Waislamu na Wakristo wote hawajitambui, naongea na nyinyi leo

Waislamu na Wakristo wote hawajitambui, naongea na nyinyi leo

Unavoidable Servant

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2021
Posts
1,728
Reaction score
4,545
Ili tuelewane, leo nataka twende taratibu bila kujaza maneno mengi, na ili tuelewane leo tutaanza na kitabu cha Torati ambacho kipo kwenye Quran na Biblia.

Ukisoma Torati kwa utulivu ni kitabu wameandikiwa Waisrael, swali sasa wewe Mkristo na Muislamu wa Tanzania ni Muisrael?

Halafu jiulizeni, dini za Ibrahim zipo nyingi, kwanini waislamu na Wakristo ndio wako bize kupromoti dini zao? Ulishawahi kuwasikia Wahindi au Buddha kufanya promo ya dini zao? Hizi dini ni biashara za watu wenye akili.

Sasa karibuni Waislamu na Wakristo mnieleze Torati inawahusu vipi? Ninyi ni Waisrael?
 
Ili tuelewane, leo nataka twende taratibu bila kujaza Maneno mengi, na ili tuelewane leo tutaanza na kitabu cha Torati ambacho lipo kwenye Quran na Biblia.

Ukisoma Torati kwa utulivu ni kitabu wameandikiwa Waisrael, swali sasa wewe Mkristo na wewe muislamu wa Tanzania wewe ni muisrael?

Halafu jiulizeni dini za Ibrahim zipo nyingi, kwa ni waislamu na Wakristo ndio wako bize kupromoti dini zao, ulishawahi kuwasikia Wahindi au budha kufanya promo ya dini zao? hizi dini ni biashara za watu wenye akili.

Sasa karibuni waislamu na Wakristo mnieleze Torati inawahusu vipi? nyinyi ni Waisrael?
Shobo zao ndo zinawasumbua
 
Upotoshaji ulianzia kwenye phrase "tafsiri ya huu mstari....". Ukiskia hivyo tu ni mauongo yanapangana hapo mbele!
 
Misguided youth in pursuit Vanity
Una anza kujamba, wewe ni Muisrael, soma kumbukumbu ka torati kitabu kizima, wewe mmatumbi kinakuhusu nini?

Waisrael wameruhusiwa kunywa Divai na pombe kwenye torati, waislamu wanakatazwa kunywa pombe, halafu Quran inakikubali kitabu cha torati, huu ni uchizi insanity.
 
Kwani hii Quran na hii Biblia zinatumia kitabu cha Torati pekee katika mafundisho yao?
 
Una anza kujamba, wewe ni Muisrael, soma kumbukumbu ka torati kitabu kizima, wewe mmatumbi kinakuhusu nini?

Waisrael wameruhusiwa kunywa Dubai na pombe kwenye torati, waislamu wanakatazwa kunywa pombe, halafu Quran inakikubali kitabu cha torati, huu ni uchizi insanity.
Dubai ni nini?
 
Mungu yupo ila Madhehebu haipingiki ni biashara za watu, Mungu angekuwa na dini ya kweli na dhehebu la kweli wengine asingetusaidia angewasaidia hao hao wenye dhehebu na dini ya kweli..... Dini na madhehebu watu wejiwekea wapige pesa
 
Ili tuelewane, leo nataka twende taratibu bila kujaza Maneno mengi, na ili tuelewane leo tutaanza na kitabu cha Torati ambacho lipo kwenye Quran na Biblia.

Ukisoma Torati kwa utulivu ni kitabu wameandikiwa Waisrael, swali sasa wewe Mkristo na wewe muislamu wa Tanzania wewe ni muisrael?

Halafu jiulizeni dini za Ibrahim zipo nyingi, kwa ni waislamu na Wakristo ndio wako bize kupromoti dini zao, ulishawahi kuwasikia Wahindi au budha kufanya promo ya dini zao? hizi dini ni biashara za watu wenye akili.

Sasa karibuni waislamu na Wakristo mnieleze Torati inawahusu vipi? nyinyi ni Waisrael?
Mpwa naomba uache kwanza tumalizane na CAG nakuomba sana IMG-20230407-WA0058.jpg
IMG-20230407-WA0058.jpg
 
Kwani hii Quran na hii Biblia zinatumia kitabu cha Torati pekee katika mafundisho yao?
Hapa tunaongerea Torati kwa sababu inakubalika na waislamu na Wakristo, tukishelewana hapa ni rahisi wewe kutoka kwenye gereza la imani na kutambuwa kumbe ulikuwa na dini yako, siyo hizi zilizoletwa miaka 2000 iliyopita wakati dunia INA miaka zaidi ya billion 4.
 
