Waislam tunakuomba Rais Samia umshauri mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti aache kebehi dhidi ya Waislam

Dah sijui kwann nmecheka sana 😂 kuna mambo ht kama huna uhakika nayo ila ukiyasikia unabaki kucheka tuu
 
Kumtukana Yesu alayhi salaam, ambae Waislam tunaamini ni mtume Kiislam, ni kuutukana Uislam.

Hata ikiwa sivyo, Waislam tushindane kwa hoja za kauli safi.
Kabisa maisha yenyewe magumu haya na hatuna usafi wowote mioyoni sio wakristu wala waislamu binafsi naamini kiichokuwa kinaendelea huko Kisarawe ni Ugaidi hata maswala sijui ya kuchezwa nayo Mh DC yafwatilie kwa kina wastaarabike hawa mabwana
 
Kwa mfano hilo lingekuwa kanisa watoto wanafundishwa mazingira mabovu je DC Magoti angelifunga? Je wakristo wangelalamika?Hata kama DC kakosea sawa lakini uongozi wa msikiti ulitakiwa ukamilishe miundombinu kabla ya masomo kuanza.Lililofanyika ni jambo jema Kwa hata wazazi wa watoto wamejua watoto wao wanaishi kwenye mazingira gani
 
Kwahiyo mlundike watoto kama nyanya bila utaratibu hakafu yakitokea maafa au madhara kwa watoto muanze kulaumu na kusema serikali ilikuwa wapi?

Elimu sio jambo la dharura, jengeni hostel nzuri zinazokidhi vigezo ndio muweke watoto..
 
UKIOWATAJA HATA WATANO HAWAFIKI! ILA NYINYI HADHARANI MNAJITANGAZA NA MAKANISANI KAMA UNALO RINDER NI MARUFUKU KUINGIA
Ongea kwa hoja Shehe wacha mihemko kanisa gani lilitoa hilo tamko?na ndio maana mnaonekana wajinga hamtaki kukubali ukweli miaka zaidi ya 60 baada ya uhuru unatetea upuuzi badilika shehe Dunia imechange
 
Yule mwenzenu bomboko alivyovamia nyumba ya wageni Sinza na kudhalilisha wateja kwa kuwarekodi video uliona sawa sio?
 
Na ushukuru Magoti katumia maneno ya kistaarabu ety hakuna malazi mazuri 😂 pale ilikuwa ni mafunzo ya ugaidi.
Hapana, siyo kweli, Uislam haufundishi ugaidi.

Hao ni wapigaji tu.

Umejazwa ujinga na umekujaa.
 
Yaani waislam ndivyo mlivyo kila kitu mnawaza fujo ndio maana tunawaogopa hata mkikusanyika. hapa tu umeshindwa kujieleza kwa adabu ukaeleweka ni umefoka kwa makauli mazito mazito hujui kuwa sahivi nchi ipo kwenye hatari ya cabo del gado watoto wadogo wale darasa la saba hakielewi chochote kesho ashike mtutu waje watuue??

DC Magoti hawezi kukurupuka tu kufunga tena usiku wa manane yule ni kamati ya ulinzi na usalama wilaya anejihakikishia kupitia wataalam wa maswala ya ulinz na usalama

Utulie wewe samia ana mambo mengi ya kufanya na sio kushughulikia upuuzi wako
 
Mbona Sunday School mapafri wanafira watoto na hazifungwi? Mwamposa kaua watu moshi na hakufungiwa huduma
Acha kutoka povu kwasababu ya upuuzi wenu kuanikwa hadharani.Makosa ni makosa haijalishi kafanya nani.Kama mwamposa alifanya makosa hatua hazikuchukuliwa ndo nanyie muone ni sawa kufanya?.
 
Shekhe hiyo video umeiangalia vizuri ama basi tu umeamua kuongea ? Sio kila kitu tutetee tu kaka ule ni upuuzi, watoto wanakaa mazingira mabaya sana mkuu wa wilaya katumia busara sana sijaona hata maneno makali aliyoongea
Shida ni kwasababu Mkristo ndo mana mnaona taharuki ila kiukweli hakuna alichokosea. Watoto wanakaa sehemu duni, wamepangwa kama wako sokoni, ukiangalia hata udhibiti wa kinyesi haujakaa salama mkuu kila kitu ni hovyo kabisa tukubali ustadh na wazazi waliteleza. Pale kaomba watoto wote warudishwe na watakapokosa/kupungukiwa na kitu basi wamtaarifu yeye atasaidia kufanikisha watoto kurudi kwao sasa kuna tatizo gani hapo ndugu yangu???
 
Awaite kimyakimya ili mfiche madhambi(makosa)yenu?Rekebisheni hali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…