambao unadai kutenganisha dini na siasa (separation of the Church from politics). Wasekula wanadai kuwa viwili hivyo vikichanganywa basi vurugu itatawala katika jamii husika. Hata hivyo, jamii nyingi za huko Magharibi zinaendeshwa kwa taratibu za kinaswara (Kikristo) lakini bado zinadai kuwa zenyewe ni za Kisekula. Wasiwasi wao umekuwa kwa Uislamu ambao siku zote wanaona kama dini isiyojali au isiyofuata haki za binadamu. Mwandishi Mama Nasir anaelezea zaidi.

Nini Uislamu na siasa ni nini?


Uislamu ni dini au mfumo wa maisha ambao Allah (s.w.) amewaletea waja wake kupitia kwa Mitume wake. Sisi tuliopo sasa Uislamu umetufika kupitia kwa Mtume Muhammad (s.a.w.). Uislamu ni mfumo uliokamili, unaongoza kila kipengele kinachohusu maisha ya mwanadamu. Wanaoamua kuukubali au kuufuata Uislamu basi wanaamrishwa na Allah (s.w.) kufanya hivyo kwa ukamilifu na kama inavyopasa kuwa.

Allah (s.w.) anasema: "Enyi mlioamini! Ingieni kwa ukamilifu katika Uislamu. (Ingieni katika hukumu za Uislamu zote), wala msifuate nyayo za shetani. Kwa hakika yeye kwenu ni adui dhahiri". (2:208).

Allah (s.w.) akasisitiza kwa waumini: "Enyi mlioamini! Mcheni Allah kama ipasavyo kumcha, wala msife isipokuwa mmekwisha kuwa Waislamu kamili". (3:102)

Kutokana na aya hizi ni wazi kuwa Muislamu anawajibika kutekeleza masuala yote ya maisha yake kama ilivyoelekezwa na Uislamu (Qur'an na Sunnah).

Taasisi ya uchunguzi wa Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (TUKI) imetafsiri neno "siasa" katika kamusi ya Kiswahili Sanifu kama ifuatavyo:

"Mfumo wa mawazo yaongozayo utawala wa serikali ya nchi.

"Itikadi inayofuatwa na kundi au jamii fulani ambayo ni msingi wa kuendesha uchumi wake, utamaduni na mwenendo mzima wa maisha ya jamii".

Uislamu na siasa

Pamoja na kwamba maadui wa Waislamu na dini yao wanatulazimisha kuvitenganisha viwili hivi, lakini kufuatana na maelezo ya hapo juu ni wazi kuwa Muislamu anayeamini na kuufuata Uislamu hawezi kuitoa siasa kwenye dini. Hii ni kwa sababu Uislamu kama unavyoelezwa kwenye Qur'an na Sunnah unagusa nyanja zote zinazohusu maisha ya mwanadamu ikiwemo siasa, na lengo lake kuu ni kusimamisha utawala wa Allah (s.w.) hapa duniani. Kwa hiyo ili lengo hili litimie ni lazima maagizo yote yafuatwe kwa ukamilifu na siyo kipande kipande kwa kutenganisha mambo mbalimbali yahusuyo maisha ya mwanadamu.

Katika Uislamu, dini na siasa ni viwili viwili vilivyopangana (vilivyoingiliana) na kwa hiyo ni kitu kimoja. Uislamu ni njia kamili ya maisha na siasa ni sehemu ya maisha hayo. Kama Uislamu ulivyofundisha swala, swaumu, zakah, hija na mengineyo, umefundisha pia jinsi ya kuendesha dola (State) na kuunda serikali (government)u, kuchagua viongozi na wawakilishi wetu, kuweka mikataba, kuendesha biashara na shughuli nyingine mbalimbali.

Uislamu ni mfumo kamili wa maisha ya mwanadamu na kuwa lengo la mfumo huo ni kusimamisha ufalme wa Allah (s.w.) hapa duniani.

Mfumo wa siasa wa Kiislamu unasimama katika misingi ifuatayo:

Utukufu/ukuu (sovereignity) wa Allah (s.w.). Uislamu unafundisha kuwa chanzo cha nguvu zote na sheria zote ni Allah (s.w.). Hii imedhihirishwa katika sura na aya mbalimbali za Qur'an kama vile 25:2 na 67:1. Ni Mwenyezi Mungu ndiye anayejua kipi kizuri na kipi kibaya kwa viumbe vyake. Na Yeye ndiye mwamuzi wa mwisho.

