Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity"

Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity"

Shida yako umekurupuka kaka,mmesema Muhammad (saw) amecopy bible,nikauliza kama amecopy bible kweny qur'an kuna aya inasema mwezi umepasuka

Kama hio aya ipo kweny qur'an na qur'an imekuwa copied kutoka kweny bible naiman kuna sehem bible imeandika mwezi umepasuka

Kama bible haijaandika ni wapi mtume Muhammad (saw) Ametoa hili jambo kama bible aliyoicopy haijaandika

Kama bible haijaandika kuna mawili

01.Bibble mnayotumia imechakachuliwa[ Japo hamna sehem kweny biblia imeandikwa "Bible ni kitabu cha yesu".Na Kuna ushahid bible imeandikwa na watu miaka 100+ baada ya kufa yesu.]


02.Hakika uislam ni dini ya kweli sababu kama mtume alisema mwezi umepasuka na kipind hicho hakukua na technology ya kwenda mwezini, hizo taarifa alizitoa wapi?
Pumbafu!
 
Muhamad alikuwa akikaa uchi mbele ya wanaume wenzie na kunyonya ulimi wa Hasan kila siju ndani ya Msikiti.

KWANINI MUHAMMAD ALIKUWA SHOGA NA ALIKUWA ANAKAA ANAKAA UCHI MBELE ZA WANAUME USHAHIDI NA KWA NINI MUHAMMAD ALIKUWA ANAUNYONYA ULIMI WA HASAN KILA SIKU NDANI YA MISIKITI JAMANI?

Imesimuliwa 'Aishah: "

Zaid bin Harithah aliwasili Al-Madinah wakati Mtume wa Allah (ﷺ) alikuwa nyumbani kwake. Kwa hivyo alikwenda na kugonga mlango, kwa hivyo Mjumbe wa Allah (ﷺ) alisimama uchi akiburuza nguo yake - na Wallahi! Sikumuona akiwa uchi kabla na baadaye - naye akamkumbatia na kumbusu. Wanasema kuwa maana ya uchi hapa ni kwamba hakuwa amevaa Rida (chupi )yake au kanga ya juu na ndiyo iliyokuwa ikiburuza, kwa hivyo eneo kati ya kitovu na magoti lilifunikwa.

حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ إِسْمَاعِيلَ، حَدَّثَنَا إِبْرَاهِيمُ بْنُ يَحْيَى بْنِ مُحَمَّدِ بْنِ عَبَّادٍ الْمَدَنِيُّ، حَدَّثَنِي أَبُو يَحْيَى بْنُ مُحَمَّدٍ، عَنْ مُحَمَّدِ بْنِ إِسْحَاقَ، عَنْ مُحَمَّدِ بْنِ مُسْلِمٍ الزُّهْرِيِّ، عَنْ عُرْوَةَ بْنِ الزُّبَيْرِ، عَنْ عَائِشَةَ، قَالَتْ قَدِمَ زَيْدُ بْنُ حَارِثَةَ الْمَدِينَةَ وَرَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فِي بَيْتِي فَأَتَاهُ فَقَرَعَ الْبَابَ فَقَامَ إِلَيْهِ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم عُرْيَانًا يَجُرُّ ثَوْبَهُ وَاللَّهِ مَا رَأَيْتُهُ عُرْيَانًا قَبْلَهُ وَلاَ بَعْدَهُ فَاعْتَنَقَهُ وَقَبَّلَهُ ‏.‏ قَالَ أَبُو عِيسَى هَذَا حَدِيثٌ حَسَنٌ غَرِيبٌ لاَ نَعْرِفُهُ مِنْ حَدِيثِ الزُّهْرِيِّ إِلاَّ مِنْ هَذَا الْوَجْهِ ‏.‏

Jami` at-Tirmidhi 2732 Juzuu ya 5 kitabu cha 40 Hadith 2732



NJOO TENA HAPA MUHAMMAD ALIKUWA ANAKAA UCHI MBELE YA MASWAHABA ZAKE

Aisha amesema Mtume wa Allah : “kuwa Mtume alikuwa anakaa uchi mbele ya maswahaba.”

قالت عائشة: أن النبي كان الله: "أن النبي كان جالسًا عريانًا أمام الصحابة".
: Sahihi Muslim Juzu . 4 Ukrasa . 153

KWA NINI MUHAMMAD ALIKUWA ANAUNYONYA WA ULIMI HASSAN NDANI YA MISIKITI?

Imesimuliwa na Abu Huraira

alisema, "Sikuwahi kumwambia sa-al-Hasan bila macho yangu kufurika machozi.

Restless Hustler endelea kupata madini hapa. Leo nipo free nikueleze uislamu ni nini kwa kutumia kitabu chao wala sikashifu dini
Pumbafu!
 
Nenda kasomr kuhusu "majestic plural". Ukishaijuwa hutopata shida.


Halafu nakushangaa sana, unataka ku jusify ukristo kupitia Qur'an?

