Mliona shaka Someni VITABU VILIVYO tangulia
Wewe sema shida yako ni nini kwa waislamu/wanyenyekevu.
Hakuna shaka yeyoye kwa waislamu na hivyo vitabu tunavijua maana tunavisoma sana tu. Na tunafahamu fika ya kuwa kama wewe sio wa nyumba ya IZRAELI kwa Yesu wewe ni Mmbwa tu.
15:21-26. MATHAYO.
21 Yesu akaondoka huko, akaenda kando pande za Tiro na Sidoni.
22 Na tazama, mwanamke Mkananayo wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na pepo.
23 Wala yeye hakumjibu neno. Nao wanafunzi wake wakamwendea, wakamwomba, wakisema, Mwache aende zake; kwa maana anapiga kelele nyuma yetu.
24 Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.
25 Naye akaja akamsujudia, akisema Bwana, unisaidie.
26 Akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.
Kama wewe sio wa Izraeli ujijue ni Mmbwa kama mbwa wengine.