Mkuu hao wa hivyo Ni wachungaji na manabii na mitume fekiWapo wengi sana. Ukiona mtu anafanya ushirikina ndiyo majini hao.
Haujawahi kusikia padri anawaambia waumini lete nywele au udongo wa nyumbani kwako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hao wa hivyo Ni wachungaji na manabii na mitume fekiWapo wengi sana. Ukiona mtu anafanya ushirikina ndiyo majini hao.
Haujawahi kusikia padri anawaambia waumini lete nywele au udongo wa nyumbani kwako?
Kuna wanao jiita Mapadre na Wachungaji na Waaskofu nk. ni wachawi kabisa na wanaroga.Mkuu hao wa hivyo Ni wachungaji na manabii na mitume feki
Mimi nimekutana na Mpemba aliyenieleza kwamba majini kwao ni kitu cha kawaida. Na kama Pemba asilimia 99.9 ni Waislamu; hapo unasemaje, hakuna uhusiano? Asilimia 99 ya Wappemba wanafanya biashara kwa kutumia majini. Kama unabisha uliza au chunguza.Kumekuwa na dhana kwamba waislamu wanafuga majini kitu ambacho si kweli kabisa na hata Dini hairuhusu hivyo.
Mwenyezi Mungu anasema hakuumba majini na watu Ila isipokuwa wamwabudu Mola wao,ebu tuangalie Maandiko;
((Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi.))
51:56
Kwahiyo Majini na wanadamu waliumbwa Kwa lengo moja Tu la kumwabudu Mola wao na sio vinginevyo.
Lakini bahati mbaya Sana kuna baadhi ya waislamu ambao hushirikiana na majini katika mambo Yao,na hii sio waislamu Tu hata baadhi ya watu ambao sio waislamu hufanya hivyo pia,iwe Kwa kupiga ramli,kufanya miujiza huko kwenye nyumba za ibada na kadhalika.
Ila mazungumzo yangu Leo hapa nazungumza na waislamu, kuna baadhi ambao huwa na haya maruhani/majini ambayo wenyewe huyaita majini Waziri kwakuwa Tu yanawasaidia katika mambo Yao. Naomba niwaambie kuwa hakuna majini mazuri ambayo yanakaa mwilini mwa mtu hata kidogo,hayo ni mabaya na machafu,jini ambaye ameumbwa ili kumwabudu Mola wake hawezi kuja kufanya makazi katika mwili WA mtu kwakuwa hayo ni makosa na amekiuka sababu ya kuumbwa kwake kabisa.
Wanao mwabudu Mola wao wapo kwenye makazi Yao ya kijini na wanaendesha Maisha Yao huku wanamwabudu Mola wao,kwahiyo acheni kuwa watumwa WA hayo majini,kwani hakika mwisho wenu utakuwa sio mzuri.
Ebu tuangalie maongezi haya ya majini kama yalivyoelezwa katika Qur'an ;
((Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi.))
72:6
Haya ni maongezi ya Majini baada ya kusikia Qur'an na kumwamini Mola wao,ndio wanahadithia kuwa kuna wanadamu wanaume ambao walikuwa wanatafuta hifadhi toka Kwa majini lakini matokeo yake wakazidishiwa madhambi. Na huo ndio ukweli kuna watu ambao wanaamini majini kuwa ndio watawalinda hapa duniani,na huwa hawafanyi Jambo lolote mpaka washaurieni na majini wao,hakika hiyo ni kufuru kubwa kumwamini kiumbe wa Mwenyezi Mungu kuwa ndio anakuwezesha kufanikiwa Kwa mambo hapa duniani.
Na mwisho wa siku shetani/ hayo majini machafu ambayo yameacha kusudio la kuumbwa kwao na kuja kushirikiana na wanadamu,mwisho wa siku yatawakana na kuwaambia ukweli, tuangalie Aya ifuatayo;
(Na Shet'ani atasema itapo katwa hukumu: Hakika Mwenyezi Mungu alikuahidini ahadi ya kweli. Nami nalikuahidini; lakini sikukutimizieni. Na sikuwa na mamlaka juu yenu, isipo kuwa nilikuiteni, nanyi mkaniitikia. Basi msinilaumu mimi, bali jilaumuni wenyewe. Mimi siwezi kuwa mtetezi wenu, wala nyinyi hamwezi kuwa watetezi wangu. Hakika mimi nilikataa tangu zamani kunishirikisha na Mwenyezi Mungu. Hakika madhaalimu watakuwa na adhabu chungu).
