Waislamu Mnafeli wapi?

Shida ipo sehemu moja tu wakristo wengi hawana elimu juu ya uislam kwaiyo wanamezeshana propaganda sana juu ya uislam.

Lakini bado sioni tatizo kuitwa wafuga majini kama ufugi uwezi chukia kitu ukiona unakasilika ujue unayafuga.
Mkuu, heshima kwako. Wako mashehe lukuki wenyi ilimu ya juu katika Uislamu ambao waliiona nuru wakaokoka, hawa wamekuwa mashuhuda wazuri sana wa yanayoendelea ndani ya Uislamu. Si vema sana kubeza elimu ya Wakristo kuhusu Uislamu.

By the way, shehe Shariff majini wa Mabibo akisoma hapa atakuelewa? Unasemaje kuhusu shehe yahaya marehemu na huyo mtoto wake aliyerithi majini?
 
Wewe nenda huko kanisani kwenu ukafundishwe na ukatafute Majibu yako ya Uongo, mimi niko hapa kwa ajili ya kukufunza na kukuumbua.

Umenitag mwenyewe na Shobo zako mimi nilikuwa niko busy zangu na harakati zingine.

Una mswali yangu Mengine Mengi hujanijibu.

UKWELI NI KWAMBA WAKRISTO MA MAJINI WACHAFU WOTE LENU NI MOJA, KWAKUWA WOTE MNAAMINI YESU NI MWANA WA MUNGU.

Kwahiyo ukiwa Mkristo hauna tofauti na Majini Wachafu tu.
 
Je? Ni kweli masheikh ubwabwa wanapenda kupitia barabara za vumbi kuliko za lami?
 
Mi nawaomba kwa nia njema kabisa achaneni na hiyo dini ya Majini.

Majini hawana dini nyingine zaidi ya dini ya Kiislamu.

Yenyewe yanathibitisha hivyo kwa kauli za vinywa vyao.

Waachieni hiyo dini akina Shehe Sharifu Majini ambao wanajidhihirisha kufanya ibada pamoja na Majini.

Mi natumaini kuna Waislamu wengi tu ambao hawajui mustakabari wa dini yao.

Mojawapo ni nyie mnao bishabisha humu.
 
Utaniambia kinyume cha kuwa muislamu. Hizi huwa hamsomewi kwa kina Mwamposa.

Na hakika wamo katika sisi Waislamu, na wamo kati yetu wanao acha haki. Basi walio silimu, hao ndio walio tafuta uwongofu.
(Qur'an 72:14)
Hata hueleweki.
Majini yanasema ni Maislamu, kama yamewahi tamka yana dini nyingine weka hiyo Aya hapa.
Mambo ya blah..blah peleka jukwa la chitchat.
 
Nyie na wahindu mna tofauti gani?
View attachment 2395011
Mungu ametoa hii Amri.
Sasa sijui hao wachonga vinyago umewatoa wapi.

Kumbukumbu la Torati 5:8 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini duniani, au kilicho majini chini ya nchi.

9 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, nawapatiliza wana uovu wa baba zao; hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
 
Na nyie Waislamu mmeonywa mara kadhaa kuhusu Jiwe Aswadi lakini hamsikii.
Nyie na hao mnatofautiana vipi ?

Mambo ya Walawi 26:1
Msifanye sanamu yo yote, wala msijisimamishie sanamu ya kuchonga, wala mnara, wala msiweke jiwe lo lote lililochorwa katika nchi yenu ili kulisujudia; kwa kuwa mimi ndimi Bwana, Mungu wenu.

Haitoshi kuweka Jiwe, bado mna masanamu ya Mwezi na Nyota misikitini.
 
Vipi na Hawa wislam wanao badili dini kila siku???
 
Hapa nimeongea Majini yanajisifu kuwa ni Maislamu. Kama yaliwahi kusema yana dini nyingine weka hapa hiyo Aya.

Hao wanaomwabudu Deconi wana mahusiano gani na hoja yangu ?

Wacha kushikilia miti lete Aya.
 
Ukristo sio mali ya mtu au dhebu flani lolote.
Ukristo sio uwingi wa watu.

Ukristo ni kuamini na kutenda yale tu Yesu kristo aliyo yaagiza.

Huyo Gwajima na Kibwetele kama unawapenda sana nenda kanywe nao chai au hao waabudu sanamu kama nyinyi.

Ukristo unatokana na haya maneno ya Yesu Kristo na sio maneno wala matendo ya rafiki yako Gwajima au Sharifu Majini.


[emoji117]Mathayo 28:19
(Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;

20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari)

Hebu waambie mashehe wako waache kukufundisha ibada za Sanamu.

Kulisujudia, na kuliabudu na kuligeukia wakati wa swala Jiwe Jeusi Aswadi la huko Uarabuni, Saudi Arabia, katika mji wa Maka, na pia Sanamu za Nyota na Mwezi ni ibada za kishirikina.

Amka chukua hatua mapema.
 
Sijawahi sikia Padre aliyehusishwa na majini. Siku zote Ni wapenda ubwabwa tu.
 
Alisikika mmoja kwenye kituo cha redio cha dini akisema "sisi ndiyo wenye vituo vingi vya mafuta, mabasi ya route ndefu majumba marefu Jijini Dar na ndiyo tunaongoza kulipa kodi" akisahau kuwa wasiokuwa na hivyo alivyotaja ndiyo wateja wanaonunua huduma na bidhaa kwao...
 
Tatizo na nyinyi wote mna fanya ibada za.

Kutufu Al-kaaba huku mkiwa mmevaa sanda tu bila nguo za ndani kama walivyokuwa wanafanya wapagani

Mna lisujudia Jiwe Jeusi na kuligeukia wakati wa swala ambazo ni ibada za kipagani.

Mna weka masanamu ya nyota na mwezi misikitini kama wapagani.

Mmeambiwa muwapelekee maombi watoto watatu wa Allah ambao walikuwa wanaabudiwa na wapagani

Mna jihusisha na dini ya majini kama walivyofanya wapagani.

Walinzi wenu mmeambiwa ni majini badala ya malaika.

Yaani hayo mambo mnafanya waislamu wote madhehebu yote na katika misikiti yote.
 
Qurani ina mafundisho ya ujanja ujanja tu.

Mfano inasema Nyama ya Nguruwe ni haramu.
Lakini ukiwa na njaa ule.

Sasa hivi mnadhani sisi tunapokula nyama ya nguruwe huwa tumeshiba ?
Tunakuwa na njaa tena ya kufisha.
Hakuna njaa isiyo fisha.

Inasema tena wanawake wajisitiri, nyuma ya pazia inasema waendeeni wake zenu mtakavyo.

Hili neno mtakavyo halina mipaka yoyote jinsi ya kuwafanya wanawake
We mfanye unavyotaka na sio atakavyotaka yeye.

Mafundisho ya ujanja ujanja tu.

Surah Al-Baqara Ayah 223

Wake zenu ni kama konde zenu. Basi ziendeeni konde zenu mpendavyo. Lakini jitangulizieni kheri nafsi zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu, na jueni kuwa hakika nyinyi mtakutana naye. Na wape bishara njema Waumini.

Haramu inatamkwa hivi.

Kumbukumbu la Torati 14:8
na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…