Waislamu na Wakristo wote hawajitambui, naongea na nyinyi leo

Waislamu na Wakristo wote hawajitambui, naongea na nyinyi leo

Imani nyingine hazina mgawanyiko kama Ukristu na Uislamu. Huo mgawanyiko unaashiria biashara.
 
Ili tuelewane, leo nataka twende taratibu bila kujaza maneno mengi, na ili tuelewane leo tutaanza na kitabu cha Torati ambacho kipo kwenye Quran na Biblia.

Ukisoma Torati kwa utulivu ni kitabu wameandikiwa Waisrael, swali sasa wewe Mkristo na Muislamu wa Tanzania ni Muisrael?

Halafu jiulizeni, dini za Ibrahim zipo nyingi, kwanini waislamu na Wakristo ndio wako bize kupromoti dini zao? Ulishawahi kuwasikia Wahindi au Buddha kufanya promo ya dini zao? Hizi dini ni biashara za watu wenye akili.

Sasa karibuni Waislamu na Wakristo mnieleze Torati inawahusu vipi? Ninyi ni Waisrael?
point of correction: Abrahamic religions ziko tatu tu-Judaism, Christianity and Islam

hizo nyingi zako umeingiza hadi ubudha na uhindu ni wazi umedandia mambo usiyoyajua
 
Hapa tunaongerea Torati kwa sababu inakubalika na waislamu na Wakristo, tukishelewana hapa ni rahisi wewe kutoka kwenye gereza la imani na kutambuwa kumbe ulikuwa na dini yako, siyo hizi zilizoletwa miaka 2000 iliyopita wakati dunia INA miaka zaidi ya billion 4.
Uwezi fahamu dini bila kusoma vitabu husika pia upate walimu wabobezi sio kanjanja kama wewe
 
Wewe ni Mkorinto? Mgalatia, muefeso, mlawi au muebrania? Mbona vitu viko wazi sana tunajitowa akili tu?
Kwa modern day world Wakorinto wako located wapi? Je waefeso? Wagalatia? Walawi au waebrania

Wajua wakristo wameambiwa wakasambaze injili ulimwengu wote?
 
Hauoni kufanya hukumu ya jumla kwa kutumia kitabu kimoja tu siyo sahihi?

Umesema torati wameandikiwa waisrael si waislamu wala wakristo. Vitabu vingine katika Quran au Biblia hawajaandikiwa wahusika?
Huyu ajui lolote anajinyea tu utachsmbua dini bila kusomeshwa vitabu husika
 
point of correction: Abrahamic religions ziko tatu tu-Judaism, Christianity and Islam

hizo nyingi zako umeingiza hadi ubudha na uhindu ni wazi umedandia mambo usiyoyajua



When people refer to the Abrahamic religions they are usually thinking of Judaism, Christianity and Islam. There are, in fact, more Abrahamic religions, such as the Baha'i Faith, Yezidi, Druze, Samaritan and Rastafari.
 
Mbona unachanganya mambo ?....mada yako uliyoanzisha inahusu Ushoga au au vitabu vya dini ?

Simamia mada moja basi tukuelewe.
Hili ndio lilikuwa lengo kuu huko kwingine alikuwa anazunguka tu
 
Ili tuelewane, leo nataka twende taratibu bila kujaza maneno mengi, na ili tuelewane leo tutaanza na kitabu cha Torati ambacho kipo kwenye Quran na Biblia.

Ukisoma Torati kwa utulivu ni kitabu wameandikiwa Waisrael, swali sasa wewe Mkristo na Muislamu wa Tanzania ni Muisrael?

Halafu jiulizeni, dini za Ibrahim zipo nyingi, kwanini waislamu na Wakristo ndio wako bize kupromoti dini zao? Ulishawahi kuwasikia Wahindi au Buddha kufanya promo ya dini zao? Hizi dini ni biashara za watu wenye akili.

Sasa karibuni Waislamu na Wakristo mnieleze Torati inawahusu vipi? Ninyi ni Waisrael?
Masuala ya dini yanahitaji akili ya ziada maana tumezaliwa tumekuta hizi dini ila imani inabaki pale pale, amini unachokiamini kama kinakusaidia ila usiondoe uhai wa mtu kisa mali. Husichopenda kutendewa nawe usimtendee mtu . Dini ya kweli ni kufuata njia ilinyooka.

Masuala ya torati kuwepo kwa Quran na torat wameletewa Israel sio kigezo usiamini kilichopo kwenye Quran .

Topic za darasa la saba mbona zipo form one -form 4.
 
Kwa modern day world Wakorinto wako located wapi? Je waefeso? Wagalatia? Walawi au waebrania

Wajua wakristo wameambiwa wakasambaze injili ulimwengu wote?
Kwani si hata Hitler alitaka kuitawala dunia?
 
When people refer to the Abrahamic religions they are usually thinking of Judaism, Christianity and Islam. There are, in fact, more Abrahamic religions, such as the Baha'i Faith, Yezidi, Druze, Samaritan and Rastafari.
the point is not hinduism and budhism. And when you go deep into thos bahai, Yezid, Druze and Samaritan you see similarities with New Age teaching NOT Torah
 
Tuna anza na kimoja kwanza ili kupata mwanga.

Swali ni kwa nini dini zingine hazifanyi promotion isipokuwa hizi dini mbili tu uislamu na Ukristo?

Umeshawahi kuona Wahindi wanataka waswahili muingie kwenye temple zao? au mnadhani zile siyo dini? tena wale dini yao ni ya zamani kuliko hizi dini zenu za Ukristo na uislamu.
Tuanze na dini ya isilamu ilianza mwaka gani na ninani muanzilishi wake na alianzisha kwa faida gani jibu litoke kwenye qur,aan
 
Tuanze na dini ya isilamu ilianza mwaka gani na ninani muanzilishi wake na alianzisha kwa faida gani jibu litoke kwenye qur,aan
Hiyo ni dini ya juzi tu karne ya saba, na founder wake ni Muhammad ambaye alikuwa ni mfanyabiashara.
 
Yaani unakuta mswahili anajifanya muisrael na mwarabu wa Yemen.

Huu utumwa wa fikra tunaouita dini ndiyo unatuletea ufukara. Haiwezekani mshahara wako unaumega asilimia 10 eti unampa Mungu.

Hizi dini ni utapeli uliyojipanga. Waarabu wanauza makanzu, kofia, tende e.t.c

Hawa matapeli wengine wanauza rosari, misalaba, hostia, divai, sanamu na sadaka wanakula e.t.c

Wanajenga mashule ila bila muumini kulipa hakuna mtoto atakaye soma. Yanajenga mahospitali ila muumini anakufa kwa kukosa hela ya matibabu.

Kwanini tusifuate dini zetu za kale na tuzipe dhamani kwani sadaka zitachangwa zitabaki hapa hapa na wala hazitaenda vatican.
Wewe usie toa asilimia kumi inamiliki nini katika mali?
 
Kwanza Mungu wala haitaji pesa, pesa ni Man made, atakuwa Mungu wa ajabu amuumbe binadamu halafu aombe pesa kwa binadamu, wakati Mungu ana uwezo wa kusema tu na iwe na inakuwa kweli, halafu atuombe ten percent sisi? huu ni Utapeli pasee.
Kwanza unapo sema neno mungu linapatikana kwenye vitabu via dini unazozipinga
 
Back
Top Bottom