Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity"

Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity"

Yohana 1:1 (KJV)
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

Wakristo wote mnaamini Yesu Mungu au sijui Mungu wapo 3 kupitia hilo andiko la katika kitabu Cha Yohana

Sasa kwa kataarifa yako huyo mwandishi aliyeandika kitabu Cha Yohana Hadi Leo hii ajulikani ni nani
Watu walimtafuta Dunia mzima ili athibishe hayo maneno ameyapata wapi lakini hawakufanikiwa Kujua jina lake Wala Wala familia yake

Hicho kitabu kiliokotwa Egypt miaka 30 baada ya Yesu kupaa

Yani wewe dogo

Hauna Mungu kwa sababu Yesu sio Mungu

Hauna mtume kwa sababu Paulo sio mtume

Hauna kitabu kwa sababu wagalatia,Tito sijui wakolintho sio vitabu vya Mungu


We may never know for certain who wrote the Gospel of John, any more than we can know who wrote the books of Matthew, Mark and Luke. We do know that John is a gospel apart, however. Early Matthew, Mark and Luke are so alike in their telling that they are called the Synoptic Gospels, meaning “seen together”—the parallels are clear when they are looked at side by side. Matthew and Luke follow the version of events in Mark, which is thought by scholars to be the earliest and most historically accurate Gospel. John, however, does not include the same incidents or chronology found in the other three Gospels, and the fact that it is so different has spurred a debate over whether John’s Gospel is historical or not, something that has been noted in Gospel of John commentary for hundreds—even thousands—of years.

Several hypotheses have attempted to explain why so much of Jesus’ life not portrayed in the Synoptics is present in John and vice versa. One hypothesis claims that John recorded many of the events that occurred before the arrest of John the Baptist, while the Synoptics all have Jesus’ ministry beginning only after the arrest. Another holds that John was written last, by someone who knew about the other three Gospels, but who wished to write a spiritual gospel instead of an historical one. This would mean that the person who wrote the Gospel of John would not have been a contemporary of Jesus, and therefore would not have been an eyewitness as the author claims. There is also the possibility that the author of John did not know of Mark and hence did not have the same information.

Hayo maelezo nimeyatoa katika website ya Cambridge university

Sasa wewe dogo kama unamjua huyo mwandishi aliyekuambia Yesu ni Mungu na wewe ukakubali kuwa Yesu ni Mungu mtaje ili Duniani ikupe zawadi maana bado anatafutwa Hadi Leo hi
Nondo hii
 
MTUME MUHAMMAD NDANI YA BIBILIA

MUNGU ANAMWAMBIA IBRAHIM ATAKAYEMLITHI ATATOKA KATIKA VIUNO VYAKE

Mwanzo 15:3
Abramu akasema, Tazama, hukunipa uzao, na mtu aliyezaliwa nyumbani mwangu ndiye mrithi wangu.
Mwanzo 15:4
Nalo neno la Bwana likamjia likinena, Huyu hatakurithi, bali atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayekurithi.

ISHMAEL NDIO MTOTO WA VIUNO WA IBRAHIM

Mwanzo 16:3
Sarai mkewe Abramu akamtwaa Hajiri Mmisri mjakazi wake, baada ya kukaa Abramu katika nchi ya Kanaani miaka kumi, akampa Abramu mumewe, awe mkewe.
Mwanzo 16:4
Basi akamwingilia Hajiri, naye akapata mimba. Naye alipoona ya kwamba amepata mimba, bibi yake alikuwa duni machoni pake.

MUNGU ANAAHIDI BARAKA KWA ISHMAEL

Mwanzo 16:11
Malaika wa Bwana akamwambia, Tazama! Wewe una mimba, utazaa mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Ishmaeli, maana Bwana amesikia kilio cha mateso yako.
Mwanzo 16:12
Naye atakuwa kama punda-mwitu kati ya watu, mkono wake utakuwa juu ya watu wote na mkono wa watu wote utakuwa juu yake, naye atakaa mbele yao ndugu zake wote.

UZAO WA ISHMAEL

Mwanzo 25:12
Hivi ndivyo vizazi vya Ishmaeli, mwana wa Ibrahimu, ambaye Hajiri, Mmisri, mjakazi wa Sara, alimzalia Ibrahimu.
Mwanzo 25:13
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
Mwanzo 25:14
na Mishma, na Duma, na Masa,
Mwanzo 25:15
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.
Mwanzo 25:16
Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.