Kazi ya dola yoyote hewa ni kusimamia utekelezaji wa sheria, kwa hiyo ni dola iweze kusimamia sheria ya Allah (s.w.) ni lazima nayo itoke huko huko kwa Allah (s.w.). Sheria zilizomo kwenye Qur'an (za kukata wezi mikono, kuchapa viboko/kupiga mawe wazinifu na kadhalika) ni amri za Allah na hivyo haziwezi kubadilishwa na mamlaka yoyote ya kibinadamu hata Umoja wa Mataifa badala yake inatakiwa zitekelezwe na waja wote. Kwa Waislamu kutekeleleza amri/sheria hizo kwa vitendo ndio kukamilisha Uislamu wetu. Kunapotokea mifumo ya siasa ambayo haitekelezi au haisimamishi amri za Allah (s.w.) ni wazi kuwa Uislamu unapata kasoro, na hapo ndipo ulazima wa kuwa na dola ya Kiislamu unapokuja.

Ukhalifa wa binadamu: Mwenyezi Mungu anasema wazi katika Qur'an kuwa mwanadamu ni khalifa (mwakilishi) wake hapa duniani. Kwa mantiki hii mwanadamu analazimika fanye alivyoamrishwa na Allah. Hata hivyo, mwanadamu amepewa uhuru wa kufuata au kuzikana amri za Allah (s.w.) na ndio maana kuna wanaadamu wengi ambao wametokea kuwa wasaliti wa Allah (s.w.). Badala ya kutekeleza alivyoamrishwa ili kuleta amani na utulivu duniani wameamua kumuasi Allah (s.w.) na kusababisha machafuko tunayoyashuhudia sehemu mbalimbali duniani hivi sasa.

Kutunga sheria kwa ushauri (Shura): Uislamu unafundisha kuendesha serikali, kutunga sheria na kufanya maamuzi kwa kuzingatia ushauri na ushirikishaji watu (raia) kama Qur'an inasema katika 3:159 na 42:38. Uislamu hauruhusu udikteta, rejea zake ni Qur'an na Sunnah.

Uwajibikaji wa serikali: Katika mfumo wa siasa unaondeshwa Kiislamu, mtawala na serikali lazima wawajibike kwanza kwa Allah (s.w.) na baadaye kwa raia. Mtawala huwa ni mtumishi wa raia na wote kwa pamoja ni makhalifa wa Allah. Wote watawajibika kwa Allah (s.w.) siku ya mwisho ingawa kwa viwango tofauti. Jukumu la mtawala ni zito zaidi.

Vile vile, katika mfumo wa siasa wa Kiislamu raia yeyote wa kawaida ana uhuru wa kuhoji chochote kuhusiana na mtawala na serikali yake mradi tu abaki katika mipaka ya Qur'an na Sunnah.

Uhuru wa mahakama na usawa mbele ya sheria: Hili linapatikana katika mfumo wa siasa wa Kiislamu ambapo mkuu wa nchi au kiongozi mwingine yeyote hawi juu ya sheria. Mojawapo ya kazi za dola ya Kiislamu ni kuhakikisha haki kwa raia wote. Kigezo cha kuwapambanua waja katika Uislamu ni taqwa (ucha Mungu) tu na si vinginevyo.

--
JuuRUDI


Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua kwa:
webmaster@islamtanzania.org

Duuh umetibuliwa!
 
Nadhani kuna haja ya kuufutilia mbali na huu utaaribu wa kubadilishana Rais muislamu na mkristo tuangalie uwezo tu .
Haya mambo ya waislamu kulalamika kwamba wanaonewa huibuka zaidi kipindi ambacho muislam anaongoza...inashangaza sana!
 
Kabisa. Tunaanza kuliona jua.

Waislam tusiuonee haya Uislam wetu. Tuwe mstari wa mbele kwenye siasa na nyanja zingine zote, tunazimwa uwezo wetu na fikra kwa makusudi kabisa.

Tumepewa dawa za usingizi kisaikolojia (Brainwashed) kwa muda mrefu sana, tuziteme.

Uislam hautukatazi kufanya siasà, tena za amani kabisa bila matusi wala kejeli.

Wanasiasa wakubwa wakihistoria duniani ambao siyo Waislam walitumia Uislam kufanya siasa zao na wakafanikiwa sana.

Wasomeni Walioiunda USA. Mfano Thomas Jafferson. Alitumia Qur'an na mafunzo ya Mtume Muhammad (saw) kufanya siasa zake.

Ushahidi: Thomas Jefferson and the Covenants of the Prophet Muhammad - Maydan

Sisi Waislam wa Tanzania ambao wazee wetu walikuwa mstari wa mbele, kuliko wa imani yeyote ile, kudai uhuru, kwanini leo hii tusiingie kwenye siasa kwa Uislam wetu na kutumia majukwaa yetu, misikiti yetu na masheikh wetu kuhamasishana?

