Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Huku jf hao wadao wapo,hiki ni chombo cha habar pia,kwahiyo ujumbe unafikaSasa si mpeleke pendekezo Bungeni humu JF mnapoteza muda- andikeni mnayotaka mpeleke Bungeni iwe Sheria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku jf hao wadao wapo,hiki ni chombo cha habar pia,kwahiyo ujumbe unafikaSasa si mpeleke pendekezo Bungeni humu JF mnapoteza muda- andikeni mnayotaka mpeleke Bungeni iwe Sheria
Vinasitishwa na hawaendi.Tunataka mda huo vikao visitishwe tukaswali period
Tukaswali period? Ukiwa period huruhusiwi kuswaliTunataka mda huo vikao visitishwe tukaswali period
Period inamaanisha nukta/mwisho/finalTukaswali period? Ukiwa period huruhusiwi kuswali
Hao ambao hawaendi ni tatizo lao binafsi,kikubwa ruhusa iwepoVinasitishwa na hawaendi.
Nikajua unataka kuswali ukiwa period/hedhiPeriod inamaanisha nukta/mwisho/final
Si unaona sasa , uliacha kazi , Ndio mana tunasema dini ni ujinga zinaleta umasikini ...Mimi binafsi naenda kuswali,nishawahi acha kazi kwa kuambiwa nichague kuswali au kufanya kazi,nikachagua kuswali
Najua anayetoa ridhiki ni Allah,na kweli baadae nikapata kazi nyingine tena bora kuliko ile
Ila kwa ujumla ni bora kuheshimu siku ya ibada ya waislamu ya ijumaa,kwani hawawezi panga mda mwingine?
Unajua kuna tatizo moja ambalo wengi wenu mnalo,kama wewe huamini Mungu wala dini kumbuka ni tatizo lako binafsi na usitake liwe letuSi unaona sasa , uliacha kazi , Ndio mana tunasema dini ni ujinga zinaleta umasikini ...
Siamini kama kuna sehemu wanazuiwa kwenda. Tuache uchocheziAmb
Hao ambao hawaendi ni tatizo lao binafsi,kikubwa ruhusa iwepo
Sasa nikushangaze zaidi aliyenikataza kuswali swala tano ni muislamu mwenzangu,tena kumbuka naswali hapo hapo ofisini,naenda chemba sehemu nachukua dakika zisizo zidi 10 tuSiamini kama kuna sehemu wanazuiwa kwenda. Tuache uchochezi
Pole sana. Wanadamu ndivyo tulivyo.Sasa nikushangaze zaidi aliyenikataza kuswali swala tano ni muislamu mwenzangu,tena kumbuka naswali hapo hapo ofisini,naenda chemba sehemu nachukua dakika zisizo zidi 10 tu
Mtihani sana,mwanadamu mwenzako anapokwambia chagua kazi au kuswali kwa maana nyingine anakwambia mchague Mungu au kazi,kama sio upuuzi ni nini?Pole sana. Wanadamu ndivyo tulivyo.