WATOTO WA ISHMAEL WALIISHI SAUDI ARABIA
Isaya 21:13
Ufunuo juu ya Arabuni. Ndani ya msitu wa Arabuni mtalala, Enyi misafara ya Wadedani.
Isaya 21:14
Waleteeni wenye kiu maji, Enyi wenyeji wa nchi ya Tema; Nendeni kuwalaki wakimbiao na chakula chao.
Isaya 21:16
Kwa sababu Bwana ameniambia hivi, Katika muda wa mwaka, kama miaka ya mtu mwenye kuajiriwa, utaangamia utukufu wote wa Kedari.

Nakuwekea ramani ya Saudi Arabia ya kale kuonyesha kuwa watoto wa nabii Ishmael waliishi Saudi Arabia

Pia nakuwe chat ya family tree kuanzia nabii Ishmael Hadi nabii Muhammad

Nabii Muhammad ametokana na mtoto wa Ishmael anayeitwa KEDARI
 
NGUZO ZA UISLAM

1) KUAMINI MUNGU NI MMOJA TU

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Yesu alikuwa muislam ndio maana hapo anashuhudia kuwa Mungu ni mmoja na yeye ametumwa na huyo Mungu mmoja

2) KUSALI KWA KUSUJUDU / paji la uso kugusa aridhi

Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Yesu hapo anaomba huku paji lake la uso likiwa limegusa aridhi Yani amesujudu

2 Mambo ya Nyakati 7:3
[3]Wakatazama wana wa Israeli wote, uliposhuka ule moto, utukufu wa BWANA ulipokuwapo juu ya nyumba; wakasujudu kifulifuli hata nchi sakafuni, wakaabudu, wakamshukuru BWANA, wakisema, Kwa kuwa ni mwema; kwa maana fadhili zake ni za milele.

KUNAWA KABLA YA KUINGIA KUFANYA IBADA
Kutoka 30:18-21
[18]Fanya na birika la shaba, na tako lake la shaba, ili kuogea; nawe utaliweka kati ya hema ya kukutania na madhabahu, nawe utalitia maji.

[19]Na Haruni na wanawe wataosha mikono yao na miguu yao humo;

[20]hapo waingiapo ndani ya hema ya kukutania; watajiosha majini, ili wasife; au hapo watakapoikaribia madhabahu ili watumike, kumteketezea BWANA sadaka ya moto;

[21]basi wataosha mikono yao na miguu yao ili kwamba wasife; na neno hili litakuwa amri kwao milele, kwake yeye na kwa wazao wake katika vizazi vyao vyote.

3) KUTOA ZAKA
Hi Haina ubishi Kila mtu anaijua

4) KUFUNGA SAUMU

Yeremia 36:9
[9]Basi, ikawa katika mwaka wa tano wa Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kenda, watu wote waliokuwa katika Yerusalemu, na watu wote waliokuja Yerusalemu kutoka miji yote ya Yuda, wakapiga mbiu ya kufunga mbele za BWANA.

Yoeli 1:14
[14]Takaseni saumu, iteni kusanyiko la dini,
Wazee na wakusanye wenyeji wote wa nchi;
Waende nyumbani kwa BWANA, Mungu wenu,
Na kumlilia BWANA,

5) KUHIJI / KIBLA Kwa Sasa kibla ni msikiti wa maka waislam wote duniani wanapofanya ibada wanatakiwa waangalie huko na wenye uwezo waende huko

Waislam wa zamani pia walikuwa wanaenda hija walipo chaguliwa na Mungu

Kumbukumbu la Torati 12: Lakini mahali atakapochagua BWANA, Mungu wenu, katika kabila zenu zote, apaweke jina lake, maana, ni makao yake, elekezeni nyuso zenu hapo, nawe wende huko;

[6]pelekeni huko sadaka zenu za kuteketezwa, na dhabihu zenu, na zaka zenu, na sadaka ya kuinuliwa ya mikono yenu, na nadhiri zenu, na sadaka zenu za hiari, na wazaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ng’ombe na ya kondoo;
 
Nondo Kama hizi tunaelewa watu kama sisi...! Maisha kama haya tunaishi watu kama sisi. Nguo nzuri kama hizi tunavaa watu kama sisi... NK.
Hivi kwanini tunapotaka kujitamba/kujimwambafai huwa tunatumia neno SISI na sio MIMI?

