Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

UFUNUO 9 11

Na juu yao wanaye mfalme, naye ni malaika wa kuzimu, jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani analo jina lake Apolioni.
Ufunuo wa Yohana


NGOJA WAAMKE WAO NI HASIRA NA HAWAJUI KUJENGA HOJA, UFUNUO 9 IMEANDIKA.

NINACHOIPENDA BIBLE ILIANDIKWA YOOTE KWAMBA HII DINI ITAKUJA DUNIANI.
UFUNUO 9 11

Na juu yao wanaye mfalme, naye ni malaika wa kuzimu, jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani analo jina lake Apolioni.
Ufunuo wa Yohana


NGOJA WAAMKE WAO NI HASIRA NA HAWAJUI KUJENGA HOJA, UFUNUO 9 IMEANDIKA.

NINACHOIPENDA BIBLE ILIANDIKWA YOOTE KWAMBA HII DINI ITAKUJA DUNIANI.

Ukishakuwa msabato au mlokole kunakuwa na tatizo fulani hivi la mentality. Hoja zao ni hizihizi,
* Warumi ni wapinga kristo tena ni mafreemason
*Waisalmu nao wapinga kristo! Wanafuga majini! Wakati wao kutwa wanashinda kanisani wakiigiza nayo kuwa wanatoa upako
*Marekani pia ni inaendeshwa na freemasons mpunga kristo ( Hellen G. White ) pia nabii na muasisi wao hapa wanamtoa!
 
Hakuna tafsiri hiyo uliyopewa katika vijiwe vya pombe za kienyeji.Qur'an inaangaliwa kwenye lugha ya kiarabu,ndio Qur'an,hiyo uliyoandika ni tafsiri ya Qur'an sio Qur'an,tafsiri ni tofauti na Qur'an yenyewe.Mwenyezi Mungu alidhajua mapema kuwa mtakuja wapotoshaji,kwa hiyo akaweka ulinzi wa kuwa,tafsiri ya Qur'an SIO Qur'an,itabaki kuwa ni tafsiri.Na Qur'an ni Ile ya lugha ya kiarabu.
Ukianza kusoma Qur'an,:Qur'an unasoma kwa kumlani shetani,ni nani atakaye andika kitabu,halafu ajilani.
Ndani ya Qur'an kuna aya nyingi za kumlani shetani,na kuitwa ni adui wa binadamu,vipi shetani atunge kitabu halafu awaambie binadamu kuwa yeye ni adui yao:
Qur'an 23:60
"Je,sikukuusieni enyi wanadamu kuwa MSIMUABUDU SHETANI ?Hakika yeye ni adui aliye dhahiri kwenu".
Ikiwa shetani ndio ameandika Qur'an,kwa nini ajipinge mwenyewe aseme yeye ni adui wa binadamu,na asiabudiwe.

UJINGA NI KIPAJI.

KWAHIYO UMEANZA KUWAPINGA MAGWIJI WALIO TLANSLATE LUGHA?????
(KUBADILI LUGHA)?????

HAPO NI KUBADIRI LUGHA KUTOKA KIARABU KUJA KISWAHILI . SIO KUTAFSIRI.

MBWA - DOG.
SIO TAFSIRI NI KUBADILI LUGHA
means kiingeleza HAKINA maneno ya kiswahili.

Ama KWELI jamani TUNAANGAMIZA kwa ujinga wetu
 
Ukishakuwa msabato au mlokole kunakuwa na tatizo fulani hivi la mentality. Hoja zao ni hizihizi,
* Warumi ni wapinga kristo tena ni mafreemason
*Waisalmu nao wapinga kristo! Wanafuga majini! Wakati wao kutwa wanashinda kanisani wakiigiza nayo kuwa wanatoa upako
*Marekani pia ni inaendeshwa na freemasons mpunga kristo ( Hellen G. White ) pia nabii na muasisi wao hapa wanamtoa!


QURAN INASEMA NITAWAZAENI HAPA DUNIANI NA NITAWAPOTEZA WOTE.

QURAN 15:39 - Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote


INSHORT YEYE ASIYE MPOKEA YESU KRISTO ATAPOKEA BIKRA NA MITO YA POMBE HUKO KUZIMU.
 
