Waislamu Mnafeli wapi?

Waislamu Mnafeli wapi?

Mimi nimezaliwa na kukulia kwenye dhehebu la Katoriki.
Niliwahoji mambo ya kumwabudu Bikira Maria na Sanamu zake hadi wakanifukuza kwenye Ukatoriki.

Siuhoji Uislamu tu.
Kwakuwa najitambua na ni mdadisi huwa na chukiwa na wote wasio penda kuhojiwa.

Siwezi kutumbukizwa tu kwenye dini na wazazi. Lazima nii hoji nione umuhimu wake kwangu

Dini isiyo kubali kuhojiwa sio Dini ya Mungu.
Mungu anasema.

Isaya 1:18 Haya, njoni, tusemezane, asema Bwana. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.

Mungu halisi anakubali kuhojiwa na kusemezana naye.

Nadhani umenipata.
Leo nilikuwa naangalia show moja Netflix inaitwa "From Scratch". Ni story ya mapenzi na familia, msichana mweusi wa kutoka Texas Marekani anapendana na jamaa mpishi wa kutoka Italy.

Wakaonesha sana Italy huko kwenye Ukatoliki sana, wanamuabudu sio Maria tu, kumbe kuna Mama wa Maria wanamuita Santa Anna naye wanamuabudu, kwao ni Mama wa Mama wa Mungu. Bibi wa Mungu.
 
Ukishakubali kwamba Mungu hana mwanzo wala mwisho, umeshalibatilisha swali la kuuliza injinia kwa yeyote, kwa sababu ushaonesha kwamba inawezekana kilicho complex kikawepo bila ya injinia wake kuhitajika au kukiumba.

Ukikubali Mungu hana mwanzo wala mwisho, halafu ukauliza injinia wa mtu ni nani, umefanya kitu Waingereza wanakiita "You want to eat your cake and still have it". Unataka kuila keki yako uimalize, halafu keki ibakie kuwapo kwenye kisahani chako.

Kwa upande mmoja unakubali kilicho complex si lazima kiwe na muumbaji wala na mwanzo, kwa kusema Mungu hana muumbaji wala mwanzo, halafu kwa upande mwingine unakanusha hilohilo kwa kuhoji mtu kaumbwaje na mwanzo wake ni nini?

This is a contradiction. Chagua upande mmoja. Je, kilicho complex ni lazima kiwe na mwanzo na muumbaji? Au si lazima?

Kama ni lazima kilicho complex kiwe na mwanzo au muumbaji, basi, Mungu hayupo, kwa sababu na yeye atahitaji muumbaji, na akihitaji muumbaji, basi huyo si Mungu.

Kama si lazima kilicho complex kiwe na mwanzo au muumbaji, basi Mungu hahitajiki kama chanzo cha kitu chochote kilicho complex.

Jibu lolote utakalolitoa linatuonesha udhaifu wa hoja ya kuwepo Mungu huyo.

Kwenye swali lako la vitu tusivyoviona lakini vipo, mimi sijawahi kukanusha uwepo wa Mungu kwa sababu haonekani. Nakupa kazi ya kutafuta nilipokanusha uwepo wa Mungu kwa sababu haonekani, hutapata hilo.

Mambo mengi hayaonekani, lakini yapo. Jicho la mtu halioni the electromagnetic spectrum yote, hatuoni heat waves, hatuoni radio waves, hatuoni microwaves, hatuoni ultraviolet waves, tunaona sehemu ndogo tu ya electromagnetic waves, visibke light.

Je, hilo linamaanisha hizo waves zote tusizoziina hazipo? Zipo.

Nimegundua watu wengi wanashindwa kujadiliana kidhahania hapa, kwa sababu hawaelewi hata hoja zangu ni zipi.

Sikatai Mungu yupo kwa sababu haonekani.

Nakataa uwepo wa Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote, kwa sababu uwepo wake ukiulinganisha na uwepo wa dunia hii inayoruhusu mabaya mengi sana kwa vinavyoitwa viumbe wake unatengeneza logical inconsistency, unatengeneza contradiction.