Ukiambiwa kuna aya zinasema hana mshirika wala hana mwana utazikubali?? Tu/we ni "plural of respect "tu kuonesha heshima Mungu ni mmoja hana mshirika
 
MTUME MUHAMMAD NDANI YA BIBILIA

MUNGU ANAMWAMBIA IBRAHIM ATAKAYEMLITHI ATATOKA KATIKA VIUNO VYAKE

Mwanzo 15:3
Abramu akasema, Tazama, hukunipa uzao, na mtu aliyezaliwa nyumbani mwangu ndiye mrithi wangu.
Mwanzo 15:4
Nalo neno la Bwana likamjia likinena, Huyu hatakurithi, bali atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayekurithi.

ISHMAEL NDIO MTOTO WA VIUNO WA IBRAHIM

Mwanzo 16:3
Sarai mkewe Abramu akamtwaa Hajiri Mmisri mjakazi wake, baada ya kukaa Abramu katika nchi ya Kanaani miaka kumi, akampa Abramu mumewe, awe mkewe.
Mwanzo 16:4
Basi akamwingilia Hajiri, naye akapata mimba. Naye alipoona ya kwamba amepata mimba, bibi yake alikuwa duni machoni pake.

MUNGU ANAAHIDI BARAKA KWA ISHMAEL

Mwanzo 16:11
Malaika wa Bwana akamwambia, Tazama! Wewe una mimba, utazaa mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Ishmaeli, maana Bwana amesikia kilio cha mateso yako.
Mwanzo 16:12
Naye atakuwa kama punda-mwitu kati ya watu, mkono wake utakuwa juu ya watu wote na mkono wa watu wote utakuwa juu yake, naye atakaa mbele yao ndugu zake wote.

UZAO WA ISHMAEL

Mwanzo 25:12
Hivi ndivyo vizazi vya Ishmaeli, mwana wa Ibrahimu, ambaye Hajiri, Mmisri, mjakazi wa Sara, alimzalia Ibrahimu.
Mwanzo 25:13
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
Mwanzo 25:14
na Mishma, na Duma, na Masa,
Mwanzo 25:15
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.
Mwanzo 25:16
Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.

WATOTO WA ISHMAEL WALIISHI SAUDI ARABIA
Isaya 21:13
Ufunuo juu ya Arabuni. Ndani ya msitu wa Arabuni mtalala, Enyi misafara ya Wadedani.
Isaya 21:14
Waleteeni wenye kiu maji, Enyi wenyeji wa nchi ya Tema; Nendeni kuwalaki wakimbiao na chakula chao.
Isaya 21:16
Kwa sababu Bwana ameniambia hivi, Katika muda wa mwaka, kama miaka ya mtu mwenye kuajiriwa, utaangamia utukufu wote wa Kedari.

Nakuwekea ramani ya Saudi Arabia ya kale kuonyesha kuwa watoto wa nabii Ishmael waliishi Saudi Arabia

Pia nakuwe chat ya family tree kuanzia nabii Ishmael Hadi nabii Muhammad

Nabii Muhammad ametokana na mtoto wa Ishmael anayeitwa KEDARI
Ishmael alikuwa nabii?
 
NGUZO ZA UISLAM

1) KUAMINI MUNGU NI MMOJA TU

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Yesu alikuwa muislam ndio maana hapo anashuhudia kuwa Mungu ni mmoja na yeye ametumwa na huyo Mungu mmoja

2) KUSALI KWA KUSUJUDU / paji la uso kugusa aridhi

Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Yesu hapo anaomba huku paji lake la uso likiwa limegusa aridhi Yani amesujudu

2 Mambo ya Nyakati 7:3
[3]Wakatazama wana wa Israeli wote, uliposhuka ule moto, utukufu wa BWANA ulipokuwapo juu ya nyumba; wakasujudu kifulifuli hata nchi sakafuni, wakaabudu, wakamshukuru BWANA, wakisema, Kwa kuwa ni mwema; kwa maana fadhili zake ni za milele.

KUNAWA KABLA YA KUINGIA KUFANYA IBADA
Kutoka 30:18-21
[18]Fanya na birika la shaba, na tako lake la shaba, ili kuogea; nawe utaliweka kati ya hema ya kukutania na madhabahu, nawe utalitia maji.

