Waislamu mliofanikiwa kwa Elimu ya Shule za Mission badala ya Madrasa kuweni na Shukrani kwa Wakristo waliowafikisha hapo mlipo

Waislamu mliofanikiwa kwa Elimu ya Shule za Mission badala ya Madrasa kuweni na Shukrani kwa Wakristo waliowafikisha hapo mlipo

Mimi ni mtoto wa kishua nimesoma Tanganyika high school kisha chuo kikuu nchini marekani kwahiyo elimu ya mkoloni siitambui
Tanganyika high school ulienda tu ukasoma pale?
Kwanza,walimu na wanafunzi kibao ni waswahili tu hukuwa nap?
Na hiki kiswahili umekijuaje.
We mtoto wa kishua mafi ya kuku.
We maganga tu.
 
Tunasoma weeee,halafu tunakimbilia kutafuta ajira,tukiona Serikalini kugumu tunakimbilia kwenye makampuni ya gesi na mafuta,malori,mabasi na viwanda....sasa asilimia kubwa ya makampuni haya yanamilikiwa na watu wa imani ipi1
Ukiwa na hiki huyu ana hiki,ukiwa na kile huyu ana kile
 
Asante sana mkuu, na hilo ndio lilikuwa lengo haswa la kuwaelimisha wa upande wa pili
Sisi tunafundishwa mengi sana ambayo ni maisha halisi

Tulikatazwa kusema uongo kwa vitendo yaani fimbo
Hata nidhamu na heshima
Sasa wao wengi wamesoma ili waje kuiba
Mwambie akutajie list ya mafisadi mbona hajajibu muulize Tena kuhusu kashfa ya Escrow ilihusisha Viongozi wa dini ipi?
 
Wanabodi,

Watanzania wote waliosoma enzi za mkoloni mpaka tunapata uhuru, tumekuwa na elimu ya aina 3. Shule za serikali, Government Schools, Shule za Mission, na elimu ya madras kwa ndugu zetu Waislamu.

Shule za serikali zilikuwa chache na zilichukua wanafunzi wachache tena vichwa kweli kweli, hivyo Watanzania wengi waliemika kupitia Shule za Mission.

Elimu ya madrasa iliwahusu Waislamu pekee, lakini shule za serikali na shule za Mission zilichukua watu wa dini zote bila ubaguzi wowote.

Hivyo Watanzania wengi wa zamani waliobahatika kusoma elimu ya secondary, walisoma shule za misheni.

Kilichofanya Wakristo wengi zaidi kuwa ni wasomi kuliko Waislamu, ni changamoto ya ada za shule.

Watoto wa mikoa yenye mazao ya biashara, waliweza kusoma zaidi kwasababu wazazi wao waliweza kulipa ada, kutokana na kupata kipato, lakini watoto wa mikoa ambayo haikuwa na mazao ya biashara ikiwemo mikoa yote yenye Waislamu wengi, hawakubahatika kupata elimu ya kisasa.

Hali hii ilipelekea hata uendeshaji wa harakati za uhuru, kuongozwa na wasomi Wakristo, mfano vyama vyote vya siasa vilivyopigania uhuru, kuanzia AA kiliongozwa na Mkristo, Cecil Matola, TAA ikaongozwa na Dr. Vedastus Kyaruzi na TANU ikaongozwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Kitu kizuri sana Shule za Mission zilichowafanyia Watanzania, akitokea Mwanafunzi very bright, akafanya vizuri mitihani yake na kufaulu vizuri, wale waalimu wa shule za Mission, usually makasisi, waliwachukua watoto hao na kuwasomesha bure, hivyo ndio wengi wa wasomi wa Kiislamu walivyopatikana, hivyo watu kama Juma Mwapachu na nduguye Bakari, kina Hamza Aziz, Inspector Rashid na Waislamu wengi wa enzi hizo, walisoma sekondari kwa hisani ya Shule za Mission.

Hisani hii, sio kwa ndugu zetu Waislamu pekee, hata Wakristo kutoka maeneo ambayo hawana mazao ya biashara, hivyo umasikini wa kipato unasababisha watoto wao hawezi kulipiwa ada, na kutosoma sana.

