Waislam tunakuomba Rais Samia umshauri mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti aache kebehi dhidi ya Waislam

Magoti ni mabaki ya JPM, udikteta, nasubiri aanze kukamata pikipiki zimebeba fungu moja la mkaa mtu anaenda kupikia nyumbani.

Nasikia hako kajamaa ndio kalimuwekea mambo Mangula, kidogo afe.

Yeye awe kiongozi, sio nyampara
Nani sio mabaki ya JPM??
 
Watoto hso wana umri gani?? Kama chini ya miaka mitano walitakiwa kulala kwa wazazi wao na kulelewa nao. Kama ni zaidi ya miaka mitano walipaswa wapelekwe shule.
 
Magoti ni mabaki ya JPM, udikteta, nasubiri aanze kukamata pikipiki zimebeba fungu moja la mkaa mtu anaenda kupikia nyumbani.

Nasikia hako kajamaa ndio kalimuwekea mambo Mangula, kidogo afe.

Yeye awe kiongozi, sio nyampara
😂 Waislamu magaidi kazi mnayo Safar hii
 
Hakuba taharuki yoyote iliyozungwa, mazingira yalikuwa tulivu.Sema kuna watu hamna akili kabisa..au mnafanya makusudi..hivi kweli mnawezaje kuwakabidhi watoto wadogo kwa maustadhi vijana, wasioleweka - hata kwa mtazamo tu wanatia mashaka ili wakae na watoto wenu wa kike na kiume??
 
Mkielezwa ukweli huwa mnalia.

Piga spana hawa. Ndugu Magoti
 
wacha nianze kunywa konyagi mapemaaa kana nimemuudhi mtu humu tusameheane jaman nshaanza kupiga nyagi yanghuu hapa kwa njauwale wa mbezibeach mkuyeee tutoew mapepo na majini kwa konyt
Mpwa, utakuwa uko hapo kaunta, msalimie meneja Mayele, bila kumsahau Godi wa jiko la kitimoto,
 
We shanga kweli wewe huko mnapo walaza chini mnawalisha mavi ya ng'ombe? Serikali inawalipia ada ,badala ya kuwafundisha uhaini wapelekeni shule wakasome elimu bure
Hawa bibi wazee wanafundishwa mieleka
 

Attachments

  • VID-20240713-WA0001.mp4
    5.6 MB
Anataka serikali isiingie moja kwa moja. amesahau kuwa pale kuna watoto 96, wanakunya mavi kinyesi wameriririsha kwenye eneo la public, kipindu pindu kikiibuka hapo utawahitaji bakwata au serikali? mazingira yale tuliyaona, wanaishi kwa kupangwa kama kuku, jamaa anasema hiyo ni ibada. hivi unafikiri kwenye kamati ya ulinzi na usalama hamna waislam mle, hadi anakuja hapi unafikiri ni wakristo pekee walikaa kikao? ajabu sana.
 
mimi kilichonikera ni pale anasema, kama isingekuwa nyumba ya ibada ningekuweka ndani leo. who is he? mkuu wa wilaya mbona mtu mdogo sana, anatishia watu kuwaweka ndani?
 
Siasa ndiyo yenye hatari zaidi
 
Kwa hiyo hata wewe umekubali yale mazingira sio rafiki kwa wale watoto sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…