Uwepo wa Mungu huyo ni sawasawa na uwepo wa pembetatu ambayo hapohapo ni duara katika Euclidean geometry. Au uwepo binti mwenye miezi 6 leo, ambaye ni mama mzazi wa mwanamme mwenye miaka 30 leo, au kuambiwa kwamba 10 ni square root ya 2.

Haya mambo yote matatu niliyoyataja hapo juu naweza kuyakanusha na kusema si kweli.

Si kwa sababu siwezi kuona pembetatu ambayo hapohapo ni duara, si kwa sababu siwezi kumuona binti mchanga wa miezi sita leo ambaye ni mama mzazi wa mwanamme mwenye miaka 30 leo, si kwa sababu siwezi kuiona 10 ambayo ni square root ya 2, bali kwa sababu haya mambo yote yana logical inconsistency inayo contradict mantiki muhimu.

Suala la kuona si muhimu katika kuthibitisha uwepo wa kitu.

Kwa sababu.

1. Unaweza kuona kitu ambacho hakipo. Ukiwa barabarani jangwani au sehemu yenye joto, unaweza kuona maji kwa mbali, wakati hakuna maji. Ni mirage tu.

2. Unaweza ukashindwa kuona kitu ambacho kipo. Nimetoa mfano wa electromagnetic waves zilizo tofauti na visible light hapo juu.

3. Unaweza kuona kitu ambacho kipo. Mifano ni mingi hapa.

4. Unaweza kushindwa kuona kitu ambacho hakipo. Mfano pembetatu ambayo hapohapo ni duara katika Euclidean geometry.

Sasa, katika ulimwengu ambao hayo manne yanawezekana, kwa nini kitu kuonekana au kutoonekana kuwe ni muhimu katika uthibitisho kwamba kipo?

Kwa nini tunashindwa kuongelea uwepo au kutokuwepo Mungu katika ngazi ya kidhahania na kimantiki kwa hoja tunduizi, bila kushikilia hoja dhaifu kama ya kitu kuonekana au kutoonekana, ambayo mimi hata sijaitaja?

((Nakataa uwepo wa Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote, kwa sababu uwepo wake ukiulinganisha na uwepo wa dunia hii inayoruhusu mabaya mengi sana kwa vinavyoitwa viumbe wake unatengeneza logical inconsistency, unatengeneza contradiction.))

Mkuu Kwanza naomba ujue nainjoy Sana kujadiliana na mtu ambaye huwa cool na Hana jazba na hivyo ndo vitu ninavyovipenda katika mijadala.

Sasa hapo kwenye mabano nimekopi mwandiko wako ambao ndio chimbuko la wewe kutokubali kama Mungu yupo.

Kwa maana unajiuliza kama Mungu kweli muweza wa yote yupo kwanini kuna mabaya mengi hapa duniani,kwanini viumbe wake wanafanyiana ukatili mwingi na kuoneana ,kwanini mzee WA KGB Putin anafanya Fujo zake huko lakini huyo anayeitwa Mungu muweza wa yote mbona hasimamii viumbe wake? Mbona hakuna haki duniani na mambo kama hayo.

Je kwanini Mungu anaruhusu haya yote kutokea na hauoni engagement yake?

Ni kwamba Mungu ametuweka hapa duniani kama kituo cha mtihani kwetu Sisi wanadamu kujua ni Nani mwenye kufaulu na Nani mwenye kufeli.

Ametuletea walimu ambao ni Mitume na Manabii ambao Kwa uwezo waliopewa na Mungu walitufundisha namna ya kuishi vyema duniani,na kututahadharisha vile vile ubaya wa kuenda kinyume na mafundisho ya Mungu.

Na kama haitoshi wakatuachia na madesa ambayo ndio vitabu vyake Mungu tujisomee kila siku na kujua kusudio letu la kuwa hapa duniani,na wakati huo huo tunaendelea kufanya mitihani mpaka Mda wa kila mmoja ukifika anawasilisha paper lake then majibu tutayapata siku ya hesabu.