Hivyo wasomi wa mikoa ya Singida na Dodoma, kama kina John Samwel Malecela na nduguye Job Lusinde, washukuru sana Mission, vinginevyo bila hisani ya Shule za Mission, kuna watu wangeishia kuchunga mbuzi au kupiga dufu au kuadhini tuu lakini sasa ni wasomi wazuri na waandishi mahiri kwa hisani ya Shule za Mission.

Hivyo hili ni bandiko la kuwakumbusha ndugu zetu Waislamu waliofaidika na hisani ya kusomeshwa shule za Mission, wakumbuke fadhila, wawe ni watu wa shukrani, wawashukuru sana Wakristo, wazishukuru shule za Mission walizosomea, na kuwashukuru wale Makasisi waliowaokoa.

Ukifadhiliwa, usiwe mtovu wa fadhila, haiwezekani mtu ufadhiliwe shule za Mission, usome bure, halafu kila uchao ni kuwabeza tuu hao Wakristo waliokusomesha elimu yao hadi unaweza kuandika kwa kuwadogosha na kuwatukuza na kuwakweza Waislamu, mara kulalamikia mfumo Kristo, mara kulalamika, Waislamu wanabaguliwa kielimu, mara hivi mara vile...

Baada ya uhuru, Mwalimu Nyerere akataifisha shule zote za mission na Hospital zote za mission na kuigeuza za serikali, akatoa elimu bure kwa wote tangu darasa la kwanza hadi la chuo kikuu ili Watanzania wote wa dini zote na makabila yote wapate haki sawa ya elimu ya juu.

Wakati huo tukitumia mitaala ya Cambridge na mitihani ya Cambridge, bado walioingia sekondari ni watoto wa makabila yale yale, Wachagga, Wahaya, Wanyakyusa, Wasukuma, Wahehe, na watu wa dini ile ile!.

Nyerere akafuta mitihani Cambridge, tukaanzisha Baraza letu la mitihani na mitaala yetu, mitihani tukatunga wenyewe, bado wanaopasi ni makabila yale yale na dini ile ile.

Ndipo tukakubali ukweli mchungu kumbe kiwango cha IQ hakifanani kwa dini zote na makabila yote, ikakawa sasa inafanyika affirmative action ili ndugu zetu hawa nao wasome na makabila yote wasome, kwa kuweka different cut off points maeneo tofauti tofauti. The highest ni Bukoba cut off point ni 90, Kilimanjaro 80, Mbeya 70, Iringa, Kanda ya Ziwa 60. Muslim dominated areas 40, primitive tribes ikashushwa mpaka 0 kwa Hadzabe, na wakasomeshwa kwa nguvu mpaka form 4 na wote wakapata zero!.

Utaratibu huu ulisaidia sana Watanzania wote kupata fursa za elimu ya juu. Bakwata na taasisi za Kiislamu pia zikaanzisha sekondari za elimu dunia, japo performance ya Shule ya Islamic Seminary ilikuwa... niliwahi kuuliza humu Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!. pia niliwahi kuuliza Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?

Na hata baada ya Waislamu kusoma Shule za Mission by default, lakini sasa, nina rafiki zangu wengi ambao ni Waislamu, lakini wanasomesha watoto wao Shule za Mission, by choice, kutokana na ubora wa elimu unaotolewa na Shule za Mission, hawa wana appreciate sana Wakristo na Shule zetu, ila baadhi ya wale waliosomeshwa na Mission, badala ya shukrani ni kuwabeza tuu kila uchao!, jambo hili halina karma njema!, badilikeni shukuruni!

Hitimisho,
Tanzania ni circular state, haina dini, ila watu wake wana dini zao, ni muhimu sana watu humu tukawa na religious tolerance ya kuzivumilia dini na imani za wengine bila kuzibeza na kuzichokoa from time to time.

Kuwa appreciative ni pamoja na Wakristo kuwa na shukrani kwa Waislamu na mfono mzuri ni mimi mwenyewe nilipopandisha bandiko hili Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling hapa nilieleza jinsi viongozi Waislamu walivyo waungwana. Uungwana huu haupo kwa viongozi Wakristo hivyo unaweza kuwa umechangiwa na ile elimu ya madrasa.

Ndugu zetu Waislamu mliofaidika na shule za Mission, kuweni na shukrani kwa aliyewafikisha hapo.