[19]Na Haruni na wanawe wataosha mikono yao na miguu yao humo;

[20]hapo waingiapo ndani ya hema ya kukutania; watajiosha majini, ili wasife; au hapo watakapoikaribia madhabahu ili watumike, kumteketezea BWANA sadaka ya moto;

[21]basi wataosha mikono yao na miguu yao ili kwamba wasife; na neno hili litakuwa amri kwao milele, kwake yeye na kwa wazao wake katika vizazi vyao vyote.

3) KUTOA ZAKA
Hi Haina ubishi Kila mtu anaijua

4) KUFUNGA SAUMU

Yeremia 36:9
[9]Basi, ikawa katika mwaka wa tano wa Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kenda, watu wote waliokuwa katika Yerusalemu, na watu wote waliokuja Yerusalemu kutoka miji yote ya Yuda, wakapiga mbiu ya kufunga mbele za BWANA.

Yoeli 1:14
[14]Takaseni saumu, iteni kusanyiko la dini,
Wazee na wakusanye wenyeji wote wa nchi;
Waende nyumbani kwa BWANA, Mungu wenu,
Na kumlilia BWANA,

5) KUHIJI / KIBLA Kwa Sasa kibla ni msikiti wa maka waislam wote duniani wanapofanya ibada wanatakiwa waangalie huko na wenye uwezo waende huko

Waislam wa zamani pia walikuwa wanaenda hija walipo chaguliwa na Mungu

Kumbukumbu la Torati 12: Lakini mahali atakapochagua BWANA, Mungu wenu, katika kabila zenu zote, apaweke jina lake, maana, ni makao yake, elekezeni nyuso zenu hapo, nawe wende huko;

[6]pelekeni huko sadaka zenu za kuteketezwa, na dhabihu zenu, na zaka zenu, na sadaka ya kuinuliwa ya mikono yenu, na nadhiri zenu, na sadaka zenu za hiari, na wazaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ng’ombe na ya kondoo;
Unarejea biblia usiyoiamini kuuhalalisha uislamu
 
Ndugu zangu wakristo tuache mipasho,,,hii mipasho sio tabia ya busara na wala haijengi..Ukiwa na jambo lako lielezee vile unalielewa kiundani kwa imani yako wewe,,huna haja ya kutumia maelezo mengi ya vitabu vingine vilivyo nje ya imani yako,,,wala huna haja ya kuuza wazo lako kwa kumfanya mwenzio awe chini ili atumike kukuonyesha wewe kuwa juu,,Biblia imejitosheleza wala hutakiwi kutafuta maelezo nje ya biblia kusisitizia jambo kwenye biblia..Labda kama umekuwa provoked..Soma biblia wasikilize wanaoijua biblia zaidi yako ili uwe deep.Watu wa dini nyengine wameshaamini na wanajua njia yao ni sahihi kushinda njia yako,,,sasa sisi tulipumzishe jukwaa la JAMII INTELIGENCE kuwe na maada endelevu na zisizo na ugomvi,,kashfa na dharau..TULIPUMZISHE JUKWAA LA INTELIGENCE.
 
1.Malaika walihusika kuumbwa mwanadam. Malaika ndo waletaji wa udongo sas sijui unawa-exclude kwa mising ipi.

2.Kumekua na mijadala mingi juu ya wingi unaotumiwa na Allah (s.w) pamoja na dhamiri ya kiume "He".Mung hutumia wingi kuonesha ukubwa wake. Yeye ni mmoja lakin anaweza kufanya mambo zaid ya umoja wake.

Kweny uislam debate za Allah(s.w) hazina mashiko sana kutokan na ukweli kwamba elimu tuliyopewa ni ndogo sana, zaid kumjadili mungu kwa undani zaid huishia kweny sintofaham.

Mungu mwenyew anakwambia hana mshirika huo utatu unatoka wap..kweny familia kuna mda inazuka migogoro sababu ya nafasi, wew unadhan uwepo wa miungu watatu ni aman kwa ulimwengu ni vipi wakitofautian kimaamuzi.


Kingine Muhammad (s .w.a) hakucopy ,alicopy vip hali ya kua ajui kusoma na kuandika .Tujikite kweny vitu ambavy akili zetu zinaweza kuja na majib ata kama ni miaka 500 mbelen na sio kumchimba mungu zaid


Swali!

Kama Muhammad(s .w.a) alicopy bible ni kweli biblia inasema "Jua linazunguka " na "mwezi umepasuka"?.

