Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity"

Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity"

Kwanini u assume hiyo "we" ni alishiriakina na huyo unaye assume na si majestic we?
Kama Mfalme(WE) kajiwakilisha yeye na baraza la wazee(waziri/walio chini yake) - basi tunarudi kwenye wingi(Uumbaji umefanywa na utatu/wingi)

Lakini ukitumia we , bila uwakilishi wa wanadamu waliochini yako . Basi kuna Mwili mmoja lakini kuna uwakilishi wa roho nyingi

Kama dhima yake ni kuonesha ukuu au ukubwa
Basi ingetumika na baba katika familia , na Mwalimu Mkuu katika Shule.
 
Kama Mfalme(WE) kajiwakilisha yeye na baraza la wazee(waziri/walio chini yake) - basi tunarudi kwenye wingi(Uumbaji umefanywa na utatu/wingi)

Lakini ukitumia we , bila uwakilishi wa wanadamu waliochini yako . Basi kuna Mwili mmoja lakini kuna uwakilishi wa roho nyingi

Kama dhima yake ni kuonesha ukuu au ukubwa
Basi ingetumika na baba katika familia , na Mwalimu Mkuu katika Shule.
Kwamba mfalme akitumia "we " amejiwakilisha yeye na baraza la wazee? Umesoma ulichokiandika? 🤣🤣🤣🤣🤣

Ningekuwekea maelezo meengi ya kiarabu ila naona ntakupoteza zaidi inshort mfalme huwa anajitambukisha yeye kama yeye ili kuonesha ukubwa wake sasa ndiyo anatumia majestic "we" haimaanishi hao wazee wapo katika huo utambulishi .
 
Kwamba mfalme akitumia "we " amejiwakilisha yeye na baraza la wazee? Umesoma ulichokiandika? 🤣🤣🤣🤣🤣

Ningekuwekea maelezo meengi ya kiarabu ila naona ntakupoteza zaidi inshort mfalme huwa anajitambukisha yeye kama yeye ili kuonesha ukubwa wake sasa ndiyo anatumia majestic "we" haimaanishi hao wazee wapo katika huo utambulishi .
Unachobisha ni nini ?
Baraza la wazee katika falme , lilikuwa nikama baraza la mawaziri na bunge katika uraisi
Kwa hiyo, ni sawa yeye kutumia wingi , kwa sababu kila swala kubwa lilijadiliwa katika baraza la wazee na amri ya mwisho ilitoka kwa mfalme
 
Unachobisha ni nini ?
Baraza la wazee katika falme , lilikuwa nikama baraza la mawaziri katika uraisi
Kwa hiyo, ni sawa yeye kutumia wingi , kwa sababu kila swala kubwa lilijadiliwa katika baraza la wazee na amri ya mwisho ilitoka kwa mfalme
Bro vip umenitoroka sio?
 
Haya maswala ya udini yanataka kuota mizizi hapa mitandaoni na baadae kwenye jamii
Udini sio huu, kumbuka hizi dini Nikama himaya zinazo taka kujitanua, Huku zikijihami Ili zisipokonywe waamini.
mtu kaja na hoja yake acha ijibiwe kwa hoja, pengine upande utakao shinda (Hoja zenye mashiko) ukavuna waamini wa upande ulioshindwa.
 
Udini sio huu, kumbuka hizi dini Nikama himaya zinazo taka kujitanua, Huku zikijihami Ili zisipokonywe waamini.
mtu kaja na hoja yake acha ijibiwe kwa hoja, pengine upande utakao shinda (Hoja zenye mashiko) ukavuna waamini wa upande ulioshindwa.
Huyu Restless Hustler , amesema yeye hana dini,
Nika muuliza katika nyuzi za dini anafanyaje?
Mana kuna majukwaa ya siasa , kuna majukwaa ya chakula , kuna mpaka vichekesho lakini akaja kwenye nyuzi isiyo mhusu

Ni Muislamu , aliyeshindwa kutetea Quran
 
Unachobisha ni nini ?
Baraza la wazee katika falme , lilikuwa nikama baraza la mawaziri na bunge katika uraisi
Kwa hiyo, ni sawa yeye kutumia wingi , kwa sababu kila swala kubwa lilijadiliwa katika baraza la wazee na amri ya mwisho ilitoka kwa mfalme
Either huna elimu na haya mambo au haujui unachokiandika 😂😂 wacha nikupe elimu kidogo hapa, ipo hivi wafalme zamani walikuwa wanachukuliwa kwamba wanatokea kwenye koo zenye uungu ndani yake au wamechaguliwa na Mungu moja kwa moja hivyo mfalme alipokuwa anatumia pronoun "We" au kwa kilatini "pluralis majestatis" ni kumaanisha "God and I " .