Paskali
Rejea ya Nyuzi nyingine za mwandishi kuhusu kuwa na shukrani, appreciation
Nilikua mfuasi mzuri wa mijadala yako ila naona ushawehuka asa watoe shukran ili iweje ?kwan walisoma bure?uandishi wako ushakua wa kifala heri ungeendelea na siasa
 
Watoto wa madogo wangu ni waislamu na wao ni waislamu ila shule watoto wao wamepelekwa za seminari hadi wanamaliza..

Anasema nachojataka watoto wangu wapate elimu bora
 
Wanabodi,

Watanzania wote waliosoma enzi za mkoloni mpaka tunapata uhuru, tumekuwa na elimu ya aina 3. Shule za serikali, Government Schools, Shule za Mission, na elimu ya madras kwa ndugu zetu Waislamu.

Shule za serikali zilikuwa chache na zilichukua wanafunzi wachache tena vichwa kweli kweli, hivyo Watanzania wengi waliemika kupitia Shule za Mission.

Elimu ya madrasa iliwahusu Waislamu pekee, lakini shule za serikali na shule za Mission zilichukua watu wa dini zote bila ubaguzi wowote.

Hivyo Watanzania wengi wa zamani waliobahatika kusoma elimu ya secondary, walisoma shule za misheni.

Kilichofanya Wakristo wengi zaidi kuwa ni wasomi kuliko Waislamu, ni changamoto ya ada za shule.

Watoto wa mikoa yenye mazao ya biashara, waliweza kusoma zaidi kwasababu wazazi wao waliweza kulipa ada, kutokana na kupata kipato, lakini watoto wa mikoa ambayo haikuwa na mazao ya biashara ikiwemo mikoa yote yenye Waislamu wengi, hawakubahatika kupata elimu ya kisasa.

Hali hii ilipelekea hata uendeshaji wa harakati za uhuru, kuongozwa na wasomi Wakristo, mfano vyama vyote vya siasa vilivyopigania uhuru, kuanzia AA kiliongozwa na Mkristo, Cecil Matola, TAA ikaongozwa na Dr. Vedastus Kyaruzi na TANU ikaongozwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Kitu kizuri sana Shule za Mission zilichowafanyia Watanzania, akitokea Mwanafunzi very bright, akafanya vizuri mitihani yake na kufaulu vizuri, wale waalimu wa shule za Mission, usually makasisi, waliwachukua watoto hao na kuwasomesha bure, hivyo ndio wengi wa wasomi wa Kiislamu walivyopatikana, hivyo watu kama Juma Mwapachu na nduguye Bakari, kina Hamza Aziz, Inspector Rashid na Waislamu wengi wa enzi hizo, walisoma sekondari kwa hisani ya Shule za Mission.

Hisani hii, sio kwa ndugu zetu Waislamu pekee, hata Wakristo kutoka maeneo ambayo hawana mazao ya biashara, hivyo umasikini wa kipato unasababisha watoto wao hawezi kulipiwa ada, na kutosoma sana.

Hivyo wasomi wa mikoa ya Singida na Dodoma, kama kina John Samwel Malecela na nduguye Job Lusinde, washukuru sana Mission, vinginevyo bila hisani ya Shule za Mission, kuna watu wangeishia kuchunga mbuzi au kupiga dufu au kuadhini tuu lakini sasa ni wasomi wazuri na waandishi mahiri kwa hisani ya Shule za Mission.

Hivyo hili ni bandiko la kuwakumbusha ndugu zetu Waislamu waliofaidika na hisani ya kusomeshwa shule za Mission, wakumbuke fadhila, wawe ni watu wa shukrani, wawashukuru sana Wakristo, wazishukuru shule za Mission walizosomea, na kuwashukuru wale Makasisi waliowaokoa.

Ukifadhiliwa, usiwe mtovu wa fadhila, haiwezekani mtu ufadhiliwe shule za Mission, usome bure, halafu kila uchao ni kuwabeza tuu hao Wakristo waliokusomesha elimu yao hadi unaweza kuandika kwa kuwadogosha na kuwatukuza na kuwakweza Waislamu, mara kulalamikia mfumo Kristo, mara kulalamika, Waislamu wanabaguliwa kielimu, mara hivi mara vile...

