Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI?

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
Vita kuu ya tati ya dunia hii
 
WALA SISHANGAI HAYA NDIO MAFUNDISHO YA CHUKI WANAYOFUNNDISHWA KANISANI

SISHANGAI kwasababu Quran ilipelekwa kwa WAJINGA.....

Quran 62:2 - Yeye ndiye aliye mpeleka Mtume kwenye watu wasio jua kusoma, awasomee......

MTUME HAKUJUA KUSOMA NA AKAWASOMEA WASIOJUA KUSOMA.

Chuki wanayonwazee wa nchi za kiislamu angalia wanavyo chinjana, kuuana, wao kisasi kwao ni Haki.

Sisi kisasi kwetu ni juu ya Mungu..

TUNASEMA HAYA KWA LENGO LA KUWASAIDIA SISI TULIKUWA HUKO KWENU KWENYE SHIMO LA JEHANAM YESU AKATUKOMBOA.
 
Kwani ulivyosema masomo ya Jiografia uligundua kuwa kibla ipo sehemu gani ukiwa upande fulani wa dunia ?
 
Kuna mtu aliniambia jamaa wanaabudu shetani.

Kwa andiko hilo nimethibitisha nilichokisikia.


TATIZO WAISLAMU HUWA HAWASOMI WANAKALILISHWA HAWAJUI KWAMBA WAO NA MAJINI NI KITU KIMOJA.

Allah anasema, ➡"Nami sikuwaumba MAJINI na watu ila WANIABUDU Mimi."⬅
Quran 51:56.


Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote"⬅ Qur'an 15:39

Quran 72:1

"➡Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu!"⬅

ITAFUTENI KWELI TAFUTENI VITABU VILIVYO TANGULIA.
 
Kwani ulivyosema masomo ya Jiografia uligundua kuwa kibla ipo sehemu gani ukiwa upande fulani wa dunia ?

WAISLAMU WANAABUDU JIWE JEUSI ALIPO SHETANI.
SHIMO LA KUZIMU.

1 Malaika wa tano akapiga baragumu, nikaona nyota iliyotoka mbinguni, imeanguka juu ya nchi; naye akapewa ufunguo wa shimo la kuzimu.
Ufunuo wa Yohana 9:1

MISIKITI YOTE INAELEKEA ALIPO SHETANI PALE WANAPENDA KU HIJI.
 
Kweli nimeamini uislam uko Zanzibar, Pwani na Ujiji. Niko mkoa Fulani huku Bara kuna msikiti unaelekezwa ulaya na si Kibla kama ilivyozoeleka.

Ni nadra Sana kukuta kosa kama Hili huko Pwani
kumbe kuna ubaguz mpka kweny location?
 
WAISLAMU WANAABUDU JIWE JEUSI ALIPO SHETANI.
SHIMO LA KUZIMU.

1 Malaika wa tano akapiga baragumu, nikaona nyota iliyotoka mbinguni, imeanguka juu ya nchi; naye akapewa ufunguo wa shimo la kuzimu.
Ufunuo wa Yohana 9:1

MISIKITI YOTE INAELEKEA ALIPO SHETANI PALE WANAPENDA KU HIJI.
sawa,wewe wasema.
 
TATIZO WAISLAMU HUWA HAWASOMI WANAKALILISHWA HAWAJUI KWAMBA WAO NA MAJINI NI KITU KIMOJA.

Allah anasema, ➡"Nami sikuwaumba MAJINI na watu ila WANIABUDU Mimi."⬅
Quran 51:56.


Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote"⬅ Qur'an 15:39

Quran 72:1

"➡Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu!"⬅

ITAFUTENI KWELI TAFUTENI VITABU VILIVYO TANGULIA.
Watu mnajua kupika chai sana, tena hii ya rangi, tatizo imewekewa sukari guru.
 
Ulitakiwa uende hapo kwenye uwo uongozi wa msikiti ukaawambie hayo..
 
Mkuu uwe unatumia akili na logic wakati mwingine....sasa Watanzania wa bara wajue Kibla iko wapi inawasaidia nini maishani? Kwani ukisali hivi hivi Mungu akusikii mpaka msikiti uwe unaangalia Kibla? Hivi vitu vingine mnavyokariri ni ujinga mtupu tu. Rudini shule jamani muondoe ujinga.
😂😂😂😂😂
 
@Stroke ndio maana mnauliwa kwa njaa mana sio kwa akili hizi
Mkuu wale ni ujinga wao, mbona wanavaa mabomu wanajilipua😂😂😂 huo ni ujinga watu walioamua kufanya havihusiani na mafundisho ya DINI, siyo vzuri kukashifiana kwenye hizi DINI
 
Back
Top Bottom