Waislamu amkeni sasa, mtaala mpya wa elimu hauna nafasi ya kuwabeba kiujanja watoto wenu!

Waislamu amkeni sasa, mtaala mpya wa elimu hauna nafasi ya kuwabeba kiujanja watoto wenu!

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Karibu taasisi zote za dini ya kikristo zilizojikita kwenye sekta ta elimu zimekuwa busy mnoo kuusoma, kuuelewa, kujiandaa na kuwaandaa watumishi wake namna ya kwenda sambamba na ujio wa mtaala (sera) mpya wa elimu. Jambo hilo limekuwa likifanyika vivyo hivyo kwa jamii za waumini wa kikristo. Ni kama wanapambana na jambo la lazima tena kwa uharaka huku wakilitazama kama fursa adimu.

Na kama vile wataalamu walivyoonya mapema kuwa, kwa namna mtaala mpya ulivyokaa na kwa namna mifumo ya taasisi nyingi za kielimu zilivyo dhaifu, Tanzania tunakwenda kuzalisha tena kizazi chenye mgawanyiko mkubwa wa maarifa na ufahamu katika jamii.

Yale malalamiko ya miongo yote ya ndugu zangu wa kiislamu kuhusu kuwepo mfumo kristo unaowanyonya waislamu na kuwabeba wakristo baada ya miaka kumi tu ijayo yataibuka upya lakini hayatakuwa na msingi wowote wa kutetewa maana hayawezi kuzuia kitu.

Ndugu zangu amkeni sasa, andaeni mazingira bora na lazima ya kuwawezesha watoto wenu kielimu. Dunia hauna huruma.
 
Karibu taasisi zote za dini ya kikristo zilizojikita kwenye sekta ta elimu zimekuwa busy mnoo kuusoma, kuuelewa, kujiandaa na kuwaandaa watumishi wake namna ya kwenda sambamba na ujio wa mtaala (sera) mpya wa elimu. Jambo hilo limekuwa likifanyika vivyo hivyo kwa jamii za waumini wa kikristo. Ni kama wanapambana na jambo la lazima tena kwa uharaka huku wakilitazama kama fursa adimu.

Na kama vile wataalamu walivyoonya mapema kuwa, kwa namna mtaala mpya ulivyokaa na kwa namna mifumo ya taasisi nyingi za kielimu zilivyo dhaifu, Tanzania tunakwenda kuzalisha tena kizazi chenye mgawanyiko mkubwa wa maarifa na ufahamu katika jamii.

Yale malalamiko ya miongo yote ya ndugu zangu wa kiislamu kuhusu kuwepo mfumo kristo unaowanyonya waislamu na kuwabeba wakristo baada ya miaka kumi tu ijayo yataibuka upya lakini hayatakuwa na msingi wowote wa kutetewa maana hayawezi kuzuia kitu.

Ndugu zangu amkeni sasa, andaeni mazingira bora na lazima ya kuwawezesha watoto wenu kielimu. Dunia hauna huruma.
Waislam tuamke, adui yetu namba Moja ni CCM ndiyo mkandamizaji wetu
 
Karibu taasisi zote za dini ya kikristo zilizojikita kwenye sekta ta elimu zimekuwa busy mnoo kuusoma, kuuelewa, kujiandaa na kuwaandaa watumishi wake namna ya kwenda sambamba na ujio wa mtaala (sera) mpya wa elimu. Jambo hilo limekuwa likifanyika vivyo hivyo kwa jamii za waumini wa kikristo. Ni kama wanapambana na jambo la lazima tena kwa uharaka huku wakilitazama kama fursa adimu.

Na kama vile wataalamu walivyoonya mapema kuwa, kwa namna mtaala mpya ulivyokaa na kwa namna mifumo ya taasisi nyingi za kielimu zilivyo dhaifu, Tanzania tunakwenda kuzalisha tena kizazi chenye mgawanyiko mkubwa wa maarifa na ufahamu katika jamii.

Yale malalamiko ya miongo yote ya ndugu zangu wa kiislamu kuhusu kuwepo mfumo kristo unaowanyonya waislamu na kuwabeba wakristo baada ya miaka kumi tu ijayo yataibuka upya lakini hayatakuwa na msingi wowote wa kutetewa maana hayawezi kuzuia kitu.

Ndugu zangu amkeni sasa, andaeni mazingira bora na lazima ya kuwawezesha watoto wenu kielimu. Dunia hauna huruma.
Jamii ya wakiristo wanafanya initiatives zipi zinazowaweka tofauti na waislam?
 
Jamii ya wakiristo wanafanya initiatives zipi zinazowaweka tofauti na waislam?
Umeuliza swali la msingi sana hapa, ngoja nikujibu.