14:22
Hakika kuna Aya nyingi Sana juu ya majini kuwapotosha wanadamu na kuwaingiza Motoni,kubwa ni kujua kwamba hakuna majini ambao wanatakiwa kushirikiana na binadamu kwani wao Wana Maisha Yao na wanadamu tuna yetu,ushirikiano wowote baina yetu ni upotovu na mwisho wake ni jehenamu.
Mambo mengi na Mda ni mchache!
Ni hayo Tu!
Unaweza kuthibitisha huyo mwenyezi Mungu yupo kweli? Au tunapigishana stories tu?Kumekuwa na dhana kwamba waislamu wanafuga majini kitu ambacho si kweli kabisa na hata Dini hairuhusu hivyo.
Mwenyezi Mungu anasema hakuumba majini na watu Ila isipokuwa wamwabudu Mola wao,ebu tuangalie Maandiko;
((Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi.))
51:56
Kwahiyo Majini na wanadamu waliumbwa Kwa lengo moja Tu la kumwabudu Mola wao na sio vinginevyo.
Lakini bahati mbaya Sana kuna baadhi ya waislamu ambao hushirikiana na majini katika mambo Yao,na hii sio waislamu Tu hata baadhi ya watu ambao sio waislamu hufanya hivyo pia,iwe Kwa kupiga ramli,kufanya miujiza huko kwenye nyumba za ibada na kadhalika.
Ila mazungumzo yangu Leo hapa nazungumza na waislamu, kuna baadhi ambao huwa na haya maruhani/majini ambayo wenyewe huyaita majini Waziri kwakuwa Tu yanawasaidia katika mambo Yao. Naomba niwaambie kuwa hakuna majini mazuri ambayo yanakaa mwilini mwa mtu hata kidogo,hayo ni mabaya na machafu,jini ambaye ameumbwa ili kumwabudu Mola wake hawezi kuja kufanya makazi katika mwili WA mtu kwakuwa hayo ni makosa na amekiuka sababu ya kuumbwa kwake kabisa.
Wanao mwabudu Mola wao wapo kwenye makazi Yao ya kijini na wanaendesha Maisha Yao huku wanamwabudu Mola wao,kwahiyo acheni kuwa watumwa WA hayo majini,kwani hakika mwisho wenu utakuwa sio mzuri.
Ebu tuangalie maongezi haya ya majini kama yalivyoelezwa katika Qur'an ;
((Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi.))
72:6
Haya ni maongezi ya Majini baada ya kusikia Qur'an na kumwamini Mola wao,ndio wanahadithia kuwa kuna wanadamu wanaume ambao walikuwa wanatafuta hifadhi toka Kwa majini lakini matokeo yake wakazidishiwa madhambi. Na huo ndio ukweli kuna watu ambao wanaamini majini kuwa ndio watawalinda hapa duniani,na huwa hawafanyi Jambo lolote mpaka washaurieni na majini wao,hakika hiyo ni kufuru kubwa kumwamini kiumbe wa Mwenyezi Mungu kuwa ndio anakuwezesha kufanikiwa Kwa mambo hapa duniani.
Na mwisho wa siku shetani/ hayo majini machafu ambayo yameacha kusudio la kuumbwa kwao na kuja kushirikiana na wanadamu,mwisho wa siku yatawakana na kuwaambia ukweli, tuangalie Aya ifuatayo;
(Na Shet'ani atasema itapo katwa hukumu: Hakika Mwenyezi Mungu alikuahidini ahadi ya kweli. Nami nalikuahidini; lakini sikukutimizieni. Na sikuwa na mamlaka juu yenu, isipo kuwa nilikuiteni, nanyi mkaniitikia. Basi msinilaumu mimi, bali jilaumuni wenyewe. Mimi siwezi kuwa mtetezi wenu, wala nyinyi hamwezi kuwa watetezi wangu. Hakika mimi nilikataa tangu zamani kunishirikisha na Mwenyezi Mungu. Hakika madhaalimu watakuwa na adhabu chungu).