Baada ya uhuru, Mwalimu Nyerere akataifisha shule zote za mission na Hospital zote za mission na kuigeuza za serikali, akatoa elimu bure kwa wote tangu darasa la kwanza hadi la chuo kikuu ili Watanzania wote wa dini zote na makabila yote wapate haki sawa ya elimu ya juu.

Wakati huo tukitumia mitaala ya Cambridge na mitihani ya Cambridge, bado walioingia sekondari ni watoto wa makabila yale yale, Wachagga, Wahaya, Wanyakyusa, Wasukuma, Wahehe, na watu wa dini ile ile!.

Nyerere akafuta mitihani Cambridge, tukaanzisha Baraza letu la mitihani na mitaala yetu, mitihani tukatunga wenyewe, bado wanaopasi ni makabila yale yale na dini ile ile.

Ndipo tukakubali ukweli mchungu kumbe kiwango cha IQ hakifanani kwa dini zote na makabila yote, ikakawa sasa inafanyika affirmative action ili ndugu zetu hawa nao wasome na makabila yote wasome, kwa kuweka different cut off points maeneo tofauti tofauti. The highest ni Bukoba cut off point ni 90, Kilimanjaro 80, Mbeya 70, Iringa, Kanda ya Ziwa 60. Muslim dominated areas 40, primitive tribes ikashushwa mpaka 0 kwa Hadzabe, na wakasomeshwa kwa nguvu mpaka form 4 na wote wakapata zero!.

Utaratibu huu ulisaidia sana Watanzania wote kupata fursa za elimu ya juu. Bakwata na taasisi za Kiislamu pia zikaanzisha sekondari za elimu dunia, japo performance ya Shule ya Islamic Seminary ilikuwa... niliwahi kuuliza humu Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!. pia niliwahi kuuliza Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?

Na hata baada ya Waislamu kusoma Shule za Mission by default, lakini sasa, nina rafiki zangu wengi ambao ni Waislamu, lakini wanasomesha watoto wao Shule za Mission, by choice, kutokana na ubora wa elimu unaotolewa na Shule za Mission, hawa wana appreciate sana Wakristo na Shule zetu, ila baadhi ya wale waliosomeshwa na Mission, badala ya shukrani ni kuwabeza tuu kila uchao!, jambo hili halina karma njema!, badilikeni shukuruni!

Hitimisho,
Tanzania ni circular state, haina dini, ila watu wake wana dini zao, ni muhimu sana watu humu tukawa na religious tolerance ya kuzivumilia dini na imani za wengine bila kuzibeza na kuzichokoa from time to time.

Kuwa appreciative ni pamoja na Wakristo kuwa na shukrani kwa Waislamu na mfono mzuri ni mimi mwenyewe nilipopandisha bandiko hili Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling hapa nilieleza jinsi viongozi Waislamu walivyo waungwana. Uungwana huu haupo kwa viongozi Wakristo hivyo unaweza kuwa umechangiwa na ile elimu ya madrasa.

Ndugu zetu Waislamu mliofaidika na shule za Mission, kuweni na shukrani kwa aliyewafikisha hapo.

Paskali
Rejea ya Nyuzi nyingine za mwandishi kuhusu kuwa na shukrani, appreciation
Mkoloni alikua akitoza Kodi wote lakini akiwapa mission waendeshe taasisi zao,watu walilazimishwa kubadili dini ili wasome,mfano Moses nnauye,hivi korosho za pwani,Lindi na mtwara na katani ya Tanga siyo mazao ya biashara!?..AA,TAA,TANU ni chama kimoja
 
Hata waislam Wana seminari,unaelewa nini juu ya seminari!?
Hujui maana ya seminari, hakuna seminari ya kiislamu Seminari ni muundo wa malezi unaotoa mafunzo ya dini, hususan Ukristo na elimu dunia

Tulipokuwa seminari tulifundishwa mambo kuhusu dini ukristo tuliishi katika msingi Ya dini ya ukristo kula, kuongea kutembea na kuijua biblia pia na mambo ya shule ndio maana tuliitwa waseminari .. waanzilishi wa haya yote ni wamisionari ambao kaka mkumbwa Pascal mayala ametole ufafanuzi .

