Waislam tunapaswa kuondokana na upofu wa dini la sivyo tutaonekana wote hatuna akili

Waislam tunapaswa kuondokana na upofu wa dini la sivyo tutaonekana wote hatuna akili

Kama kuna kitu Waislamu tunapaswa kukifanya katika kuandika HISTORIA yetu na ikasomwa kila baada ya sala ni hii ya Ikulu ya Magogoni hapa Dar es salaam maana ni historia yetu na ni halali kwetu kufanya hivyo ila sio kwenye suala la Mkataba wa Bandari; huko tunahitaji kuwa na ufahamu wa kutosha kuhusu mikataba ya kimataifa.


Tujisahihishe
Tatizo la mkataba wala halihusiani na dini ya kiislamu, tatizo limekuja hao wakosoaji wamelihusisha jambo la mkataba na dini ya raisi, uasili wake kuwa ni mzanzibari na hao wawekezaji ambao ni waarabu na ni waislamu, baada ya kushambuliwa dini ya kislamu ndiyo ukakuta waislamu wanarejesha mapigo. Kwa kweli waislamu kwenye mambo ya maendeleo ya kiserikali wala hawana shughuli nayo. Serikali na imekuwa ikiingia mikataba na nchi tofauti hujapata kusikia waislamu wametoa waraka, ila panapokuwa na uonevu, udhalilishwaji wa muislamu na dini kwa ujumla hapo waislamu hawana simile. Hayo mambo ya mkataba malizaneni wenyewe lakini msikashifu wala kuwatukana waislamu.

Faida ya mkataba wewe si mwenye ujuzi nao pia, kama ulivyosema kuna wajuzi basi nawe waachiye wajuzi wayashughulikiye mambo yao, tusije nasi tukadhani mfano wako ni wale watakaoathirika na uwekezaji wa DPW. Swala la uchumi wa nchi si swala la dini fulani ni swala la wananchi wote, hata hao waarabu huko nyuma walikuwa hawana lolote lakini baada ya uwekezaji kutoka nchi na watu tofauti na rasilimali zao chahche walizonazo leo nao wamekuwa na ukwasi mkubwa wa kutaka kuendeleza na nchi nyingine kwa manufaa ya wote.

Elimu ya dini ya kislamu ni pana sana, kwenye uislamu kuna elimu ya sheria (asili ya neno ni sharia kwa kiarabu) ambayo ni pana sana kutokana na sheria hizo ndiyo leo unawaona waarabu wameendelea sana huko mashariki ya kati. Nchi kama UAE (Umoja wa Falme za Kiarabu) ambayo imepata uhuru 02-12-1971, nchi ndogo sana yenye kutegemea mafuta (na si falme zote zenye mafuta bali Abu Dhabi ndiyo yenye kuchimba sana mafuta) lakini wamepiga hatua kubwa sana kimaendeleo kuliko sisi nchi iliyopata uhuru 1961,
1692874279728.png
 
Kama kuna kitu Waislamu tunapaswa kukifanya katika kuandika HISTORIA yetu na ikasomwa kila baada ya sala ni hii ya Ikulu ya Magogoni hapa Dar es salaam maana ni historia yetu na ni halali kwetu kufanya hivyo ila sio kwenye suala la Mkataba wa Bandari; huko tunahitaji kuwa na ufahamu wa kutosha kuhusu mikataba ya kimataifa.



Tujisahihishe
Shuluisho ni wewe ujimwagie petrol Kisha ujitie kiberiti katikati ya viunga vya kariakoo
 
Wale wazungu wa kahama barick wanachota dhahabu kila siku lakin sijasikia tamko lolote la TEC

..unatakiwa u-focus kwenye hoja inayojadiliwa sasa hivi.

..Maaskofu wanaweza kuwa walikengeuka hapo awali kwa kutokutetea rasilimali za madini. Sina uhakika kama hawakupaza sauti kabisa.

..Lakini ktk suala la bandari, je, Maaskofu wana hoja au hawana?

..Kwanza, tuchambue hoja ya Maaskofu kuhusu bandari. Tukishamaliza hilo ndipo tutakuwa na uhalali wa kuwachambua wao kama watoa hoja.
 
Tatizo la mkataba wala halihusiani na dini ya kiislamu, tatizo limekuja hao wakosoaji wamelihusisha jambo la mkataba na dini ya raisi, uasili wake kuwa ni mzanzibari na hao wawekezaji ambao ni waarabu na ni waislamu, baada ya kushambuliwa dini ya kislamu ndiyo ukakuta waislamu wanarejesha mapigo. Kwa kweli waislamu kwenye mambo ya maendeleo ya kiserikali wala hawana shughuli nayo. Serikali na imekuwa ikiingia mikataba na nchi tofauti hujapata kusikia waislamu wametoa waraka, ila panapokuwa na uonevu, udhalilishwaji wa muislamu na dini kwa ujumla hapo waislamu hawana simile. Hayo mambo ya mkataba malizaneni wenyewe lakini msikashifu wala kuwatukana waislamu.
Faida ya mkataba wewe si mwenye ujuzi nao pia, kama ulivyosema kuna wajuzi basi nawe waachiye wajuzi wayashughulikiye mambo yao, tusije nasi tukadhani mfano wako ni wale watakaoathirika na uwekezaji wa DPW. Swala la uchumi wa nchi si swala la dini fulani ni swala la wananchi wote, hata hao waarabu huko nyuma walikuwa hawana lolote lakini baada ya uwekezaji kutoka nchi na watu tofauti na rasilimali zao chahche walizonazo leo nao wamekuwa na ukwasi mkubwa wa kutaka kuendeleza na nchi nyingine kwa manufaa ya wote. Elimu ya dini ya kislamu ni pana sana, kwenye uislamu kuna elimu ya sheria (asili ya neno ni sharia kwa kiarabu) ambayo ni pana sana kutokana na sheria hizo ndiyo leo unawaona waarabu wameendelea sana huko mashariki ya kati. Nchi kama UAE (Umoja wa Falme za Kiarabu) ambayo imepata uhuru 02-12-1971, nchi ndogo sana yenye kutegemea mafuta (na si falme zote zenye mafuta bali Abu Dhabi ndiyo yenye kuchimba sana mafuta) lakini wamepiga hatua kubwa sana kimaendeleo kuliko sisi nchi iliyopata uhuru 1961,
View attachment 2727262

..kwa hiyo Mkristo akifanya jambo la kifisadi akianza kuzomewa Maaskofu wanatakiwa wamtetee?