Sasa kwahiyo maadam Mungu alishatufahamisha tayar namna ya kuishi vizur hapa duniani,basi ametupa Uhuru WA kupractice kile tulicho jifunza maadam tunajua consequences ya matendo yetu

Sasa kamwe hatatuingilia Kwa lolote maadam tunajua zuri na Baya na faida ya kila moja na hasara yake pia.

Kwahiyo kwakumalizia mwandiko wangu huu,,,ni hivi mkuu hoja yako ya kusema Mungu muweza wa yote hayupo kwakuwa dhuluma zipo lkn haingilii Kati siyo sahihi,kumbuka huko nyuma alikuwa anaingilia Kati ndio maana kulikuwa na gharika enzi za Nuhu ,kukombolewa Kwa waisrael,adhabu ya sodoma na gomora kuyataja Kwa uchache.

Shukrani.
 
Waislam wote mnafuga majini.......acheni kujitetea

Ukiona huna jini Basi ujue ww bado upo shallow sana
una umri gani?
jinsia gani?
unaishi wapi?
unafanya kazi gani?
elimu yako? ulisoma wapi? ngazi gani?
una mke, watoto na familia?
jiepushe sana na judgemental behaviors
 
((Nakataa uwepo wa Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote, kwa sababu uwepo wake ukiulinganisha na uwepo wa dunia hii inayoruhusu mabaya mengi sana kwa vinavyoitwa viumbe wake unatengeneza logical inconsistency, unatengeneza contradiction.))

Mkuu Kwanza naomba ujue nainjoy Sana kujadiliana na mtu ambaye huwa cool na Hana jazba na hivyo ndo vitu ninavyovipenda katika mijadala.

Sasa hapo kwenye mabano nimekopi mwandiko wako ambao ndio chimbuko la wewe kutokubali kama Mungu yupo.

Kwa maana unajiuliza kama Mungu kweli muweza wa yote yupo kwanini kuna mabaya mengi hapa duniani,kwanini viumbe wake wanafanyiana ukatili mwingi na kuoneana ,kwanini mzee WA KGB Putin anafanya Fujo zake huko lakini huyo anayeitwa Mungu muweza wa yote mbona hasimamii viumbe wake? Mbona hakuna haki duniani na mambo kama hayo.

Je kwanini Mungu anaruhusu haya yote kutokea na hauoni engagement yake?

Ni kwamba Mungu ametuweka hapa duniani kama kituo cha mtihani kwetu Sisi wanadamu kujua ni Nani mwenye kufaulu na Nani mwenye kufeli.

Ametuletea walimu ambao ni Mitume na Manabii ambao Kwa uwezo waliopewa na Mungu walitufundisha namna ya kuishi vyema duniani,na kututahadharisha vile vile ubaya wa kuenda kinyume na mafundisho ya Mungu.

Na kama haitoshi wakatuachia na madesa ambayo ndio vitabu vyake Mungu tujisomee kila siku na kujua kusudio letu la kuwa hapa duniani,na wakati huo huo tunaendelea kufanya mitihani mpaka Mda wa kila mmoja ukifika anawasilisha paper lake then majibu tutayapata siku ya hesabu.

Sasa kwahiyo maadam Mungu alishatufahamisha tayar namna ya kuishi vizur hapa duniani,basi ametupa Uhuru WA kupractice kile tulicho jifunza maadam tunajua consequences ya matendo yetu

Sasa kamwe hatatuingilia Kwa lolote maadam tunajua zuri na Baya na faida ya kila moja na hasara yake pia.

Kwahiyo kwakumalizia mwandiko wangu huu,,,ni hivi mkuu hoja yako ya kusema Mungu muweza wa yote hayupo kwakuwa dhuluma zipo lkn haingilii Kati siyo sahihi,kumbuka huko nyuma alikuwa anaingilia Kati ndio maana kulikuwa na gharika enzi za Nuhu ,kukombolewa Kwa waisrael,adhabu ya sodoma na gomora kuyataja Kwa uchache.

Shukrani.
Kwa nini Mungu kutupa mtihani sisi viumbe liwe ni jambo muhimu kuliko kutufanya tuwe salama?