14:22
Hakika kuna Aya nyingi Sana juu ya majini kuwapotosha wanadamu na kuwaingiza Motoni,kubwa ni kujua kwamba hakuna majini ambao wanatakiwa kushirikiana na binadamu kwani wao Wana Maisha Yao na wanadamu tuna yetu,ushirikiano wowote baina yetu ni upotovu na mwisho wake ni jehenamu.
Mambo mengi na Mda ni mchache!
Ni hayo Tu!
Mimi nimekutana na Mpemba aliyenieleza kwamba majini kwao ni kitu cha kawaida. Na kama Pemba asilimia 99.9 ni Waislamu; hapo unasemaje, hakuna uhusiano? Asilimia 99 ya Wappemba wanafanya biashara kwa kutumia majini. Kama unabisha uliza au chunguza.
Pamoja na mambo mengine wewe nakukubali sana.Mkuu biashara zina Siri nyingi Sana
Na wafanyabiashara wengi ushirikina ndio kwao,kwahiyo hao ni wafanyabiashara huenda shirki ni sehemu ya Maisha Yao,kwahiyo sishangai kama wanafanya hivyo.
Ila kwakuwa wao ni waislamu basi usihukumu Kwa Dini Yao,wahukumu wao na matendo Yao
Kama Uislamu umesema waislamu waishi na majini naomba ulete andiko hapa,kama huna zitakuwa ni porojo tupu
Huwa sipendi porojo
Kusema yupo hata kama hayupo unaweza kusema yupo.Kiranga Mimi nasema yupo
Sasa wewe ndo unatakiwa uniambie hayupo Kwa udhibitisho
Twende kazi mkuu,,nipo hapa nasubir!
Hee! Kwa hiyo majini humuambudu Mola? Kiaje mku? Hebu fafanua tafadhali.Kumekuwa na dhana kwamba waislamu wanafuga majini kitu ambacho si kweli kabisa na hata Dini hairuhusu hivyo.
Mwenyezi Mungu anasema hakuumba majini na watu Ila isipokuwa wamwabudu Mola wao,ebu tuangalie Maandiko;
((Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi.))
51:56
Kwahiyo Majini na wanadamu waliumbwa Kwa lengo moja Tu la kumwabudu Mola wao na sio vinginevyo.
Lakini bahati mbaya Sana kuna baadhi ya waislamu ambao hushirikiana na majini katika mambo Yao,na hii sio waislamu Tu hata baadhi ya watu ambao sio waislamu hufanya hivyo pia,iwe Kwa kupiga ramli,kufanya miujiza huko kwenye nyumba za ibada na kadhalika.
Ila mazungumzo yangu Leo hapa nazungumza na waislamu, kuna baadhi ambao huwa na haya maruhani/majini ambayo wenyewe huyaita majini Waziri kwakuwa Tu yanawasaidia katika mambo Yao. Naomba niwaambie kuwa hakuna majini mazuri ambayo yanakaa mwilini mwa mtu hata kidogo,hayo ni mabaya na machafu,jini ambaye ameumbwa ili kumwabudu Mola wake hawezi kuja kufanya makazi katika mwili WA mtu kwakuwa hayo ni makosa na amekiuka sababu ya kuumbwa kwake kabisa.
Wanao mwabudu Mola wao wapo kwenye makazi Yao ya kijini na wanaendesha Maisha Yao huku wanamwabudu Mola wao,kwahiyo acheni kuwa watumwa WA hayo majini,kwani hakika mwisho wenu utakuwa sio mzuri.
Ebu tuangalie maongezi haya ya majini kama yalivyoelezwa katika Qur'an ;
((Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi.))