..Mimi nilidhani Maaskofu wangesema huyo mshughulike naye kama fisadi mwingine, hayo aliyoyafanya sio maamrisho ya Biblia takatifu.
 
..kwa hiyo Mkristo akifanya jambo la kifisadi akianza kuzomewa Maaskofu wanatakiwa wamtetee?

..Mimi nilidhani Maaskofu wangesema huyo mshughulike naye kama fisadi mwingine, hayo aliyoyafanya sio maamrisho ya Biblia takatifu.
Sidhani kama kuna dini inayotetea ufisadi au uovu wowote mwingine, ikiwa mtu atakosea akosolewe kwa kosa lake na si kwa imani yake, wakati wa sakata la ESCROW kuna viongozi wa dini ya kikristo walipokea pesa na baadaye walizirudisha, sijasikia kama kuna dini ilikashifiwa. Na kama jambo la bandari ni la kifisadi mbona mahakama limelitupilia mbali? Tuwe na hoja za msingi na siyo kutoa sababu ya kuwa watanzania wengi wameukataa mkataba ndiyo itokee taasisi iwe msemaji wa hao watu wengi na hata uwingi wao hatuujui.
Kwa kweli hili jambo ni closed chapter ila watu wanataka kuliendeleza kwa kuwa hawataki kushindwa. Waislamu hawataki kabisa kuchezewa imani yao.
 
Sidhani kama kuna dini inayotetea ufisadi au uovu wowote mwingine, ikiwa mtu atakosea akosolewe kwa kosa lake na si kwa imani yake, wakati wa sakata la ESCROW kuna viongozi wa dini ya kikristo walipokea pesa na baadaye walizirudisha, sijasikia kama kuna dini ilikashifiwa. Na kama jambo la bandari ni la kifisadi mbona mahakama limelitupilia mbali? Tuwe na hoja za msingi na siyo kutoa sababu ya kuwa watanzania wengi wameukataa mkataba ndiyo itokee taasisi iwe msemaji wa hao watu wengi na hata uwingi wao hatuujui.
Kwa kweli hili jambo ni closed chapter ila watu wanataka kuliendeleza kwa kuwa hawataki kushindwa. Waislamu hawataki kabisa kuchezewa imani yao.

.. mahakama haijatupilia mbali hoja zote za kina Mwabukusi.

..kuna baadhi ya hoja imekubaliana nazo na imeshauri, kwa hofu ya kuliingilia bunge, mkataba urekebishwe.

..mahakama pia imeeleza kwamba kilichopitishwa na bunge ni mkataba na sio makubaliano kama ambavyo watetezi wa serikali wamekuwa wakisisitiza.

..wakosoaji wa mkataba wamesisitiza mara nyingi kwamba hawapingi dini ya mtu, au dini ya muwekezaji wa Dubai Port.

..wako waliokwenda mbali kwa kuweka msisitizo kwamba mkataba hauna mahusiano yoyote na imani ya Kiislamu. Na kwamba mkataba na Dp ni mbaya hata kama ungesainiwa na Mkristo, au Mpagani.

..mimi nadhani CCM inawatumia vibaya ndugu zetu Waislamu. Kwasababu CCM wamekosa hoja za kutetea mkataba wao mbovu wameamua kujificha kwenye kichaka cha udini, na haswa dini ya Rais Samia.

..Ni kitu cha kushangaza kwamba Mashekhe na Maimamu wanatetea mkataba na Dp kuliko wabunge walioupitisha na makada wa CCM.
 
Kama kuna kitu Waislamu tunapaswa kukifanya katika kuandika HISTORIA yetu na ikasomwa kila baada ya sala ni hii ya Ikulu ya Magogoni hapa Dar es salaam maana ni historia yetu na ni halali kwetu kufanya hivyo ila sio kwenye suala la Mkataba wa Bandari; huko tunahitaji kuwa na ufahamu wa kutosha kuhusu mikataba ya kimataifa.

Viongozi wetu hasa Ma-Imamu wetu na wengine wanaokaribishwa kutoa neno, wakumbuke kwamba suala la Bandari


Tujisahihishe
Umekuwa kama mamba.Uchambuzi wako unatula waislamu huku unalia.
Leo kwa vile mumejitumbukiza choo cha kike katika kutoa waraka ovyo ndio unatubembeleza kutukumbusha kuwa ikulu ni sehemu ya historia yetu na kwamba tupewe wenyewe.Wakati huo huo unaleta mambo ya kibaguzi eti Loliondo kuna waarabu.Huko huko miaka ya nyuma mlitoa maneno ya ovyo wakati wawindaji wa kutoka Arabuni walipokuja kuwekeza huko.

Kumbuka historia ya waislamu nchi hii haiko ikulu pekee mpaka lile kanisa pale mbele ya bandari pia mturejeshee wenyewe.

Kuona pale mliposhtuka bandari kutaka kuletwa muwekezaji ambaye atazipa mianya ya wizi wenu hakuhitaji phd.Elimu zetu waislamu kuona mambo kama hayo ziko juu kuliko zenu.Ikibidi kuleta phd kama za kwenu kwenye sheria pia tupo wa kutosha ingawa mnatutilia mguu.
 
Wale wazungu wa kahama barick wanachota dhahabu kila siku lakin sijasikia tamko lolote la TEC
TEC waseme nini kama Magufuli mkristo aliwakataa na kisha Genge la kiislam toka Msoga wakimtumia DK Janabi wakamuondoa Duniani.
 
Kama kuna kitu Waislamu tunapaswa kukifanya katika kuandika HISTORIA yetu na ikasomwa kila baada ya sala ni hii ya Ikulu ya Magogoni hapa Dar es salaam maana ni historia yetu na ni halali kwetu kufanya hivyo ila sio kwenye suala la Mkataba wa Bandari; huko tunahitaji kuwa na ufahamu wa kutosha kuhusu mikataba ya kimataifa.