Wewe ukiwa baba mwenye uwezo wa kujenga nyumba inayolipuka mabomu kila siku, halafu una uwezo wa kujenga nyumba ambayo hailipuki mabomu kabisaa, na unawapenda sana wanao, utachagua kujenga ipi?

Utachagua kujenga nyumba inayolipuka mabomu kila siku ili uwape mtihani wa kuruka mabomu wanao?

Ukichagua hilo wanao tuseme wewe ni baba mwenye upendo wote?

Pia, hiyo habari ya kutupa uhuru si kweli, watu hawana hata uhuru wa kuchagua wazaliwe au wasizaliwe. Wanajikuta tu washazaliwa. Sasa hapo utasemaje wamepewa uhuru wa kuishi vipi, wakati hata uhuru wa kuamua wazaliwe au wasizaliwe hawajapewa?
 
Kwa nini Mungu kutupa mtihani sisi viumbe liwe ni jambo muhimu kuliko kutufanya tuwe salama?

Wewe ukiwa baba mwenye uwezo wa kujenga nyumba inayolipuka mabomu kila siku, halafu una uwezo wa kujenga nyumba ambayo hailipuki mabomu kabisaa, na unawapenda sana wanao, utachagua kujenga ipi?

Utachagua kujenga nyumba inayolipuka mabomu kila siku ili uwape mtihani wa kuruka mabomu wanao?

Ukichagua hilo wanao tuseme wewe ni baba mwenye upendo wote?

Pia, hiyo habari ya kutupa uhuru si kweli, watu hawana hata uhuru wa kuchagua wazaliwe au wasizaliwe. Wanajikuta tu washazaliwa. Sasa hapo utasemaje wamepewa uhuru wa kuishi vipi, wakati hata uhuru wa kuamua wazaliwe au wasizaliwe hawajapewa?

Kwa sote kuwa salama ingewezekana kabisa kama kusingekuwa na kusudio la kupewa mtihani

Kuna Maisha mengine Bora zaidi kuliko haya,na Mungu anasema haya Maisha ya duniani ni upuuzi mtupu ukilinganisha na hayo Maisha mengine

Na ili tuyafikie hayo Maisha lazima tulipe price hapa duniani,ima tusifuate matamanio yetu ili tupate uzima wa milele au tufuate matamanio yetu na kuangamia

Kwakuwa hapa duniani ni wasafir hivyo Mungu hajapafanya pawe pa kudumu na ndio maana tunapaswa kupitia process kadhaa ili tufikie lengo lililo kusudiwa

Kuhusu Uhuru WA kuchagua kuzaliwa naona Hilo jambo kimantiki halileti uzito wowote kwasababu kama hukuwepo je utachaguaje uwepo?

Nipo hapa nasubir
 
Kwa sote kuwa salama ingewezekana kabisa kama kusingekuwa na kusudio la kupewa mtihani

Kuna Maisha mengine Bora zaidi kuliko haya,na Mungu anasema haya Maisha ya duniani ni upuuzi mtupu ukilinganisha na hayo Maisha mengine

Na ili tuyafikie hayo Maisha lazima tulipe price hapa duniani,ima tusifuate matamanio yetu ili tupate uzima wa milele au tufuate matamanio yetu na kuangamia

Kwakuwa hapa duniani ni wasafir hivyo Mungu hajapafanya pawe pa kudumu na ndio maana tunapaswa kupitia process kadhaa ili tufikie lengo lililo kusudiwa

Kuhusu Uhuru WA kuchagua kuzaliwa naona Hilo jambo kimantiki halileti uzito wowote kwasababu kama hukuwepo je utachaguaje uwepo?

Nipo hapa nasubir
Kwa nini Mungu atupe mtihani watoto wake vipenzi, ikiwa anaweza kutupa majibu yote tukajua vitu kwa uhakika na kufanya vizuri tusiwe na haja ya mtihani?

Kwa nini mtihani ni muhimu hapo?
 
Kwa nini Mungu atupe mtihani watoto wake vipenzi, ikiwa anaweza kutupa majibu yote tukajua vitu kwa uhakika na kufanya vizuri tusiwe na haja ya mtihani?