Tuanzie hapa
Inatumia wingi siyo kuonesha ukubwa wake bali kuna kundi lipo linashirikiana naye
 
NGUZO ZA UISLAM

1) KUAMINI MUNGU NI MMOJA TU

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Yesu alikuwa muislam ndio maana hapo anashuhudia kuwa Mungu ni mmoja na yeye ametumwa na huyo Mungu mmoja

2) KUSALI KWA KUSUJUDU / paji la uso kugusa aridhi

Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Yesu hapo anaomba huku paji lake la uso likiwa limegusa aridhi Yani amesujudu

2 Mambo ya Nyakati 7:3
[3]Wakatazama wana wa Israeli wote, uliposhuka ule moto, utukufu wa BWANA ulipokuwapo juu ya nyumba; wakasujudu kifulifuli hata nchi sakafuni, wakaabudu, wakamshukuru BWANA, wakisema, Kwa kuwa ni mwema; kwa maana fadhili zake ni za milele.

KUNAWA KABLA YA KUINGIA KUFANYA IBADA
Kutoka 30:18-21
[18]Fanya na birika la shaba, na tako lake la shaba, ili kuogea; nawe utaliweka kati ya hema ya kukutania na madhabahu, nawe utalitia maji.

[19]Na Haruni na wanawe wataosha mikono yao na miguu yao humo;

[20]hapo waingiapo ndani ya hema ya kukutania; watajiosha majini, ili wasife; au hapo watakapoikaribia madhabahu ili watumike, kumteketezea BWANA sadaka ya moto;

[21]basi wataosha mikono yao na miguu yao ili kwamba wasife; na neno hili litakuwa amri kwao milele, kwake yeye na kwa wazao wake katika vizazi vyao vyote.

3) KUTOA ZAKA
Hi Haina ubishi Kila mtu anaijua

4) KUFUNGA SAUMU

Yeremia 36:9
[9]Basi, ikawa katika mwaka wa tano wa Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kenda, watu wote waliokuwa katika Yerusalemu, na watu wote waliokuja Yerusalemu kutoka miji yote ya Yuda, wakapiga mbiu ya kufunga mbele za BWANA.

Yoeli 1:14
[14]Takaseni saumu, iteni kusanyiko la dini,
Wazee na wakusanye wenyeji wote wa nchi;
Waende nyumbani kwa BWANA, Mungu wenu,
Na kumlilia BWANA,

5) KUHIJI / KIBLA Kwa Sasa kibla ni msikiti wa maka waislam wote duniani wanapofanya ibada wanatakiwa waangalie huko na wenye uwezo waende huko

Waislam wa zamani pia walikuwa wanaenda hija walipo chaguliwa na Mungu

Kumbukumbu la Torati 12: Lakini mahali atakapochagua BWANA, Mungu wenu, katika kabila zenu zote, apaweke jina lake, maana, ni makao yake, elekezeni nyuso zenu hapo, nawe wende huko;

[6]pelekeni huko sadaka zenu za kuteketezwa, na dhabihu zenu, na zaka zenu, na sadaka ya kuinuliwa ya mikono yenu, na nadhiri zenu, na sadaka zenu za hiari, na wazaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ng’ombe na ya kondoo;
Kati ya Biblia na Quran ipi ilianza? Kama kitabu kimoja kilianza basi cha pili ni copy na paste yake.

Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Hapo Allah alikuwa na nani?
 
Unataka kuleta ukristo wako kwenye uislamu wangu
 
Kati ya Biblia na Quran ipi ilianza? Kama kitabu kimoja kilianza basi cha pili ni copy na paste yake.

Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Hapo Allah alikuwa na nani?
Kuanza kwa kitu haimaniishi kitakachofuata kitategemea hicho cha mwanzo hii ni " post hoc phallacy" .

Na kama bado una rely kwenye msimamo huo hii inamaanisha hata biblia ili copy kwenye vitabu vya kigiriki,kirumi,kiyunani, uhindu, dini za kimisri n.k maana hizo dini zilikuwepo muda kabla ya ukristo kuwepo na dini zote hizo nilizotaja kwa uchache wanaamini kwenye utatu wagiriki walikuwa na (zeus,hades na poseidon) wayunani walikuwa na (ahura mazda, ahura vouruna na mithra) warumi walikuwa na (jupiter, juno na minerva) wahindu mpaka sasa wana ( Brahma, shiva na vishnu ) wamisri walikuwa na (osiris, isis na horus) na nikupe mfano mmoja tu ukifuatilia kwenye greek religion zile za kale waikuwa na mungu wa pombe/wine (walikuwa wanakunywa wine kama kilevi cha miungu) aliitwa dionysus ambaye ni mtoto wa zeus (mungu mkuu wa wagiriki wa kale) huyu ndiye ambaye haswaa story nzima ya yesu imetokea yaani ni copy and paste unawez akuchimba zaidi.