QURAN INASEMA NITAWAZAENI HAPA DUNIANI NA NITAWAPOTEZA WOTE.

QURAN 15:39 - Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote


INSHORT YEYE ASIYE MPOKEA YESU KRISTO ATAPOKEA BIKRA NA MITO YA POMBE HUKO KUZIMU.
Quran haisomwi kama mnavyosomewa bibla na wachungaji wenu...Aya Moja mengine ni MAELEKEZO na tafsiri ya mchungaji au nabii.

Tafuta Quran yenye tafsiri sahihi. Soma sura mzima sio kipande/Aya alafu unatolea maelezo. Quran inajitosheleza haiitaji ufafanuzi wako!
 
Hakuna tafsiri hiyo uliyopewa katika vijiwe vya pombe za kienyeji.Qur'an inaangaliwa kwenye lugha ya kiarabu,ndio Qur'an,hiyo uliyoandika ni tafsiri ya Qur'an sio Qur'an,tafsiri ni tofauti na Qur'an yenyewe.Mwenyezi Mungu alishajua mapema kuwa mtakuja wapotoshaji,kwa hiyo akaweka ulinzi wa kuwa,tafsiri ya Qur'an SIO Qur'an,itabaki kuwa ni tafsiri.Na Qur'an ni Ile ya lugha ya kiarabu.
Ukianza kusoma Qur'an,:Qur'an unasoma kwa kumlani shetani,ni nani atakaye andika kitabu,halafu ajilani.
Ndani ya Qur'an kuna aya nyingi za kumlani shetani,na kuitwa ni adui wa binadamu,vipi shetani atunge kitabu halafu awaambie binadamu kuwa yeye ni adui yao:
Qur'an 23:60
"Je,sikukuusieni enyi wanadamu kuwa MSIMUABUDU SHETANI ?Hakika yeye ni adui aliye dhahiri kwenu".
Ikiwa shetani ndio ameandika Qur'an,kwa nini ajipinge mwenyewe aseme yeye ni adui wa binadamu,na asiabudiwe.
Q.23:62 "Na bila shaka aliwapoteza viumbe wengi miongoni mwenu :je hamkuwa wenye kufikiri?"
23:63 "Basi hii ndio Jahanamu mliokuwa mkiahidiwa."
23:64 "Ingieni leo kwasababu ya ukafiri wenu."



USHAURI WANGU KWAKO SOMA VITABU VILIVYO TANGULIA.



UJINGA KATIKA DINI YA MOOD.

QURAN 34.44
QURAN 62.3
Quran 16.43.
Quran 16.125

Hizi Aya zoote zinakiridini/Imani ya UKRISTO na UYAHUDI vitabu vyao vilitanguli kabla Ya uislamu.

WAO WATAKWAMBIA MANABII WOTE NI WAISLAMU. NJE YA QURAN HAKUNA UISLAMU.

JARIBUNI KUAMINI VITABU VILIVYO TANGULIA.

Agano la kale katika Biblia limeandikwa miaka zaidi ya 3200 iliyopita wakati Agano Jipya limeandikwa miaka 2000.

Hiyo Quran imeandikwa miaka 1400 iliyopita.

Ukiwa na akili tu lazima ujuwe ni kipi kitabu cha ukweli.

TUNAWAOKOA WITO WA UKRISTO NI KUOKOA WALE WALIOPOTE.
UFUNUO UNAITA DINI HIYO NI SHIMO LA KUZIMU
 
USHAURI WANGU KWAKO SOMA VITABU VILIVYO TANGULIA.



UJINGA KATIKA DINI YA MOOD.

QURAN 34.44
QURAN 62.3
Quran 16.43.
Quran 16.125

Hizi Aya zoote zinakiridini/Imani ya UKRISTO na UYAHUDI vitabu vyao vilitanguli kabla Ya uislamu.

WAO WATAKWAMBIA MANABII WOTE NI WAISLAMU. NJE YA QURAN HAKUNA UISLAMU.

JARIBUNI KUAMINI VITABU VILIVYO TANGULIA.