SASA
Kwanini Allah (the Only King) ametumia neno "we" au kwa kiarabu " ناحن" (nahnu) hii ni kwa sababu anaonesha UTUKUFU NA UKUBWA WAKE maana hakuna Mola ispokuwa yeye ☝️.
 
Either huna elimu na haya mambo au haujui unachokiandika 😂😂 wacha nikupe elimu kidogo hapa, ipo hivi wafalme zamani walikuwa wanachukuliwa kwamba wanatokea kwenye koo zenye uungu ndani yake au wamechaguliwa na Mungu moja kwa moja hivyo mfalme alipokuwa anatumia pronoun "We" au kwa kilatini "pluralis majestatis" ni kumaanisha "God and I " .

SASA
Kwanini Allah (the Only King) ametumia neno "we" au kwa kiarabu " ناحن" (nahnu) hii ni kwa sababu anaonesha UTUKUFU NA UKUBWA WAKE maana hakuna Mola ispokuwa yeye ☝️.
Asa sioni elimu hapa,

Haya ni makorokocho na manyang'unyang'u
Lete kitu kilichoshiba Boss , sio wafalme wame kutoka
 
Asa sioni elimu hapa,

Haya ni makorokocho na manyang'unyang'u
Lete kitu kilichoshiba Boss , sio wafalme wame kutoka
Quran haina errors , thats final ukiona umepata error jua wewe ndiye mwenye makosa kwenywe usomaji wako 😂
 
Quran haina errors , thats final ukiona umepata error jua wewe ndiye mwenye makosa kwenywe usomaji wako 😂
Oops , nani kakuuliza hili swali
Unataka tuanze mada ya errors za Quran na mada husika hatujapata jibu
Mi naona uende tu Bro, usinijazie uzi
 
Kasome bhavishya purana ya wahindi haya mambo utayamanya kirahisi mno
 
Oops , nani kakuuliza hili swali
Unataka tuanze mada ya errors za Quran na mada husika hatujapata jibu
Mi naona uende tu Bro, usinijazie uzi
🤣🤣🤣🤣 typical christian hauna elimu na mambo unayoyaletea uzi ukiletewa hoja na maswali yenye mantiki unakimbia 🤣🤣🤣 leta uzi wa errors za quran maana huu tumeshauletea majibu murua kabisa na bado sijaona ukitete hoja yako popote pale NIPO HAPA NASUBIRI UJE NA NYUZI ZAKO INSHALLAH NITAKUJIBU KWA KADIRI ATAKAVYONIJALIA YULE ALIYEMUUMBA BINADAMU YESU NA KUMFANYA NABII KATI YA WANA WA ISRAEL.

ALLAH HUAKBAR ☝🏾☝🏾☝🏾☝🏾
 
Kumbukumbu la Torati 18:18 (KJV) Mimi nitawaondokeshea nabii miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru.

Mungu anamwambia Musa ataondokesha nabi miongoni mwa ndugu wa wana wa Israel mfano wako wewe Musa

Waisrael ni watoto wa Isihaka na wasaudi Arabia ni watoto wa Ishmael hivyo Hawa ni ndugu

Nabii mfano wa Musa
1)Musa amezaliwa na baba na mama na Muhammad amezaliwa na baba na mama

2) Musa amepewa utume akiwa mtu mzima na Muhammad amepewa utume akiwa mtu mzima

3) Musa amepewa kitabu Cha taurati kina amri Sheria na hukumu na Muhammad amepewa kitabu Cha Quran kina amri Sheria na hukumu

4) Musa ali oa mke na kuzaa watoto na Muhammad alio na kuzaa watoto
 
Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Quran 15 : 26 " We brought man into being out of dry ringing clay which was wrought from black mud "

Waislamu huwa wanapinga Utatu(Trinity), lakini trinity ipo kwenye Kuran.

Katika Biblia, uumbaji ulifanyika kwa Trinity yaani MUNGU Baba(Jehovah), MUNGU Mwana(Yesu) na MUNGU Roho(Roho Mtakatifu).
Ndo mana katika uumbaji kuna wingi , " tumfanye mtu kwa mfano wetu " - Mwanzo 1:26

Tukirejea kwenye Kuran uumbaji umefanyika na wingi (We / Tulimuumba) . Swali : Je , Allah alishiriki na nani katika zoezi la uumbaji?