Kwa nini mtihani ni muhimu hapo?

Naomba nijibu swali Kwa swali mkuu

Unadhani mkuu tumeumbwa ili kuzaliwa then kukua hlf kuwa na familia halafu kufa,kulala then kuamka na kulala tena bila kusudio lolote?
 
Iki ndio chanzo cha waislam kuiepuka kitimoto coz ya ayo madudu wanayofuga, ayo madudu hayapatani kabisa na kitimoto maana kitimoto alitakaswa tayari ni kiumbe kitakatifu
 
Mimi nna Rafiki yangu wa kijini, ila yeye Ni wa ibada Sana, na hakai mwilini mwangu, ila huwa anakuja kwa umbo la kibidamu baadae anatoweka, Ni mshakaji tunapiga story Sana, kila alhamisi ndio inakuwa siku yake yakuja kibindamu ,na ijumaa, nimeegundua kumbe chakula chao Ni mifupa pia,na mabaki ya vyakula walioacha binadamu baadhi
Muongo mkubwa
 
Naomba nijibu swali Kwa swali mkuu

Unadhani mkuu tumeumbwa ili kuzaliwa then kukua hlf kuwa na familia halafu kufa,kulala then kuamka na kulala tena bila kusudio lolote?
Na mimi nikujibu kwa swali.

Katika kuhoji maswali ambayo yanaweza kuwa na kasumba (bias) ya kulenga jibu fulani tu, possibly with cyclical illogic.

Unapoandika "tumeumbwa" unamaanisha nini? Na unajuaje "tumeumbwa" ?
 
Kwa nini Mungu atupe mtihani watoto wake vipenzi, ikiwa anaweza kutupa majibu yote tukajua vitu kwa uhakika na kufanya vizuri tusiwe na haja ya mtihani?

Kwa nini mtihani ni muhimu hapo?

Mkuu ngoja turudi kwenye swali,tulichofanya awali kujibu swali kwa swali ilikuwa ni counter attack katika mjadala!

Umezungumzia kwanini Mungu atupe mtihani watoto wake vipenzi,ingawa ktk Hali halisi Mungu Hana watoto au mtoto na ni kufukuru kubwa kufanya hivyo kwani Sisi sote ni waja wake / viumbe wake.

Mwenyezi Mungu ametupa mtihani ili awaone ni Akina Nani wanamtii yeye na kufuata maamrisho yake na kuacha makatazo yake,hilo ndio kusudio kubwa la mtihani kwetu Sisi

Lakini kama haitoshi kuna wengine wamepewa mitihani ya maradhi,ulemavu WA Aina mbali mbali na changamoto mbali mbali hiyo yote ni mitihani kwao na kwetu pia,je viumbe hawa watakufuru au watashukuru,lakini na wasio miongoni mwao mtihani wao pia ni Kwa jinsi gani wataisaidia hiyo jamii husika na kuwa kwamua katika changamoto zao za kila siku,mfano kuna mayatima je tunawaangalia vipi watu hawa Sisi kama jamii.

Ndo pale tunakuja kwenye hitimisho kwamba duniani tunapita kwahiyo ni sehemu ya kutafuta fadhila za Mungu ili huko mbele ya safari tuwe na mwisho mwema.

Shukrani.
 
Mkuu ngoja turudi kwenye swali,tulichofanya awali kujibu swali kwa swali ilikuwa ni counter attack katika mjadala!

Umezungumzia kwanini Mungu atupe mtihani watoto wake vipenzi,ingawa ktk Hali halisi Mungu Hana watoto au mtoto na ni kufukuru kubwa kufanya hivyo kwani Sisi sote ni waja wake / viumbe wake.

Mwenyezi Mungu ametupa mtihani ili awaone ni Akina Nani wanamtii yeye na kufuata maamrisho yake na kuacha makatazo yake,hilo ndio kusudio kubwa la mtihani kwetu Sisi

Lakini kama haitoshi kuna wengine wamepewa mitihani ya maradhi,ulemavu WA Aina mbali mbali na changamoto mbali mbali hiyo yote ni mitihani kwao na kwetu pia,je viumbe hawa watakufuru au watashukuru,lakini na wasio miongoni mwao mtihani wao pia ni Kwa jinsi gani wataisaidia hiyo jamii husika na kuwa kwamua katika changamoto zao za kila siku,mfano kuna mayatima je tunawaangalia vipi watu hawa Sisi kama jamii.

