Waislam wengi wapo uvuguvugu, sio wa baridi wala wa moto

Waislam wengi wapo uvuguvugu, sio wa baridi wala wa moto

Huko peponi si patakuwa kama jumba la kuchezea video za ngono sasa
Juma anafanya mapenzi na wanawake 72, Khamis naye, Hassan naye, Hussein naye na wengine wengi hapo ni mlio ya ngono ya wanawake na wanaume inasikikaka wakifanya mapenzi.
Wanawake wawili siwezi wala kufanya mapenzi kila siku na mke wangu siwezi hao wanawake 72 nitaweza? Ngono siyo kipaumbele kwangu
Utapewa nguvu utawaweza wote hao.

Huko peponi kila mja ana mji wake kulingana na amali zake na kila mja atalipwa kila analolitaka kulingana na amali zake alizokuwa nazo.

Kingine Mwenyezi Mungu ni mjuzi zaidi .
 
Ongeza na wacheza vigodoro,baikoko na singeli,,,98% ni waisllamu
 
Kwanini mna mind sana uislamu mpaka mnakosa uisingizi, kila mada ni waislamu, wakati wenyewe wameka wanaangalia tu. Mta kufa na stress za uislamu.
Alieumind uislam ni nani??
Unaogopa uislam kumaindiwa??

Tumia akili sio hisia.
 
Ongeza na wacheza vigodoro,baikoko na singeli,,,98% ni waisllamu
Sio kweli hilo.

Ujue miko yenye hizo mambo ni mikoa ya pwani, na mikoa ya pwani ina waislam wengi.
Hii inapelekea hata wale wasio waislam kujifanya waislam na kufanya kile waislam hufanya kwa kuiga tu.

Sio kila ataekusalimia salam aleykum basi ni muislam, au ukiona kavaa hijab ukapigia mstari kua ni muislam.
 
Nyie mmehalalisha kufirana wacheni kuusakama uislam hao mnowaona ni watu wachache tu katika waislam na afanyacho muislam ni hulka yake na dhambi zake uislam bado ni msafi na hauuwezi kuchafuliwa na baadhi ya washenzi
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Madrasa zimekufa, wanaoenda ni watoto wadogo na wakifika umri fulani wanaacha, shuleni nako kwenye secular hawafanyi vizuri hata somo la maarifa ya uislam wanafeli. matokeo yake ni kuvaa hijabu mtaani kisha kushindana kucheza challenge za nyimbo huko Tiktok, kifupi naweza sema kwa sasa waislam wengi "msikitini hawaonekani na kwenye kumbi za starehe wanatafutwa. (Secular temptation)

Wanafunzi wa kiislam wakike wanavaa hijabu kama fashion na au sare tu au tu wajulikane ni waislam lakini sio kwa lengo la kujistiri, wakati wanarudi shule utakuta wamevivua vijuba viko kwenye bag wamebakiwa na vikofia, mtaani ndo hawavai kabisa.

Masheikh asilimia kubwa hawana mishahara, wanategemea sadaka, pamoja na hali hiyo bado wanashindana kuongeza wake au kuoa na kuacha. wapo ambao pia wanaamini mtoto wa kike akisoma ataharibikiwa. lakini sasa hata wale ambao hawajasoma elimu ya secular wakbaki tu nyumbani wakaolewa, nao pia huharibikiwa. wengi wa mashekh na maustadh wanajifunza uganga ili wapate kuingiza chochote, saa 11 alfajiri anaswalisha, saa moja yupo kilingeni (evil).

kwa sababu hiyo kuna baadhi ya wakristo nao bado wanaamini ukimuna sheikh ana ndevu, ujue anafuga majini 12 (pathetic).

Kuna wavaa vipedo na nusu uchi ambao wana ma baibui yanayovaliwa mwezi wa Ramadhani, kuna walevi wanaoacha kunywa pombe mwezi wa ramadhani, kuna wazinifu wanaopeana break mwezi wa ranadhani. sikukuu ya eid watu wanasherehekea kwa mengi.
wachache wameweza kuweka uwiiano wa maisha , wapo walioshindwa kabisa na kutotoa mahuru na wengi wako kati na kati. (hypocrisy)

Wapo wanaoamini wataweza kuusambaza uislam na dunia nzima itaua waislam, either kwa nguvu (extremist) au kwa mawaidha/daawa (optimist/ tabligh). wapo wanaoona wakifanya ibada wao na familia yao inatosha, na wapo wanaoona kila mmoja afanye anachokitaka (shooting the moon)


1 or 0 or -1 ?
Kweli umeamua kutuchambua kama karanga tatizo lako ukutoa ushauli nini kifanyike hili kuokoa watu hawa ingawa uzi wako unaonyesha kutuponda lakini sisi ni watu kama wewe weka ushauli wako nini kifanyike?
 
Hawa wamba nilikuwa nawaamini sana zamani izo wakati nakua lakini baada ya kupigwa matukio mawili matatu tena hapo unakuta uyo mtu anashinda na tasbihi mkononi toka apo nawatazama kitofauti sana aisee
Kweli unachuki jamaa dini hii kama ingekuwa kundi la watu kama ulivyo ukirito igukuwa ilisha futika kitambo duniani lakini hao miungu wako wameshindwa kuifuta kwa chuki zao utakuwa wewe kikojozi
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Ongeza na wacheza vigodoro,baikoko na singeli,,,98% ni waisllamu
Kafiri kwa ubora wako utapata ugonjwa wa moyo bule uisilamu ni dini ya allah hakuna mwenye kuifuta duniani hata hao miungu wako wameshindwa(wazungu)utakuwa wewe kikojozi utaishia kuumia tu uisilamu utazidi kuwepo tu na tutazidi kusema ukweli ulivyo kuwa ukirito ni ukafiri na ushirikina sababu ya mna muabudu kiumbe mwenzenu yesu mwana wa mariamu huo ndio ukafiri wenu chikia sana lani huo ndio ukweli wenyewe kafiri yoyote ni mtu wa motoni
 
mna genre yenu ya porn kabisa inaitwa hijabi porn[emoji16] na ni maarufu kinoma

mnapita mapito

ila ndo hivyo mkuu, dini ni taasisi, kila taasisi ina changamoto

si unaona wakristo wanavyommind papa?
Uisilamu ni dini ya haki lazima ichukiwe tu sababu za chuki hiyo nini

Kusema kubainisha ukweli wa nani mwenye haki ya kuabudiwa

Wakirisito wanachukia sana uisilamu sababu ya kuitwa makafiri hapo ndipo chuki inapo anzia

Kwanini waitwe makafiri sababu wanamuabudu mwana wa mariamu badala ya mungu muumba pia wanaabudu masanamu huo ndio ukafiri wao ulipo

Na qur,an imebainisha hivyo sasa wakiambiwa hivyo wanachukia sana lakini ndio ukweli wenyewe

Mfano kule unguja kichaa kaigia kwenye kanisa la Loma na kuvunja miungu yao masanamu na kubeba vichwa vya hayo masanamu na kutembea navyo mitaani

Huo ndio ukafiri wao na hapo ndipo chuki kati ya uisilamu na ukirito inapo anzia lakini kama waisilamu watasema kuwa yesu ni Mungu hutosikia chuki hizi wala vita duniani
 
Back
Top Bottom