Tukianza kwa wakatoliki (ambao ndio kinara wa elimu hapa nchini) ambapo wao mpaka sasa wamefanya haya;
-Wamekaa chini kufanya tathmini ya sera iliyopita na kukaa kupanga mikakati namna ya kukabiliana na sera mpya.
-Wanawapigisha semina nzito walimu wa shule zao waelewe vilivyo sera mpya na maudhui yao.
-Wameanza kujenga/kubadili baadhi ya shule zao ili ziwe na mfumo wa amali kwa lengo la kuja kuteka soko miaka minne ijayo.
-Wamekaa na wazazi wanaosomesha watoto kwenye shule zao ili kuweza kukabiliana na hii changamoto (kuna suala la kuongeza ada na kukaa zaidi shuleni kwa wanafunzi wa baadhi ya madarasa yao)
-Wanapambana kwa kasi kubwa kusaka vitabu vipya vya huu mtaala (kumbuka havipatikani kwa urahisi) na kuzisambaza kwa kasi kubwa mashuleni mwao.
-Tayari wameanzisha utaratibu wa Remedial classes kwa baadhi ya madarasa katika shule zao (maana tathmini inaonyesha katika hali ya kawaida mtaala mpya hauwezi kutekelezeka ipasavyo).

Kwa baadhi ya madhehebu mengine ya Kikristo, kiasi hali ni hiyo (japokuwa wao hawa miliki shule nyingi), ingawa waumini ndio wamekuwa mbele ya muda kuliko taasisi husika, mfano mzuri ni kwa kanisa la Lutherani ambapo wazazi wamelazimisha kuwaandikisha kuanza mafundisho ya kipaimara watoto wa darasa la tatu na nne (wengi wakiwa na umri chini ya miaka kumi) ili kukabiliana na kisanga cha kufutwa kwa darasa la saba, hivyo wawe wameshabarikiwa kabla ya kwenda sekondari.
 
Hawa jamaa akili zao huwa zinashangaza...zipo 0 sana... imejaa udini kuliko hata waarabu
Wewe uliyeandika haya tukuite huna udini? Kwa hivyo wewe una upagani (ukafiri). Wewe kaa uote ndoto za alinacha! Watu wanaendelea na shughuli zao.
 
Umeuliza swali la msingi sana hapa, ngoja nikujibu.

Tukianza kwa wakatoliki (ambao ndio kinara wa elimu hapa nchini) ambapo wao mpaka sasa wamefanya haya;
-Wamekaa chini kufanya tathmini ya sera iliyopita na kukaa kupanga mikakati namna ya kukabiliana na sera mpya.
-Wanawapigisha semina nzito walimu wa shule zao waelewe vilivyo sera mpya na maudhui yao.
-Wameanza kujenga/kubadili baadhi ya shule zao ili ziwe na mfumo wa amali kwa lengo la kuja kuteka soko miaka minne ijayo.
-Wamekaa na wazazi wanaosomesha watoto kwenye shule zao ili kuweza kukabiliana na hii changamoto (kuna suala la kuongeza ada na kukaa zaidi shuleni kwa wanafunzi wa baadhi ya madarasa yao)
-Wanapambana kwa kasi kubwa kusaka vitabu vipya vya huu mtaala (kumbuka havipatikani kwa urahisi) na kuzisambaza kwa kasi kubwa mashuleni mwao.
-Tayari wameanzisha utaratibu wa Remedial classes kwa baadhi ya madarasa katika shule zao (maana tathmini inaonyesha katika hali ya kawaida mtaala mpya hauwezi kutekelezeka ipasavyo).

Kwa baadhi ya madhehebu mengine ya Kikristo, kiasi hali ni hiyo (japokuwa wao hawa miliki shule nyingi), ingawa waumini ndio wamekuwa mbele ya muda kuliko taasisi husika, mfano mzuri ni kwa kanisa la Lutherani ambapo wazazi wamelazimisha kuwaandikisha kuanza mafundisho ya kipaimara watoto wa darasa la tatu na nne (wengi wakiwa na umri chini ya miaka kumi) ili kukabiliana na kisanga cha kufutwa kwa darasa la saba, hivyo wawe wameshabarikiwa kabla ya kwenda sekondari.
Binafsi sijashudia lolote kati ya ulivyoorodhesha hapa, lakini siwezi kukupinga.

Ishu ya mtaala mpya ni changamoto kwa wadau wote. Haijalishi dini zao.
 
Ukiona nchi yenye rasilimali haipigi hatua za kutosha

Tambua imejaza raia na baadhi ya viongozi wenye mitazamo ya mleta mada.

Unaamini mafanikio ni lazima kundi moja lishindwe
 
Mada zingine za kipumbavu, kama hayo unayosema ni kweli basi tungekuwa sahani moja na China. Vinginevyo ni upuuzi tu hakuna cha maana
 
Back
Top Bottom