Viongozi wetu hasa Ma-Imamu wetu na wengine wanaokaribishwa kutoa neno, wakumbuke kwamba suala la Bandari linahitaji udadavuzi wa SHERIA na SIO SHARIA. Hili la Bandari halihitaji MUAZINI kulisimamia, linahitaji wataalamu wa sheria kulichambua nando maana hatua yakwanza kabisa kupinga ilipelekwa mahakamani kupata ufafanuzi wa kisheria, hukumu ikatoka kwamba mkataba unazo dosari unatakiwa kurekebishwa. Kitaalamu hii ilishindikana mahakama kutengua maamuzi ya Bunge bali ilishauri Bunge lipitie sheria hizo litekebishe huo mkataba. Kwa kifupi ni kwamba MKATABA hauna faida kwa taifa.

Katika eneo ambalo Waislam tunapaswa kuliellewa ni kwamba tunapaswa kulizingatia ni hili viongozi wetu kuweka maneno ya chuki dhidi ya imani zingine, tukishindwa kuwahoji misikitini basi tutoke tuwaache waendelee na SOGA zao baada ya IBADA.

Kuna ujinga unasambazwa kwamba UJIO wa DP World utalifanya KANISA lisiingize makontena yao kwa msamaha wa kodi. Innalillah Wainalillah rajiun; kwanza tutambue masuala yote ya kikodi yanapangwa na serikali yetu, ni suala la DP World kukabidhiwa list ya misamaha ya KODI kwa taasisi husika. Na hapo hakuna atakaepinga. DP World hawaji kupanga masuala ya kodi ama tozo za bandarini; bei elekezi za bandari zitaendelea kusimamiwa na TPA na TRA. Hili Waislam tulielewe; tusipuyange.

Yaani kwa kifupi ile misamaha ambayotuliipeleka ya kuomba kuondolewa kodi ya TENDE, msamaha wa kodi ya MAJI ya ZAMZAM na mengineyo DP WORLD watayakuta mezani. Halafu pia wataikuta list ya misamaha ya kodi ya VIFAA TIBA, VIFAA VYA KUJIFUNZIA WANAFUNZI SUNDAY SCHOOLS, SECONDARY, COLLEGES nk wataikuta pale. Kwa hiyo hakuna kitu KANISA watapoteza bali wenzetu wameenda mbali zaidi kwa kuangalia uhalali wa mkataba na sio kuhusu misamaha ya kikodi au kwa sababu mwekezaji ni kampuni kutoka taifa la kiarabu. Mataifa mangapi ya kiarabu yamewekeza hapa? Ukienda pale Ngorongoro kuna kampuni ngapi za kiarabu? Ukienda Loliondo pale kuna maeneo ukifika unakaribishwa UAE 🇦🇪, umewahi kuona kanisa linaongelea hayo?

Hawa akina Arab contractors wanaojenga Bwawa la Mwalimu Nyerere si wanatoka Misri? Au wale mnawachukulia kuwa ni wajukuu wa FARAO? Na hawa wanaojenga SGR si ni waarabu wa Uturuki 🇹🇷 ? Au wale mnawachukulia ni ndugu zake Ottoman? Jikiteni katika kuzijadili hojaza TEC na sio kuwajadili waliokaa kuzichambua hizo hoja.

Anyway; ngoja niwarudisheni kwenye historia kidogo kuhusu Ikulu ya Magogoni na hili mkalikalie vikao mlijadili pengine mnaweza kulidai iwe mali yetu Waislam maana kihistoria ni mali ya Waislam na hata Magufuli aliamua kuhamisha makao makuu Dodoma ili ikulu hii iwe sehemu ya historia mkapate kuijua hii Ikulu vema.

Pale mlango wa kuingia Ofisi ya Rais (Ikulu) kuna maandishi yanasomeka hivi (ادْخُلُوهَا بِسَلَامٍ آمِنِينَ), maandishi haya yanatoka katika Aya ya Quran Surat Al HIJR Aya Ya 46 inayosema
ادْخُلُوهَا بِسَلَامٍ آمِنِينَ
Wataambiwa "Wacha Mungu" Ingieni kwa salama na amani. Ikisomeka (Udkulu_Ha_Bi_Salamin_Aminina)

Jina Hili la (Dare Salaam) lilibadilishwa na Wajerumani Kutoka katika jina la Asili la (DARU SALAAM) baada ya Wajerumani kuwatoa Waislamu kimabavu katika eneo hilo na kuiweka Ikulu mwaka 1870.

Ikumbukwe kwamba Ikulu hii ilikuwa msikiti uliojengwa na Sultan Majid kutokea Zanzibar Mwaka 1865 kwa ajili ya watu kujifunzia Quran na kusoma elimu ya Dini ya kiislam (leo tungesema ulikuwa msikiti wenye chuo cha Madrasa ) ambako watu mbalimbali kutoka Congo, Malawi, walifika kusoma hapa. Jengo hili likaitwa #DAR_U_SALAAM (Dar es salaam) kama walivyo zoea wengi. Neno hilo ni neno la Kiarabu lenye maana ya NYUMBA YA AMANI. Neno hili sio geni Duniani, ukienda LEBANON utakuta Dar Salaam..

Kwa hiyo katika mambo tunayoweza kuyafundisha kama historia ni haya lakini sio huku tunakotaka kwenda.


Tujisahihishe
Waislam mlioenda shule, hakika mko vizuri sana. Shughuli iko kwa wale wenzangu na mimi sasa!! Muda wote wamekaa kishari shari tu. Bila shaka, vilaza wote mna cha kujifunza kwa huyu mwanazuoni.
 
Kama kuna kitu Waislamu tunapaswa kukifanya katika kuandika HISTORIA yetu na ikasomwa kila baada ya sala ni hii ya Ikulu ya Magogoni hapa Dar es salaam maana ni historia yetu na ni halali kwetu kufanya hivyo ila sio kwenye suala la Mkataba wa Bandari; huko tunahitaji kuwa na ufahamu wa kutosha kuhusu mikataba ya kimataifa.

