Sisi tuna elimu tuliobarikiwa na Mungu.Hili swali watakimbia.
Dunia ni Duara...
MUNGU haabudiwi kwa Dira.
MUNGU anaabudiwa ndani ya Moyo safi.
Heri wenye Moyo safi maana hao watamuona Mungu
MATHAYO 5:8.
Sisi tuna elimu tuliobarikiwa na Mungu.
Hatukimbii mawali kama wewe mpotoshaji.
Wakristo hata ukiwaambia vueni nguo ni wawekee dawa kwenye tupu kwa kutumia mb@00 wanakubali hizo ni akili jamaa kawaambia wafunge wakakubali mpaka wanakufa na wengine walichomwa moto
Kama hakuna hilo andiko lisemalo UKRITO NI DINI SI USEME TU KUWA HAKUNA, unarukaruka nini wewe kafiri.Quran 2:97
Unatarajia nini wakati allah hasikii sala kwa lugha nyingine zaidi ya kiarabu😂😂Kwahiyo msikiti ukielekezwa Ulaya, Mungu hasikilizi sala za waumini?
Nakuuliza tena, Yesu unaemuongele wewe ni yupi wee kafiri?WANACHONISHANGAZA HAWAJUI KUWA QURAN INASEMA NITAWAZAENI HAPA DUNIANI NA NITAWAPOTEZA WOTE.
QURAN 15:39 - Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote
INSHORT YEYE ASIYE MPOKEA YESU KRISTO ATAPOKEA BIKRA NA MITO YA POMBE HUKO KUZIMU.
SHETANI AMESEMA ATAWAPOTEZA WAISLAMU WOTE.
NO.QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.
QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
MADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN
1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?
2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI?
JIBU NI SHETANI.
SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
Navisoma.# Soma VITABU VILIVYO tangulia
Kafiri hana kweli ndani yake.NO.
Umeandika uongo mkuu, hebu subiri kwanza soon, eti binti FaizaFoxy Accumen Mo na Mufti kuku The Infinity hicho alichoandika huyu mtu ni kweli?.
Unatarajia nini wakati allah hasikii sala kwa lugha nyingine zaidi ya kiarabu😂😂
Na ndio maana Yesu nae akawa Mwaarabu na akaagiza aabudiwe mungu peke yake.Unatarajia nini wakati allah hasikii sala kwa lugha nyingine zaidi ya kiarabu😂😂
Wagalatia tu ndiyo atakuona wa maana ila ww ni mwehu flani hv usio elewa chochote kuhusu Quran.TATIZO WAISLAMU HUWA HAWASOMI WANAKALILISHWA HAWAJUI KWAMBA WAO NA MAJINI NI KITU KIMOJA.
Allah anasema, " Nami sikuwaumba MAJINI na watu ila WANIABUDU Mimi."
Quran 51:56.
Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote"Qur'an 15:39
Quran 72:1
"Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu!"
Tatizo wana uongo mwingiNO.
Umeandika uongo mkuu, hebu subiri kwanza soon, eti binti FaizaFoxy Accumen Mo na Mufti kuku The Infinity hicho alichoandika huyu mtu ni kweli?.
Kama hakuna hilo andiko lisemalo UKRITO NI DINI SI USEME TU KUWA HAKUNA, unarukaruka nini wewe kafiri.
2:97 usioielewa nakuelewesha na hapo soma vizuri, maadui wa Jibril wametajwa hapo, ukiwemo na wewe.
Maadui wa jibril ni wale wote wenye uadui dhidi ya nabii Muhammad kwa kupewa Utume, kwa kuwa Jibril ndie alietumwa na Mungu, ukimchikia nabii Muhammad ndio unakua adui wa Jibril alietumwa, Mikaili, Malaika wote na adui wa Mungu pia kwa kuwa yeye ndie aliemtuma huyo Jibri.
Andiko hilo halitaji hata neno kristo.
Lete andiko tujue dini yako kama isemavyo bibilia.
4:5-6. AYUBU.
5 Lakini sasa haya yamekufikilia wewe, nawe wafa moyo; Yamekugusa, nawe wafadhaika.
6 Je! Dini yako siyo mataraja yako, Na matumaini yako si huo uelekevu wa njia zako?
Naona unampambania mnyaazi ili ukifika huko akupe mito ya pombeYaani shida kubwa ya wakristo ni kuto kubaliana na bibilia yao wenyewe ndio maana hawaelewani.
Ukisoma bibilia utakuta yenyewe inapin'gana, haijisimamii na kupelekea kuamini maneno ya wachungaji na kuacha kilicho sahihi.
Wote wanatumia bibilia ila hawaelewani, Msabato kivyake, Mlokole kivyake, Mroma kivyake yaani tafrani. Na kupelekea wivu kwa Waislamu.
Kina Yesu wapo wengi ktk bibilia.
Injili tu ziko kadhaa
Eg. Wa Injili tofauti kabisa na ya Yesu, hii ni ya Paulo na Petro:-
WAGALATIA 2:7.
7 bali, kinyume cha hayo, walipoona ya kuwa nimekabidhiwa injili ya wasiotahiriwa, kama vile Petro ya waliotahiriwa;
Halafu mtu anakwambia soma vitabu vilivyotangulia, akidhani waislamu hatuvijui kumbe yeye ndio hajui hata anachokiamini, wakati bibilia imeshawaweka wazi ya kwamba:-
MATHAYO. 10:26.
26 Basi, msiwaogope, kwa maana hakuna neno lililositirika, ambalo halitafunuliwa; wala lililofichwa, ambalo halitajulikana.
Acha wivu, na ya kulalia ipo mkuu, tena kwa bilauri ya dhahabu.Naona unampambania mnyaazi ili ukifika huko akupe mito ya pombe
Sawasawa 👍Anasikiliza. Kwani hakimu hasikilizi utetezi wa mshitakiwa wake na anamuhukumu kwenda jela?
Kwa mujibu wa Uislamu, msikiti sio jengo la mtu biafsi, bali ni nyumba ya Mungu kwa ajili ya ibada. Hivyo ni lazima jengo hilo lijengwe kwa mujibu wa Mungu anavyotaka.
Lengo sio ulaya, inawwzekana pia kwa bujibu wa jografia ya eneo fulani, ukajikuta huko maaqa/kaskazini ndio ulaya pia, ikatofautiana uelewa tu, huyu kaelekea kaskazini kiuelewa na yule akaona kaelekea ulaya.
Ndio..IVI KUNA WATU NA AKILI TIMAMU BADO WANAAMINI HII DINI?????