Waislam tunakuomba Rais Samia umshauri mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti aache kebehi dhidi ya Waislam

Mleta hoja punguza MUNKARI, alichofanya Mh DC yupo sahihi..ungepitia taratibu na sheria za kuanzisha kituo/shule,sheria ya Mtoto na haki za Mtoto za UN bila kusahau Sheria ya Afya ta Jamii ya mwaka 2009 ungemuelewa DC

Kuwa na nia nzuri sio sababu ya kuvunja sheria na taratibu za nchi
 
Shada uslam umejificha na mambo mengi ya sirini, ulawiti na zinaa zimetawala sana, mzazi mwenye akili sawa sawa hawezi ruhusu mtoto wake kwenye hayo mazingira
 
Tatizo lenu mnakuwa wajinga wajinga sana, mpaka madhara yatokee ndipo muanze kusikitika

Kwanini msiweke mazingira sawa kwanza kisha ndio mengine yafuatie??

Ni sehemu ngapi hapa Tanzania wanatoa mafunzo kama hayo na hawajabughudhiwa iweje hapo tu? Basi ndio ujue mazingira sio rafiki huwezi kusunda vijana hao wote kisa masomo ambayo unaweza kukamilisha na kisha kuwaita tena uwape mafunzo


Wajifunze kwa wengine ambao wameweka mazingira sawa kwanza
 
Hakuna taharuki yoyote iliyotokea, acheni kukuza Mambo bwana
 
Mwamposa aliua watu moshi uliona akifungiwa huduma?
Mkutano wa Mwamposa ulikuwa na kibali cha Polisi! Vipi hiyo Madrasa ya kurundika watoto wa miaka 3 kwenye mazingira hatarishi tena bila kibali cha serikali ni sawa?
 
Alichofanya Petro Magoti ni kumfitinisha Rais Dr Samia Suluhu Hassan dhidi ya waislam na uislam.
Wewe ndio unayefitinisha. Mkuu wa Wilaya kaenda kusimamia maslahi ya wale watoto na hata Shehe alikiri kakosea.
 
We kweli mkono nusu...au anaandikia miguu?? Mazingira kwa watoto ni mabaya sote tumeona...sasa unatetea nini? Tunajenga Taifa gani la Kesho? Ni upuuz mtupu mnafanya...yaan tokea uhuru mmejenga shule ngapi? Vyuo vingapi? Zaidi ya kuwachanganya watoto? Viongozi wangapi Tz wamesoma shule na vyuo vya mission japokuwa ni muslims?....hebu tafakari tena..
 
Mbona baadhinya waislamu huwa mnakomalia ujinga sana?Hapo kosa la DC lipo wapi
 
Huenda hawakuwa na taarifa!
 
Lete ushahidi wa mtoto wa miaka 3 aliyekutwa hapo msikitini.
Mimi sio DC, TISS, Polisi, wala Mkazi wa kisarawe...nikuletee aushahidi kama nani kutoka wapi?

Wewe umeweka Ushahidi kuwa wale wote sio watoto na wamezidi miaka 18 ili wajitegemee?

Jibu kinagaubaga
 
Waislamu ni watu washari shari sana, yaani muda wote wamekaa kwa kujitega ukimgusa hata kwa bahati mbaya analipukaaaa!!

Kila kitu kipo wazi tumeona na kusikia pia,hata chizi atakwambia mazingira Yale sio rafiki kbs kwa watoto wadogo, huwezi kukusanya watoto wadogo na ukawaweka ktk mazingira ya vile.

Sasa naanza kuwa na mashaka pengine kweli Kuna kitu hakikuwa sawa.
 
Kwahiyo kufichua uchafu na madhaifu katika Wilaya ndio kunamfanya kuwa anaishi na watu vizuri?

Je kama hao waliopita walikuwa wanajua hayo lakini wakaacha ili kujipendekeza kwa Wananchi?

Kiongozi mzuri ni yule asiyetaka sifa kwa kumridhisha kila Mtu, mfano mzuri ni J.P.Magufuli
 
Mkuu wa wilaya ya kinondoni nae aende kwa mwamposa akaufunge uwanja wa Tanganyika packers pale kawe kwasababu analaza maelffu ya wananchi wa Tanzania nje wakiwemo watoto wadogo.
Tatizo Jambo la Mkuu wa Wilaya unataka kulifanya la Kidini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…