Waislamu Mnafeli wapi?

Waislamu Mnafeli wapi?

Unapo sema nithibitishe kama hao
majini wapo kweli.
Kweli maana yake ninini ?

Kwakuwa kweli yako wewe huenda isiwe kweli yangu mimi, na tukashindwa kwenda sawa.

Mfano
Kweli ya Waislamu Muhammadi ni Mtume wa Mungu.

Kweli ya Wakristo Muhammadi sio Mtume wa Mungu.

Labda nikuulize kwanza wewe kweli yako ni ipi ?
Ili twende pamoja.
Kweli inaweza kuthibitishwa kwa logical consistency, ndiyo maana nikataka uthibitisho.

Thibitisha majini wapo kweli, halafu thibitisha pia kwamba huyo Mungu wako yupo kweli.
 
Mkuu usikurupuke Kaka,bakia kwenye hoja Tu, hayo mambo ni madogo Sana ujue
kufanya udangulo mbinguni ni jambo dogo? Note ukiona ww ni muislamu huwezi ita jini hata moja we kutoka ukoo wa maimuna we uko shalow sana.
 
Kweli inaweza kuthibitishwa kwa logical consistency, ndiyo maana nikataka uthibitisho.

Thibitisha majini wapo kweli, halafu thibitisha pia kwamba huyo Mungu wako yupo kweli.
Hiyo logical consistency ninini? Maana hapa tunaongea kiswahili na nina uhakika hakuna hayo maneno katika lugha ya kiswahili.

Au nikuulize tutumie lugha gani katika hoja zetu?

Kwako muulizaji
 
Hiyo logical consistency ninini ?
Maana hapa tunaongea kiswahili na nina uhakika hakuna hayo maneno katika lugha ya kiswahili.

Au nikuulize tutumie lugha gani katika hoja zetu ?

Kwako muulizaji
Uhakika ni nini?

Umepata wapi na vipi uhakika kwamba hakuna hayo maneno katika Kiswahili?
 
Uhakika ni nini?

Umepata wapi na vipi uhakika kwamba hakuna hayo maneno katika Kiswahili?
"Logical consistency" siyo naneno ya lugha ya Kiswahili.
Labda lugha ya Kiyunani.

Usijali kesho nitayatafuta nijue ni ya lugha gani.
 
nipende kuwakumbusha kwamba kila mtu aamini anachoamini haya mambo ya dini kwakua tumeletewa badi bado yana siri nyingi sana.

Hata kwenye ukatoliki ulutheri na madhehebu mbali mbali zipo ishara zinazoonyesha ishara za majini na nguvu za giza na hata wakristo hatujui dini kwakua tumeletewa tilukafundishwa huwezi kuhoji kwann hiki kiko hapa kwakua umeletewa na waislamu nao wameletewa sjui mambo ya utabiri uganga wa majini na mengine kama hayo kwahyo hawana wa kumuuliza zaidi wanaendeleza walichokikuta
 
You are very hopeless. And it makes me sad you are counted to be one of the living things in Tz. 😂
Kwamba umeshindwa andika kiswahili, unadhani ukiandika kingereza ndo nitakuona una akili? Wewe ni zero mamalia kichwa imejaa makamasi
 
Kuna nyuzi zingine inabidi ukimbilie kwenye comment kwanza ndo ukausome
 
"Logical consistency" siyo naneno ya lugha ya Kiswahili.
Labda lugha ya Kiyunani.

Usijali kesho nitayatafuta
"Logical consistency" siyo naneno ya lugha ya Kiswahili.
Labda lugha ya Kiyunani.

Usijali kesho nitayatafuta nijue ni ya lugha gani.
Uhakika ni nini?

Umepata wapi na vipi uhakika kwamba hakuna hayo maneno katika Kiswahili?
 
Wewe pia thibitisha huko motoni kupo kweli.
Na jamaa anaweza kusema kuwa amemtaja Bakhesa kama tajiri sio tajiri aliyetajirika kea makini.Angalia hiyo sentensi yake, yawezavunjwa vunjwa
 
Uhakika ni nini?

Umepata wapi na vipi uhakika kwamba hakuna hayo maneno katika Kiswahili?
Uhakika ni matokeo ya uhakiki,
Nilipo hakiki maneno ya kiswahili nikapata uhakika kuwa "logical consistency" sio maneno ya kiswahili kutokana na ukweli wangu.
 
Kwani wewe unaogopa nini?

Kwani ni mara ya Kwanza Uislamu kutukanwa mkuu

Hapa tuna elimishana ili huu ujinga WA kuamini kila wanachoambiwa kuhusu Uislamu kuwa sio sahihi.

Sijatukana mtu yoyote hapa wala sijatukana Dini ya mtu

Relax mkuu
Nioneshe hao waloelimika hapa?
 
Nakupa hii.......Ukiona sehemu watu wanaficha ficha jambo ujue kuna walakini
Sisi hatuelimishani mitandaoni sisi tunaenda kukaa chini kusomeshwa hatufichi kitu sisi

Sio kama nyie pastor akisema hakuna kuuliza ndo imepita iyo

Sasa kati yetu na sisi nani kuna walakini mkubwa mno?
 
Back
Top Bottom