Ndo pale tunakuja kwenye hitimisho kwamba duniani tunapita kwahiyo ni sehemu ya kutafuta fadhila za Mungu ili huko mbele ya safari tuwe na mwisho mwema.

Shukrani.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote, anahitaji mtihani ili aone nani anamtii?

Hili lina make sense kwako?

Huyo Mungu au NECTA?
 
Ndivyo mnavyojidanganya kwamba Wakristo hawana Elimu juu ya Uislam?

Wakristo wanaufahamu Uislam kuliko mnavyoufahamu Ukristo ila tofauti ni kwa hatupendi kuzungumzia sana katika Media au hadharani kuepuka kuleta ugomvi usio na sababu za msingi

Ninyi ndio mna muda wa kuuponda Ukristo na kuwasema vibaya Wakristo halafu wala hatujali, tunaishi na ninyi sawasawa na akili zenu zilivyo.
 
Ndivyo mnavyojidanganya kwamba Wakristo hawana Elimu juu ya Uislam?

Wakristo wanaufahamu Uislam kuliko mnavyoufahamu Ukristo ila tofauti ni kwa hatupendi kuzungumzia sana katika Media au hadharani kuepuka kuleta ugomvi usio na sababu za msingi

Ninyi ndio mna muda wa kuuponda Ukristo na kuwasema vibaya Wakristo halafu wala hatujali, tunaishi na ninyi sawasawa na akili zenu zilivyo.
Mkuu naona unadandia gari Kwa mbele

Huyo ninajadiliana nae haamini kama Mungu yupo,kwahiyo relax

Wakristo mnaujulia wapi Uislamu wakati nyie wenyewe hata hamjui Mungu wenu ni binadamu au roho au mama WA Mungu

Ukiingia kwenye hii ligi usipaniki kabisa,Ngoma ya watoto haikeshi
 
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote, anahitaji mtihani ili aone nani anamtii?

Hili lina make sense kwako?

Huyo Mungu au NECTA?
Lina make sense katika muktadha WA kupata waumini ambao wanamtii Mola wao na kumcha Mungu na baadae waje wapate pepo yake
 
Lina make sense katika muktadha WA kupata waumini ambao wanamtii Mola wao na kumcha Mungu na baadae waje wapate pepo yake
Mungu akihitaji mtihani, hajui yote.

Akijua yote, hahitaji mtihani.

Mungu mjuzi wa yote anayehitaji mtihani ni contradiction.
 
Mungu kihitaji mtihani, hajui yote.

Akijua yote, hahitaji mtihani.

Mungu mjuzi wa yote anayehitaji mtihani ni contradiction.
Kuna uhusiano gani WA kujua yote na mtihani mkuu?

Anawapa mitihani na anajua mwisho wa kila kundi litakuwaje,Kwa maana watu wema na wabaya ,sioni mantiki ya swali lako
 
Kuna uhusiano gani WA kujua yote na mtihani mkuu?

Anawapa mitihani na anajua mwisho wa kila kundi litakuwaje,Kwa maana watu wema na wabaya ,sioni mantiki ya swali lako
Anawapa mtihani wakati anajua mwisho wa kila kundi? Sasa kama anajua mwisho wa kila kundi anawapa mtihani wa nini?
 
Mkuu iko hivi Mungu yupo fair Sana

Anatupa nafasi ya Sisi wenyewe kuchagua hatima yetu,Hana upendeleo WA kuteua watu Fulani Tu ndio waje wapate Makao mema

Ndio maana ametufahamisha lipi zuri na lipi Baya,na akatuhimiza kwenda kwenye mazuri na akatutahadharisha na njia mbaya

Then mwisho wa siku ametupa Uhuru WA kuchagua ambao ndio mtihani kwetu,tufaulu au tufeli
 
Back
Top Bottom