72:6
Haya ni maongezi ya Majini baada ya kusikia Qur'an na kumwamini Mola wao,ndio wanahadithia kuwa kuna wanadamu wanaume ambao walikuwa wanatafuta hifadhi toka Kwa majini lakini matokeo yake wakazidishiwa madhambi. Na huo ndio ukweli kuna watu ambao wanaamini majini kuwa ndio watawalinda hapa duniani,na huwa hawafanyi Jambo lolote mpaka washaurieni na majini wao,hakika hiyo ni kufuru kubwa kumwamini kiumbe wa Mwenyezi Mungu kuwa ndio anakuwezesha kufanikiwa Kwa mambo hapa duniani.
Na mwisho wa siku shetani/ hayo majini machafu ambayo yameacha kusudio la kuumbwa kwao na kuja kushirikiana na wanadamu,mwisho wa siku yatawakana na kuwaambia ukweli, tuangalie Aya ifuatayo;
(Na Shet'ani atasema itapo katwa hukumu: Hakika Mwenyezi Mungu alikuahidini ahadi ya kweli. Nami nalikuahidini; lakini sikukutimizieni. Na sikuwa na mamlaka juu yenu, isipo kuwa nilikuiteni, nanyi mkaniitikia. Basi msinilaumu mimi, bali jilaumuni wenyewe. Mimi siwezi kuwa mtetezi wenu, wala nyinyi hamwezi kuwa watetezi wangu. Hakika mimi nilikataa tangu zamani kunishirikisha na Mwenyezi Mungu. Hakika madhaalimu watakuwa na adhabu chungu).
14:22
Hakika kuna Aya nyingi Sana juu ya majini kuwapotosha wanadamu na kuwaingiza Motoni,kubwa ni kujua kwamba hakuna majini ambao wanatakiwa kushirikiana na binadamu kwani wao Wana Maisha Yao na wanadamu tuna yetu,ushirikiano wowote baina yetu ni upotovu na mwisho wake ni jehenamu.
Mambo mengi na Mda ni mchache!
Ni hayo Tu!
Aisee hii mm pia nime isikia kua wanaacha nafasi yakuswali nao pamoja,tena wanaongea wao wenyewe, sasa km Mungu alisha ya laani iweje mswali pamoja, nanikwann ktk kitabu chao kue na aya za kudhuru kwaku watumia hao, nakingine woote majina ni wakina Ally, sijui Jini maimuna sijaskia wakuitwa Jonh na maeneo yenye wakazi ya wengi wavaa makubazi ushungi kunakua na uswahili mwingi na ushirikiana, na maendeleo ni kwa wachache labda uwe gwiji, km Bagamoyo, Kilwa, Ujiji, Tanga mjini, Lindi, Tabora haswa mjini yaani kuna maeneo ukipita full kusikia harufu ya Viazi wenyewe wanakwambia hayo maeneo ndio yapo sana haswa ktk miti mikubwaRudi kajifunze upya dini..unapo sali baada ya kumaliza unageuka kulia na kushoto kuwasalimu wakina nani kama sio majini.
Uislamu na majini ni samaki na maji.
#MaendeleoHayanaChama
Hee! Kwa hiyo majini humuambudu Mola? Kiaje mku? Hebu fafanua tafadhali.
Unaweza kuwa sahihi na kinyume chake vile vile.Kusema yupo hata kama hayupo unaweza kusema yupo.
Ndiyo maana nikataka uthibitisho.
Na, mwenye burden of proof ni yule anayesema kitu kipo. Anayehoji anatakiwa kuuliza uthibitisho tu, hana burden of proof.
You have the burden of proof.
Thibitisha Mungu yupo.
Hii ina uhusiano gani na majini mkuu?Nikuulize Kwanza kitu kimoja
Je unajua kwamba Nabii Daud alikuwa akiomba dua,ndege na milima ilikuwa inaitikia pamoja nae?
Kwa nini swali liwe "umeumbwa na nani?"Unaweza kuwa sahihi na kinyume chake vile vile.
Nikuulize wewe ukijitazama unadhani umeumbwa na Nani?
Kama sio Mungu basi burden of proof itakuwa kwako unifahamishe ilikuwaje kuwaje mpaka akapatikana Kiranga
Unaweza kuthibitisha haya yalitokea kweli na si stories za watu tu?Nikuulize Kwanza kitu kimoja
Je unajua kwamba Nabii Daud alikuwa akiomba dua,ndege na milima ilikuwa inaitikia pamoja nae?