Waislam wengi wapo uvuguvugu, sio wa baridi wala wa moto

Waislam wengi wapo uvuguvugu, sio wa baridi wala wa moto

Watajua wenyewe!

Cha msingi kila mtu aamini anachoamini mwisho hauko mbali sote kila mtu kwa wakati wake na siku yake ataenda kushuhudia kile alichokiona sahihi kwake so haina haja ya kuparuana makucha.
 
Madrasa zimekufa, wanaoenda ni watoto wadogo na wakifika umri fulani wanaacha, shuleni nako kwenye secular hawafanyi vizuri hata somo la maarifa ya uislam wanafeli. matokeo yake ni kuvaa hijabu mtaani kisha kushindana kucheza challenge za nyimbo huko Tiktok, kifupi naweza sema kwa sasa waislam wengi "msikitini hawaonekani na kwenye kumbi za starehe wanatafutwa. (Secular temptation)

Wanafunzi wa kiislam wakike wanavaa hijabu kama fashion na au sare tu au tu wajulikane ni waislam lakini sio kwa lengo la kujistiri, wakati wanarudi shule utakuta wamevivua vijuba viko kwenye bag wamebakiwa na vikofia, mtaani ndo hawavai kabisa.

Masheikh asilimia kubwa hawana mishahara, wanategemea sadaka, pamoja na hali hiyo bado wanashindana kuongeza wake au kuoa na kuacha. wapo ambao pia wanaamini mtoto wa kike akisoma ataharibikiwa. lakini sasa hata wale ambao hawajasoma elimu ya secular wakbaki tu nyumbani wakaolewa, nao pia huharibikiwa. wengi wa mashekh na maustadh wanajifunza uganga ili wapate kuingiza chochote, saa 11 alfajiri anaswalisha, saa moja yupo kilingeni (evil).

kwa sababu hiyo kuna baadhi ya wakristo nao bado wanaamini ukimuna sheikh ana ndevu, ujue anafuga majini 12 (pathetic).

Kuna wavaa vipedo na nusu uchi ambao wana ma baibui yanayovaliwa mwezi wa Ramadhani, kuna walevi wanaoacha kunywa pombe mwezi wa ramadhani, kuna wazinifu wanaopeana break mwezi wa ranadhani. sikukuu ya eid watu wanasherehekea kwa mengi.
wachache wameweza kuweka uwiiano wa maisha , wapo walioshindwa kabisa na kutotoa mahuru na wengi wako kati na kati. (hypocrisy)

Wapo wanaoamini wataweza kuusambaza uislam na dunia nzima itaua waislam, either kwa nguvu (extremist) au kwa mawaidha/daawa (optimist/ tabligh). wapo wanaoona wakifanya ibada wao na familia yao inatosha, na wapo wanaoona kila mmoja afanye anachokitaka (shooting the moon)


1 or 0 or -1 ?

Kwa dunia ya sasa kukomalia sana madini ya kuletewa ni ufala na kupoteza muda,
 
Mnahangaika sana ila quran na mafundisho yake hayatakuja kutetereka milele na hadi sasa hao waliowaletea huo ukafir wenu wameshtuka na wengi wanaishia kujiunga dini ya haki, embu angalia sasahivi ndio kwaresma hakuna chochote kilichobadilika hata nyir wenyewe makafir hamuiheshimu ila mwezi mtukufu ukifika hata wewe kafir huwa unatulia
Mleta uzi hajaongea uongo, ni kweli tupu.
Na kinachoshangaza zaidi ni kua waislam wanaijua dini vizuri, sijui ni kitu gani huwatokea vijana hadi wanaachana na mambo ya dini hadi mwezi wa ramadhan!!

Mtoto wa mdogo wa miaka 10 unakuta ana juzuu kadhaa kichwani, ila akifika miaka 17 humkuti msikitini. Nini huwakumba hawa watoto??

Watoto wa kike ndo janga zaidi, umri huo hijab havai tena, anavaa vijora tu.
Nadhani wazazi hawatimizi wajibu wao ipasavyo
 
Internet imekujua kuua imani potofu

Uislamu na hata ukristo unakufa natural death.

Mchawi ni internet.

Mtu akisoma tafsiri ya Quran akaielewa. Lazima ataukimbia uislamu. Maana kuna aya za ajabu sana.