Tuteme dozi ya usingizi Waislam, tuamke.
Nani anayewazima uwezo wenu wa kifikra zaidi yenu wenyewe?

Wewe mwenyewe unayejisifu umeamka bado uko usingizini, tena usingizi wa pono, mnataka kufanya siasa, tena unajisifu kwa lugha nzuri!, huko kote mnaendelea kuwekeza kwenye midomo tu, hiyo USA haikujengwa kwa midomo!.

Wakati wenzenu wanatenda, nyie mnapigana kuwekeza kwa nguvu midomoni, matokeo yake wakati wenzenu wako mbele kiutendaji, nyie kwa midomo yenu mliyowekeza miaka yote, mnaanza kutafuta namna ya kuwashusha ili wafanane nanyi, jambo ambalo haliwezekani.

Amka wewe bibi, bado umelala mpaka sasa, ningekuona wa maana kama ungewashawishi waislamu wenzako muanze kujenga taasisi zenu kama mashule na hospitali, kwa jasho lenu, ili muisaidie jamii ya kitanganyika, lakini ajabu ndio kwanza unakusanya nguvu kuwekeza kwenye midomo..
 
Waislam kwa miaka mingi sana tumejazwa ujinga kwa makusudi kabisa kuaminishwa kuwa ni mwiko kuchanganya siasa na dini.

Huo ni uongo na tumekuwa tukijazwa ujinga "brainwashed" kuamini hilo.

Uislam haujatukataza popote kufanya siasa. Uislam ni mfumo kamili wa maisha ya binadam. Tusidanganywe tena na tukaendelea kudanyika kuwa siasa haziendani na Uislam.

Mtu akikwambia "siasa haina dini" elewa kuwa huyo anakutowa kwenye Uislam wako. Usikubali hata kidogo, ni yeye hana dini anataka akutowe na wewe kwenye Uislam wako.

Kwa makusudi kabisa mefikia hatua mpaka maneno yanabadilishwa "systematically ""udini" nq sisi tunachekeleantu.

Elewa maana ya maneno haya:

Udini = Uislam. Mdini = Muislam.
Wadini = Waislam.
imswahili = Muislam.
Waswahili = Waislam.
Uswahili = Uislam.
Mwarabu = Muislam.
Waarabu = Waislam.

Hayo ni kwa uchache tu, mtaongezea na mengine. Huo ni upotoshwaji wa makusudi na unaoratibiwa siyo wa bahati mbaya.

Waielwmntuamke na tufanye siasa popote. Madheikhnwetu.muwe.msyarinwa.mbele kuhamadishansiasankama wslivyofanya Masheikh wetu wakati wa kudai uhuru.

Uislam ni siasa, siasa ni Uislam.

Someni haya yalindikwa zamani hapa hapa Tanzania:

Mtazamo wa Uislamu kuhusu siasa


WENGI wetu tumekuwa tukisikia viongozi, wasomi na watu mbalimbali wakizungumzia masuala ya dini na siasa. Ujumbe mkuu siku zote umekuwa kuvitenganisha viwili hivyo yaani visichanganywe. Katika sehemu mbalimbali duniani, kama ilivyo kwa masuala mengine yahusuyo maisha ya kila siku, Waislamu wamekuwa ama wakiaswa kutochanganya dini na siasa au wakilaumiwa kwa kuvichanganya viwili hivi. Chanzo cha nasaha na lawama hizo ni mtazamo Kimagharibi au Usekula ambao unadai kutenganisha dini na siasa (separation of the Church from politics). Wasekula wanadai kuwa viwili hivyo vikichanganywa basi vurugu itatawala katika jamii husika. Hata hivyo, jamii nyingi za huko Magharibi zinaendeshwa kwa taratibu za kinaswara (Kikristo) lakini bado zinadai kuwa zenyewe ni za Kisekula. Wasiwasi wao umekuwa kwa Uislamu ambao siku zote wanaona kama dini isiyojali au isiyofuata haki za binadamu. Mwandishi Mama Nasir anaelezea zaidi.

Nini Uislamu na siasa ni nini?


Uislamu ni dini au mfumo wa maisha ambao Allah (s.w.) amewaletea waja wake kupitia kwa Mitume wake. Sisi tuliopo sasa Uislamu umetufika kupitia kwa Mtume Muhammad (s.a.w.). Uislamu ni mfumo uliokamili, unaongoza kila kipengele kinachohusu maisha ya mwanadamu. Wanaoamua kuukubali au kuufuata Uislamu basi wanaamrishwa na Allah (s.w.) kufanya hivyo kwa ukamilifu na kama inavyopasa kuwa.

