Waislamu na Wakristo wote hawajitambui, naongea na nyinyi leo

Waislamu na Wakristo wote hawajitambui, naongea na nyinyi leo

Ili tuelewane, leo nataka twende taratibu bila kujaza maneno mengi, na ili tuelewane leo tutaanza na kitabu cha Torati ambacho kipo kwenye Quran na Biblia.

Ukisoma Torati kwa utulivu ni kitabu wameandikiwa Waisrael, swali sasa wewe Mkristo na Muislamu wa Tanzania ni Muisrael?

Halafu jiulizeni, dini za Ibrahim zipo nyingi, kwanini waislamu na Wakristo ndio wako bize kupromoti dini zao? Ulishawahi kuwasikia Wahindi au Buddha kufanya promo ya dini zao? Hizi dini ni biashara za watu wenye akili.

Sasa karibuni Waislamu na Wakristo mnieleze Torati inawahusu vipi? Ninyi ni Waisrael?
Nimeona avatar yako, nikaona kuwa wewe ndio hujitambui😆
 
Upotoshaji ulianzia kwenye phrase "tafsiri ya huu mstari....". Ukiskia hivyo tu ni mauongo yanapangana hapo mbele!
Ukishasikia kauli 'IMEANDIKWA.........' Basi tambua Unaanza kurogwa ili Utapeliwe sio wewe tu, bali na kizazi chako chote.
 
Ili tuelewane, leo nataka twende taratibu bila kujaza maneno mengi, na ili tuelewane leo tutaanza na kitabu cha Torati ambacho kipo kwenye Quran na Biblia.

Ukisoma Torati kwa utulivu ni kitabu wameandikiwa Waisrael, swali sasa wewe Mkristo na Muislamu wa Tanzania ni Muisrael?

Halafu jiulizeni, dini za Ibrahim zipo nyingi, kwanini waislamu na Wakristo ndio wako bize kupromoti dini zao? Ulishawahi kuwasikia Wahindi au Buddha kufanya promo ya dini zao? Hizi dini ni biashara za watu wenye akili.

Sasa karibuni Waislamu na Wakristo mnieleze Torati inawahusu vipi? Ninyi ni Waisrael?
Kwa Wakristo!; Torati ni Kumbukumbu ya Historia ya Wokovu Wetu tu!
 
Yaani unakuta mswahili anajifanya muisrael na mwarabu wa Yemen.

Huu utumwa wa fikra tunaouita dini ndiyo unatuletea ufukara. Haiwezekani mshahara wako unaumega asilimia 10 eti unampa Mungu.

Hizi dini ni utapeli uliyojipanga. Waarabu wanauza makanzu, kofia, tende e.t.c

Hawa matapeli wengine wanauza rosari, misalaba, hostia, divai, sanamu na sadaka wanakula e.t.c

Wanajenga mashule ila bila muumini kulipa hakuna mtoto atakaye soma. Yanajenga mahospitali ila muumini anakufa kwa kukosa hela ya matibabu.

Kwanini tusifuate dini zetu za kale na tuzipe dhamani kwani sadaka zitachangwa zitabaki hapa hapa na wala hazitaenda vatican.

Duuuh kwel umesema ukwel
Mashule yao karo juu
Hospital zao matibabu bei juu na ata waumini wao hawatibiwi kwa garama nafuu wakat sadaka zao ndo zimejenga
Na kuna waumini kibao wanakufa kwa kukosa matibabu wakat wana mahospitar kibao
 
Hakuna kitabu kilichoandikwa na binadamu yeyote.. hata wa israili... kama ni mfatiliaji wa masuala ya dini na kuamini imani husika... kila kitabu kimetoka kwa Mungu huyo huyo mmoja na ujumbe wao hua unafanana... ila kutokana na kupishana kwa muda mrefu na kutokuwepo njia za kuyahifadhi maandiko hayo... basi wanaadamu wanayabadilisha kuendana na matakwa yao... ndio maana huo kuwa na mijadala mingi ya kuangalia ukweli wa vitabu vilivyopo vya sasa
 