Kingine quran ni devine revelation and as Allah ( the all knowing ) is not the author of confusion basi hata quran haina mkanganyiko wowote ninachokiona haswa ni pale watu kama nyie mnapojaribu ku twist reality ili iweze ku fit kile mnachokihitajia .

KUTUMIKA NENO SISI HAIMAANISHI WAPO WENGI HII INAONESHA UKUBWA NA NGUVU YAKE YEYE PEKEE ASIYE NA MWANZO ,MWISHO, WALA HAHITAJII WASAIDIZI , MKE , MTOTO WALA KUPUMZIKA .

NA AMEBAINISHA HILI VERY STRAIGHT KWENYE SURAT IQLAAS AYA YA KWANZA KABISA PAMOJA NA AYA NYENINGE NYINGI TU .
 
Kuanza kwa kitu haimaniishi kitakachofuata kitategemea hicho cha mwanzo hii ni " post hoc phallacy" .

Na kama bado una rely kwenye msimamo huo hii inamaanisha hata biblia ili copy kwenye vitabu vya kigiriki,kirumi,kiyunani, uhindu, dini za kimisri n.k maana hizo dini zilikuwepo muda kabla ya ukristo kuwepo na dini zote hizo nilizotaja kwa uchache wanaamini kwenye utatu wagiriki walikuwa na (zeus,hades na poseidon) wayunani walikuwa na (ahura mazda, ahura vouruna na mithra) warumi walikuwa na (jupiter, juno na minerva) wahindu mpaka sasa wana ( Brahma, shiva na vishnu ) wamisri walikuwa na (osiris, isis na horus) na nikupe mfano mmoja tu ukifuatilia kwenye greek religion zile za kale waikuwa na mungu wa pombe/wine (walikuwa wanakunywa wine kama kilevi cha miungu) aliitwa dionysus ambaye ni mtoto wa zeus (mungu mkuu wa wagiriki wa kale) huyu ndiye ambaye haswaa story nzima ya yesu imetokea yaani ni copy and paste unawez akuchimba zaidi.

Kingine quran ni devine revelation and as Allah ( the all knowing ) is not the author of confusion basi hata quran haina mkanganyiko wowote ninachokiona haswa ni pale watu kama nyie mnapojaribu ku twist reality ili iweze ku fit kile mnachokihitajia .

KUTUMIKA NENO SISI HAIMAANISHI WAPO WENGI HII INAONESHA UKUBWA NA NGUVU YAKE YEYE PEKEE ASIYE NA MWANZO ,MWISHO, WALA HAHITAJII WASAIDIZI , MKE , MTOTO WALA KUPUMZIKA .

NA AMEBAINISHA HILI VERY STRAIGHT KWENYE SURAT IQLAAS AYA YA KWANZA KABISA PAMOJA NA AYA NYENINGE NYINGI TU .
Umeanza vizuri baadaye ukaingia kwenye mtego wa the all knowing kuandika kitabu ambacho watu wanasema ni fabricated stories za bible na mila zingine.Ina maana the all knowing anacopy na kupaste tena kimakosa?
 
Umeanza vizuri baadaye ukaingia kwenye mtego wa the all knowing kuandika kitabu ambacho watu wanasema ni fabricated stories za bible na mila zingine.Ina maana the all knowing anacopy na kupaste tena kimakosa?
Keywords
".........ambacho watu wanasema ............."

Kwanza elewa quran haikushuka kama kitabu complete ilishuka kama aya pekee kutokana na matukio yaliyokuwa yanatokea hivyo ilishuka kidogo kidogo mtume muhammad (swalalah a'layhi wasalam) akawafundishwa maswahaba na wao wakaihifadhi kwa moyo .

Kwenye ukhalifa wa abubakar sidiq ( radhiallahu a'nhu) alimuagiza zayd ibn thabit (radhiallahu a'nhu) kuiandika yote kama walivyoihifadhi.