Hakuna seminari za kiislamu toa ujinga msilazimishe mambo
 
Yani m sijawahi ona mkristo mwenye akili sawasawa

Embu fikiria professor mtu na elimu yake anaenda kudanganywa na standard 7 failure kwa mahubiri ya uongo hlf anaacha millions ety za mchungaji ivi wakristo mna akili kweli nyinyi?

Ukishakua kafiri ww ni wa hapa hapa tu duniani ndo mna mumepewa ufakhari mkubwa hpa duniani makafiri ila mbinguni kma msemavyo hamna lenu jambo

Chuki zenu zimejificha sanaa lkn sasa ona ata huyu alokua mtangazaji maarufu ameshaitokeza chuki yake hadharani
Sasa hapa kati yako wewe na makafiri nani kadhihirisha chuki?
Kama dini haikuwezeshi kuwa mtu bora achana nayo!
 
Hata waislam Wana seminari,unaelewa nini juu ya seminari!?
The English word is taken from Latin: seminarium, translated as 'seed-bed', an image taken from the Council of Trent document Cum adolescentium aetas, 'Since the age of adolescence' which called for the first modern seminaries.[2].
HAKuNA SEMINARY YA KIISLAMU
 
The English word is taken from Latin: seminarium, translated as 'seed-bed', an image taken from the Council of Trent document Cum adolescentium aetas, 'Since the age of adolescence' which called for the first modern seminaries.[2].
HAKuNA SEMINARY YA KIISLAMU
Ukaamua uanzie mbele kwenye maelezo ya google,kule uonako kwakufaa na tafsiri zako,huku mwanzo walikokwambia ni shule ya kidini kuandaa vijana hukutaka
"The Islamic Seminary of America" The Islamic Seminary of America
 
Mbona mmeshindwa kubadili watu wote , hapo ndio ujue dini ya kweli ni ipi ....Mmebaki walevi na wizi 😀 😀 😀 😀

Jinga mpaka leo hayana ugunduzi

Nyie ndio wajinga mnadanganya kuja kutawala nchi kupitia CHADEMA, hamshindi ng'o hatuwezi kuongozwa wa matapeli , wale TEC hawana sauti mpaka wanaenda kusema kwa kiongozi wao vatican .
TEC Haina darasa la Saba ina masters na PhD tu Haina darasa la Saba kama bakwata
 
Soma etymology ya seminary.Wp uliwahi kuiona Christian seminary?
Why islamic seminary?
Huku kwenye kilimo tukiatika mbegu kitaluni,hiyo stage tunaita 'seminary',Kama ulivyoweka kwamba limeazimwa kwenye kilatini likimaanisha seed bed,so hizo shule za kuandaa vijana kidini zinaitwa seminary,ziwe za kiislam,kikristo,Buddha, Hindu au yahudi
 
Huku kwenye kilimo tukiatika mbegu kitaluni,hiyo stage tunaita 'seminary',Kama ulivyoweka kwamba limeazimwa kwenye kilatini likimaanisha seed bed,so hizo shule za kuandaa vijana kidini zinaitwa seminary,ziwe za kiislam,kikristo,Buddha, Hindu au yahudi
Why Islamic seminary mzee?
Tunashukuru kuwa mmeikopi lakini seminary lina maana kitalu cha divinity na theology.
Hakuna seminari ya kiislamu hii mmeilazimisha
 
Why Islamic seminary mzee?
Tunashukuru kuwa mmeikopi lakini seminary lina maana kitalu cha divinity na theology.
Hakuna seminari ya kiislamu hii mmeilazimisha
Divinity(divine) na theology(theolojia) ni elimu ya Imani/dini,kitalu(seminary) ni pahala ambapo vijana wanaandaliwa ili kuja kutumikia dini,iwe uislam, ukiristo,Buddha, Hindu nk,pale ikulu na ocean road palikua madrasa,vijana wakilala hapohapo,kwa kiingereza/latin ni seminary,zipo seminary zinazoitwa christian seminary,kule itaga waliona warefushe kwa nini,wakaita tu itaga seminary
 
Ukinitajia tajiri muislam mmoja wa nchi hii, aliyesoma mission, siingii tena jf. Au unamaanisha mafanikio yapi! Maana hata wasiosoma wapo wengi waliofanikiwa kuliko waliosoma.
 
Back
Top Bottom