Viongozi wetu hasa Ma-Imamu wetu na wengine wanaokaribishwa kutoa neno, wakumbuke kwamba suala la Bandari linahitaji udadavuzi wa SHERIA na SIO SHARIA. Hili la Bandari halihitaji MUAZINI kulisimamia, linahitaji wataalamu wa sheria kulichambua nando maana hatua yakwanza kabisa kupinga ilipelekwa mahakamani kupata ufafanuzi wa kisheria, hukumu ikatoka kwamba mkataba unazo dosari unatakiwa kurekebishwa. Kitaalamu hii ilishindikana mahakama kutengua maamuzi ya Bunge bali ilishauri Bunge lipitie sheria hizo litekebishe huo mkataba. Kwa kifupi ni kwamba MKATABA hauna faida kwa taifa.

Katika eneo ambalo Waislam tunapaswa kuliellewa ni kwamba tunapaswa kulizingatia ni hili viongozi wetu kuweka maneno ya chuki dhidi ya imani zingine, tukishindwa kuwahoji misikitini basi tutoke tuwaache waendelee na SOGA zao baada ya IBADA.

Kuna ujinga unasambazwa kwamba UJIO wa DP World utalifanya KANISA lisiingize makontena yao kwa msamaha wa kodi. Innalillah Wainalillah rajiun; kwanza tutambue masuala yote ya kikodi yanapangwa na serikali yetu, ni suala la DP World kukabidhiwa list ya misamaha ya KODI kwa taasisi husika. Na hapo hakuna atakaepinga. DP World hawaji kupanga masuala ya kodi ama tozo za bandarini; bei elekezi za bandari zitaendelea kusimamiwa na TPA na TRA. Hili Waislam tulielewe; tusipuyange.

Yaani kwa kifupi ile misamaha ambayotuliipeleka ya kuomba kuondolewa kodi ya TENDE, msamaha wa kodi ya MAJI ya ZAMZAM na mengineyo DP WORLD watayakuta mezani. Halafu pia wataikuta list ya misamaha ya kodi ya VIFAA TIBA, VIFAA VYA KUJIFUNZIA WANAFUNZI SUNDAY SCHOOLS, SECONDARY, COLLEGES nk wataikuta pale. Kwa hiyo hakuna kitu KANISA watapoteza bali wenzetu wameenda mbali zaidi kwa kuangalia uhalali wa mkataba na sio kuhusu misamaha ya kikodi au kwa sababu mwekezaji ni kampuni kutoka taifa la kiarabu. Mataifa mangapi ya kiarabu yamewekeza hapa? Ukienda pale Ngorongoro kuna kampuni ngapi za kiarabu? Ukienda Loliondo pale kuna maeneo ukifika unakaribishwa UAE 🇦🇪, umewahi kuona kanisa linaongelea hayo?

Hawa akina Arab contractors wanaojenga Bwawa la Mwalimu Nyerere si wanatoka Misri? Au wale mnawachukulia kuwa ni wajukuu wa FARAO? Na hawa wanaojenga SGR si ni waarabu wa Uturuki 🇹🇷 ? Au wale mnawachukulia ni ndugu zake Ottoman? Jikiteni katika kuzijadili hojaza TEC na sio kuwajadili waliokaa kuzichambua hizo hoja.

Anyway; ngoja niwarudisheni kwenye historia kidogo kuhusu Ikulu ya Magogoni na hili mkalikalie vikao mlijadili pengine mnaweza kulidai iwe mali yetu Waislam maana kihistoria ni mali ya Waislam na hata Magufuli aliamua kuhamisha makao makuu Dodoma ili ikulu hii iwe sehemu ya historia mkapate kuijua hii Ikulu vema.

Pale mlango wa kuingia Ofisi ya Rais (Ikulu) kuna maandishi yanasomeka hivi (ادْخُلُوهَا بِسَلَامٍ آمِنِينَ), maandishi haya yanatoka katika Aya ya Quran Surat Al HIJR Aya Ya 46 inayosema
ادْخُلُوهَا بِسَلَامٍ آمِنِينَ
Wataambiwa "Wacha Mungu" Ingieni kwa salama na amani. Ikisomeka (Udkulu_Ha_Bi_Salamin_Aminina)

Jina Hili la (Dare Salaam) lilibadilishwa na Wajerumani Kutoka katika jina la Asili la (DARU SALAAM) baada ya Wajerumani kuwatoa Waislamu kimabavu katika eneo hilo na kuiweka Ikulu mwaka 1870.

Ikumbukwe kwamba Ikulu hii ilikuwa msikiti uliojengwa na Sultan Majid kutokea Zanzibar Mwaka 1865 kwa ajili ya watu kujifunzia Quran na kusoma elimu ya Dini ya kiislam (leo tungesema ulikuwa msikiti wenye chuo cha Madrasa ) ambako watu mbalimbali kutoka Congo, Malawi, walifika kusoma hapa. Jengo hili likaitwa #DAR_U_SALAAM (Dar es salaam) kama walivyo zoea wengi. Neno hilo ni neno la Kiarabu lenye maana ya NYUMBA YA AMANI. Neno hili sio geni Duniani, ukienda LEBANON utakuta Dar Salaam..

Kwa hiyo katika mambo tunayoweza kuyafundisha kama historia ni haya lakini sio huku tunakotaka kwenda.


Tujisahihishe
Jinsi mtu aonavyo nafsini mwake ndivyo alivyo!
Kama kuna kitu Waislamu tunapaswa kukifanya katika kuandika HISTORIA yetu na ikasomwa kila baada ya sala ni hii ya Ikulu ya Magogoni hapa Dar es salaam maana ni historia yetu na ni halali kwetu kufanya hivyo ila sio kwenye suala la Mkataba wa Bandari; huko tunahitaji kuwa na ufahamu wa kutosha kuhusu mikataba ya kimataifa.

