Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Hiyo elimu hawawez ipata wakati wanashughulika na ujenzi wa taifa? Wakati wako shule zingine?Wewe huwezi kujua elimu ya kumjua Mungu inampeleka wapi muumini wa imani husika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo elimu hawawez ipata wakati wanashughulika na ujenzi wa taifa? Wakati wako shule zingine?Wewe huwezi kujua elimu ya kumjua Mungu inampeleka wapi muumini wa imani husika.
Narudia...cry more🤣🤣🤣Huwa hamtaki kuambiwa ukweli na hamuachi kulialia.
DC yeye ameplay part yale, amesimama kwenye jukumu lake...haiwezekani aone watoto wa miaka mitatu kwa mitano wanaopaswa kuwepo nyumbani kwa wazazi wao wakisoma shuleni eti wanalala nje ya manyumbani kwao na kujipikilisha huko
Haiwezekani Asilani
Cry more !!!
Tatizo lao hawa tukiwaambia ukweli wanaona tunawanyanyasa na kuwaonea wivuTuwe wakweli, kuna unyanyasaji mkubwa sana kwenye hivyo vituo, kuna moja iko SUDAN, huko, ni zaidi ya jela, watoto ni makovu tu, wanashinda kwenye minyororo
Yn mtoto n mdogo lkn anapigwa kofi la kiutu uzima kisa amekosea kusoma, yn mpaka ww ambaye n jirani tuu roho inakuumaTuwe wakweli, kuna unyanyasaji mkubwa sana kwenye hivyo vituo, kuna moja iko SUDAN, huko, ni zaidi ya jela, watoto ni makovu tu, wanashinda kwenye minyororo
Dini zingine nu za kuepuka kwa nguvu zoteTatizo lao hawa tukiwaambia ukweli wanaona tunawanyanyasa na kuwaonea wivu
Tofauti ya kenya na hapa, wa kenya ni intentional, tena alikuwa analazimisha kabisa. Mwaposa haikuwa intentional ni idadi ya watu ilikuwa kubwa zaidi kupitiliza eneo ikapelekea kukanyaganaKenya mchungaji kaua watu yupo jela sasahivi, bongo mwamposa kaua watu moshi ila hakuna alichofanywa
Sasa mzee nani awe na chuki na Waislamu? Dunia hii bila uwepo wa Wakristo ingekuwa n vita daima mana nyie mshazoea harsh.Dawa ni kumshusha mshipa tu iwe fundisho kwa makafiri wenzake,hawa watu wana chuki sana na Uislamu.
Hulo wala siyo kigezo, kuna watoto shule na walimu siyo Waislam wamepigwa mpaka wameuliwa.Yn mtoto n mdogo lkn anapigwa kofi la kiutu uzima, yn mpaka ww ambaye n jirani tuu roho inakuuma
Hawa watu ni laana wewe angalia 90%ya taarifa za maovu zinawahusu fanya uchunguzi utaonaKijana unakosea sana.
Upo sahihi sana, lkn ht ww unajua kabisa likitokea hilo serikali inaingilia kati na unaona namna sheria inavyofatwa, sasa kwann hy sheria ikija kwenu mnaona mnaonewa?Hulo wala siyo kigezo, kuna watoto shule na walimu siyo Waislam wamepigwa mpaka wameuliwa.
Kwann DC asiwawekee hayo mazingira safi ili waendelee na masomo.Watoto wakishakufa haiitwi chokochoko inaitwa Uzembe wa Viongozi...
Nadhan busara ni kwamba mazingira yakishakuwa safi watoto waendele na masomo
Amani ya nchi ipotee kwasababu ya ujinga wenu.nyie ndio mnaotaka kuketa chokochoko.Tena mlitakuwa muone aibu kubwa kwasababu mmemkosea ata Mungu wenu ambaye naamini anapenda usafi na ustarabu.DC kila mtu kamsikia na kaongea kistarabu sana labda mseme mlikua hamtaki uozo wenu wakuvundika watoto wawatu uonekane kwenye jamii.Mimi naamini ata hao wazazi walioleta hao watoto wangekuja kuona mazingira yawatoto wao wanapolala wasingekubali.Jirekebisheni badala yakutaka kukuza mambo wakati wenye makosa ni nyie.Hizi ndio chokochoko mnazoleta ili kuvuruga amani ya nchi hii?
Faiza leo umeamka vzr sana aisee, yn umeamua kuwa mkweli, aisee kwa hili nakupongeza sana. Nafurahi mtu akiongea ukweli ht kama unaumaKijana unakosea sana.
Hisia za waislam?Dhihaka na dharau alizozifanya je!?..
Kufanya vamizi za usiku na vyombo vya habari ni sahihi?
Alishindwa nini kuita viongozi wa msikiti na taasisi ya BAKWATA walimalize jambo hili bila ya kuzua taharuki? Huoni kama ni tukio linaloweza kuamsha hisia za waislam?
Kumtukana Yesu alayhi salaam, ambae Waislam tunaamini ni mtume Kiislam, ni kuutukana Uislam.Hawa watu ni laana wewe angalia 90%ya taarifa za maovu zinawahusu fanya uchunguzi utaona
Kodi za serikali hazitakiwi kujenga shule za kidini.Kwann DC asiwawekee hayo mazingira safi ili waendelee na masomo.
Atakuwa ametatu tatizo
🤝Dini zingine nu za kuepuka kwa nguvu zote
Awawekee kivipi Chief?hilo n jukumu lao wenyeweKwann DC asiwawekee hayo mazingira safi ili waendelee na masomo.
Atakuwa ametatu tatizo