Na mtu akisoma biblia akaielewa lazima ataukimbia ukristo . Maana kuna mambo ya ajabu sana

Internet inakupa tafsiri kabisa za kila aya. Hapo ndipo dini zinapoteza imani . Maana vitabu vyao vinawaumbua
Shida kuna story nyingi kwenye vitabu vya dini ukizisoma ukakasi inakulazimu ujitoe akili ndio uzielewe mfano

Kwenye biblia
Kuna story mtu anapigana na mungu hapohapo unaambiwa mungu ni roho isiyoonekana na hakuna mtu aliwahi muona


Na kwenye quruan....
Ukifa unapewa walimbwende 72 mabikra wakati huo huo huku duniani unzizi unakatazwa sasa sijui mbinguni kwa ALLAH anaruhusu vipi hiki kitu


Mara mifereji ya pombe kuwepo mbinguni huku duniani ulevi unakatazwa


Hata mm nilikuwa mfuasi wa dini sana utotoni ila nilivopata akili ya kuchanganua mambo mhhhh nilikosa uvumilivu

Ila yote kwa yote

Iman ya kidini na akili ya logic havikai pamoja
 
Mleta uzi hajaongea uongo, ni kweli tupu.
Na kinachoshangaza zaidi ni kua waislam wanaijua dini vizuri, sijui ni kitu gani huwatokea vijana hadi wanaachana na mambo ya dini hadi mwezi wa ramadhan!!

Mtoto wa mdogo wa miaka 10 unakuta ana juzuu kadhaa kichwani, ila akifika miaka 17 humkuti msikitini. Nini huwakumba hawa watoto??

Watoto wa kike ndo janga zaidi, umri huo hijab havai tena, anavaa vijora tu.
Nadhani wazazi hawatimizi wajibu wao ipasavyo
Kwanini mna mind sana uislamu mpaka mnakosa uisingizi, kila mada ni waislamu, wakati wenyewe wameka wanaangalia tu. Mta kufa na stress za uislamu.
 
Hata kama uislamu kuna changamoto za kuchinja watu....
Lakini hii ya ugalatia ya kutifuana mavi wakiileta hapa nchini ndio tutaongeza kuchinja zaidi

1708121988852.png
 
Madrasa zimekufa, wanaoenda ni watoto wadogo na wakifika umri fulani wanaacha, shuleni nako kwenye secular hawafanyi vizuri hata somo la maarifa ya uislam wanafeli. matokeo yake ni kuvaa hijabu mtaani kisha kushindana kucheza challenge za nyimbo huko Tiktok, kifupi naweza sema kwa sasa waislam wengi "msikitini hawaonekani na kwenye kumbi za starehe wanatafutwa. (Secular temptation)

Wanafunzi wa kiislam wakike wanavaa hijabu kama fashion na au sare tu au tu wajulikane ni waislam lakini sio kwa lengo la kujistiri, wakati wanarudi shule utakuta wamevivua vijuba viko kwenye bag wamebakiwa na vikofia, mtaani ndo hawavai kabisa.

Masheikh asilimia kubwa hawana mishahara, wanategemea sadaka, pamoja na hali hiyo bado wanashindana kuongeza wake au kuoa na kuacha. wapo ambao pia wanaamini mtoto wa kike akisoma ataharibikiwa. lakini sasa hata wale ambao hawajasoma elimu ya secular wakbaki tu nyumbani wakaolewa, nao pia huharibikiwa. wengi wa mashekh na maustadh wanajifunza uganga ili wapate kuingiza chochote, saa 11 alfajiri anaswalisha, saa moja yupo kilingeni (evil).

kwa sababu hiyo kuna baadhi ya wakristo nao bado wanaamini ukimuna sheikh ana ndevu, ujue anafuga majini 12 (pathetic).

Kuna wavaa vipedo na nusu uchi ambao wana ma baibui yanayovaliwa mwezi wa Ramadhani, kuna walevi wanaoacha kunywa pombe mwezi wa ramadhani, kuna wazinifu wanaopeana break mwezi wa ranadhani. sikukuu ya eid watu wanasherehekea kwa mengi.
wachache wameweza kuweka uwiiano wa maisha , wapo walioshindwa kabisa na kutotoa mahuru na wengi wako kati na kati. (hypocrisy)

Wapo wanaoamini wataweza kuusambaza uislam na dunia nzima itaua waislam, either kwa nguvu (extremist) au kwa mawaidha/daawa (optimist/ tabligh). wapo wanaoona wakifanya ibada wao na familia yao inatosha, na wapo wanaoona kila mmoja afanye anachokitaka (shooting the moon)


1 or 0 or -1 ?
Umeandika upumbavu mtupu.
 
mna genre yenu ya porn kabisa inaitwa hijabi porn😁 na ni maarufu kinoma

mnapita mapito

ila ndo hivyo mkuu, dini ni taasisi, kila taasisi ina changamoto

si unaona wakristo wanavyommind papa?
Hijab sio Uislamu bali ni vazi kama mavazi mengine

Si kila anayevaa hijabu na kujistiri ni muislamu, nenda Zanzibar hapo, wavaa hijabu na kanzu wengi ila uliza majina sasa.
 