Viongozi wetu hasa Ma-Imamu wetu na wengine wanaokaribishwa kutoa neno, wakumbuke kwamba suala la Bandari linahitaji udadavuzi wa SHERIA na SIO SHARIA. Hili la Bandari halihitaji MUAZINI kulisimamia, linahitaji wataalamu wa sheria kulichambua nando maana hatua yakwanza kabisa kupinga ilipelekwa mahakamani kupata ufafanuzi wa kisheria, hukumu ikatoka kwamba mkataba unazo dosari unatakiwa kurekebishwa. Kitaalamu hii ilishindikana mahakama kutengua maamuzi ya Bunge bali ilishauri Bunge lipitie sheria hizo litekebishe huo mkataba. Kwa kifupi ni kwamba MKATABA hauna faida kwa taifa.

Katika eneo ambalo Waislam tunapaswa kuliellewa ni kwamba tunapaswa kulizingatia ni hili viongozi wetu kuweka maneno ya chuki dhidi ya imani zingine, tukishindwa kuwahoji misikitini basi tutoke tuwaache waendelee na SOGA zao baada ya IBADA.

Kuna ujinga unasambazwa kwamba UJIO wa DP World utalifanya KANISA lisiingize makontena yao kwa msamaha wa kodi. Innalillah Wainalillah rajiun; kwanza tutambue masuala yote ya kikodi yanapangwa na serikali yetu, ni suala la DP World kukabidhiwa list ya misamaha ya KODI kwa taasisi husika. Na hapo hakuna atakaepinga. DP World hawaji kupanga masuala ya kodi ama tozo za bandarini; bei elekezi za bandari zitaendelea kusimamiwa na TPA na TRA. Hili Waislam tulielewe; tusipuyange.

Yaani kwa kifupi ile misamaha ambayotuliipeleka ya kuomba kuondolewa kodi ya TENDE, msamaha wa kodi ya MAJI ya ZAMZAM na mengineyo DP WORLD watayakuta mezani. Halafu pia wataikuta list ya misamaha ya kodi ya VIFAA TIBA, VIFAA VYA KUJIFUNZIA WANAFUNZI SUNDAY SCHOOLS, SECONDARY, COLLEGES nk wataikuta pale. Kwa hiyo hakuna kitu KANISA watapoteza bali wenzetu wameenda mbali zaidi kwa kuangalia uhalali wa mkataba na sio kuhusu misamaha ya kikodi au kwa sababu mwekezaji ni kampuni kutoka taifa la kiarabu. Mataifa mangapi ya kiarabu yamewekeza hapa? Ukienda pale Ngorongoro kuna kampuni ngapi za kiarabu? Ukienda Loliondo pale kuna maeneo ukifika unakaribishwa UAE 🇦🇪, umewahi kuona kanisa linaongelea hayo?

Hawa akina Arab contractors wanaojenga Bwawa la Mwalimu Nyerere si wanatoka Misri? Au wale mnawachukulia kuwa ni wajukuu wa FARAO? Na hawa wanaojenga SGR si ni waarabu wa Uturuki 🇹🇷 ? Au wale mnawachukulia ni ndugu zake Ottoman? Jikiteni katika kuzijadili hojaza TEC na sio kuwajadili waliokaa kuzichambua hizo hoja.

Anyway; ngoja niwarudisheni kwenye historia kidogo kuhusu Ikulu ya Magogoni na hili mkalikalie vikao mlijadili pengine mnaweza kulidai iwe mali yetu Waislam maana kihistoria ni mali ya Waislam na hata Magufuli aliamua kuhamisha makao makuu Dodoma ili ikulu hii iwe sehemu ya historia mkapate kuijua hii Ikulu vema.

Pale mlango wa kuingia Ofisi ya Rais (Ikulu) kuna maandishi yanasomeka hivi (ادْخُلُوهَا بِسَلَامٍ آمِنِينَ), maandishi haya yanatoka katika Aya ya Quran Surat Al HIJR Aya Ya 46 inayosema
ادْخُلُوهَا بِسَلَامٍ آمِنِينَ
Wataambiwa "Wacha Mungu" Ingieni kwa salama na amani. Ikisomeka (Udkulu_Ha_Bi_Salamin_Aminina)

Jina Hili la (Dare Salaam) lilibadilishwa na Wajerumani Kutoka katika jina la Asili la (DARU SALAAM) baada ya Wajerumani kuwatoa Waislamu kimabavu katika eneo hilo na kuiweka Ikulu mwaka 1870.

Ikumbukwe kwamba Ikulu hii ilikuwa msikiti uliojengwa na Sultan Majid kutokea Zanzibar Mwaka 1865 kwa ajili ya watu kujifunzia Quran na kusoma elimu ya Dini ya kiislam (leo tungesema ulikuwa msikiti wenye chuo cha Madrasa ) ambako watu mbalimbali kutoka Congo, Malawi, walifika kusoma hapa. Jengo hili likaitwa #DAR_U_SALAAM (Dar es salaam) kama walivyo zoea wengi. Neno hilo ni neno la Kiarabu lenye maana ya NYUMBA YA AMANI. Neno hili sio geni Duniani, ukienda LEBANON utakuta Dar Salaam..

Kwa hiyo katika mambo tunayoweza kuyafundisha kama historia ni haya lakini sio huku tunakotaka kwenda.


Tujisahihishe

Kama kuna kitu Waislamu tunapaswa kukifanya katika kuandika HISTORIA yetu na ikasomwa kila baada ya sala ni hii ya Ikulu ya Magogoni hapa Dar es salaam maana ni historia yetu na ni halali kwetu kufanya hivyo ila sio kwenye suala la Mkataba wa Bandari; huko tunahitaji kuwa na ufahamu wa kutosha kuhusu mikataba ya kimataifa.

Viongozi wetu hasa Ma-Imamu wetu na wengine wanaokaribishwa kutoa neno, wakumbuke kwamba suala la Bandari linahitaji udadavuzi wa SHERIA na SIO SHARIA. Hili la Bandari halihitaji MUAZINI kulisimamia, linahitaji wataalamu wa sheria kulichambua nando maana hatua yakwanza kabisa kupinga ilipelekwa mahakamani kupata ufafanuzi wa kisheria, hukumu ikatoka kwamba mkataba unazo dosari unatakiwa kurekebishwa. Kitaalamu hii ilishindikana mahakama kutengua maamuzi ya Bunge bali ilishauri Bunge lipitie sheria hizo litekebishe huo mkataba. Kwa kifupi ni kwamba MKATABA hauna faida kwa taifa.