  • Ikumbukwe kuwa malaika hawakushiriki katika zoezi la uumbaji.
  • Ikumbukwe Majestic We zinatumika kwa viongozi tu, na kutambua utendaji walio chini , na viongozi hao huwa na baraza ( Mfalme - baraza la wazee , Raisi - mawaziri) - Kwa hiyo ni sawa kutumia wingi, kama uwakilishi
  • Ikumbukwe kuna verse Allah ametumia I am na kwanini pale tu , ndipo alitumia wingi?
Yohana 1:1 (KJV)
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

Wakristo wote mnaamini Yesu Mungu au sijui Mungu wapo 3 kupitia hilo andiko la katika kitabu Cha Yohana

Sasa kwa kataarifa yako huyo mwandishi aliyeandika kitabu Cha Yohana Hadi Leo hii ajulikani ni nani
Watu walimtafuta Dunia mzima ili athibishe hayo maneno ameyapata wapi lakini hawakufanikiwa Kujua jina lake Wala Wala familia yake

Hicho kitabu kiliokotwa Egypt miaka 30 baada ya Yesu kupaa

Yani wewe dogo

Hauna Mungu kwa sababu Yesu sio Mungu

Hauna mtume kwa sababu Paulo sio mtume

Hauna kitabu kwa sababu wagalatia,Tito sijui wakolintho sio vitabu vya Mungu


We may never know for certain who wrote the Gospel of John, any more than we can know who wrote the books of Matthew, Mark and Luke. We do know that John is a gospel apart, however. Early Matthew, Mark and Luke are so alike in their telling that they are called the Synoptic Gospels, meaning “seen together”—the parallels are clear when they are looked at side by side. Matthew and Luke follow the version of events in Mark, which is thought by scholars to be the earliest and most historically accurate Gospel. John, however, does not include the same incidents or chronology found in the other three Gospels, and the fact that it is so different has spurred a debate over whether John’s Gospel is historical or not, something that has been noted in Gospel of John commentary for hundreds—even thousands—of years.

Several hypotheses have attempted to explain why so much of Jesus’ life not portrayed in the Synoptics is present in John and vice versa. One hypothesis claims that John recorded many of the events that occurred before the arrest of John the Baptist, while the Synoptics all have Jesus’ ministry beginning only after the arrest. Another holds that John was written last, by someone who knew about the other three Gospels, but who wished to write a spiritual gospel instead of an historical one. This would mean that the person who wrote the Gospel of John would not have been a contemporary of Jesus, and therefore would not have been an eyewitness as the author claims. There is also the possibility that the author of John did not know of Mark and hence did not have the same information.

Hayo maelezo nimeyatoa katika website ya Cambridge university

Sasa wewe dogo kama unamjua huyo mwandishi aliyekuambia Yesu ni Mungu na wewe ukakubali kuwa Yesu ni Mungu mtaje ili Duniani ikupe zawadi maana bado anatafutwa Hadi Leo hi
 
Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Quran 15 : 26 " We brought man into being out of dry ringing clay which was wrought from black mud "

Waislamu huwa wanapinga Utatu(Trinity), lakini trinity ipo kwenye Kuran.

Katika Biblia, uumbaji ulifanyika kwa Trinity yaani MUNGU Baba(Jehovah), MUNGU Mwana(Yesu) na MUNGU Roho(Roho Mtakatifu).
Ndo mana katika uumbaji kuna wingi , " tumfanye mtu kwa mfano wetu " - Mwanzo 1:26

Tukirejea kwenye Kuran uumbaji umefanyika na wingi (We / Tulimuumba) . Swali : Je , Allah alishiriki na nani katika zoezi la uumbaji?

  • Ikumbukwe kuwa malaika hawakushiriki katika zoezi la uumbaji.
  • Ikumbukwe Majestic We zinatumika kwa viongozi tu, na kutambua utendaji walio chini , na viongozi hao huwa na baraza ( Mfalme - baraza la wazee , Raisi - mawaziri) - Kwa hiyo ni sawa kutumia wingi, kama uwakilishi
  • Ikumbukwe kuna verse Allah ametumia I am na kwanini pale tu , ndipo alitumia wingi?
Nondo Kama hizi tunaelewa watu kama sisi...! Maisha kama haya tunaishi watu kama sisi. Nguo nzuri kama hizi tunavaa watu kama sisi... NK.
Hivi kwanini tunapotaka kujitamba/kujimwambafai huwa tunatumia neno SISI na sio MIMI?
 
Back
Top Bottom