Allah (s.w.) anasema: "Enyi mlioamini! Ingieni kwa ukamilifu katika Uislamu. (Ingieni katika hukumu za Uislamu zote), wala msifuate nyayo za shetani. Kwa hakika yeye kwenu ni adui dhahiri". (2:208).

Allah (s.w.) akasisitiza kwa waumini: "Enyi mlioamini! Mcheni Allah kama ipasavyo kumcha, wala msife isipokuwa mmekwisha kuwa Waislamu kamili". (3:102)

Kutokana na aya hizi ni wazi kuwa Muislamu anawajibika kutekeleza masuala yote ya maisha yake kama ilivyoelekezwa na Uislamu (Qur'an na Sunnah).

Taasisi ya uchunguzi wa Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (TUKI) imetafsiri neno "siasa" katika kamusi ya Kiswahili Sanifu kama ifuatavyo:

"Mfumo wa mawazo yaongozayo utawala wa serikali ya nchi.

"Itikadi inayofuatwa na kundi au jamii fulani ambayo ni msingi wa kuendesha uchumi wake, utamaduni na mwenendo mzima wa maisha ya jamii".

Uislamu na siasa

Pamoja na kwamba maadui wa Waislamu na dini yao wanatulazimisha kuvitenganisha viwili hivi, lakini kufuatana na maelezo ya hapo juu ni wazi kuwa Muislamu anayeamini na kuufuata Uislamu hawezi kuitoa siasa kwenye dini. Hii ni kwa sababu Uislamu kama unavyoelezwa kwenye Qur'an na Sunnah unagusa nyanja zote zinazohusu maisha ya mwanadamu ikiwemo siasa, na lengo lake kuu ni kusimamisha utawala wa Allah (s.w.) hapa duniani. Kwa hiyo ili lengo hili litimie ni lazima maagizo yote yafuatwe kwa ukamilifu na siyo kipande kipande kwa kutenganisha mambo mbalimbali yahusuyo maisha ya mwanadamu.

Katika Uislamu, dini na siasa ni viwili viwili vilivyopangana (vilivyoingiliana) na kwa hiyo ni kitu kimoja. Uislamu ni njia kamili ya maisha na siasa ni sehemu ya maisha hayo. Kama Uislamu ulivyofundisha swala, swaumu, zakah, hija na mengineyo, umefundisha pia jinsi ya kuendesha dola (State) na kuunda serikali (government)u, kuchagua viongozi na wawakilishi wetu, kuweka mikataba, kuendesha biashara na shughuli nyingine mbalimbali.

Uislamu ni mfumo kamili wa maisha ya mwanadamu na kuwa lengo la mfumo huo ni kusimamisha ufalme wa Allah (s.w.) hapa duniani.

Mfumo wa siasa wa Kiislamu unasimama katika misingi ifuatayo:

Utukufu/ukuu (sovereignity) wa Allah (s.w.). Uislamu unafundisha kuwa chanzo cha nguvu zote na sheria zote ni Allah (s.w.). Hii imedhihirishwa katika sura na aya mbalimbali za Qur'an kama vile 25:2 na 67:1. Ni Mwenyezi Mungu ndiye anayejua kipi kizuri na kipi kibaya kwa viumbe vyake. Na Yeye ndiye mwamuzi wa mwisho.

Kazi ya dola yoyote hewa ni kusimamia utekelezaji wa sheria, kwa hiyo ni dola iweze kusimamia sheria ya Allah (s.w.) ni lazima nayo itoke huko huko kwa Allah (s.w.). Sheria zilizomo kwenye Qur'an (za kukata wezi mikono, kuchapa viboko/kupiga mawe wazinifu na kadhalika) ni amri za Allah na hivyo haziwezi kubadilishwa na mamlaka yoyote ya kibinadamu hata Umoja wa Mataifa badala yake inatakiwa zitekelezwe na waja wote. Kwa Waislamu kutekeleleza amri/sheria hizo kwa vitendo ndio kukamilisha Uislamu wetu. Kunapotokea mifumo ya siasa ambayo haitekelezi au haisimamishi amri za Allah (s.w.) ni wazi kuwa Uislamu unapata kasoro, na hapo ndipo ulazima wa kuwa na dola ya Kiislamu unapokuja.