Agano la kale katika Biblia limeandikwa miaka zaidi ya 3200 iliyopita wakati Agano Jipya limeandikwa miaka 2000.

Hiyo Quran imeandikwa miaka 1400 iliyopita.

Ukiwa na akili tu lazima ujuwe ni kipi kitabu cha ukweli.

TUNAWAOKOA WITO WA UKRISTO NI KUOKOA WALE WALIOPOTE.
UFUNUO UNAITA DINI HIYO NI SHIMO LA KUZIMU
Acheni kukaa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji mkidanganyana,mkishalewa.
screengrab-20230507-111028.jpg
 
USHAURI WANGU KWAKO SOMA VITABU VILIVYO TANGULIA.



UJINGA KATIKA DINI YA MOOD.

QURAN 34.44
QURAN 62.3
Quran 16.43.
Quran 16.125

Hizi Aya zoote zinakiridini/Imani ya UKRISTO na UYAHUDI vitabu vyao vilitanguli kabla Ya uislamu.

WAO WATAKWAMBIA MANABII WOTE NI WAISLAMU. NJE YA QURAN HAKUNA UISLAMU.

JARIBUNI KUAMINI VITABU VILIVYO TANGULIA.

Agano la kale katika Biblia limeandikwa miaka zaidi ya 3200 iliyopita wakati Agano Jipya limeandikwa miaka 2000.

Hiyo Quran imeandikwa miaka 1400 iliyopita.

Ukiwa na akili tu lazima ujuwe ni kipi kitabu cha ukweli.

TUNAWAOKOA WITO WA UKRISTO NI KUOKOA WALE WALIOPOTE.
UFUNUO UNAITA DINI HIYO NI SHIMO LA KUZIMU
SOMA TENA, USIPOELEWA ULIZA.

CAPO DELGADO said:
UJINGA KATIKA DINI YA MOOD.

QURAN 34.44
44. Wala hatukuwapa Vitabu wavisome, wala hatukuwatumia Mwonyaji kabla yako wewe.

CAPO DELGADO said:
QURAN 62.3

3. Na kwa wengine ambao bado hawajaungana nao. Na Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.

CAPO DELGADO said:
Quran 16.43.

43. Nasi hatukuwatuma kabla yako ila watu wanaume tulio wapa Wahyi (Ufunuo). Basi waulizeni wenye ukumbusho kama nyinyi hamjui

CAPO DELGADO said:
Quran 16.125

125. Waite waelekee kwenye Njia ya Mola wako Mlezi kwa hikima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi aliye ipotea Njia yake, na Yeye ndiye anaye wajua zaidi walio ongoka.

CAPO DELGADO said:
Hizi Aya zoote zinakiridini/Imani ya UKRISTO na UYAHUDI vitabu vyao vilitanguli kabla Ya uislamu.


Uislamu ni kiarabu kiswahilini ni Unyenyekevu.
11:29. MATHAYO.

29 Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;
Uislamu/Unyenyekevu wa Yesu aliupatia wapi wakati Muhammad hajaja?

WAO WATAKWAMBIA MANABII WOTE NI WAISLAMU. NJE YA QURAN HAKUNA UISLAMU.

Wewe tuambie mmoja tu, sio wote. YESU ALIKUA DINI GANI?

CAPO DELGADO said:
JARIBUNI KUAMINI VITABU VILIVYO TANGULIA.

Tunaviamini. Na tunaamini hadi bibilia kwamba kuna baadhi ya maandiko/manene matakatifu ya Mungu na baadhi ni maneno ya wanaadamu.

CAPO DELGADO said:
Agano la kale katika Biblia limeandikwa miaka zaidi ya 3200 iliyopita wakati Agano Jipya limeandikwa miaka 2000.
Hiyo Quran imeandikwa miaka 1400 iliyopita.

Mnyenyekevu/Muislamu anaamini kilicho sahihi bila kuangalia kina umri gani. Jifunze kuamini kilicho sahihi sio kilicho na wengi.

CAPO DELGADO said:
Ukiwa na akili tu lazima ujuwe ni kipi kitabu cha ukweli.

