Mkuu, heshima kwako. Wako mashehe lukuki wenyi ilimu ya juu katika Uislamu ambao waliiona nuru wakaokoka, hawa wamekuwa mashuhuda wazuri sana wa yanayoendelea ndani ya Uislamu. Si vema sana kubeza elimu ya Wakristo kuhusu Uislamu.Shida ipo sehemu moja tu wakristo wengi hawana elimu juu ya uislam kwaiyo wanamezeshana propaganda sana juu ya uislam.
Lakini bado sioni tatizo kuitwa wafuga majini kama ufugi uwezi chukia kitu ukiona unakasilika ujue unayafuga.
Na kwanini hawakuwa na Nabii wao wa Kijini hadi wamtumie Binadamu Taha ?Hao majini kwanini wasiende kuswali kwenye msikiti wa kijini unao swalishwa na Shekhe jini.
Ni kweli na ni moja wapo ya sababu ya kifo chakeMkuu ni kweli Mtumee Muhammad aliuwawa kwa kunyweshwa sumu na mwanamke wa kiyahudi?
Weka Aya Please.Kuna majini ya kisanamu pia yanaombwa makanisani. Wangetuwekea na sisi wakiafrikaView attachment 2394899
Hata hueleweki.Utaniambia kinyume cha kuwa muislamu. Hizi huwa hamsomewi kwa kina Mwamposa.
Na hakika wamo katika sisi Waislamu, na wamo kati yetu wanao acha haki. Basi walio silimu, hao ndio walio tafuta uwongofu.
(Qur'an 72:14)
Mungu ametoa hii Amri.Nyie na wahindu mna tofauti gani?
View attachment 2395011
We jamaa acha ukorofi..[emoji1][emoji1]Hivi ni kweli majini hatapatani na nguruwe au fix tu za wabongo?
Vipi na Hawa wislam wanao badili dini kila siku???Kweli kabisa mkuu
Wakristo wengi ni watu wakulishwa matango Pori Tu.
Na mti wenye matunda siku zote hupigwa mawe
Wanajua hawa kondoo wakijua ukweli wataingia katika Uislamu
Na ndio maana wanakatazwa kuuliza maswali kwasababu hakuna majibu
Na wale ambao huitafuta kweli yote humjua Mungu wa kweli.
Anyway tubakie kwenye mada Tu tafadhali.
Hapa nimeongea Majini yanajisifu kuwa ni Maislamu. Kama yaliwahi kusema yana dini nyingine weka hapa hiyo Aya.Haujaelewa aya kweli wewe kichwa panzi. Kuna uislamu na ukafiri imegawanyika makundi mawili. Ukafiri ndiyo kuna matawi mbalimbali. Kuna wengine mnamuabudu Brian Deacon, kuna wengine ng'ombe n.k
Au nikuwekee hadi aya kukuonesha shetani anavyowapoteza.
Hichi kitabu hakisomwi ovyo kama barua za Paulo
Ukristo sio mali ya mtu au dhebu flani lolote.Unaniwekea aya wakati mnatenda kwenye nyumba za ibada. Una akili timamu kweli au pia si wakristo.
Embu muache ujinga hao wanawakilisha zaidi ya asilimia 50 ya ukristo unataka kukataa nini?
Wewe utuletee hao wakina Sharifu Majini kusema wanawakilisha uislamu ila sisi tukikuletea unakataa.
Wakina Gwajima, Mwamposa, Kibwetere, Masanja n.k.
Uache upuuzi wakatoliki ndiyo wamekutengezea biblia.
Huu ujinga mtaacha lini?
🤣🤣🤣🤣DahMajini wanatupa utajiri bwashee, kwann tusishirikiane nao?
Wao pia ni viumbe wa Allah
Mbn wengine wanafuga kuku na ng'ombe?
Tatizo na nyinyi wote mna fanya ibada za.Unataka kukimbia wewe kafiri hapa haukimbii ulitoa mfano mwenyewe kwa kuhusisha uislamu kwa kutolea watu binafsi.
Unaweka hizo aya wakati mnalishwa nguruwe na kumuabudu Brian Deacon kila kukicha na kubana pua ukristo sio mali ya mtu. Hapa haukimbii humu.
Siku nyingine hadi uache upumbavu kuchukua baadhi ya watu na kusema ndiyo waislamu wote.
Nimekuwekea mfano mwingine kukuonesha ukristo ni mali ya wazungu. Biblia yako ya kiswahili inatumia tafsiri ya NIV.
View attachment 2395073