Katika eneo ambalo Waislam tunapaswa kuliellewa ni kwamba tunapaswa kulizingatia ni hili viongozi wetu kuweka maneno ya chuki dhidi ya imani zingine, tukishindwa kuwahoji misikitini basi tutoke tuwaache waendelee na SOGA zao baada ya IBADA.

Kuna ujinga unasambazwa kwamba UJIO wa DP World utalifanya KANISA lisiingize makontena yao kwa msamaha wa kodi. Innalillah Wainalillah rajiun; kwanza tutambue masuala yote ya kikodi yanapangwa na serikali yetu, ni suala la DP World kukabidhiwa list ya misamaha ya KODI kwa taasisi husika. Na hapo hakuna atakaepinga. DP World hawaji kupanga masuala ya kodi ama tozo za bandarini; bei elekezi za bandari zitaendelea kusimamiwa na TPA na TRA. Hili Waislam tulielewe; tusipuyange.

Yaani kwa kifupi ile misamaha ambayotuliipeleka ya kuomba kuondolewa kodi ya TENDE, msamaha wa kodi ya MAJI ya ZAMZAM na mengineyo DP WORLD watayakuta mezani. Halafu pia wataikuta list ya misamaha ya kodi ya VIFAA TIBA, VIFAA VYA KUJIFUNZIA WANAFUNZI SUNDAY SCHOOLS, SECONDARY, COLLEGES nk wataikuta pale. Kwa hiyo hakuna kitu KANISA watapoteza bali wenzetu wameenda mbali zaidi kwa kuangalia uhalali wa mkataba na sio kuhusu misamaha ya kikodi au kwa sababu mwekezaji ni kampuni kutoka taifa la kiarabu. Mataifa mangapi ya kiarabu yamewekeza hapa? Ukienda pale Ngorongoro kuna kampuni ngapi za kiarabu? Ukienda Loliondo pale kuna maeneo ukifika unakaribishwa UAE 🇦🇪, umewahi kuona kanisa linaongelea hayo?

Hawa akina Arab contractors wanaojenga Bwawa la Mwalimu Nyerere si wanatoka Misri? Au wale mnawachukulia kuwa ni wajukuu wa FARAO? Na hawa wanaojenga SGR si ni waarabu wa Uturuki 🇹🇷 ? Au wale mnawachukulia ni ndugu zake Ottoman? Jikiteni katika kuzijadili hojaza TEC na sio kuwajadili waliokaa kuzichambua hizo hoja.

Anyway; ngoja niwarudisheni kwenye historia kidogo kuhusu Ikulu ya Magogoni na hili mkalikalie vikao mlijadili pengine mnaweza kulidai iwe mali yetu Waislam maana kihistoria ni mali ya Waislam na hata Magufuli aliamua kuhamisha makao makuu Dodoma ili ikulu hii iwe sehemu ya historia mkapate kuijua hii Ikulu vema.

Pale mlango wa kuingia Ofisi ya Rais (Ikulu) kuna maandishi yanasomeka hivi (ادْخُلُوهَا بِسَلَامٍ آمِنِينَ), maandishi haya yanatoka katika Aya ya Quran Surat Al HIJR Aya Ya 46 inayosema
ادْخُلُوهَا بِسَلَامٍ آمِنِينَ
Wataambiwa "Wacha Mungu" Ingieni kwa salama na amani. Ikisomeka (Udkulu_Ha_Bi_Salamin_Aminina)

Jina Hili la (Dare Salaam) lilibadilishwa na Wajerumani Kutoka katika jina la Asili la (DARU SALAAM) baada ya Wajerumani kuwatoa Waislamu kimabavu katika eneo hilo na kuiweka Ikulu mwaka 1870.

Ikumbukwe kwamba Ikulu hii ilikuwa msikiti uliojengwa na Sultan Majid kutokea Zanzibar Mwaka 1865 kwa ajili ya watu kujifunzia Quran na kusoma elimu ya Dini ya kiislam (leo tungesema ulikuwa msikiti wenye chuo cha Madrasa ) ambako watu mbalimbali kutoka Congo, Malawi, walifika kusoma hapa. Jengo hili likaitwa #DAR_U_SALAAM (Dar es salaam) kama walivyo zoea wengi. Neno hilo ni neno la Kiarabu lenye maana ya NYUMBA YA AMANI. Neno hili sio geni Duniani, ukienda LEBANON utakuta Dar Salaam..

Kwa hiyo katika mambo tunayoweza kuyafundisha kama historia ni haya lakini sio huku tunakotaka kwenda.


Tujisahihishe
Hizi ndo akili za Waislam, tumbo, mambo yao ya ajabu ajabu tu!!! Wakialikwa ikulu wanaishia kula na kuondoka...
 
Kama kuna kitu Waislamu tunapaswa kukifanya katika kuandika HISTORIA yetu na ikasomwa kila baada ya sala ni hii ya Ikulu ya Magogoni hapa Dar es salaam maana ni historia yetu na ni halali kwetu kufanya hivyo ila sio kwenye suala la Mkataba wa Bandari; huko tunahitaji kuwa na ufahamu wa kutosha kuhusu mikataba ya kimataifa.

Viongozi wetu hasa Ma-Imamu wetu na wengine wanaokaribishwa kutoa neno, wakumbuke kwamba suala la Bandari linahitaji udadavuzi wa SHERIA na SIO SHARIA. Hili la Bandari halihitaji MUAZINI kulisimamia, linahitaji wataalamu wa sheria kulichambua nando maana hatua yakwanza kabisa kupinga ilipelekwa mahakamani kupata ufafanuzi wa kisheria, hukumu ikatoka kwamba mkataba unazo dosari unatakiwa kurekebishwa. Kitaalamu hii ilishindikana mahakama kutengua maamuzi ya Bunge bali ilishauri Bunge lipitie sheria hizo litekebishe huo mkataba. Kwa kifupi ni kwamba MKATABA hauna faida kwa taifa.