Ukhalifa wa binadamu: Mwenyezi Mungu anasema wazi katika Qur'an kuwa mwanadamu ni khalifa (mwakilishi) wake hapa duniani. Kwa mantiki hii mwanadamu analazimika fanye alivyoamrishwa na Allah. Hata hivyo, mwanadamu amepewa uhuru wa kufuata au kuzikana amri za Allah (s.w.) na ndio maana kuna wanaadamu wengi ambao wametokea kuwa wasaliti wa Allah (s.w.). Badala ya kutekeleza alivyoamrishwa ili kuleta amani na utulivu duniani wameamua kumuasi Allah (s.w.) na kusababisha machafuko tunayoyashuhudia sehemu mbalimbali duniani hivi sasa.

Kutunga sheria kwa ushauri (Shura): Uislamu unafundisha kuendesha serikali, kutunga sheria na kufanya maamuzi kwa kuzingatia ushauri na ushirikishaji watu (raia) kama Qur'an inasema katika 3:159 na 42:38. Uislamu hauruhusu udikteta, rejea zake ni Qur'an na Sunnah.

Uwajibikaji wa serikali: Katika mfumo wa siasa unaondeshwa Kiislamu, mtawala na serikali lazima wawajibike kwanza kwa Allah (s.w.) na baadaye kwa raia. Mtawala huwa ni mtumishi wa raia na wote kwa pamoja ni makhalifa wa Allah. Wote watawajibika kwa Allah (s.w.) siku ya mwisho ingawa kwa viwango tofauti. Jukumu la mtawala ni zito zaidi.

Vile vile, katika mfumo wa siasa wa Kiislamu raia yeyote wa kawaida ana uhuru wa kuhoji chochote kuhusiana na mtawala na serikali yake mradi tu abaki katika mipaka ya Qur'an na Sunnah.

Uhuru wa mahakama na usawa mbele ya sheria: Hili linapatikana katika mfumo wa siasa wa Kiislamu ambapo mkuu wa nchi au kiongozi mwingine yeyote hawi juu ya sheria. Mojawapo ya kazi za dola ya Kiislamu ni kuhakikisha haki kwa raia wote. Kigezo cha kuwapambanua waja katika Uislamu ni taqwa (ucha Mungu) tu na si vinginevyo.

--
JuuRUDI


Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua kwa:
webmaster@islamtanzania.org

Kwa ufupi siasa mnazifanya sana. Japo za kwenu ndo zile za KIBITI
 
Waislamu hawajasoma kama unayoandika nikweli, lakini wanapochaguliwa kwenye nafasi za uongozi huku wakiwa nasifa zote mnasema ni Udini, lakini Mgalatia akichagua wagalatia wenzake mnasema aliechaguliwa anavigezo.

Mfano mdogo Samia akichagua Muislamu katika nafasi ya uongozi ni Udini.
Mbona wapo waislamu wasomi wengi tu! Ila shida bado ipo palepale tu. Hawaitumii elimu Dunia ili wawe independent. Dini bado inawapunguzia wigo wa kujitambua ktk maswala muhimh sana ya kidunia. Hiyo confusion inawafelisha sana sana.
 
Waislamu hawajasoma kama unayoandika nikweli, lakini wanapochaguliwa kwenye nafasi za uongozi huku wakiwa nasifa zote mnasema ni Udini, lakini Mgalatia akichagua wagalatia wenzake mnasema aliechaguliwa anavigezo.

Mfano mdogo Samia akichagua Muislamu katika nafasi ya uongozi ni Udini.
Wakristo na waislamu ni washindani,roughs hazikosekani,badala ya kulialia wapambane
 
20230622_164806.jpg

Takbriiii
 
Mmeambiwa Mswali mara 50 kila siku na Allah wenu.. mkaweka siasa mkawa mnaswali mara tano na pia mnakwepa, sasa siasa mtafanya saa ngapi? Chagueni Salah au Siasa
 
Mbona wapo waislamu wasomi wengi tu! Ila shida bado ipo palepale tu. Hawaitumii elimu Dunia ili wawe independent. Dini bado inawapunguzia wigo wa kujitambua ktk maswala muhimh sana ya kidunia. Hiyo confusion inawafelisha sana sana.
Kwahio unawashauri waislamu waachane na kusoma dini yao?. Hapo ndio utofauti wa wagalatia nawaislamu ulipo. Mmoja dini kwake nimuhimu mwingine dini kwake ni Bonasi.
 
Kwa ufupi siasa mnazifanya sana. Japo za kwenu ndo zile za KIBITI
Hapana. Tanganyika tulifanya siasa za amani katika kudai uhuru na mpaka sasa tunafanya na tutaendelea fanya siasa za amani.

Tunataka vijana wa Kiislam waamke wagombanie nafasi zote, kuanzia ujumbe wa nyumba kumi kupanda juu.
 
Kabisa. Tunaanza kuliona jua.