Ni sahihi. Ila amini kilicho sahihi.

CAPO DELGADO said:
WUKRISTO NI KUOKOA WALE WALIOPOTEA.

Bado nipo palee...
Nikisubiri andiko kuanzia mwanzo hadi ufunuo lisemalo, UKRISTO NI DINI.
 
Nimeiscreen sho Quran NILIYO nayo.

Ahmad juzuu ya 1 ukurasa 416.

Hakika muumini wa KWELI hawi mwenye kutuhumi watu , Wala kuwalaani watu, Wala hawi na maneno MACHAFU.

Nimesoma hiyo DINI na kuifanyia UTAFITI kwa Miaka...

Usione labda tunajifrahisha.....
Umescreenshot tafsiri ya Qur'an sio Qur'an.Qur'an iko kwenye lugha ya kiarabu.Mtu yoyote anaweza akatafsiri,:na kuacha baadhi ya maneno au akaongeza maneno,ikaleta tafsiri tofauti.Hapo nimekuwekea Qur'an kwa lugha ya kiarabu,ndio Qur'an yenyewe,wajuwa kinachowashinda msiokuwa waislamu,ni kuwa mtoto wa kiislamu,mpaka anakuwa mkubwa,anakwenda madrasa kupata mafunzo ya uislamu,-pamoja na kujifunza Qur'an,kwa hiyo ukileta Qur'an tofauti na ilivyoandikwa,hata iwe kwa kiarabu,wacha tafsiri yake ni wepesi,kwa muislamu aliyesoma uislsmu,kugundua kuwa hiyo ni fake,sio wenyewe.
 

Attachments

  • screengrab-20230507-111028.png
    screengrab-20230507-111028.png
    48.7 KB · Views: 1
Na wakiwa huko Makka kuna muda wa kumponda sheitwan mawe
Hapo ndio ufahamu kuwa Qur'an haikuandikwa na shetani,ikiwa Qur'an nzima,imemuita shetani ni adui.Vipi shetani aandike kitabu,halafu ajipinge mwenyewe,na kujilani,na kuwaambia aliowaandikia kitabu kuwa yeye ni adui yao.
 

Attachments

  • screengrab-20230507-111028.png
    screengrab-20230507-111028.png
    48.7 KB · Views: 1
QUR-AN UKIIJUA, NI RAHA SANA, HASSA UKIMPATA KAFIRI ANAEIJUA BIBILI NDIYO UTASTAREHE KABISAA...

QUR-AN. 3:19.
19. Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.

QUR-AN. 2:217.
.......Na yeyote katika nyinyi akiacha Dini yake akafa naye ni kafiri, basi hao ndio ambao a'mali zao zimeharibika duniani na Akhera. Na hao ndio watu wa Motoni; humo watadumu.

QUR-AN. 2:132.
132. Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii; basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu, wanyenyekevu.

QUR-AN. 42:13.
13. Amekuamrisheni Dini ile ile aliyo muusia Nuhu na tuliyo kufunulia wewe, na tuliyo wausia Ibrahim na Musa na Isa, kwamba shikeni Dini wala msifarikiane kwayo. Ni magumu kwa washirikina hayo unayo waitia. Mwenyezi Mungu humteua kwake amtakaye, na humwongoa kwake aelekeaye.

4:5-6. AYUBU.
5 Lakini sasa haya yamekufikilia wewe, nawe wafa moyo; Yamekugusa, nawe wafadhaika.

6 Je! Dini yako siyo mataraja yako, Na matumaini yako si huo uelekevu wa njia zako?
 
Azarel

WANACHONISHANGAZA HAWAJUI KUWA QURAN INASEMA NITAWAZAENI HAPA DUNIANI NA NITAWAPOTEZA WOTE.

QURAN 15:39 - Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote


INSHORT YEYE ASIYE MPOKEA YESU KRISTO ATAPOKEA BIKRA NA MITO YA POMBE HUKO KUZIMU.