Wewe onesha wapi Ukristo ni dini kwenye biblia.

Onesha wapi Yesu anasema "mimi Mungu" au "niabuduni".


Qur'an haitokusaidia kwenye imani yako.
Waislamu mmepigana vita sana kuhusu hiyo tahweed
ndio mje kuielewa trinity
 
1.Malaika walihusika kuumbwa mwanadam. Malaika ndo waletaji wa udongo sas sijui unawa-exclude kwa mising ipi.

2.Kumekua na mijadala mingi juu ya wingi unaotumiwa na Allah (s.w) pamoja na dhamiri ya kiume "He".Mung hutumia wingi kuonesha ukubwa wake. Yeye ni mmoja lakin anaweza kufanya mambo zaid ya umoja wake.

Kweny uislam debate za Allah(s.w) hazina mashiko sana kutokan na ukweli kwamba elimu tuliyopewa ni ndogo sana, zaid kumjadili mungu kwa undani zaid huishia kweny sintofaham.

Mungu mwenyew anakwambia hana mshirika huo utatu unatoka wap..kweny familia kuna mda inazuka migogoro sababu ya nafasi, wew unadhan uwepo wa miungu watatu ni aman kwa ulimwengu ni vipi wakitofautian kimaamuzi.


Kingine Muhammad (s .w.a) hakucopy ,alicopy vip hali ya kua ajui kusoma na kuandika .Tujikite kweny vitu ambavy akili zetu zinaweza kuja na majib ata kama ni miaka 500 mbelen na sio kumchimba mungu zaid


Swali!

Kama Muhammad(s .w.a) alicopy bible ni kweli biblia inasema "Jua linazunguka " na "mwezi umepasuka"?.

Tuanzie hapa
Endelea kukaza fuvu wakati Quran iko wazi!.

Quran inasema Yesu ndiye Kiama lakini kutwa mnakaza mafuvu manasema Yesu siyo Mungu
 
Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Quran 15 : 26 " We brought man into being out of dry ringing clay which was wrought from black mud "

Waislamu huwa wanapinga Utatu(Trinity), lakini trinity ipo kwenye Kuran.

Katika Biblia, uumbaji ulifanyika kwa Trinity yaani MUNGU Baba(Jehovah), MUNGU Mwana(Yesu) na MUNGU Roho(Roho Mtakatifu).
Ndo mana katika uumbaji kuna wingi , " tumfanye mtu kwa mfano wetu " - Mwanzo 1:26

Tukirejea kwenye Kuran uumbaji umefanyika na wingi (We / Tulimuumba) . Swali : Je , Allah alishiriki na nani katika zoezi la uumbaji?

  • Ikumbukwe kuwa malaika hawakushiriki katika zoezi la uumbaji.
  • Ikumbukwe Majestic We zinatumika kwa viongozi tu, na kutambua utendaji walio chini , na viongozi hao huwa na baraza ( Mfalme - baraza la wazee , Raisi - mawaziri) - Kwa hiyo ni sawa kutumia wingi, kama uwakilishi
  • Ikumbukwe kuna verse Allah ametumia I am na kwanini pale tu , ndipo alitumia wingi?
Huu upuuzi wako ndiyo nilitoka kumkanya fala mmoja juzi kwa kunambia eti YESU ndiyo Mungu ambae alishuka duniani kimwili ili watu wasimwogope.

Ni upuuzi kabisa, nimesoma vitabu vyote vya injili ambavyo yesu alikuwa anazungumza na makutano, hakuna hata mstari mmoja amekiri ama kujiita yeye ni Mungu.

Baali alikuwa akijiita majina kama Mwana wa Mungu, mwana wa Adam.

Na alisema wazi kabisa kuwa yeye ametumwa na Mungu ambaye ni mkuu kukiko yeye (Yesu).

Na hata katika kuomba hapa duniani Yesu alikuwa anaonekana kuomba msaada wa nguvu ambayo ilikuwa kubwa kukiko yeye.

Mfano "Eloi Eloi lama sabakthani, yaani Mungu wangu Mungu wangu mbona umeniacha" ?

Sasa kama Yeye alikuwa Mungu aliwezaji kuomba mwingine ?

Hayo mambo ya three trinity of God na binadamu tu sisi tumefasiri fasiri, ila hakuna hata mstari mmoja kwenye biblia unaosema kuwa Mungu amegawanyika ama kufanya kazi katika nafsi tatu.

Alafu haya mambo zamani (kwenye agano la kale) hayakuwepo sijui cha utatu wa Mungu.

Ila Yesu alipoondoka tu waliofata ndiyo walikuja kuharibu mambo na kumtafsiri Yesu kuwa Mungu wakati YESU mwenyewe alikataa kata kuwa yeye si Mungu bali ametumwa tu aliye juu yake (Baba/Mungu).
 
1.Malaika walihusika kuumbwa mwanadam. Malaika ndo waletaji wa udongo sas sijui unawa-exclude kwa mising ipi.