Unatakiwa kujua kwamba

Allah ( the almighty) ndiye aliyeumba kila kitu na kwa kila zama alikuwa analeta ujumbe na mitume na manabii wake woote walikuja na ujumbe mmoja ndiyo maaana kunakuwa na ufanano wa jumbe walizokuja nazo mitume ispokuwa kwa sheria chache sana .

Swali
Kama mnabaki na msimamo kuwa aliiga kwenye vitabu vya kiyahudi sasa ndo mtuambie mtu asiyejua kusoma na kuandika atawezaje kuiga vitabu ambavyo hata lugha yenyewe atakuwa haijui?
 
Kwa sasa hawapati huku, wako kule dipii wedi wanatukana TEC!
Watu wa ajabu sana, wanafikiri Bandari ni ya wakristo kumbe ni yao pia!
 
Unataka kuleta ukristo wako kwenye uislamu wangu
Kuran Ni copy and paste ya biblia.

Kuran Ni nusu ya biblia yote.

Uislam Ni dini na mafundisho ya kujitungia. Huyo mtume hajawahi kuwako. Watu waliona tu ukristo upate ukinzani. Watu walirekebisha Biblia ili kupata Biblia.

Uislam Ni dini ya uongo, uongo, ulaghai na ushirikina. Hamna dini mle. Kupoteza tu muda.

Nb: Biblia na ukristo ulikuwako miaka 700 kabla ya huo utapeli unaoitwa Uislam.
 
Hakuna dini inaitwa uislamu, Wala huyo sijui huyo mtume hajawahi kuwako.

Ulaghai ULAGHAI tu.

Ukristo na Biblia vimekuwako miaka 700 kabla ya watu fulani wahuni kukaa na kuiedit Biblia na kutengeneza kuran.Cha msingi kuwe na ukinzani.
 
Jinsi muhamad alipata Utume toka kwa Majini.
itume wa Yesu ndani ya Biblia Takatifu walikwisha kutuonya kuhusu uchafu huo. Katika 2 Kor 7:1 “Basi, wapenzi wangu, kwa kuwa tuna ahadi hizo, na tujitakase nafsi zetu na uchafu wote wa mwili na roho, huku tukitimiza utakatifu katika kumcha Mungu”
Miongoni mwa mafundisho ya Muhammad ni kwamba kuna mambo kumi yanayokamilisha Uislamu nayo tunayasoma katika kitabu kiitwacho

Mkweli Mwaminifu , Kilichoandikwa na Sheikh Said Moosa Al-Kindy wa Muscut, Juzuu 3-4 Uk 63.Hadithi Na.880 “ Kasema Mtume (s.a.w) (Mambo) kumi ya Uislamu (yanayokamilisha Uislamu):Kukata masharubu,na kuziweka ndevu,nakuziweka ndevu (kutozinyoa) ndevu,na kupiga mswaki,kusafisha ndani ya pua kwa maji,na kukata kucha,kuosha mikono baina ya vidole,na kung’oa (au kunyoa) nywele za kwapani,na kunyoa nywele za mbeleni (mavuzi),na upungufu wa maji. La kumi,kasema sahaba aliepokea hadithi hii kuwa nimesahau,lakini kasema bila shaka la kumi ni “kutahiriwa.”
Kwa mujibu wa Biblia manabii na mitume wanathibitishwa kwa njia ya miujiza.
Kutoka 14:21” Musa akanyosha mkono wake juu ya bahari,BWANA akaifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wa nguvu utokao mashariki,usiku kucha,akaifanya bahari kuwa nchi kavu”.
Matendo 19:11-12 “Mungu alifanya kwa mikono ya Paulo miujiza ya kupita kawaida . Hata wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizotoka mwilini mwake magonjwa yao yakawaondokea, pepo wachafu wakawatoka”. Tazama pia Matendo 16:16-18, 20:7-12 na Matendo 13:6-12.
Qur’an nayo inathibitisha kuwa manabii na mitume ni lazima wafanye miujiza.
Qurani 40:78 Suratul Al-Muumini [Waumini] inasomeka “Na kwa yakini tumewatuma mitume kabla yako wengime katika wao tumekusimulia (majina yao na habari zao) na wengine hatukukusimulia na haikuwa kwa mtume yoyote kuleta muujiza wowote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu”
Muhammad hakupewa kufanya muujiza wowote ili kuthibitisha madai ya unabii na utume wake.
Qur’an 29:50 Suratul Al-Ankabuut (Buibui). “Na walisema “Mbona hakuteremshiwa miujiza kutoka kwa Mola wake? Sema miujiza iko kwa Mwenyezi Mungu tu (akitaka atakuteremshieni na kama hataki basi),nami hakika ni mwonyaji mbainishaji (dhahiri tu).” (Taz. Qur,an 6:35-37 13:7,)
Katika Qur’an iko aya ambayo tunapaswa tuitafakari wote kwa pamoja.Katika Surat An-Nisaa, (wanawake), 4:79 “Wema uliokufikia unatoka kwa Mwenyezi Mungu na ubaya uliokufikia unatoka nafsini mwako, mwenyewe umefanya mambo hata yakakufika hayo. Nasi tumekupeleka kwa watu kuwa mtume na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha (hapaitajiwi shahidi mwingine)”