Internet imekujua kuua imani potofu

Uislamu na hata ukristo unakufa natural death.

Mchawi ni internet.

Mtu akisoma tafsiri ya Quran akaielewa. Lazima ataukimbia uislamu. Maana kuna aya za ajabu sana.

Na mtu akisoma biblia akaielewa lazima ataukimbia ukristo . Maana kuna mambo ya ajabu sana

Internet inakupa tafsiri kabisa za kila aya. Hapo ndipo dini zinapoteza imani . Maana vitabu vyao vinawaumbua
chai
 
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”

Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-

Quran 37:48-49:

And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.

“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.
 
Mleta uzi hajaongea uongo, ni kweli tupu.
Na kinachoshangaza zaidi ni kua waislam wanaijua dini vizuri, sijui ni kitu gani huwatokea vijana hadi wanaachana na mambo ya dini hadi mwezi wa ramadhan!!

Mtoto wa mdogo wa miaka 10 unakuta ana juzuu kadhaa kichwani, ila akifika miaka 17 humkuti msikitini. Nini huwakumba hawa watoto??

Watoto wa kike ndo janga zaidi, umri huo hijab havai tena, anavaa vijora tu.
Nadhani wazazi hawatimizi wajibu wao ipasavyo
Tatizo ni lugha ya kiarabu
 
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”

Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-

Quran 37:48-49:

And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.

“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.
Warumi 1:26–27
Kwa sababu hii ya. ibada ya sanamu, Yesu aliwaacha wafuate tamaa zao; kwa maana hata wanawake walibadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili; na vivyo hivyo waume nao waliyaacha matumizi ya asili ya mwanamke, wakawakiana tamaa, wanaume kwa wanaume,

1708128951621.png
 
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”

Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-

Quran 37:48-49:

And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.

“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.
Wanawake watakaoingia peponi watapewa daraja kubwa zaidi kuliko hurulain.
Kuna baadhi ya vitu si rahisi kuvijua hata ukiambiwa ukifika peponi utapata hiki na hiki maana kwa maisha ya hapa duniani hujapata kuona wala kusikia utaenda kujua hukohuko mbeleni

Pia Mwenyezi Mungu yeye ndiye mjuzi wa kila kitu .

Ndio maana hakuwauumba Adam na Hawa (Eva) kwa wakati mmoja. Alimuumba Adam kisha akamtoa Hawa kwenye mbavu za Adamu
 
Wanawake watakaoingia peponi watapewa daraja kubwa zaidi kuliko hurulain.
Kuna baadhi ya vitu si rahisi kuvijua hata ukiambiwa ukifika peponi utapata hiki na hiki maana kwa maisha ya hapa duniani hujapata kuona wala kusikia utaenda kujua hukohuko mbeleni

Pia Mwenyezi Mungu yeye ndiye mjuzi wa kila kitu .

Ndio maana hakuwauumba Adam na Hawa (Eva) kwa wakati mmoja. Alimuumba Adam kisha akamtoa Hawa kwenye mbavu za Adamu
Huko peponi si patakuwa kama jumba la kuchezea video za ngono sasa
Juma anafanya mapenzi na wanawake 72, Khamis naye, Hassan naye, Hussein naye na wengine wengi hapo ni mlio ya ngono ya wanawake na wanaume inasikikaka wakifanya mapenzi.
Wanawake wawili siwezi wala kufanya mapenzi kila siku na mke wangu siwezi hao wanawake 72 nitaweza? Ngono siyo kipaumbele kwangu
 
Huko peponi si patakuwa kama jumba la kuchezea video za ngono sasa
Juma anafanya mapenzi na wanawake 72, Khamis naye, Hassan naye, Hussein naye na wengine wengi hapo ni mlio ya ngono ya wanawake na wanaume inasikikaka wakifanya mapenzi.
Wanawake wawili siwezi wala kufanya mapenzi kila siku na mke wangu siwezi hao wanawake 72 nitaweza? Ngono siyo kipaumbele kwangu
Si bora niwe nimezungukwa na wanawake hata 200 nawapelekea moto
Kuliko kuwa madhabahuni na mapunga ya kigalatia yaliyokatazwa wanawake na kukubaliwa kutifuana mitaro
 
Back
Top Bottom