Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

ANGALIA HAPA JINSI QURAN ILIYOANDIKWA NA MASHETANI NA MUNGU AKIWA ANAWASHUHUDI.

2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini....

AYA HII MUNGU AKISHUHUDIA ADUI IBILISI.

.QURAN 4:79 - Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

1. JE HAO WALIOMTUMA MWAMEDI NI AKINA NANI....????

2. JE MUNGU ANAWEZAJE KUWA UPANDE WA SHAHIDI WAKATI YEYE NDIYE AMEMTUMA??????

3. SHAHIDI ANAKUWA NI THIRD PARTY AU FIRST???


TUNAWAAMBIA HAYA ILI MUIJUE KWELI.

Hizo aya mnaziweka siku zote na mlishajibiwa sana lakini mnashindwa kuutetea ukristo mnaleta tena na tena

Haya nakujibu tena maana akili zenu ni Za kuku

Hiyo Aya Quran 4 : 79 imetanguliwa na aya 78 kabla jee zilisemaje hata urukie ya 79 ?
 
Tuanzishe dini za Kiafrika. Hizi zilizokuja na meli baadae wanatuona kama si wenzao tuzikatae. Wayahudi wa Israel hawathamini Wakristu lakini Wakristu wanashobokea Israel. Waislam wanawashobokea Waarabu lakini Waarabu wanawanyanyasa dada zetu wakienda kufanya kazi za ndani.
Afrika tuamke tuwe na utaratibu wetu wa kuabudu.
 
Tuanzishe dini za Kiafrika. Hizi zilizokuja na meli baadae wanatuona kama si wenzao tuzikatae. Wayahudi wa Israel hawathamini Wakristu lakini Wakristu wanashobokea Israel. Waislam wanawashobokea Waarabu lakini Waarabu wanawanyanyasa dada zetu wakienda kufanya kazi za ndani.
Afrika tuamke tuwe na utaratibu wetu wa kuabudu.

Kwani lazima mkafanye kazi nje ?
 
Ndiyo, wapo watu wenye akili timamu wanaamini hii Dini kuwa ndio Dini ya Mungu, na hao ndio wanaitwa kwa kiswahili ni WANYENYEKEVU, kiarabu WAISLAMU.
Kwani wewe huwajui watu hao?

3:19 QUR-AN.
19. "Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu."

Hiki ni ushahidi wa waislamu ktk kuamini kwao.

Wewe lete andiko lisemalo UKRISTO NI DINI, kuanzia mwanzo hadi ufunuo.

Nipo pale nasubiri mkuu.


KUMBE NDIO UJINGA MNAOJAZWA MSIKITINI MASIKINI.

DINI NI NENO LA KIARABU LENYE MAANA YA NJIA.

Naomba nikuthibitishie kuwa UKRISTO SIO DINI ni MATENDO MEMA ya Kumfuata Yesu kristo,mwana WA MUNGU ALIYE hai aliyekuja kufanya upatanishi kati yetu na Mungu Baba yake. ( UKRISTO NI Ufuasi kuwa mfuasi wa Yesu kristo)
Katika kutenda sawa sawa na Yoote aliyoagiza

UKRISTO NI KUJISALIMISHA NA KUNYENYEKEA MBELE ZA MUNGU KWA KUFUATA MAFUNDISHO YOTE ALIYOMTUMA YESU KRISTO.


YOHANA 14: 6
Mimi ndimi njia na kweli na Uzima mtu haji kwa Baba ila mimi.
Kama kweli Yesu ndie njia ya kweli na Uzima basi Lazima ni mfuate kwa sababu alifia dhambi ya Ulimwengu.
LAANA ya Adamu pale edeni.
Dhambi AMBAYO Ulimwengu mzima tulilaaniwa kupitia Adamu.

WARUMI 8:9.
Lakini ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu, ninyi hamwufuati mwili; bali mwaifuata roho. Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wa kristo.

MANABII WALIKUWA NA ROHO WA KRISTO.

1PETRO 1:10.
Katika habari ya wokovu huo manabii walitafuta-tafuta na kuchunguza-chunguza, ambao walitabiri habari za neema itakayowafikia ninyi.

Wakatafuta ni wakati upi, na wakati wa namna gani ulioonywa na Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao, ambaye alitangulia kuyashuhudia mateso yatakayompata Kristo, na utukufu utakaokuwako baada ya hayo.



HAPA NDIPO WALIOKUBALI KUMFUATA MAFUNZO YA YESU WANAITWA WAKRISTO.

hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia.

Matendo ya Mitume 11:26



NINYI WAISLAMU HAMNA ROHO WA MUNGU.
HAMNA ROHO WA YESU KRISTO.

Quran INASEMA WAISLAMU HAMJUI mambo ya Roho.
Na wakikkuuliza mambo ya Roho sema hatuujui mambo ya Roho.