Aya hii inaonesha kuwa Muhammad mtume wa Waislamu, alipelekwa kwa watu kuwa mtume, huku Mwenyezi Mungu akiwa shahidi tu. Siku zote shahidi si mtendaji bali ni mwonaji tu wa tendo lililotendeka.Hoja yetu tungependa kuwajua hao watu waliompeleka Muhammad kwa watu ni akina nani?. Kwa sababu tumeona kule nyuma baada ya Muhammad kutoka pangoni, mkewe Bi. Khadija anamwambia Muhammad kuwa “utume huo!!!!!!! Na Bwana Waraqah ibn Naufal akimwambia Muhammad kuwa “ basi jibashirie kuwa wewe ni mtume wa umma huu” kabla ya Qur’an .Je hao si wale “Nasi tumekupeleka” wanaotajwa kwenye aya hiyo hapo juu? Tafakari!! .
Waislamu hudai kuwa Muhammad ametumwa na Mwenyezi Mungu wao, ambaye ni Mfalme wa Wafalme . Lakini tusomapo Biblia Takatifu katika kitabu cha Ufunuo 17:14 “ Hawa watafanya vita na Mwanakondoo, na Mwanakondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme; na hao walio pamoja naye ndiyo walioitwa na wateule, na waaminifu”
Katika Ufunuo 19:11-16 “ Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi mweupe, na yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa haki ahukumu na kufanya vita. Na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto, na juu ya kichwa chake vilemba vingi; naye ana jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila yeye mwenyewe. Naye amevikwa vazi lililochovywa katika damu, na jina lake aitwa Neno la Mungu. Na majeshi yaliyo mbinguni wakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi. Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili awapige mataifa kwa huo. Naye atawachunga kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi. Naye ana jina limeandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME NA BWANA WA MABWANA.

Yesu Kristo ndiye Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana.Lakini tunaposoma Hadithi sahihi za Kiislamu zinaeleza kuwa adui mkubwa wa Allah (s.w) Mungu wanayemwabudu Waislamu, ni yule anayeitwa Mfalme wa Wafalme.
Sahih Al- Bukhari, Vol.8.Hadithi Na.225, Al-Lu’lu Wal-marjan,Juzuu ya 3,Hadithi Na.1385 “Hadithi ya Abu Huraira (r.a) amesema,Mtume wa Allah (s.a.w) amesema,”Majina yaliyo dhalili mno na mabaya mbele za Allah ni mtu kujiita,Malikil-Amlaak (Mfalme wa Wafalme).”
Hivyo, ufunuo aliopokea Muhammad, ambao anatutaka na sisi Wakristo tuuamini haujatoka kwa Mungu tunayemwamini sisi Wakristo, yaani, Yesu Kristo.Bali kama alivyonukuliwa katika vitabu vya Kiislamu, unatokana na kuchezewa na Shetani, na kwa sababu hiyo kwetu anakuwa nabii na mtume wa uongo’
Biblia Takatifu imetuonya kuwachunguza mitume na manabii. Katika kitabu cha Ufunuo 2:1-2 “ Kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume, yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu. Nayajua matendo yako, na taabu yako, na subira yako, na ya kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya, tena umewajaribu wale wajiitao mitume, nao siyo ukawaona kuwa waongo”
Kwa mujibu wa aya hizi Muhammad s.a.w hastahili kuitwa nabii na mtume wa Mungu wa Kweli, bali anaangukia katika kundi la manabii na mitume wa uongo. Hatufai
Watu wa hadithi Hawa.

Hakuna matendo halisi ya nguvu ya mungu Bali hadithi, hadithi za kujitungia.

Mafundisho ya mwili lkn hajui Kuna roho.
 
Back
Top Bottom