Waislam tunakuomba Rais Samia umshauri mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti aache kebehi dhidi ya Waislam

Huo utakuwa ni uoga na kiongozi ukishakuwa muoga utadharauliwa. Yale Mazingira hayakuwa sahihi kabisa vyoo na Mazingira ya kulala wanalala nje.
 
Watoto karibia wote wanadai wamefeli mtihani wa darasa la Saba
Sifuri tupu...walimu tunajua...mtoto unamfundisha kuandika kutoka kushoto kwenda kulia...lakin kichwan amekaririshwa kuandika kutoka kulia kwenda kushoto...serikali ituongezee posho...tunateseka..yaan mpaka ajae kwenye mfumo mwalimu ushakunywa doz kazaa na masindano kibao
 
NDUGU ZANGU WAISLAMU KUBALINI KUAMBIWA UKWELI MNAPOKOSEA NINYI SI WATAKATIFU KUMBUKENI HILO, PIA JIFUNZENI KUFUATA SHERIA ACHENI KUWA JUU YA SHERIA
 
Kenya mchungaji kaua watu yupo jela sasahivi, bongo mwamposa kaua watu moshi ila hakuna alichofanywa
Mwamposa hakuna per se sema ni uzembe wa wasaidizi wake kuweka mpanga mzuri watu wasikanyagane. Nadhani kwa Sasa wamelitatua. Ingawa simkubali mwamposa ila kwa kumlinganisha na mchungaji wa Kenya sio sawa.
 
haaaaaaaaa haaaaaaaaa haaaaa
 
😂😂 Dah ila Waislamu bhana 🙌 hii sasa n level ya upungufu mkubwa wa akili mwilini
 
Mwisho: Kumbuka kuwa history tells it all kuwa kambi kama hizi kuna maustadhi wanafira watoto (kumradhi) hivyo lazima kuwa macho na so called shule hizi zenu.
Wanawaweka watoto kwenye hatari kubwa sana.
 
Hapaa ndio inatudhibitishia kwamba Uislamu ni dini ya Kimasikini sanaa usiojali utu,check shule zote za kikristo kama utawai kukutana na jambo la aibu na ajabu kama hili na sio ajabu wanategeshea WAPATE UFADHILI KUTOKA UARABUNI.MAANA HAKUNA MWISLAMU MWENYE IWEZO WA KUTO SADAKA KWA AJILI YA MAENDELEO NI MALALAMIKO TUU NA KUTOA NYAMA YA KONDOO SIKU YA IDD YA KUCHINJAA
HATA HIVYO BADO NI MSAADA FLANI HIVI

Any way nisiseme sanaa tusubiri Hajaty wenu aseme awatetee

Sema mfumo haitoruhusu hicho kituu

POVU RUKSAA
 
Alafu, huu si umri wa watoto kuwa shule, hii hapo ni nini?

Kama ni shule imesajiliwa? Kama sio shule kuna utaratibu gani wa kuwapeleka hao watoto shule wakasome na kupata maarifa?
 
Hao watoto wanajifunza Quran pekee au Kuna kazi nyingine za kiuchumi wanafanya kama kilimo na ufundi!!?
Kwasababu Quran sio chakula pekee Cha mtu kula ,lazima kuwe na kazi za kiuchumi ambazo kijana anajifunza kujitegemea baadae!!

Kujifunza Quran pekee hakutoshi kumuandaa kijana kujitegemea badala ya kija kuwa mzigo Kwa taifa!!

Mimi kama kiongozi ajaye,nadhani shule iboreshwe zaidi ya kusoma Quran kuwe na elimu ya mtaala was kawaida na ufundi stadi plus kilimo Ili tupate complete package ya kijana sio kuhifadhi tu Quran pekee huyu mtoto hatokula Quran asipojifunza kazi!!
 
Angekua na nia mbaya asingekuja na waandishi wa habari.afu mskt wote ufungwe kupisha uchunguz kwanza
 
Binafsi namuunga mkono Magoti na nnajua hawezi kukurupuka tatizo la Waislamu ukiwachekea kupitia hiyo Misikiti wamezalisha matatizo mengi sana hapo hamna quran wala nini suala la Ugaidi huenda linahusika wabanwe tu muhimu hajapigwa mtu Magoti hawezi kutoka kwake tu akavamia msikiti ikumbukwe yule Bwana ni kipepeo mzoefu hawezi kukurupuka nasisitiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…