2.Kumekua na mijadala mingi juu ya wingi unaotumiwa na Allah (s.w) pamoja na dhamiri ya kiume "He".Mung hutumia wingi kuonesha ukubwa wake. Yeye ni mmoja lakin anaweza kufanya mambo zaid ya umoja wake.

Kweny uislam debate za Allah(s.w) hazina mashiko sana kutokan na ukweli kwamba elimu tuliyopewa ni ndogo sana, zaid kumjadili mungu kwa undani zaid huishia kweny sintofaham.

Mungu mwenyew anakwambia hana mshirika huo utatu unatoka wap..kweny familia kuna mda inazuka migogoro sababu ya nafasi, wew unadhan uwepo wa miungu watatu ni aman kwa ulimwengu ni vipi wakitofautian kimaamuzi.


Kingine Muhammad (s .w.a) hakucopy ,alicopy vip hali ya kua ajui kusoma na kuandika .Tujikite kweny vitu ambavy akili zetu zinaweza kuja na majib ata kama ni miaka 500 mbelen na sio kumchimba mungu zaid


Swali!

Kama Muhammad(s .w.a) alicopy bible ni kweli biblia inasema "Jua linazunguka " na "mwezi umepasuka"?.

Tuanzie hapa
Mimi ni mkristo lakini hapo kwenye namba mbili nimekuelewa.

Hakuna hata mstari mmoja kwenye biblia unaosema Mungu amegwanyika katika nafsi tatu (Baba,mwana na roho mtakatifu).

Huu ujinga ukianza kuenezwa na roman empire na umedumu hata leo.

Suala la Mungu kutumia wingi kwenye kufanya vitu vyake huwezi kutumia kama kigezo cha kwamba eti ndiyo ana exist katika utatu.
 
Yeah anasema ukimuona yeye umemuona babq

1Timotheo 6
16 ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa; wala hakuna mwanadamu aliyemwona, wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina.
 
CAPABLE GOD huyu jamaaa ndio anaongoza kwa chuki nzito sana juu ya Mtume Muhammad swalahullah ailaih wasalam pamoja na waislamu wote kwa jumla

Alafu chuki zake Wala hazimpi faida yoyote zaidi ya kumtesa mwenyewe kwenye nafasi yake ovu.!

Brother badilika hata kama ni chuki sio za kihivyo aiseee mana Kila mtu anakuona mpumbavu japo wapo wanaokuona kama hero lakin wao sio kama ww.
 
1Timotheo 6
16 ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa; wala hakuna mwanadamu aliyemwona, wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina.
Screenshot_20230916-223904_Google.jpg
 
Yeah anasema ukimuona yeye umemuona babq
Huyo aliye kiandika alikuwa muislamu toka arabuni kisome uone ujinga wa uislamu.
Sijawai ona madhaifu ya ukristo yanakuwa narrated hata na wakristo walio hama
Simple logic ni kwamba hayapo hata sheikh mwaipopo hajawahi kuelezea udhaifu wa ukristo
 
Nenda kasome kuhusu "majestic plural". Ukishaijuwa hutopata shida.
Koran ( 21:17) " Had We intended to take a pastime (i.e. a wife or a son, etc.), We could surely have taken it from Us..... Kama Allah sio Hermaphrodite (Intersex) hiyo US ni kina nani?
 
Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Quran 15 : 26 " We brought man into being out of dry ringing clay which was wrought from black mud "

Waislamu huwa wanapinga Utatu(Trinity), lakini trinity ipo kwenye Kuran.

Katika Biblia, uumbaji ulifanyika kwa Trinity yaani MUNGU Baba(Jehovah), MUNGU Mwana(Yesu) na MUNGU Roho(Roho Mtakatifu).
Ndo mana katika uumbaji kuna wingi , " tumfanye mtu kwa mfano wetu " - Mwanzo 1:26

Tukirejea kwenye Kuran uumbaji umefanyika na wingi (We / Tulimuumba) . Swali : Je , Allah alishiriki na nani katika zoezi la uumbaji?

  • Ikumbukwe kuwa malaika hawakushiriki katika zoezi la uumbaji.
  • Ikumbukwe Majestic We zinatumika kwa viongozi tu, na kutambua utendaji walio chini , na viongozi hao huwa na baraza ( Mfalme - baraza la wazee , Raisi - mawaziri) - Kwa hiyo ni sawa kutumia wingi, kama uwakilishi
  • Ikumbukwe kuna verse Allah ametumia I am na kwanini pale tu , ndipo alitumia wingi?
Nani kakwambia kama malaika hakushiriki kwenye uumbaji ??? Unazani alieambiwa akachukue udongo wa kuja kufinywangiwa binadam ni nani ??? Kasome uzur maandiko na skuzote kama ni mtafuta ukweli usirizike kusoma maandiko ya imani moja tu maana hutoweza kupata jibu kamili unatakiwa upitie imani tofauti ili uelewwe kilichokusudiwa
 
Back
Top Bottom