Katika eneo ambalo Waislam tunapaswa kuliellewa ni kwamba tunapaswa kulizingatia ni hili viongozi wetu kuweka maneno ya chuki dhidi ya imani zingine, tukishindwa kuwahoji misikitini basi tutoke tuwaache waendelee na SOGA zao baada ya IBADA.

Kuna ujinga unasambazwa kwamba UJIO wa DP World utalifanya KANISA lisiingize makontena yao kwa msamaha wa kodi. Innalillah Wainalillah rajiun; kwanza tutambue masuala yote ya kikodi yanapangwa na serikali yetu, ni suala la DP World kukabidhiwa list ya misamaha ya KODI kwa taasisi husika. Na hapo hakuna atakaepinga. DP World hawaji kupanga masuala ya kodi ama tozo za bandarini; bei elekezi za bandari zitaendelea kusimamiwa na TPA na TRA. Hili Waislam tulielewe; tusipuyange.

Yaani kwa kifupi ile misamaha ambayotuliipeleka ya kuomba kuondolewa kodi ya TENDE, msamaha wa kodi ya MAJI ya ZAMZAM na mengineyo DP WORLD watayakuta mezani. Halafu pia wataikuta list ya misamaha ya kodi ya VIFAA TIBA, VIFAA VYA KUJIFUNZIA WANAFUNZI SUNDAY SCHOOLS, SECONDARY, COLLEGES nk wataikuta pale. Kwa hiyo hakuna kitu KANISA watapoteza bali wenzetu wameenda mbali zaidi kwa kuangalia uhalali wa mkataba na sio kuhusu misamaha ya kikodi au kwa sababu mwekezaji ni kampuni kutoka taifa la kiarabu. Mataifa mangapi ya kiarabu yamewekeza hapa? Ukienda pale Ngorongoro kuna kampuni ngapi za kiarabu? Ukienda Loliondo pale kuna maeneo ukifika unakaribishwa UAE 🇦🇪, umewahi kuona kanisa linaongelea hayo?

Hawa akina Arab contractors wanaojenga Bwawa la Mwalimu Nyerere si wanatoka Misri? Au wale mnawachukulia kuwa ni wajukuu wa FARAO? Na hawa wanaojenga SGR si ni waarabu wa Uturuki 🇹🇷 ? Au wale mnawachukulia ni ndugu zake Ottoman? Jikiteni katika kuzijadili hojaza TEC na sio kuwajadili waliokaa kuzichambua hizo hoja.

Anyway; ngoja niwarudisheni kwenye historia kidogo kuhusu Ikulu ya Magogoni na hili mkalikalie vikao mlijadili pengine mnaweza kulidai iwe mali yetu Waislam maana kihistoria ni mali ya Waislam na hata Magufuli aliamua kuhamisha makao makuu Dodoma ili ikulu hii iwe sehemu ya historia mkapate kuijua hii Ikulu vema.

Pale mlango wa kuingia Ofisi ya Rais (Ikulu) kuna maandishi yanasomeka hivi (ادْخُلُوهَا بِسَلَامٍ آمِنِينَ), maandishi haya yanatoka katika Aya ya Quran Surat Al HIJR Aya Ya 46 inayosema
ادْخُلُوهَا بِسَلَامٍ آمِنِينَ
Wataambiwa "Wacha Mungu" Ingieni kwa salama na amani. Ikisomeka (Udkulu_Ha_Bi_Salamin_Aminina)

Jina Hili la (Dare Salaam) lilibadilishwa na Wajerumani Kutoka katika jina la Asili la (DARU SALAAM) baada ya Wajerumani kuwatoa Waislamu kimabavu katika eneo hilo na kuiweka Ikulu mwaka 1870.

Ikumbukwe kwamba Ikulu hii ilikuwa msikiti uliojengwa na Sultan Majid kutokea Zanzibar Mwaka 1865 kwa ajili ya watu kujifunzia Quran na kusoma elimu ya Dini ya kiislam (leo tungesema ulikuwa msikiti wenye chuo cha Madrasa ) ambako watu mbalimbali kutoka Congo, Malawi, walifika kusoma hapa. Jengo hili likaitwa #DAR_U_SALAAM (Dar es salaam) kama walivyo zoea wengi. Neno hilo ni neno la Kiarabu lenye maana ya NYUMBA YA AMANI. Neno hili sio geni Duniani, ukienda LEBANON utakuta Dar Salaam..

Kwa hiyo katika mambo tunayoweza kuyafundisha kama historia ni haya lakini sio huku tunakotaka kwenda.


Tujisahihishe
Daaah Maimum wanaomba kuondolewa kodi ya Tende?😝😝Nchi ngumu sana hii

Nimeelewa kwa nini Mama Samia kasema atakaa kimya tu.😇
 
Tatizo la mkataba wala halihusiani na dini ya kiislamu, tatizo limekuja hao wakosoaji wamelihusisha jambo la mkataba na dini ya raisi, uasili wake kuwa ni mzanzibari na hao wawekezaji ambao ni waarabu na ni waislamu, baada ya kushambuliwa dini ya kislamu ndiyo ukakuta waislamu wanarejesha mapigo. Kwa kweli waislamu kwenye mambo ya maendeleo ya kiserikali wala hawana shughuli nayo. Serikali na imekuwa ikiingia mikataba na nchi tofauti hujapata kusikia waislamu wametoa waraka, ila panapokuwa na uonevu, udhalilishwaji wa muislamu na dini kwa ujumla hapo waislamu hawana simile. Hayo mambo ya mkataba malizaneni wenyewe lakini msikashifu wala kuwatukana waislamu.
Faida ya mkataba wewe si mwenye ujuzi nao pia, kama ulivyosema kuna wajuzi basi nawe waachiye wajuzi wayashughulikiye mambo yao, tusije nasi tukadhani mfano wako ni wale watakaoathirika na uwekezaji wa DPW. Swala la uchumi wa nchi si swala la dini fulani ni swala la wananchi wote, hata hao waarabu huko nyuma walikuwa hawana lolote lakini baada ya uwekezaji kutoka nchi na watu tofauti na rasilimali zao chahche walizonazo leo nao wamekuwa na ukwasi mkubwa wa kutaka kuendeleza na nchi nyingine kwa manufaa ya wote. Elimu ya dini ya kislamu ni pana sana, kwenye uislamu kuna elimu ya sheria (asili ya neno ni sharia kwa kiarabu) ambayo ni pana sana kutokana na sheria hizo ndiyo leo unawaona waarabu wameendelea sana huko mashariki ya kati. Nchi kama UAE (Umoja wa Falme za Kiarabu) ambayo imepata uhuru 02-12-1971, nchi ndogo sana yenye kutegemea mafuta (na si falme zote zenye mafuta bali Abu Dhabi ndiyo yenye kuchimba sana mafuta) lakini wamepiga hatua kubwa sana kimaendeleo kuliko sisi nchi iliyopata uhuru 1961,
View attachment 2727262