QURAN INATUAMBIA WALE WALIO AMINI NI WA KRISTO.

Quran 2:62 - Hakika Walio amini, ni Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika.


UKRISTO SIO KIBOKSI NI MATENDO MEMA SAWASAWA NA YESU KRISTO WA NAZARETH.
 
Sijajua kwa upande wako unaposema kusali unamaanisha nini ila, kama unamaanisha kuomba/kumuomba MUNGU na kuskia maombi yako haijalishi umeangalia wapi hata ukiangalia uvungu wa kitanda unaweza ukamuomba tu haina shida.

Ila kwa utaratibu wa KUSALI/KUSWALI ambao ameuweka MUNGU kwa DINI ya KIISLAM amesema unaposwali (SIO KUOMBA) unaposwali unatakiwa kuangalia QIBLA.

KARIBU SANA.
Nini maana ya kuswali
 
Wahiyo Mungu aandike TORATI, ZABURI , INJILI.

VYOTE VI 3 VISIWEPO IWEPO QURANI TU????

NYIE AKILI ZENU NI FUPI SANA.
NAPOTEZA MUDA KUELEKEZA WAJINGA
Wewe mwenye akili nyingi ni
Wapi Mungu kasema kaandika hivyo vitabu ?
 
UJINGA KATIKA DINI YA MOOD.

QURAN 34.44
44. Wala hatukuwapa Vitabu wavisome, wala hatukuwatumia Mwonyaji kabla yako wewe.
QURAN 62.3
3. Na kwa wengine ambao bado hawajaungana nao. Na Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
Quran 16.43.
43. Nasi hatukuwatuma kabla yako ila watu wanaume tulio wapa Wahyi (Ufunuo). Basi waulizeni wenye ukumbusho kama nyinyi hamjui
Quran 16.125
125. Waite waelekee kwenye Njia ya Mola wako Mlezi kwa hikima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi aliye ipotea Njia yake, na Yeye ndiye anaye wajua zaidi walio ongoka.
Hizi Aya zoote zinakiridini/Imani ya UKRISTO na UYAHUDI vitabu vyao vilitanguli kabla Ya uislamu.

WAO WATAKWAMBIA MANABII WOTE NI WAISLAMU. NJE YA QURAN HAKUNA UISLAMU.
Wewe tuambie mmoja tu, sio wote. YESU ALIKUA DINI GANI?
JARIBUNI KUAMINI VITABU VILIVYO TANGULIA.
Tunaviamini. Na tunaamini hadi bibilia kwamba kuna baadhi ya maandiko/manene matakatifu ya Mungu na baadhi ni maneno ya wanaadamu.
Agano la kale katika Biblia limeandikwa miaka zaidi ya 3200 iliyopita wakati Agano Jipya limeandikwa miaka 2000.

Hiyo Quran imeandikwa miaka 1400 iliyopita.
Mnyenyekevu/Muislamu anaamini kilicho sahihi bila kuangalia kina umri gani. Jifunze kuamini kilicho sahihi sio kilicho na wengi.
Ukiwa na akili tu lazima ujuwe ni kipi kitabu cha ukweli.
Ni sahihi. Ila amini kilicho sahihi.
WUKRISTO NI KUOKOA WALE WALIOPOTEA.
Bado nipo palee...
Nikisubiri andiko kuanzia mwanzo hadi ufunuo lisemalo, UKRISTO NI DINI.
 
FAIDA ZA KUWA MKRISTO.



1. UKIWA MKRISTO UNARITHI AHADI ZA IBRAHIM.

WAGALATIA 3:29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.

Hakika Tunajivunia sana kuwa Wakristo kwa kuwa ni warithi sawasawa na Ahadi ya Mungu kuurithi UFALME wa MBINGUNI.

2. KWA WALE WA KRISTO YESU AMEENDA KUWAANDALIA MAKAO YA UZIMA WA MILELE.
1Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi.
2 Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali.
Yohana 14:2
3 Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi mwepo.
Yohana 14:3


AHADI ZA MWAMEEDIIII NI KUENDA PEPONI NA KUPATA BIKRA SABINI.

KUKESHA KWENYE MITO YA ULEVI.
 
44. Wala hatukuwapa Vitabu wavisome, wala hatukuwatumia Mwonyaji kabla yako wewe.

3. Na kwa wengine ambao bado hawajaungana nao. Na Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.

43. Nasi hatukuwatuma kabla yako ila watu wanaume tulio wapa Wahyi (Ufunuo). Basi waulizeni wenye ukumbusho kama nyinyi hamjui

125. Waite waelekee kwenye Njia ya Mola wako Mlezi kwa hikima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi aliye ipotea Njia yake, na Yeye ndiye anaye wajua zaidi walio ongoka.

Wewe tuambie mmoja tu, sio wote. YESU ALIKUA DINI GANI?