SHETANI AMESEMA ATAWAPOTEZA WAISLAMU WOTE.
TATIZO LENU MSIO WAISLAMU MUKO NA AKINA YESU WENGI HADI MUNAPISHANA KUWAANINI.
Yesu tunayemkubali waislamu/wanyenyekevu ni huyu hapa aliesema ya kwamba...
8:40. YOHANA.
40 Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi, mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu. Ibrahimu hakufanya hivyo.

Wewe unaemuamini ni Yesu yupi?
 
WANACHONISHANGAZA HAWAJUI KUWA QURAN INASEMA NITAWAZAENI HAPA DUNIANI NA NITAWAPOTEZA WOTE.

QURAN 15:39 - Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote


INSHORT YEYE ASIYE MPOKEA YESU KRISTO ATAPOKEA BIKRA NA MITO YA POMBE HUKO KUZIMU.

SHETANI AMESEMA ATAWAPOTEZA WAISLAMU WOTE.
 
Naomba kujua, watu wa Makkah wanasali kuelekea wapi?

Hili swali watakimbia.

Dunia ni Duara...

MUNGU haabudiwi kwa Dira.
MUNGU anaabudiwa ndani ya Moyo safi.

Heri wenye Moyo safi maana hao watamuona Mungu
MATHAYO 5:8.
 
SOMA TENA, USIPOELEWA ULIZA.

CAPO DELGADO said:
UJINGA KATIKA DINI YA MOOD.

QURAN 34.44
44. Wala hatukuwapa Vitabu wavisome, wala hatukuwatumia Mwonyaji kabla yako wewe.

CAPO DELGADO said:
QURAN 62.3

3. Na kwa wengine ambao bado hawajaungana nao. Na Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.

CAPO DELGADO said:
Quran 16.43.

43. Nasi hatukuwatuma kabla yako ila watu wanaume tulio wapa Wahyi (Ufunuo). Basi waulizeni wenye ukumbusho kama nyinyi hamjui

CAPO DELGADO said:
Quran 16.125

125. Waite waelekee kwenye Njia ya Mola wako Mlezi kwa hikima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi aliye ipotea Njia yake, na Yeye ndiye anaye wajua zaidi walio ongoka.

CAPO DELGADO said:
Hizi Aya zoote zinakiridini/Imani ya UKRISTO na UYAHUDI vitabu vyao vilitanguli kabla Ya uislamu.


Uislamu ni kiarabu kiswahilini ni Unyenyekevu.
11:29. MATHAYO.

29 Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;
Uislamu/Unyenyekevu wa Yesu aliupatia wapi wakati Muhammad hajaja?

WAO WATAKWAMBIA MANABII WOTE NI WAISLAMU. NJE YA QURAN HAKUNA UISLAMU.

Wewe tuambie mmoja tu, sio wote. YESU ALIKUA DINI GANI?

CAPO DELGADO said:
JARIBUNI KUAMINI VITABU VILIVYO TANGULIA.

Tunaviamini. Na tunaamini hadi bibilia kwamba kuna baadhi ya maandiko/manene matakatifu ya Mungu na baadhi ni maneno ya wanaadamu.

CAPO DELGADO said:
Agano la kale katika Biblia limeandikwa miaka zaidi ya 3200 iliyopita wakati Agano Jipya limeandikwa miaka 2000.
Hiyo Quran imeandikwa miaka 1400 iliyopita.

Mnyenyekevu/Muislamu anaamini kilicho sahihi bila kuangalia kina umri gani. Jifunze kuamini kilicho sahihi sio kilicho na wengi.

CAPO DELGADO said:
Ukiwa na akili tu lazima ujuwe ni kipi kitabu cha ukweli.

Ni sahihi. Ila amini kilicho sahihi.

CAPO DELGADO said:
WUKRISTO NI KUOKOA WALE WALIOPOTEA.

Bado nipo palee...
Nikisubiri andiko kuanzia mwanzo hadi ufunuo lisemalo, UKRISTO NI DINI.

Quran 2:97
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI?

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
Wakristo hata ukiwaambia vueni nguo ni wawekee dawa kwenye tupu kwa kutumia mb@00 wanakubali hizo ni akili jamaa kawaambia wafunge wakakubali mpaka wanakufa na wengine walichomwa moto
 
Back
Top Bottom