Waislam tusiuonee haya Uislam wetu. Tuwe mstari wa mbele kwenye siasa na nyanja zingine zote, tunazimwa uwezo wetu na fikra kwa makusudi kabisa.

Tumepewa dawa za usingizi kisaikolojia (Brainwashed) kwa muda mrefu sana, tuziteme.

Uislam hautukatazi kufanya siasà, tena za amani kabisa bila matusi wala kejeli.

Wanasiasa wakubwa wakihistoria duniani ambao siyo Waislam walitumia Uislam kufanya siasa zao na wakafanikiwa sana.

Wasomeni Walioiunda USA. Mfano Thomas Jafferson. Alitumia Qur'an na mafunzo ya Mtume Muhammad (saw) kufanya siasa zake.

Ushahidi: Thomas Jefferson and the Covenants of the Prophet Muhammad - Maydan

Sisi Waislam wa Tanzania ambao wazee wetu walikuwa mstari wa mbele, kuliko wa imani yeyote ile, kudai uhuru, kwanini leo hii tusiingie kwenye siasa kwa Uislam wetu na kutumia majukwaa yetu, misikiti yetu na masheikh wetu kuhamasishana?

Tuteme dozi ya usingizi Waislam, tuamke.
Inaonekana hoja ya Mkataba wa Bandari imekukalia vibaya.

Lakini pia huenda unamchulia kiaina Rais Samia
 
Marko. 12:17

Yesu akajibu, akawaambia, Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari, na yaliyo ya Mungu mpeni Mungu. Wakamstaajabia sana.

YESU ALIMALIZA YOTE.
USICHANGANYE SIASA NA DINI.

IRP BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE
 
Nani anayewazima uwezo wenu wa kifikra zaidi yenu wenyewe?

Wewe mwenyewe unayejisifu umeamka bado uko usingizini, tena usingizi wa pono, mnataka kufanya siasa, tena unajisifu kwa lugha nzuri!, huko kote mnaendelea kuwekeza kwenye midomo tu, hiyo USA haikujengwa kwa midomo!.

Wakati wenzenu wanatenda, nyie mnapigana kuwekeza kwa nguvu midomoni, matokeo yake wakati wenzenu wako mbele kiutendaji, nyie kwa midomo yenu mliyowekeza, mnaanza kutafuta namna ya kuwashusha ili wafanane nanyi, jambo ambalo haliwezekani.

Amka wewe bibi, bado umelala mpaka sasa, ningekuona wa maana kama ungewashawishi waislamu wenzako muanze kujenga taasisi zenu kama mashule na hospitali, kwa jasho lenu, ili muisaidie jamii ya kitanganyika, lakini ajabu ndio kwanza unakusanya nguvu kuwekeza kwenye midomo..
Ni kula Ubwabwa tu
 
Waislam kwa miaka mingi sana tumejazwa ujinga kwa makusudi kabisa kuaminishwa kuwa ni mwiko kuchanganya siasa na dini.

Huo ni uongo na tumekuwa tukijazwa ujinga "brainwashed" kuamini hilo.

Uislam haujatukataza popote kufanya siasa. Uislam ni mfumo kamili wa maisha ya binadam. Tusidanganywe tena na tukaendelea kudanyika kuwa siasa haziendani na Uislam.

Mtu akikwambia "siasa haina dini" elewa kuwa huyo anakutowa kwenye Uislam wako. Usikubali hata kidogo, ni yeye hana dini anataka akutowe na wewe kwenye Uislam wako.

Kwa makusudi kabisa mefikia hatua mpaka maneno yanabadilishwa "systematically ""udini" nq sisi tunachekeleantu.

Elewa maana ya maneno haya:

Udini = Uislam. Mdini = Muislam.
Wadini = Waislam.
imswahili = Muislam.
Waswahili = Waislam.
Uswahili = Uislam.
Mwarabu = Muislam.
Waarabu = Waislam.

Hayo ni kwa uchache tu, mtaongezea na mengine. Huo ni upotoshwaji wa makusudi na unaoratibiwa siyo wa bahati mbaya.

Waielwmntuamke na tufanye siasa popote. Madheikhnwetu.muwe.msyarinwa.mbele kuhamadishansiasankama wslivyofanya Masheikh wetu wakati wa kudai uhuru.

Uislam ni siasa, siasa ni Uislam.