Tunaviamini. Na tunaamini hadi bibilia kwamba kuna baadhi ya maandiko/manene matakatifu ya Mungu na baadhi ni maneno ya wanaadamu.

Mnyenyekevu/Muislamu anaamini kilicho sahihi bila kuangalia kina umri gani. Jifunze kuamini kilicho sahihi sio kilicho na wengi.

Ni sahihi. Ila amini kilicho sahihi.

Bado nipo palee...
Nikisubiri andiko kuanzia mwanzo hadi ufunuo lisemalo, UKRISTO NI DINI.


NiTAJIE FAIDA ZA KUWA MUISLAMU.

AHADI ZA PEPONI NI ZIPI??
 
Pamoja na kwamba mimi sio Islamic, lakini niliwahi kujifunza kwamba.... Ikiwa upo Afrika Mashariki, kawaida Qiblah ni kaskazini. Hivyo mkono wako wa kuume ukielekea kunapochomoza jua na mkono wa kushoto kunapotua jua basi uso wako utakuwa umeelekea Makkah.
Ikiwa ni hivi basi kuna misikiti mingi sana inayokosea hilo

Kwa mfano wako huo Mimi ninajua msikiti mmoja tu ulioelekeza mlango wake Makka

Mingine yote ninayoifahamu imeelekezwa mahala tofauti tofauti
 
Kwahiyo msikiti ukielekezwa Ulaya, Mungu hasikilizi sala za waumini?
Hasikilizi, Allah hana muda huo

Hata ukimchinja mnyama au ndege yeyote kama kuku usipomuelekezea makka hapo umekula kibudu

Kafiri wewe [emoji23]
 
NiTAJIE FAIDA ZA KUWA MUISLAMU.

AHADI ZA PEPONI NI ZIPI??
Faida zipo nyingi, Mvinyo safi utakaokuwa unatiririka

Wanawake safi Mabikira 72 (Houri) ambao bikira zao zinajirudia...ukimbikiri wa kwanza na kuendelea mathalani umefikia wa 36 yule wa kwanza bikira yake inaota tena

Nyie Wagalatia mtakosa vitu vingi sana
 
Dini ni njia.
Yesu ni njia ya kweni na uzima...
Wewe Dini yako ni Yesu?
NiTAJIE FAIDA ZA KUWA MUISLAMU.
Zipo nyingi sana, nikiziorodhesha hapa utapata wivu bureee ila kubwa kuliko ni kuwa muislamu/mnynyekevu.
AHADI ZA PEPONI NI ZIPI??
Pepo anayetoa ni Mungu. Ahadi yake kwa Waislamu ni...

QUR-AN. 43:68-71

68. Enyi waja wangu! Hamtakuwa na khofu siku hiyo, wala hamtahuzunika.

69. Ambao waliziamini Ishara zangu na walikuwa Waislamu.

70. Ingieni Peponi, nyinyi na wake zenu; mtafurahishwa humo.

71. Watakuwa wanapitishiwa sahani za dhahabu na vikombe; na vitakuwamo ambavyo nafsi zinavipenda na macho yanavifurahia, na nyinyi mtakaa humo milele.

Hiyo ni ahadi ya Mungu kwetu sisi waislamu.

TETE ANDIKO WEWE MKRISTO UKIFA UNAENDA WAPI?
 
Hasikilizi, Allah hana muda huo

Hata ukimchinja mnyama au ndege yeyote kama kuku usipomuelekezea makka hapo umekula kibudu

Kafiri wewe [emoji23]
Interesting 🤣🤣🤣🤣.
Ukisikia kafiri pro max ndo mimi
 
UFUNUO 9 11

Na juu yao wanaye mfalme, naye ni malaika wa kuzimu, jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani analo jina lake Apolioni.
Ufunuo wa Yohana


NGOJA WAAMKE WAO NI HASIRA NA HAWAJUI KUJENGA HOJA, UFUNUO 9 IMEANDIKA.

NINACHOIPENDA BIBLE ILIANDIKWA YOOTE KWAMBA HII DINI ITAKUJA DUNIANI.
Mkuu uislam upo na utaendelea kuwepo amini unacho amini na sisi tutaamini tunacho kiamini wewe una dini na imani yako nasisi tuna dini yetu na imani yetu. Ulishe moyo wako upendo utakuwa na afya njema usiupe moyo wako chuki utaharibu afya yake.
 
Faida zipo nyingi, Mvinyo safi utakaokuwa unatiririka

Wanawake safi Mabikira 72 (Houri) ambao bikira zao zinajirudia...ukimbikiri wa kwanza na kuendelea mathalani umefikia wa 36 yule wa kwanza bikira yake inaota tena

Nyie Wagalatia mtakosa vitu vingi sana

Wagalatia watapata raha ya kugeuzwa ndafu au sangara

images
 
Back
Top Bottom