Hapa tunaongerea Torati kwa sababu inakubalika na waislamu na Wakristo, tukishelewana hapa ni rahisi wewe kutoka kwenye gereza la imani na kutambuwa kumbe ulikuwa na dini yako, siyo hizi zilizoletwa miaka 2000 iliyopita wakati dunia INA miaka zaidi ya billion 4.
Hauoni kufanya hukumu ya jumla kwa kutumia kitabu kimoja tu siyo sahihi?

Umesema torati wameandikiwa waisrael si waislamu wala wakristo. Vitabu vingine katika Quran au Biblia hawajaandikiwa wahusika?
 
We unaabudu wapi ili tuanze kukujibu hoja yako ?
 
Hauoni kufanya hukumu ya jumla kwa kutumia kitabu kimoja tu siyo sahihi?

Umesema torati wameandikiwa waisrael si waislamu wala wakristo. Vitabu vingine katika Quran au Biblia hawajaandikiwa wahusika?
Tuna anza na kimoja kwanza ili kupata mwanga.

Swali ni kwa nini dini zingine hazifanyi promotion isipokuwa hizi dini mbili tu uislamu na Ukristo?

Umeshawahi kuona Wahindi wanataka waswahili muingie kwenye temple zao? au mnadhani zile siyo dini? tena wale dini yao ni ya zamani kuliko hizi dini zenu za Ukristo na uislamu.
 
Tuna anza na kimoja kwanza ili kupata mwanga.

Swali ni kwa nini dini zingine hazifanyi promotion isipokuwa hizi dini mbili tu uislamu na Ukristo?

Umeshawahi kuona Wahindi wanataka waswahili muingie kwenye temple zao? au mnadhani zile siyo dini? tena wale dini yao ni ya zamani kuliko hizi dini zenu za Ukristo na uislamu.
Mfano wakakubali kukiondoa kitabu cha Torati kwakua hakiwahusu vyote vilivyobaki vinawahusu?
 
Mfano wakakubali kukiondoa kitabu cha Torati kwakua hakiwahusu vyote vilivyobaki vinawahusu?
Wewe ni Mkorinto? Mgalatia, muefeso, mlawi au muebrania? Mbona vitu viko wazi sana tunajitowa akili tu?
 
Ili tuelewane, leo nataka twende taratibu bila kujaza Maneno mengi, na ili tuelewane leo tutaanza na kitabu cha Torati ambacho kipo kwenye Quran na Biblia.

Ukisoma Torati kwa utulivu ni kitabu wameandikiwa Waisrael, swali sasa wewe Mkristo na wewe muislamu wa Tanzania wewe ni muisrael?

Halafu jiulizeni dini za Ibrahim zipo nyingi, kwa ni waislamu na Wakristo ndio wako bize kupromoti dini zao, ulishawahi kuwasikia Wahindi au budha kufanya promo ya dini zao? hizi dini ni biashara za watu wenye akili.

Sasa karibuni waislamu na Wakristo mnieleze Torati inawahusu vipi? nyinyi ni Waisrael?
Yaani unakuta mswahili anajifanya muisrael na mwarabu wa Yemen.

Huu utumwa wa fikra tunaouita dini ndiyo unatuletea ufukara. Haiwezekani mshahara wako unaumega asilimia 10 eti unampa Mungu.

Hizi dini ni utapeli uliyojipanga. Waarabu wanauza makanzu, kofia, tende e.t.c

Hawa matapeli wengine wanauza rosari, misalaba, hostia, divai, sanamu na sadaka wanakula e.t.c

Wanajenga mashule ila bila muumini kulipa hakuna mtoto atakaye soma. Yanajenga mahospitali ila muumini anakufa kwa kukosa hela ya matibabu.

Kwanini tusifuate dini zetu za kale na tuzipe dhamani kwani sadaka zitachangwa zitabaki hapa hapa na wala hazitaenda vatican.
 
Yaani unakuta mswahili anajifanya muisrael na mwarabu wa Yemen.

Huu utumwa wa fikra tunaouita dini ndiyo unatuletea ufukara. Haiwezekani mshahara wako unaumega asilimia 10 eti unampa Mungu.

Hizi dini ni utapeli uliyojipanga. Waarabu wanauza makanzu, kofia, tende e.t.c

Hawa matapeli wengine wanauza rosari, misalaba, hostia, divai, sanamu na sadaka wanakula e.t.c

Wanajenga mashule ila bila muumini kulipa hakuna mtoto atakaye soma. Yanajenga mahospitali ila muumini anakufa kwa kukosa hela ya matibabu.

Kwanini tusifuate dini zetu za kale na tuzipe dhamani kwani sadaka zitachangwa zitabaki hapa hapa na wala hazitaenda vatican.
Kwanza Mungu wala haitaji pesa, pesa ni Man made, atakuwa Mungu wa ajabu amuumbe binadamu halafu aombe pesa kwa binadamu, wakati Mungu ana uwezo wa kusema tu na iwe na inakuwa kweli, halafu atuombe ten percent sisi? huu ni Utapeli pasee.
 
Back
Top Bottom