Someni haya yalindikwa zamani hapa hapa Tanzania:

Mtazamo wa Uislamu kuhusu siasa


WENGI wetu tumekuwa tukisikia viongozi, wasomi na watu mbalimbali wakizungumzia masuala ya dini na siasa. Ujumbe mkuu siku zote umekuwa kuvitenganisha viwili hivyo yaani visichanganywe. Katika sehemu mbalimbali duniani, kama ilivyo kwa masuala mengine yahusuyo maisha ya kila siku, Waislamu wamekuwa ama wakiaswa kutochanganya dini na siasa au wakilaumiwa kwa kuvichanganya viwili hivi. Chanzo cha nasaha na lawama hizo ni mtazamo Kimagharibi au Usekula ambao unadai kutenganisha dini na siasa (separation of the Church from politics). Wasekula wanadai kuwa viwili hivyo vikichanganywa basi vurugu itatawala katika jamii husika. Hata hivyo, jamii nyingi za huko Magharibi zinaendeshwa kwa taratibu za kinaswara (Kikristo) lakini bado zinadai kuwa zenyewe ni za Kisekula. Wasiwasi wao umekuwa kwa Uislamu ambao siku zote wanaona kama dini isiyojali au isiyofuata haki za binadamu. Mwandishi Mama Nasir anaelezea zaidi.

Nini Uislamu na siasa ni nini?


Uislamu ni dini au mfumo wa maisha ambao Allah (s.w.) amewaletea waja wake kupitia kwa Mitume wake. Sisi tuliopo sasa Uislamu umetufika kupitia kwa Mtume Muhammad (s.a.w.). Uislamu ni mfumo uliokamili, unaongoza kila kipengele kinachohusu maisha ya mwanadamu. Wanaoamua kuukubali au kuufuata Uislamu basi wanaamrishwa na Allah (s.w.) kufanya hivyo kwa ukamilifu na kama inavyopasa kuwa.

Allah (s.w.) anasema: "Enyi mlioamini! Ingieni kwa ukamilifu katika Uislamu. (Ingieni katika hukumu za Uislamu zote), wala msifuate nyayo za shetani. Kwa hakika yeye kwenu ni adui dhahiri". (2:208).

Allah (s.w.) akasisitiza kwa waumini: "Enyi mlioamini! Mcheni Allah kama ipasavyo kumcha, wala msife isipokuwa mmekwisha kuwa Waislamu kamili". (3:102)

Kutokana na aya hizi ni wazi kuwa Muislamu anawajibika kutekeleza masuala yote ya maisha yake kama ilivyoelekezwa na Uislamu (Qur'an na Sunnah).

Taasisi ya uchunguzi wa Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (TUKI) imetafsiri neno "siasa" katika kamusi ya Kiswahili Sanifu kama ifuatavyo:

"Mfumo wa mawazo yaongozayo utawala wa serikali ya nchi.

"Itikadi inayofuatwa na kundi au jamii fulani ambayo ni msingi wa kuendesha uchumi wake, utamaduni na mwenendo mzima wa maisha ya jamii".

Uislamu na siasa

Pamoja na kwamba maadui wa Waislamu na dini yao wanatulazimisha kuvitenganisha viwili hivi, lakini kufuatana na maelezo ya hapo juu ni wazi kuwa Muislamu anayeamini na kuufuata Uislamu hawezi kuitoa siasa kwenye dini. Hii ni kwa sababu Uislamu kama unavyoelezwa kwenye Qur'an na Sunnah unagusa nyanja zote zinazohusu maisha ya mwanadamu ikiwemo siasa, na lengo lake kuu ni kusimamisha utawala wa Allah (s.w.) hapa duniani. Kwa hiyo ili lengo hili litimie ni lazima maagizo yote yafuatwe kwa ukamilifu na siyo kipande kipande kwa kutenganisha mambo mbalimbali yahusuyo maisha ya mwanadamu.

Katika Uislamu, dini na siasa ni viwili viwili vilivyopangana (vilivyoingiliana) na kwa hiyo ni kitu kimoja. Uislamu ni njia kamili ya maisha na siasa ni sehemu ya maisha hayo. Kama Uislamu ulivyofundisha swala, swaumu, zakah, hija na mengineyo, umefundisha pia jinsi ya kuendesha dola (State) na kuunda serikali (government)u, kuchagua viongozi na wawakilishi wetu, kuweka mikataba, kuendesha biashara na shughuli nyingine mbalimbali.

Uislamu ni mfumo kamili wa maisha ya mwanadamu na kuwa lengo la mfumo huo ni kusimamisha ufalme wa Allah (s.w.) hapa duniani.

Mfumo wa siasa wa Kiislamu unasimama katika misingi ifuatayo:

Utukufu/ukuu (sovereignity) wa Allah (s.w.). Uislamu unafundisha kuwa chanzo cha nguvu zote na sheria zote ni Allah (s.w.). Hii imedhihirishwa katika sura na aya mbalimbali za Qur'an kama vile 25:2 na 67:1. Ni Mwenyezi Mungu ndiye anayejua kipi kizuri na kipi kibaya kwa viumbe vyake. Na Yeye ndiye mwamuzi wa mwisho.