mkuu unaweza ukaonyesha popote katika walaka wa TEC uislam wa rais ukihusishwa katika mkataba wa DP world??maana tuna uhakika hata markez wa SGR ni waislam wazuri kabisa lakini TEC hawana shida nao.
mnataka kutumia kete ya dini mkiwa na nia gani na taifa hili enyi wachumia tumbo mliokosa elimu mpaka busara???

tofauti ya TEC na hawa masheikh ni moja tu,wao wamejikita kwenye ubovu wa mkataba,nyinyi mnajikita kwenye kuwaparua wao,ndio maana inabidi uislam uingizwe kwa nguvu,bahati nzuri waislam walio wengi hawana imani na bakwata,hivyo itakuwa ngumu sana kueleweka mbele ya waislam kwa kete hii,hapa waislam hawana namna zaidi ya kutafiti kwanza wanachoambiwa watakataa kuwa ngamia tu.

mkataba ule sio code za nuclear,unasomeka na unaeleweka na yeyote tu,ni mpumbavu pekee atakayeamua kuukumbatia,bahati mbaya hata wanaoutetea wanaonekana hawakuusoma kabisa.

ni kweli kabisa elimu ya kiislam ni pana kabisa,lakini haihusiki kabisa kwenye mikataba ya bandari na raslimali za nchi,ndio maana unaona masheikh wanashihirisha hapa kwamba wameiva kwenye sharia ila wanatutangazia upumbavu walio nao.na kukusahihisha sharia hiyo haihusiani kabisa na maendeleo ya arab ya leo.
 
Mambo ya kumuambia mtu apumzike kwa amani ni upuuzi yeye kafa kafiri na atauona moto kama kawa,,,ni kama wewe kama ni kafiri moto pia utauona
Kikawaida Imani ya mwingine ni upumbavu mbele ya Imani yako. Vice versa is true.
 
Wale wazungu wa kahama barick wanachota dhahabu kila siku lakin sijasikia tamko lolote la TEC
Wanakwepa kukosa nguvu mbeleni ya kushindwa kutoa tamko ndio maana wametoa tamko sasa, kwa maana wakati wanapewa mamlaka ya kuchota hayo madini hawakuwa na uwezo wa kutoa tamko kama sasa...
 
Kuwa na kitabu kitakatifu kila mtu huwa anasema hivyo, tatizo lipo kwenye utekelezaji wa hicho kitabu.
Kwaimani yetu waislam hatuna kitukingine chakutufunza zaidi ya kitabu tukikiacha tumekwisha
 
Unajua kuchambua hoja kwa mantiki, tofauti na wakina Ritz The Boss na THE BIG SHOW wenye mihemko ya kidini miaka yote, wanaoona sifa kulinda ushetani wa ndugu yao katika imani, hata kama amefanya kosa la wazi linaloonekana kwa kila mmoja.

Hilo la ikulu ya Magogoni kama kweli ni jengo lenu, kalichukueni tu, inaonekana serikali waliichukua wakati huo wakiwa na upungufu wa majengo, tofauti na sasa tayari ipo ikulu ya Dodoma, kumbe Magufuli aliona mbali sana, inawezekana alijua baada ya muda sio mrefu mtaanza kulalamika, apumzike kwa amani huko alipo.

Umemsahau FaizaFoxy
 
Uko sahihi. Masheikh wapo kwenye majibizano ya kushindana, wakati maaskofu wanaweka mbele mustakbali wa Taiifa zima ndiyo maana huoni maaskofu wakiandika neno "sheikh", "uislamu", "waislamu" katika waraka wao.

Hao DP World wametimuliwa Djibouti nchi ya asilimia 98 waislamu tupu sembuse hapa kwetu!

Ishu hapa ni mkataba mbovu, siyo habari za uislamu wala Ukiristo

Mbona waislamu wa Uturuki wanajenga SGR maaskofu hawajatoa waraka?
Mbona Waislamu wa Misri wanajenga bwawa la Stieglers maaskofu hawajatoa waraka?

Qur'an inasema simamia haki na sema ukweli hata kama ukweli unakutandika wewe mwenyewe!

Usiposimamia haki na ukweli utaonekana kituko tu, bali yule asimamiaye ukweli atapata heshima!

Na ukweli haujalishi kausema paroko, askofu au imamu na sheikh!

Kwenye hili la bandari, maaskofu wapo katika ukweli na haki!
Uzuri maaskofu wakishasema hawarudi kukujibu.

Tatizo waislamu hawana Elimu ya kuchanganya na Ile ya madrasa. Wamepungukiwa Sana!

Elimu ya DINI bila Elimu ya duniani/shule Mara nyingi Ni fujo!
 
Kama kuna kitu Waislamu tunapaswa kukifanya katika kuandika HISTORIA yetu na ikasomwa kila baada ya sala ni hii ya Ikulu ya Magogoni hapa Dar es salaam maana ni historia yetu na ni halali kwetu kufanya hivyo ila sio kwenye suala la Mkataba wa Bandari; huko tunahitaji kuwa na ufahamu wa kutosha kuhusu mikataba ya kimataifa.
yafundisha kama historia ni haya lakini sio huku tunakotaka kwenda.


Tujisahihishe
Natumaini sheikh Mwaipopo ataisoma hii.
 
Back
Top Bottom