Hakuna kitabu kilichoandikwa na binadamu yeyote.. hata wa israili... kama ni mfatiliaji wa masuala ya dini na kuamini imani husika... kila kitabu kimetoka kwa Mungu huyo huyo mmoja na ujumbe wao hua unafanana... ila kutokana na kupishana kwa muda mrefu na kutokuwepo njia za kuyahifadhi maandiko hayo... basi wanaadamu wanayabadilisha kuendana na matakwa yao... ndio maana huo kuwa na mijadala mingi ya kuangalia ukweli wa vitabu vilivyopo vya sasa
Hili jipya kwangu, kumbe Mungu huyu huyu ameandika kitabu? kipi hicho?
 
Biblia imeandikwa na watu wa Israel zaidi ya asilimia 50% wameandikiwa wa Israel. Huku ikisema Israel ni taifa teule mataifa mengine hawafai.
Na hata wakizaana nao ( hao mataifa) Mungu alikuwa anawapa adhabu mbali mbali.
Agano jipya ni kuhusu maisha na matendo ya Yesu na vitu walivyofanya wanafunzi na wafuasi wake baada ya kufa kwake ( humu ndio mataifa mengine wameanza kupata nafasi).

Yesu alikuwa muisrael lakini namba ya wayahudi ambao ni wakristo haifiki hata asilimia tano
pf_16.03.08_israelsurveyoverviewgroups.png

Harakati nyingi za Kueneza neno zilifanyika middle east lakini, middle east wakristo ni wachache sana. Ndani ya karne moja namba ya Wakristo imepanda kwa ajabu sub saharan Africa.
christianity-graphic-01.png

Naongea hivi nikiwa kama mkristo( wa kuzaliwa not by choice) nnayeuelewa ukristo.
Ila mpangilio wa Ukristo hauniingi akilini Binafsi.
 
Ili tuelewane, leo nataka twende taratibu bila kujaza maneno mengi, na ili tuelewane leo tutaanza na kitabu cha Torati ambacho kipo kwenye Quran na Biblia.

Ukisoma Torati kwa utulivu ni kitabu wameandikiwa Waisrael, swali sasa wewe Mkristo na Muislamu wa Tanzania ni Muisrael?

Halafu jiulizeni, dini za Ibrahim zipo nyingi, kwanini waislamu na Wakristo ndio wako bize kupromoti dini zao? Ulishawahi kuwasikia Wahindi au Buddha kufanya promo ya dini zao? Hizi dini ni biashara za watu wenye akili.

Sasa karibuni Waislamu na Wakristo mnieleze Torati inawahusu vipi? Ninyi ni Waisrael?
Tume andiko linalosema kuwa taurati inawahusu wasilaeli tu
 
Una anza kujamba, wewe ni Muisrael, soma kumbukumbu ka torati kitabu kizima, wewe mmatumbi kinakuhusu nini?

Waisrael wameruhusiwa kunywa Divai na pombe kwenye torati, waislamu wanakatazwa kunywa pombe, halafu Quran inakikubali kitabu cha torati, huu ni uchizi insanity.
Lete andiko kutoka kwenye qur,aan linalo kubali kuwa pombe
 
Ila wengine wakiabudu ushoga ndio inakuwa dhambi?

Mwanamke kujiita mfalme Zumaridi ni sawa tu? huu ndio Uhuru wa kuabudu?
Tuambie kina nani wanaabudu Ushoga?...

Huyo anayejiita Zumaridi amekuharibia nini wewe kwa kujiita hivyo ?
 
Mungu yupo ila Madhehebu haipingiki ni biashara za watu, Mungu angekuwa na dini ya kweli na dhehebu la kweli wengine asingetusaidia angewasaidia hao hao wenye dhehebu na dini ya kweli..... Dini na madhehebu watu wejiwekea wapige pesa
Wewe ni mkiristo unae jificha
 
Back
Top Bottom