Kazi ya dola yoyote hewa ni kusimamia utekelezaji wa sheria, kwa hiyo ni dola iweze kusimamia sheria ya Allah (s.w.) ni lazima nayo itoke huko huko kwa Allah (s.w.). Sheria zilizomo kwenye Qur'an (za kukata wezi mikono, kuchapa viboko/kupiga mawe wazinifu na kadhalika) ni amri za Allah na hivyo haziwezi kubadilishwa na mamlaka yoyote ya kibinadamu hata Umoja wa Mataifa badala yake inatakiwa zitekelezwe na waja wote. Kwa Waislamu kutekeleleza amri/sheria hizo kwa vitendo ndio kukamilisha Uislamu wetu. Kunapotokea mifumo ya siasa ambayo haitekelezi au haisimamishi amri za Allah (s.w.) ni wazi kuwa Uislamu unapata kasoro, na hapo ndipo ulazima wa kuwa na dola ya Kiislamu unapokuja.

Ukhalifa wa binadamu: Mwenyezi Mungu anasema wazi katika Qur'an kuwa mwanadamu ni khalifa (mwakilishi) wake hapa duniani. Kwa mantiki hii mwanadamu analazimika fanye alivyoamrishwa na Allah. Hata hivyo, mwanadamu amepewa uhuru wa kufuata au kuzikana amri za Allah (s.w.) na ndio maana kuna wanaadamu wengi ambao wametokea kuwa wasaliti wa Allah (s.w.). Badala ya kutekeleza alivyoamrishwa ili kuleta amani na utulivu duniani wameamua kumuasi Allah (s.w.) na kusababisha machafuko tunayoyashuhudia sehemu mbalimbali duniani hivi sasa.

Kutunga sheria kwa ushauri (Shura): Uislamu unafundisha kuendesha serikali, kutunga sheria na kufanya maamuzi kwa kuzingatia ushauri na ushirikishaji watu (raia) kama Qur'an inasema katika 3:159 na 42:38. Uislamu hauruhusu udikteta, rejea zake ni Qur'an na Sunnah.

Uwajibikaji wa serikali: Katika mfumo wa siasa unaondeshwa Kiislamu, mtawala na serikali lazima wawajibike kwanza kwa Allah (s.w.) na baadaye kwa raia. Mtawala huwa ni mtumishi wa raia na wote kwa pamoja ni makhalifa wa Allah. Wote watawajibika kwa Allah (s.w.) siku ya mwisho ingawa kwa viwango tofauti. Jukumu la mtawala ni zito zaidi.

Vile vile, katika mfumo wa siasa wa Kiislamu raia yeyote wa kawaida ana uhuru wa kuhoji chochote kuhusiana na mtawala na serikali yake mradi tu abaki katika mipaka ya Qur'an na Sunnah.

Uhuru wa mahakama na usawa mbele ya sheria: Hili linapatikana katika mfumo wa siasa wa Kiislamu ambapo mkuu wa nchi au kiongozi mwingine yeyote hawi juu ya sheria. Mojawapo ya kazi za dola ya Kiislamu ni kuhakikisha haki kwa raia wote. Kigezo cha kuwapambanua waja katika Uislamu ni taqwa (ucha Mungu) tu na si vinginevyo.

--
JuuRUDI


Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua kwa:
webmaster@islamtanzania.org

Ni lini Waislamu mliacha kufanya siasa msikitini ? Hadi zile ndogo ndogo kabisaa za uchaguzi wa viongozi vyuoni ni hivyo hivyo.
Kitu cha achabu ni kuwa Rais akiwa Mwislamu ndio mnalia lia vizuri kuweni makini. Wakristu huwa tunajiuliza swali moja tu
Rais akiwa Mkristu hakuna anachoniletea kwenye familia yangu hali kadhalika akiwa Mwislamu. Hivyo ninaangalia anayofanya sio kumuonea huruma.
Kipindi cha Magu Waislamu mlikaa kimyaa waliokuwa wanaongea ni hawa
Askofu Mwamakula
Askofu Niwemugizi
Askofu Bagonza
Tundu Lissu
Sheikh Ponda
Zitto Kabwe n.k na wala hakuna siku maaskofu walisimama kutoa msimamo wa kanisa kuwa Magufuli anaonewa.
Leo akina Sheikh Ponda na Zito Kabwe wako kimyaa kwa kuwa ni Mwislamu mwenzao.
Angalizo:Rais akikosea haijalishi dini yake,maumivu yatakuja kwa watanzania wote.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom